AIC Chang'ombe Choir (CVC) - ELOHIM (Official Live Video)

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 20 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 1,5 тис.

  • @rosemarypeter4416
    @rosemarypeter4416 9 місяців тому +300

    Wenye tumetoka tiktok tukaja kuwatch huku tupite na like

  • @ednalameck9783
    @ednalameck9783 9 місяців тому +348

    Anaengalia zaid ya mara moja mkono juu

  • @gladsilaa6078
    @gladsilaa6078 9 місяців тому +32

    Waoooo tulio toka TikTok kuja kuutafuta tujuane❤🎉

  • @lugembe1057
    @lugembe1057 9 місяців тому +28

    It is a great song. Mwanzoni wimbo unaanza kama siyo mzuri hivi, lakini mwishoni hasa kwenye kiitikio unavuta na kuvuta hisia sana. Shortly mmenigusa sana

  • @MARTHAKAZEMBE-q4o
    @MARTHAKAZEMBE-q4o 2 місяці тому +22

    Tulitoka tiktok. Kuutafuta huu wimbo tupo hapa lovely

    • @SammySam-ki1jj
      @SammySam-ki1jj 2 місяці тому +1

      😂😂😂😂😂😂😂dah hii mitandao bana nkajua nipo mwenyewe nmekuja mbio

  • @jacksonayubu7309
    @jacksonayubu7309 9 місяців тому +11

    Hakika mnaweza kumtoa mtu kwenye zambi kupitia nyimbo zenu mbalikiwe sana❤

    • @rachelsenni8919
      @rachelsenni8919 9 місяців тому

      Amen. Jina la BWANA libarikiwe na sifa zimrudie yeye Mungu wetu.

  • @samsonbaptistdrummer607
    @samsonbaptistdrummer607 9 місяців тому +5

    Nasema hivi gonga like na subscribe kabisaa kama umeipenda ELOHIM❤❤❤❤❤

  • @davidfrank1644
    @davidfrank1644 9 місяців тому +11

    Imagine in the same church there is #Neema gospel and CVC 🔥🔥🔥🔥

  • @ballackntaliho2597
    @ballackntaliho2597 9 місяців тому +19

    Du! Aise aliyepewa maono ya kutunga huu wimbo Mungu amubarikia sana, adi majilani wananishangaa et mtu gani wiki nzima unapiga wimbo mmoja, nabaki natabasamu tu ukuu wa Mungu kwa yale ambayo anatuepusha nayo.

    • @rachelsenni8919
      @rachelsenni8919 9 місяців тому +2

      Amina. Jina la BWANA libarikiwe. Barikiwa mtumishi.

    • @AICTChangombeChoir_
      @AICTChangombeChoir_  9 місяців тому +2

      Ubarikiwe mtumishi

    • @nestoryntogwa805
      @nestoryntogwa805 9 місяців тому +1

      Endelea kumtukuza Elohim kwa anayoyatenda kwako.

    • @LeahJoshuwa
      @LeahJoshuwa 9 місяців тому

      Kwakweli majirani waache tu washangae hawajui vyenye MUNGU anatupiganiaga

  • @joellumala3206
    @joellumala3206 9 місяців тому +11

    Hata usiku wa Manane tupo tu 01:03am Asante Elohim!

  • @stephenmumo194
    @stephenmumo194 9 місяців тому +9

    Gusa raised me when I was 7 years old.....I'm 22 nasema asante kwa Mwenyezi mbarikiwe zaidi walezi wangu

    • @rachelsenni8919
      @rachelsenni8919 9 місяців тому +1

      Mungu aendelee kukuinua

    • @stephenmumo194
      @stephenmumo194 9 місяців тому

      @@rachelsenni8919 amina Rachel. Amejibu maombi na huu wimbo wa walezi wangu naomba uwe wako🙏

  • @eunicembatia6804
    @eunicembatia6804 9 місяців тому +8

    At the moment I have a fracture on my right leg but I can't stop dancing to this beautiful song. I know ELOHIM is healing me in Jesus name. Oh God may you fight all my battles. AMEN

    • @rachelsenni8919
      @rachelsenni8919 9 місяців тому

      Amen. Jehova Rapha is healing you in Jesus's name

    • @elizabethyusuph9221
      @elizabethyusuph9221 8 місяців тому +1

      Receive the healing in Jesus name 🙏

  • @happinessngusa5073
    @happinessngusa5073 9 місяців тому +7

    Ogopa ni hatari MUNGU wangu awabariki sanaaa hii kitu ya moto sanaaaa ❤ kwenye mkesha lazma niipige hii❤

  • @chenge_ernest
    @chenge_ernest 9 місяців тому +7

    Mimi na familia yangu tunabarikiwa sana na nyimbo zetu. Mzidi kubarikiwa zaidi na zaidi.

    • @rachelsenni8919
      @rachelsenni8919 9 місяців тому +1

      Amen mtumishi wa BWANA. Sifa, heshima na utukufu kwa BWANA.

  • @Protas_joseph1
    @Protas_joseph1 9 місяців тому +7

    Kila mmoja wetu akiri kwa kinywa chake kwamba kama si Bwana tusingefika hapa, kisha Sifa na utukufu zimrudie Yeye.

    • @rachelsenni8919
      @rachelsenni8919 9 місяців тому +2

      Amen. Hakika kama si BWANA tusingekua hapa. Sifa, heshima na utukufu vimrudie BWANA.

    • @joellumala3206
      @joellumala3206 9 місяців тому +1

      Hakika ni kwa mkono wa Bwana

  • @kalamuyangu1
    @kalamuyangu1 9 місяців тому +7

    Wimbo mzito, ujumbe mzito, daraja kwa mhitaji. Hongera nyingi kwenu @Aic_Chang'ombe

  • @meshackwilson1909
    @meshackwilson1909 9 місяців тому +6

    Wimbo unaimbika kila wakati unasinzia zako ndotoni upo nao tu. ELOHIM

  • @PendoMbise-rl3tf
    @PendoMbise-rl3tf 9 місяців тому +7

    Huu wimbo unaweza kukutoa mahali kukuweka mahal pengine

    • @rachelsenni8919
      @rachelsenni8919 9 місяців тому

      Amen. Hakika, tuendelee kuuombea nguvu ya ki Mungu ili watu wake wavushwe walipo kwa utukufu wake tu.

  • @IssacWambua
    @IssacWambua 9 місяців тому +8

    Aic Changombe vijana choir mnanibari tangu Guza,pazia ya hekalu hadi Elohim from Machakos county Kenya

    • @rachelsenni8919
      @rachelsenni8919 9 місяців тому +1

      Amen. Be blessed for following us, we believe you're praying for us

    • @rachelsenni8919
      @rachelsenni8919 9 місяців тому

      Glory be to God. Before Gusa kuna Vunja.

  • @JulianaGewe-j1q
    @JulianaGewe-j1q 9 місяців тому +8

    Hakika Wewe Baba Ni Elohim, Umetushika mkono❤

  • @fabricendayikorere8832
    @fabricendayikorere8832 9 місяців тому +11

    Murakoze cane! Imana ibahezagire! Listening from Burundi!

  • @faithngangi6865
    @faithngangi6865 9 місяців тому +7

    Wimbo mzuri Sana wasisimua moyo wangu🔥🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @NusuraSilvester
    @NusuraSilvester 9 місяців тому +5

    Jaman waambieni club hakuna issue njoon kwa yesu Kuna Raha km hizi❤❤

  • @malucharles7964
    @malucharles7964 9 місяців тому +15

    Production Niko safi sana nimependa stage arrangements nimependa digital stage plus lights set ups lan wange rotate light nyeupe kuwa main light ikirotare more ili kupunguza darkness kwa mbali,nyimbo nzuri mtunzi kafanya kweli.dressing safi,color za nguo safi ila nilitamani wide shots zingepungua then medium shots zingeongezwa,ningetamani medium shots za watoto hapo mbele kuimpress watoto wetu kupenda kuimba pia. otherwise 90% excellent

  • @neemakitula3004
    @neemakitula3004 9 місяців тому +9

    Asante sana huu wimbo kwa kweli unaponya majeraha yote asante ELOHIM 🙏

  • @Protas_joseph1
    @Protas_joseph1 9 місяців тому +8

    Hakika atuteteaye ni MUNGU tu, Mengi mabaya yanainuka kwetu lakini MUNGU anatushindia

  • @lucymukhavi1405
    @lucymukhavi1405 9 місяців тому +12

    My favourite choir CVC.I saw the short clip of this song as you were practicing it. Be blessed brethren. Always your biggest supporter . I'm blessed.Mabaya yaliinuka lakini hayakutupa,ulitutetea,ulitushindia Asante Elohim wewe ni Mungu unayetenda❤. 🇺🇸 🇺🇸

  • @cosmaspeter9273
    @cosmaspeter9273 9 місяців тому +7

    Hakika ni Elohim CVC Mungu awabariki huduma izidi kusomga mbele.. hii imeenda

  • @MosesNkinda
    @MosesNkinda 9 місяців тому +6

    Winbo umejaa upako wa Mungu na kibali, mbarikiwe sana watumishi wa Mungu

  • @MUSSAMMAPUNDA
    @MUSSAMMAPUNDA 9 місяців тому +9

    mnavyoimba raha sana na mnanifanya niikumbuke ukombozi kkkt msasani .,nimebarikiwa na huduma yenu watumishi wa MUNGU ,MUNGU atukuzwe

  • @sayunimrocky8445
    @sayunimrocky8445 6 місяців тому +9

    Huu wimbo ni kama wameniimbia mimi na wanangu, yani kila nikisikiliza najikuta namwaga machozi kwa shukrani zangu kwa Mungu. Mkono wa Mungu umetubeba

  • @unclesammykaniki1184
    @unclesammykaniki1184 9 місяців тому +6

    #Mimi huu wimbo ndo chakula changu chai ya asubuhi,'#Chakula cha mchana,na #Usiku yani hupati njaaa kabisa maana ni #Mungu Ndo anayetenda kwakila Jambo Nilazima Umshukuru ELOHIM KWAKUSEMA ASANTE.

  • @nancybukhaya5067
    @nancybukhaya5067 8 місяців тому +12

    The repeat on the chorus!!!if you know what God has done in your life,nishukurani tu

  • @andersonmsumanje143
    @andersonmsumanje143 9 місяців тому +6

    Asante ELOHIM, Wimbo wa kufunga mwaka na kufungua mwaka

  • @vedamusa8033
    @vedamusa8033 9 місяців тому +6

    AICT-vijana choir chang'ombe,tangu enzi za Gusa mpaka leo Mungu anawatumia kuhudumu na kufanya kazi yake kwa njia ya uimbaji mnaendelea kuwa choir kwangu mm kwa East Africa mnaongoza.Elohim amekuja vzr sana ila hatamfikia"Nafsi yangu imechoka sana."

  • @SaraMasanyiwa
    @SaraMasanyiwa 9 місяців тому +6

    ❤❤❤❤❤❤waoooooooh hii ndo maan ya kwaya kubwaaa 🎉🎉🎉hakiika mmeonesha ukubwa wenu Mungu awabarik sana .......kazi nzuri sana aiseee nakosa maneno ya kusema ....ila Mungu awabariki sana

  • @joseymhina5025
    @joseymhina5025 9 місяців тому +6

    Libarikiwe jina la Bwana Yesu. Aliyetunga huu wimbo, Md nawasalimiaa katika jina la Bwana Yesu, mmebarikiwa.

    • @rachelsenni8919
      @rachelsenni8919 9 місяців тому

      Amen. Sifa na utukufu kwa BWANA

    • @joseymhina5025
      @joseymhina5025 9 місяців тому

      @@rachelsenni8919 kuna powefull message.

  • @jacksonkapongo6193
    @jacksonkapongo6193 9 місяців тому +6

    Wimbo mzuri wa kumtukuza Mungu,kwa kutulinda kwa yote yaliyopita nyuma. Mungu atukuzwe.

  • @Protas_joseph1
    @Protas_joseph1 9 місяців тому +7

    Ahsante Elohim, Mungu utusaidiae

  • @EliaIvan
    @EliaIvan 9 місяців тому +6

    Asante ELOHIM Huu ni wimbo Bora wa kufungia Mwaka wimbo umeimbwa haushoshi kusiliza jamani miziki imepigwa aisee MUNGU aendelee kuwabariki sanaa yani nyie nawapenda hadi naumwa ❤❤🔥🔥

  • @Protas_joseph1
    @Protas_joseph1 9 місяців тому +7

    Elohim, Mkono wako umetubeba

  • @nestoryntogwa805
    @nestoryntogwa805 9 місяців тому +6

    Wimbo wangu wa muda wote,namshukuru Mungu kila mara nahaya ndiyo maneno yangu

  • @SamsonJohn-hw1jq
    @SamsonJohn-hw1jq 9 місяців тому +7

    Mabaya yaliinuka lkn hayakunipata. aiseeeee nyie watumishi neema ya Mungu isiwapungukie jamani

  • @code.africa
    @code.africa 9 місяців тому +10

    Jamani tunaomba no ya Account tutume sadaka.

  • @aicdaressalaamchoir
    @aicdaressalaamchoir 9 місяців тому +8

    Congrats alot servants of Jesus Christ..#ELOHIM

    • @rachelsenni8919
      @rachelsenni8919 9 місяців тому +1

      Asanteni sana watumishi wenzetu shambani mwa BWANA

  • @MagrethJackson-t1n
    @MagrethJackson-t1n 7 місяців тому +9

    HII NI COMMENT YANGU YA PILI.....ILA AISEE AISEE HUU WIMBO ULIYEANDIKA MUNGU WA MBINGUNI AKUINUE ZAIDI YA HAPO NASIKIA NGUVU YA MUNGU KWA HARI MPYA SANA NDANI YANGU HUSUSANI KATIKA KIPINDI HIKI... MELODY YA WIMBO TU INANIPA UAMSHO NA NGUVU YA KUPATA TIMAINI JIPYA DHIDI YA KUMTEGEA MUNGU YAANI CVC MMEJUA KUNIPA MLO KAMILI...❤❤❤❤

  • @edwardmguye2483
    @edwardmguye2483 3 місяці тому +9

    Mwanzoni huwez kuelewa huu wimbo ila utamu wake unazidi kunoga zaidi pale unapo endelea kuusikiliza

  • @ESTERHAMIS-is9kl
    @ESTERHAMIS-is9kl 9 місяців тому +5

    Nikikunbuka january ilipo anza hata leo decenber Mungu ametusaidia Asante Elohim

  • @jonathanmremi4345
    @jonathanmremi4345 9 місяців тому +7

    Wimho wa Mwaka Hongereni sana such a sweet song

  • @dannymkogoti961
    @dannymkogoti961 9 місяців тому +6

    Sijui kwanini natokwa na machozi😢 asante ELOHIM

  • @Sharonaworofficial
    @Sharonaworofficial Місяць тому +7

    I had this song on tiktok kwa clip ya zoravo...nakuambia ilibidi nikimbie youtube nitafute full song...God glory to you...

  • @joellumala3206
    @joellumala3206 9 місяців тому +5

    Heri ya mwaka mpya ndugu zangu 🎉, uwe wenye Baraka tele kwa Jina La Yesu Kristo.,#Elohim😊

  • @amoslilande8855
    @amoslilande8855 9 місяців тому +8

    The best song ever it can bring heaven down weee

  • @nestoryntogwa805
    @nestoryntogwa805 9 місяців тому +6

    Yaani nikipanda daladala nikafika salama,bado nasema,"ASANTE ELOHIM,WEWE NI MUNGU UNAYE TENDA".

  • @rachelsenni8919
    @rachelsenni8919 9 місяців тому +6

    Nikitazama nilikopita mwaka jana!!! Hakika ELOHIM anastahili kupwewa shukrani kwa wema wake kwetu.

  • @rachelsenni8919
    @rachelsenni8919 9 місяців тому +4

    Tunakushukuru ELOHIM kwa maisha ya utumishi wa Mch E Masanja. Tunakushukuru kwa kuwa wewe utabaki kuwa faraja yetu katika hili.

  • @JulianaGewe-j1q
    @JulianaGewe-j1q 9 місяців тому +5

    Tunaomba Uendelee Kutembea nasi Ee Bwana. Asante Elohimu

  • @josephwayesu338
    @josephwayesu338 9 місяців тому +6

    Nimetazama mala kumi.nawapenda sana cvc toka niko kijana mdogo.gusa na nyimbo zingine

  • @zipporahzippie9424
    @zipporahzippie9424 2 місяці тому +17

    Wale wa Tiktok tuko wapi🎉🎉 this song been popping on my timeline

  • @PeninaWilson-gd4rx
    @PeninaWilson-gd4rx 9 місяців тому +2

    Mabaya yaliinuka lakini ulitutetea umekuwa nasi Mungu 2023 endelea kuwa nasi tena Bwana 2024🙏, mbarikiwe❤

  • @yusuphdeogratius1036
    @yusuphdeogratius1036 9 місяців тому +7

    Sifa na utukufu kwa Mungu

    • @unclesammykaniki1184
      @unclesammykaniki1184 9 місяців тому +1

      Hayupo na hatakiwepo..Sifa Zote tunapmatia Yeye aliye mbele yetu..Asante Elohim

  • @ericsteven3655
    @ericsteven3655 9 місяців тому +6

    Like nyingi
    Mungu ameishakushindia

  • @johnmichaeljr5682
    @johnmichaeljr5682 9 місяців тому +5

    Kazii nzuri Sanaa Ndugu zangu Miziki imeliaa mwalim wenu Elisher Apewe maua yake🎉🎉

  • @IbrahimNzogela
    @IbrahimNzogela 8 місяців тому +8

    Yaaani hiyi nyimbo nimeitafta san sahv nimeipata na inavyo anza kam sio yenyew kumbe ukiisikiliz mwisho ina maona sio poa mungu azidi kuwapa kipaj cha kuimba zaid ya hapo mlipo fikia

  • @marthathomas1478
    @marthathomas1478 9 місяців тому +6

    Asee yaan tunaiangalia Mara mbili mbili mungu azidi kuwatumia sawasawa na mapenzi yake 🙏🏿🙌🔥🔥❤️

  • @kayumbasosthenes3596
    @kayumbasosthenes3596 7 місяців тому +8

    Tanzania inaenda kuwa taifa teule

  • @ruthmagulu4896
    @ruthmagulu4896 9 місяців тому +6

    Kumekuchaaa na Elohim

  • @ezekielmasaga258
    @ezekielmasaga258 9 місяців тому +6

    Asante ELOHIM

  • @zakhiemhayise613
    @zakhiemhayise613 8 місяців тому +10

    I don’t understand the language but the spirit of lord make it simple for me to understand and love the song , may the lord increase you more n more

    • @eliamahuna832
      @eliamahuna832 7 місяців тому

      that is how holy spirit ministered to his people even when you don't understand the language

    • @rachelsenni8919
      @rachelsenni8919 7 місяців тому

      Amen. It is a thanks giving song. We're thankful to God for being with us from the beginning to where we are now. His hand protected us against all Evils

  • @BerylAyuma
    @BerylAyuma 9 місяців тому +7

    Imekuwa national anthem kwa masikio yangu🎉

    • @glorymyega
      @glorymyega 9 місяців тому +1

      Hakika kama ilivyokuwa kwenye usiku wa manane

    • @rachelsenni8919
      @rachelsenni8919 9 місяців тому

      Amen. Glory be to God.

  • @marthaanton6967
    @marthaanton6967 7 місяців тому +8

    Yesu awainue zaidi pia viongozi nawalimu wanaosimamia kwaya hii mbingu ziwakumbuke sn kupitia nyinyi kunavitu najifunza sn

  • @ruthmagulu4896
    @ruthmagulu4896 9 місяців тому +5

    Tumetembea nawee toka mwanzo upo pamoja nasii hapa tulipoo ...........

  • @RanjaMistari
    @RanjaMistari 9 місяців тому +8

    Last day of 2023 and I'm jumping into the new year with this song 🙏🏿

  • @maryaloyce4913
    @maryaloyce4913 9 місяців тому +5

    Elohim haichoshi kusikiliza jamani,wimbo mzuri sana.

  • @SophiaErick-q7s
    @SophiaErick-q7s 9 місяців тому +6

    Nawapenda sana.karibuni Singida mtupe Siri ya mafanikio yenu

  • @BerthaLimbe
    @BerthaLimbe 9 місяців тому +5

    Hakika Mungu ni mwema wakati wote hapa nilipo ni kwa nguvu zako❤❤

  • @WelluIzumbe
    @WelluIzumbe 2 місяці тому +12

    Mungu akufanyie wepesi yoyote unayepitia Magumu. Mungu atakutetea siku zote.

  • @sammKE
    @sammKE 9 місяців тому +4

    Wimbo mzuri wa kufungua 2024 🎉 Shukrani kwa Mungu kwa kuwa nasi kila wakati, hallelujah

  • @nestoryntogwa805
    @nestoryntogwa805 9 місяців тому +5

    Asante Elohim nimetoka kwenda kwenye shughuli zangu nakurudi salama

  • @nancygidion6965
    @nancygidion6965 9 місяців тому +4

    Nyimbo kali sana imenitoa TikTok fasta kuifata umu jamaa hawajawai kosea 🥰🥰🙋‍♀️💞

  • @barakasanga9436
    @barakasanga9436 9 місяців тому +5

    Tangu enzi za gusa vunja na nyingine nyingi hampoi barikiweni sana

  • @marysingili8892
    @marysingili8892 9 місяців тому +5

    Hongereni kwa kazi njema, Mungu awabariki sana

  • @elizabethkhisa3058
    @elizabethkhisa3058 9 місяців тому +8

    ✋I have listened to the song more like 1000times

  • @JoelinaPareso
    @JoelinaPareso 9 місяців тому +4

    Nahisi kutokwa na machozi, kweli hapa nilipo ni kwa nguvu za mungu!!!! Ahsante ELOHIM

  • @stephenodhis-s1v
    @stephenodhis-s1v 9 місяців тому +7

    What a chorus 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @sonnozac4189
    @sonnozac4189 9 місяців тому +6

    Best song..song of the year! Mungu awabariki na awatetee..

  • @hellengladwilliam6770
    @hellengladwilliam6770 2 місяці тому +8

    AIC Chan'gombe kwaya zao ni balaa! Sipati picha ukisali hapo na Neema Gospel wawepo pamoja na hawa uwi

  • @AngelGwassa
    @AngelGwassa 9 місяців тому +4

    Asante Elohim❤

  • @gloriaphilip7573
    @gloriaphilip7573 2 місяці тому +16

    Tusiochoka kusikiza huu wimbo tujuaneee

  • @annaelias1250
    @annaelias1250 9 місяців тому +4

    Hallelujah 👏👏👏👏👏🔥🔥🔥🔥wimbo mzuri Sanaa, mbarikiwe watumishi wa mwokozi

  • @barakaagrey3744
    @barakaagrey3744 9 місяців тому +5

    Siku ile ya huu wimbo nilibubujika mnoo nikishuhudia yale Mungu alifanya kwangu

    • @susankasembe6270
      @susankasembe6270 9 місяців тому

      🙏🙏,ni vyema na sifa kwake Mungu kwakuwa ujumbe wa wimbo huu umechukua nafasi ya kukukumbusha na kutoa shukurani kwa Mungu moyoni mwako. barikiwa sana

  • @lindajohn8236
    @lindajohn8236 9 місяців тому +8

    Iam in love with the chorus of this blessed song oohh..be blessed🙏🙏

  • @daynessmollel9962
    @daynessmollel9962 9 місяців тому +6

    Nawapenda Mungu azidi kuwatumia💞💯🙏

  • @Rii_home_store
    @Rii_home_store 9 місяців тому +4

    Kunakitu nimejifunza kupitia cvc❤
    1@ ni watu wanao jituma katika huduma wanakubari mabadiriko kwa haraka
    2@ namba imeongezeka na huduma imekuwa kubwaa inavutia sana
    3@ nyimbo zao zinafundisha na kuelimisha na zinagusa sehemu zote
    Nina mengi ya kusema ila naishia hapo
    Mungu wa mbinguni azidi kuwabariki nyinyi ni mfano wa kuigwa🙌🙏

  • @berhamyegela1787
    @berhamyegela1787 9 місяців тому +5

    Utukufu KWA Bwana kazi nzur sanaaaa

  • @NuruMwatebela
    @NuruMwatebela 9 місяців тому +5

    Waooh...wimbo mzuriii

  • @jojouhuru6515
    @jojouhuru6515 9 місяців тому +7

    3:04 hits my soul differently ...Tumetembea nawe toka mwanzo upo pamoja nasi, hapa tulipo ni kwa nguvu zako..asante Elohim. Ulitangulia mbele bila wewe tusingeweza,hapa tulipo ni kwa nguvu zako..asante Elohim.×2
    Najua Elohim umetangulia 2024..tengeneza njia ulivyowatendea wanaisraeli katika bahari ya shamu. ASANTE ELOHIM

    • @rachelsenni8919
      @rachelsenni8919 9 місяців тому

      Amen

    • @philis982
      @philis982 9 місяців тому

      Amen

    • @williummaroseck7366
      @williummaroseck7366 9 місяців тому +1

      Keep it up changombe working the house of Lord ,continue receiving the blessing from the Jesus christ

    • @rachelsenni8919
      @rachelsenni8919 9 місяців тому

      @@williummaroseck7366 amen, glory be to God

  • @Protas_joseph1
    @Protas_joseph1 9 місяців тому +5

    Tunaendelea kutambua matendo makuu ya Mungu katika Maisha yetu

  • @momylaviel
    @momylaviel 9 місяців тому +7

    Huu ndo wimbo wangu bora 2024

  • @joshuamkali4598
    @joshuamkali4598 9 місяців тому +5

    Kazi yenu ni njema.
    Mungu azidi kuwainua!