MSHUKURUNI MUNGU BY FRT. KWEKA LUCAS FERAN Kwaya Ya Mtakatifu Thomas More Chuo Kikuu Mzumbe
Вставка
- Опубліковано 3 жов 2024
- Karibu kutazama wimbo huu kutoka kwaya ya Mtakatifu Thomas More Chuo Kikuu Mzumbe - Morogoro
WIMBO: MSHUKURUNI MUNGU
MTUNZI: FRT. KWEKA LUCAS FERAN
KINANDA: DEOGRATIUS SIMON KITEBO
SOUND ENG. : FABIAN MUTAYOBA & HANS RUSHEMA
STUDIO: HOLY TRINITY (HT)
DIRECTOR: MDETE TM
MAWASILIANO YA KWAYA: 0672 361 080
Follow Us On:
INTAGRAM / kmtm_mzumbe
TIKTOK, (kmtm_tmcsmu)
FACEBOOK kmtm_mzumbe
#kanisakatoliki #choir #gospelmusic #uzinduzi #music #vaticano #newmusic #tanzania #love #africangospel #africangospelmusic
Watu ni wamoto hakuna kupoa Mungu azidi kujali neema zaidi na mbarikiwe mnoo Kwa utume
Kuimba ni kusali mara mbilii hakika tutaimbaa hata mbingunii 🎉❤
MUNGU awabariki sana kwa kazi nzuri na ya baraka MUNGU azidi kuwainua sana na sana
Amazing from St.Thomas more mzumbe University may our almighty God bless you all 🙏🙏✍️✍️✍️Sauti ya radi
Congratulations 👏🎉🎉🎉 . Mtakatifu Thomas More choir
🎉🎉mbarikiwe sana WAPENDWA Kwa Kaz nzur🙏🙏
TMCS-MZUMBE: MUNGU ATUKUZWE MILELE, Hongereni sana kwa Kazi nzuri ya Uinjilishaji ⛪✝
Hongereni kwa kazi iliyotukuka mnoo
Congratulations brothers& sisters
Mbarikiwe sana wanakyawa wote . MUNGU akawe taa ya maisha yenu siku zote za maisha yako. Nawapenda sana wanakwaya wa MT.THOMAS MORE
Mb hero🎉🎉
❤❤ Amazing...,,,, More blessings to STM🙏🥰🥰
Great song with touching message
Be blessed..
IKo safi sana
Hongereni sana🎉🎉🎉 Thomas more
Mungu aibariki talanta yenu ya uimbajii❤ hata mbinguni tutaimba
Nice job May the Lord our God be with you All
What a song😯🔥🔥🔥
Good job. Hongera pia kwa organist.........vema
Kazi nzuri sana mbarikiwe sana Kwa kumtukuza mungu Na kumshukuru mungu
Pongezi Sana kwenye mungu abariki kazi Zenu🙏🎉🎉
kazi nzur mbarikiwe, msaada wa copy tafadhari 🙏🏾🙏🏾
Naweza kupata suti kma io hata ya 6000😂❤❤
❤❤❤❤❤❤
🔥🌹🔥🔥🔥🔥🔥
❤❤🎉
Nice❤
Jamani , sijui hata niseme nn. Ila MUNGU azidi kukutia nguvu za kuzidi kumtumikia Kwa kuimba , ili tizidi kupata baraka tele kutoka kwake
KAZI nzuri watumishi wa mungu na mungu azidi kiwafungulia katika maisha yenu wanakwaya wote.
ST JOHN'S UNIVERSITY
🎉Asanteni sana Ndugu zangu... Pongezi nyingi. Na Mungu azidi kuwabariki kwa utume Wenu huu na Maisha❤
Mungu awabariki kwa utume mnaoufanya
Bwana asifiwe kwa nyimbo nzuri sana wakuu kazi imetulia kutoka kwenu na mtunzi bado naona anazingatia vitu vyake
Aloo mmenikimbusha mbali sana
Waoooooh amazing sana 🔥🔥🔥🔥
Woooooooow wimbo mzuri sana wa kumshukuru Mungu. Haleluya...
Namuona madam Meryciana kazi njema sana
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉congrats
❤❤❤❤ mbarikiwe nyote kwa kujitoa siku za ujana wenu kumtumikia Mungu na azidi kuwa taa yenu katika kuutangaza utukufu na sifa zake Hongereni🤗🤗🥰🥰🥰
kazi nzuri, mwenyezi mungu azidi kuwatia nguvu katika kutangaza sifa na utukufuku wake
wimbo mzuri na kazi imependeza mtakatifu Thomas more hamjawaahi kupywa hongera sanaa🤝
Hongereni sana Mzumbe🎉🎉
wana tomas more so haba aise kazi nzuri❤
Mungu ni mwemaa kwetu sote🎉
🎉🎉🎉🎉 Amina sanaaa
Congratulation to u all 👍
Amen 🙏,,,, wimbo mzuri sana 👏👏👏👏👏
Kazi nzuri sana watumishi. Huyo director anazingua sana mwambieni hii mara ya pili organist haonekani kwenye video kwanini anamfanyia hivo ?
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉great great
Mungu azidi kuwapa nguvu zaidi vijana wa Tomas more mzumbe never let me down together we can💪
Safi na hongera sana ila kuna mahali Director amezingua...
Organist ni sehemu ya muziki yaani namaanisha Ara ni muziki pia sijawahi ona nyimbo yote asionekane mpiga kinanda maana yake hapo muziki haujakamilika maana kuna sehemu ya muzuliki haionekani next time Director remember that all in all mmetisha sana ila naomba mnisamehe ka nitakuwa nimezingua
Barikiwa sana jmn 🎉 family ya Mungu hakika Mungu azdi kuwa nasi daima hongeraa sana Kwa kaz nzr ya utume
Mmetisha sana Mungu awabariki mnoo kwa kumtumikia wakati wa ujana wenu💖💖🎉🎉🎉😍🥰🥰
Barikiwa Sana watumishi wa Mungu!! Daima Mungu awe nanyi❤❤
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉congrats
🔥🔥🔥🔥🙏🙏
🎉🎉❤
❤❤❤❤🔥
Hakika ninayo sababu ya kumshukuru Mungu😊 ❤
Mimi sare zenu tu zinanikosha jaman❤
Wow Mungu ahimidiwe milele
Nice 🎉🎉
Hongereni sanaaaaa
Safi sana