It is a great song. Mwanzoni wimbo unaanza kama siyo mzuri hivi, lakini mwishoni hasa kwenye kiitikio unavuta na kuvuta hisia sana. Shortly mmenigusa sana
Du! Aise aliyepewa maono ya kutunga huu wimbo Mungu amubarikia sana, adi majilani wananishangaa et mtu gani wiki nzima unapiga wimbo mmoja, nabaki natabasamu tu ukuu wa Mungu kwa yale ambayo anatuepusha nayo.
At the moment I have a fracture on my right leg but I can't stop dancing to this beautiful song. I know ELOHIM is healing me in Jesus name. Oh God may you fight all my battles. AMEN
Production Niko safi sana nimependa stage arrangements nimependa digital stage plus lights set ups lan wange rotate light nyeupe kuwa main light ikirotare more ili kupunguza darkness kwa mbali,nyimbo nzuri mtunzi kafanya kweli.dressing safi,color za nguo safi ila nilitamani wide shots zingepungua then medium shots zingeongezwa,ningetamani medium shots za watoto hapo mbele kuimpress watoto wetu kupenda kuimba pia. otherwise 90% excellent
My favourite choir CVC.I saw the short clip of this song as you were practicing it. Be blessed brethren. Always your biggest supporter . I'm blessed.Mabaya yaliinuka lakini hayakutupa,ulitutetea,ulitushindia Asante Elohim wewe ni Mungu unayetenda❤. 🇺🇸 🇺🇸
#Mimi huu wimbo ndo chakula changu chai ya asubuhi,'#Chakula cha mchana,na #Usiku yani hupati njaaa kabisa maana ni #Mungu Ndo anayetenda kwakila Jambo Nilazima Umshukuru ELOHIM KWAKUSEMA ASANTE.
AICT-vijana choir chang'ombe,tangu enzi za Gusa mpaka leo Mungu anawatumia kuhudumu na kufanya kazi yake kwa njia ya uimbaji mnaendelea kuwa choir kwangu mm kwa East Africa mnaongoza.Elohim amekuja vzr sana ila hatamfikia"Nafsi yangu imechoka sana."
❤❤❤❤❤❤waoooooooh hii ndo maan ya kwaya kubwaaa 🎉🎉🎉hakiika mmeonesha ukubwa wenu Mungu awabarik sana .......kazi nzuri sana aiseee nakosa maneno ya kusema ....ila Mungu awabariki sana
Asante ELOHIM Huu ni wimbo Bora wa kufungia Mwaka wimbo umeimbwa haushoshi kusiliza jamani miziki imepigwa aisee MUNGU aendelee kuwabariki sanaa yani nyie nawapenda hadi naumwa ❤❤🔥🔥
HII NI COMMENT YANGU YA PILI.....ILA AISEE AISEE HUU WIMBO ULIYEANDIKA MUNGU WA MBINGUNI AKUINUE ZAIDI YA HAPO NASIKIA NGUVU YA MUNGU KWA HARI MPYA SANA NDANI YANGU HUSUSANI KATIKA KIPINDI HIKI... MELODY YA WIMBO TU INANIPA UAMSHO NA NGUVU YA KUPATA TIMAINI JIPYA DHIDI YA KUMTEGEA MUNGU YAANI CVC MMEJUA KUNIPA MLO KAMILI...❤❤❤❤
Yaaani hiyi nyimbo nimeitafta san sahv nimeipata na inavyo anza kam sio yenyew kumbe ukiisikiliz mwisho ina maona sio poa mungu azidi kuwapa kipaj cha kuimba zaid ya hapo mlipo fikia
Amen. It is a thanks giving song. We're thankful to God for being with us from the beginning to where we are now. His hand protected us against all Evils
Kunakitu nimejifunza kupitia cvc❤ 1@ ni watu wanao jituma katika huduma wanakubari mabadiriko kwa haraka 2@ namba imeongezeka na huduma imekuwa kubwaa inavutia sana 3@ nyimbo zao zinafundisha na kuelimisha na zinagusa sehemu zote Nina mengi ya kusema ila naishia hapo Mungu wa mbinguni azidi kuwabariki nyinyi ni mfano wa kuigwa🙌🙏
3:04 hits my soul differently ...Tumetembea nawe toka mwanzo upo pamoja nasi, hapa tulipo ni kwa nguvu zako..asante Elohim. Ulitangulia mbele bila wewe tusingeweza,hapa tulipo ni kwa nguvu zako..asante Elohim.×2 Najua Elohim umetangulia 2024..tengeneza njia ulivyowatendea wanaisraeli katika bahari ya shamu. ASANTE ELOHIM
Wenye tumetoka tiktok tukaja kuwatch huku tupite na like
Tupo hapa
Yean nlivyoisaka hii nyimboo yule dada apewe mauwa yake
Meeeee💯💯
Nipo 🎉🎉
❤❤❤❤❤
Anaengalia zaid ya mara moja mkono juu
Wimbo wa kuombea mkopo Bank huu. 😂
🙌🙌🙌🙌
🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾
Narudisha rudisha jmn kukodoa mweee,kazi nzuri sanaaa
🖐️🖐️
Waoooo tulio toka TikTok kuja kuutafuta tujuane❤🎉
Tunakoment wapi
Tupo
It is a great song. Mwanzoni wimbo unaanza kama siyo mzuri hivi, lakini mwishoni hasa kwenye kiitikio unavuta na kuvuta hisia sana. Shortly mmenigusa sana
Mwanzo mwisho wimbo mzuri
Aiseeeee
Tulitoka tiktok. Kuutafuta huu wimbo tupo hapa lovely
😂😂😂😂😂😂😂dah hii mitandao bana nkajua nipo mwenyewe nmekuja mbio
Hakika mnaweza kumtoa mtu kwenye zambi kupitia nyimbo zenu mbalikiwe sana❤
Amen. Jina la BWANA libarikiwe na sifa zimrudie yeye Mungu wetu.
Nasema hivi gonga like na subscribe kabisaa kama umeipenda ELOHIM❤❤❤❤❤
Imagine in the same church there is #Neema gospel and CVC 🔥🔥🔥🔥
Du! Aise aliyepewa maono ya kutunga huu wimbo Mungu amubarikia sana, adi majilani wananishangaa et mtu gani wiki nzima unapiga wimbo mmoja, nabaki natabasamu tu ukuu wa Mungu kwa yale ambayo anatuepusha nayo.
Amina. Jina la BWANA libarikiwe. Barikiwa mtumishi.
Ubarikiwe mtumishi
Endelea kumtukuza Elohim kwa anayoyatenda kwako.
Kwakweli majirani waache tu washangae hawajui vyenye MUNGU anatupiganiaga
Hata usiku wa Manane tupo tu 01:03am Asante Elohim!
Amen
Gusa raised me when I was 7 years old.....I'm 22 nasema asante kwa Mwenyezi mbarikiwe zaidi walezi wangu
Mungu aendelee kukuinua
@@rachelsenni8919 amina Rachel. Amejibu maombi na huu wimbo wa walezi wangu naomba uwe wako🙏
At the moment I have a fracture on my right leg but I can't stop dancing to this beautiful song. I know ELOHIM is healing me in Jesus name. Oh God may you fight all my battles. AMEN
Amen. Jehova Rapha is healing you in Jesus's name
Receive the healing in Jesus name 🙏
Ogopa ni hatari MUNGU wangu awabariki sanaaa hii kitu ya moto sanaaaa ❤ kwenye mkesha lazma niipige hii❤
Mimi na familia yangu tunabarikiwa sana na nyimbo zetu. Mzidi kubarikiwa zaidi na zaidi.
Amen mtumishi wa BWANA. Sifa, heshima na utukufu kwa BWANA.
Kila mmoja wetu akiri kwa kinywa chake kwamba kama si Bwana tusingefika hapa, kisha Sifa na utukufu zimrudie Yeye.
Amen. Hakika kama si BWANA tusingekua hapa. Sifa, heshima na utukufu vimrudie BWANA.
Hakika ni kwa mkono wa Bwana
Wimbo mzito, ujumbe mzito, daraja kwa mhitaji. Hongera nyingi kwenu @Aic_Chang'ombe
Wimbo unaimbika kila wakati unasinzia zako ndotoni upo nao tu. ELOHIM
😂😂😂😂😂
Yaaani Dah
Huu wimbo unaweza kukutoa mahali kukuweka mahal pengine
Amen. Hakika, tuendelee kuuombea nguvu ya ki Mungu ili watu wake wavushwe walipo kwa utukufu wake tu.
Aic Changombe vijana choir mnanibari tangu Guza,pazia ya hekalu hadi Elohim from Machakos county Kenya
Amen. Be blessed for following us, we believe you're praying for us
Glory be to God. Before Gusa kuna Vunja.
Hakika Wewe Baba Ni Elohim, Umetushika mkono❤
Murakoze cane! Imana ibahezagire! Listening from Burundi!
Be blessed
Urakoze chane na wewe 🙏
@@AngelAfric Welcome!
@@rachelsenni8919 Amen,you too!
Wimbo mzuri Sana wasisimua moyo wangu🔥🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Amina
Jaman waambieni club hakuna issue njoon kwa yesu Kuna Raha km hizi❤❤
Production Niko safi sana nimependa stage arrangements nimependa digital stage plus lights set ups lan wange rotate light nyeupe kuwa main light ikirotare more ili kupunguza darkness kwa mbali,nyimbo nzuri mtunzi kafanya kweli.dressing safi,color za nguo safi ila nilitamani wide shots zingepungua then medium shots zingeongezwa,ningetamani medium shots za watoto hapo mbele kuimpress watoto wetu kupenda kuimba pia. otherwise 90% excellent
Kazi imebamba hatari
Shukran @Charles
Amen
Asante kwa ushauri mkuu,umechukuliwa
Asante sana huu wimbo kwa kweli unaponya majeraha yote asante ELOHIM 🙏
Amen. Hakika sissy.
Ameen my Dada
Mbarikiwe sana watumishi wa Mungu
Hakika atuteteaye ni MUNGU tu, Mengi mabaya yanainuka kwetu lakini MUNGU anatushindia
My favourite choir CVC.I saw the short clip of this song as you were practicing it. Be blessed brethren. Always your biggest supporter . I'm blessed.Mabaya yaliinuka lakini hayakutupa,ulitutetea,ulitushindia Asante Elohim wewe ni Mungu unayetenda❤. 🇺🇸 🇺🇸
Now you have it all
Amen. Continue praying for us.
Hakika ni Elohim CVC Mungu awabariki huduma izidi kusomga mbele.. hii imeenda
Winbo umejaa upako wa Mungu na kibali, mbarikiwe sana watumishi wa Mungu
mnavyoimba raha sana na mnanifanya niikumbuke ukombozi kkkt msasani .,nimebarikiwa na huduma yenu watumishi wa MUNGU ,MUNGU atukuzwe
Amen mtumishi
Amen
Amen
Amen
Huu wimbo ni kama wameniimbia mimi na wanangu, yani kila nikisikiliza najikuta namwaga machozi kwa shukrani zangu kwa Mungu. Mkono wa Mungu umetubeba
Amen 🙏🏾
Utukufu kwa Mungu
#Mimi huu wimbo ndo chakula changu chai ya asubuhi,'#Chakula cha mchana,na #Usiku yani hupati njaaa kabisa maana ni #Mungu Ndo anayetenda kwakila Jambo Nilazima Umshukuru ELOHIM KWAKUSEMA ASANTE.
A BIG AMEN
Amen
The repeat on the chorus!!!if you know what God has done in your life,nishukurani tu
Asante ELOHIM, Wimbo wa kufunga mwaka na kufungua mwaka
AICT-vijana choir chang'ombe,tangu enzi za Gusa mpaka leo Mungu anawatumia kuhudumu na kufanya kazi yake kwa njia ya uimbaji mnaendelea kuwa choir kwangu mm kwa East Africa mnaongoza.Elohim amekuja vzr sana ila hatamfikia"Nafsi yangu imechoka sana."
❤❤❤❤❤❤waoooooooh hii ndo maan ya kwaya kubwaaa 🎉🎉🎉hakiika mmeonesha ukubwa wenu Mungu awabarik sana .......kazi nzuri sana aiseee nakosa maneno ya kusema ....ila Mungu awabariki sana
Amen. Endelea kutuombea.
Libarikiwe jina la Bwana Yesu. Aliyetunga huu wimbo, Md nawasalimiaa katika jina la Bwana Yesu, mmebarikiwa.
Amen. Sifa na utukufu kwa BWANA
@@rachelsenni8919 kuna powefull message.
Wimbo mzuri wa kumtukuza Mungu,kwa kutulinda kwa yote yaliyopita nyuma. Mungu atukuzwe.
Ahsante Elohim, Mungu utusaidiae
Asante ELOHIM Huu ni wimbo Bora wa kufungia Mwaka wimbo umeimbwa haushoshi kusiliza jamani miziki imepigwa aisee MUNGU aendelee kuwabariki sanaa yani nyie nawapenda hadi naumwa ❤❤🔥🔥
Barikiwa mtumishi, tuombee
Elohim, Mkono wako umetubeba
Wimbo wangu wa muda wote,namshukuru Mungu kila mara nahaya ndiyo maneno yangu
Mabaya yaliinuka lkn hayakunipata. aiseeeee nyie watumishi neema ya Mungu isiwapungukie jamani
Amen
Jamani tunaomba no ya Account tutume sadaka.
Oooh Barikiwa shem tutakutumia
Mungu akubariki kwa sadaka yako
Congrats alot servants of Jesus Christ..#ELOHIM
Asanteni sana watumishi wenzetu shambani mwa BWANA
HII NI COMMENT YANGU YA PILI.....ILA AISEE AISEE HUU WIMBO ULIYEANDIKA MUNGU WA MBINGUNI AKUINUE ZAIDI YA HAPO NASIKIA NGUVU YA MUNGU KWA HARI MPYA SANA NDANI YANGU HUSUSANI KATIKA KIPINDI HIKI... MELODY YA WIMBO TU INANIPA UAMSHO NA NGUVU YA KUPATA TIMAINI JIPYA DHIDI YA KUMTEGEA MUNGU YAANI CVC MMEJUA KUNIPA MLO KAMILI...❤❤❤❤
Amen 🙏🏾
Ubarikiwe sana
Mwanzoni huwez kuelewa huu wimbo ila utamu wake unazidi kunoga zaidi pale unapo endelea kuusikiliza
Nikikunbuka january ilipo anza hata leo decenber Mungu ametusaidia Asante Elohim
Wimho wa Mwaka Hongereni sana such a sweet song
Amen. Glory be to God.
Sijui kwanini natokwa na machozi😢 asante ELOHIM
Elohim ni Bwana na Anatenda
I had this song on tiktok kwa clip ya zoravo...nakuambia ilibidi nikimbie youtube nitafute full song...God glory to you...
Heri ya mwaka mpya ndugu zangu 🎉, uwe wenye Baraka tele kwa Jina La Yesu Kristo.,#Elohim😊
Amen. Na iwe kwako.
The best song ever it can bring heaven down weee
Amen. Glory be to God.
Yaani nikipanda daladala nikafika salama,bado nasema,"ASANTE ELOHIM,WEWE NI MUNGU UNAYE TENDA".
Amen
Amen
Nikitazama nilikopita mwaka jana!!! Hakika ELOHIM anastahili kupwewa shukrani kwa wema wake kwetu.
Amen🙏
Amen
Amina mama
Tunakushukuru ELOHIM kwa maisha ya utumishi wa Mch E Masanja. Tunakushukuru kwa kuwa wewe utabaki kuwa faraja yetu katika hili.
Tunaomba Uendelee Kutembea nasi Ee Bwana. Asante Elohimu
Nimetazama mala kumi.nawapenda sana cvc toka niko kijana mdogo.gusa na nyimbo zingine
Asante mtumishi wa Mungu,endelea kubarikiwa tu❤
Barikiwa sana Mtumishi🙏
Amen amen tubarikiwe sote
Wale wa Tiktok tuko wapi🎉🎉 this song been popping on my timeline
Tunacomment wapi😅
Mm pia
Mabaya yaliinuka lakini ulitutetea umekuwa nasi Mungu 2023 endelea kuwa nasi tena Bwana 2024🙏, mbarikiwe❤
Sifa na utukufu kwa Mungu
Hayupo na hatakiwepo..Sifa Zote tunapmatia Yeye aliye mbele yetu..Asante Elohim
Like nyingi
Mungu ameishakushindia
Kazii nzuri Sanaa Ndugu zangu Miziki imeliaa mwalim wenu Elisher Apewe maua yake🎉🎉
Yaaani hiyi nyimbo nimeitafta san sahv nimeipata na inavyo anza kam sio yenyew kumbe ukiisikiliz mwisho ina maona sio poa mungu azidi kuwapa kipaj cha kuimba zaid ya hapo mlipo fikia
Asee yaan tunaiangalia Mara mbili mbili mungu azidi kuwatumia sawasawa na mapenzi yake 🙏🏿🙌🔥🔥❤️
Tanzania inaenda kuwa taifa teule
Amen
Kumekuchaaa na Elohim
Asante ELOHIM
I don’t understand the language but the spirit of lord make it simple for me to understand and love the song , may the lord increase you more n more
that is how holy spirit ministered to his people even when you don't understand the language
Amen. It is a thanks giving song. We're thankful to God for being with us from the beginning to where we are now. His hand protected us against all Evils
Imekuwa national anthem kwa masikio yangu🎉
Hakika kama ilivyokuwa kwenye usiku wa manane
Amen. Glory be to God.
Yesu awainue zaidi pia viongozi nawalimu wanaosimamia kwaya hii mbingu ziwakumbuke sn kupitia nyinyi kunavitu najifunza sn
Amen. Glory be to God
Tumetembea nawee toka mwanzo upo pamoja nasii hapa tulipoo ...........
Last day of 2023 and I'm jumping into the new year with this song 🙏🏿
Hallelujah
Amen
Elohim haichoshi kusikiliza jamani,wimbo mzuri sana.
Nawapenda sana.karibuni Singida mtupe Siri ya mafanikio yenu
Tuombeane
Hakika Mungu ni mwema wakati wote hapa nilipo ni kwa nguvu zako❤❤
Mungu akufanyie wepesi yoyote unayepitia Magumu. Mungu atakutetea siku zote.
Amen 🙏
Wimbo mzuri wa kufungua 2024 🎉 Shukrani kwa Mungu kwa kuwa nasi kila wakati, hallelujah
Asante Elohim nimetoka kwenda kwenye shughuli zangu nakurudi salama
Nyimbo kali sana imenitoa TikTok fasta kuifata umu jamaa hawajawai kosea 🥰🥰🙋♀️💞
Amen🙏
Tangu enzi za gusa vunja na nyingine nyingi hampoi barikiweni sana
Sifa kwa BWANA
Amen
Hongereni kwa kazi njema, Mungu awabariki sana
✋I have listened to the song more like 1000times
Be blessed, let God be glorified
God bless you Liz
Nahisi kutokwa na machozi, kweli hapa nilipo ni kwa nguvu za mungu!!!! Ahsante ELOHIM
What a chorus 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Best song..song of the year! Mungu awabariki na awatetee..
Amina. Yesu ni Mwema
AIC Chan'gombe kwaya zao ni balaa! Sipati picha ukisali hapo na Neema Gospel wawepo pamoja na hawa uwi
Asante Elohim❤
Tusiochoka kusikiza huu wimbo tujuaneee
Tunacomment wapi😅
Hallelujah 👏👏👏👏👏🔥🔥🔥🔥wimbo mzuri Sanaa, mbarikiwe watumishi wa mwokozi
Siku ile ya huu wimbo nilibubujika mnoo nikishuhudia yale Mungu alifanya kwangu
🙏🙏,ni vyema na sifa kwake Mungu kwakuwa ujumbe wa wimbo huu umechukua nafasi ya kukukumbusha na kutoa shukurani kwa Mungu moyoni mwako. barikiwa sana
Iam in love with the chorus of this blessed song oohh..be blessed🙏🙏
Amen. Glory and honour to God
Nawapenda Mungu azidi kuwatumia💞💯🙏
Amina Yesu azidi kuinuliwa
Kunakitu nimejifunza kupitia cvc❤
1@ ni watu wanao jituma katika huduma wanakubari mabadiriko kwa haraka
2@ namba imeongezeka na huduma imekuwa kubwaa inavutia sana
3@ nyimbo zao zinafundisha na kuelimisha na zinagusa sehemu zote
Nina mengi ya kusema ila naishia hapo
Mungu wa mbinguni azidi kuwabariki nyinyi ni mfano wa kuigwa🙌🙏
Ameen
Amen mpendwa, endelea kutuombea
Amen
Amina. Tunazidi kunyenyekea ili Mungu atukuzwe
Utukufu KWA Bwana kazi nzur sanaaaa
Amen
Waooh...wimbo mzuriii
3:04 hits my soul differently ...Tumetembea nawe toka mwanzo upo pamoja nasi, hapa tulipo ni kwa nguvu zako..asante Elohim. Ulitangulia mbele bila wewe tusingeweza,hapa tulipo ni kwa nguvu zako..asante Elohim.×2
Najua Elohim umetangulia 2024..tengeneza njia ulivyowatendea wanaisraeli katika bahari ya shamu. ASANTE ELOHIM
Amen
Amen
Keep it up changombe working the house of Lord ,continue receiving the blessing from the Jesus christ
@@williummaroseck7366 amen, glory be to God
Tunaendelea kutambua matendo makuu ya Mungu katika Maisha yetu
Amen. Hakika.
Huu ndo wimbo wangu bora 2024
Kazi yenu ni njema.
Mungu azidi kuwainua!