MAMA ALIYEFIWA NA BABA YAKE AFUFULIWA NA NABII KIBOKO YA WACHAWI/MAITI YAFUFUKA
Вставка
- Опубліковано 4 жов 2024
- MAMA ALIYEFIWA NA BABA YAKE AFUFULIWA NA NABII KIBOKO YA WACHAWI/MAITI YAFUFUKA
#church #jesus #god #bible #christian #love #faith #worship #jesuschrist #gospel #prayer #christ #architecture #christianity #pray #photography #holyspirit #godisgood #travel #hope #blessed #bibleverse #art #catholic #grace #truth #amen #believe #religion #ig
Mungu Naomba usiruhu msiba Wala mauti ktk family yangu waponye wazazi wangu baba na mama
Baba mungu akuzidishiye miaka wanawo kusema vibaya niwachawi tu ila wauwe woooote
Nakupenda Sana baba na nakuaminia Sana pastor Mungu was mbinguni azidi kukutunza
Niwapi iyo
Mh!
Nabii Mungu Skype maisha marefu baba.Wanaokusema vibaya hawajielewi.Nabii Mungu amekuleta Tanzania kwa maksudi maalumu baba.Nabii naomba uinue familia yangu tuondoe kwenye magonjwa misiba na umaskini.Ninakupenda Sana Nabii.Mimi Simbo Kimaro
Baba Mungu nakuomba ajira na biashara kwa watoto wangu ktk jina la Yesu Kristo Aliye Hai Amen
Nimeanza kukubali nabii pastor. Namimi Nina shemej wangu amekufa tukamzika Ila Cha kushangaza watu wanamuona. Tunaomba msaad wako
Anaitwa Arikadi petr
Baba mungu anazidi kukutumia naomba ufuue mtoto wa Aliekua mpngaji wangu amezikwa leo amefariki gavula kwa kuumwa nakichwa tr 8/01/2024 alikua aingie fom 1 Emungu muonee huruma mama huyu
Watu wa mungu wanaangamia kwakukosa maarifa,,mungu atupe macho ya rohoni😥😥
Powerful Jesus Christ is Lord! Wafu wanafufuliwa🔥🔥 .🙏
Shalom mtumishi, naomba uniombee ninashida ya afya mwili wangu wote hauna amani baba.
Amini mungu yupo Kama alie mfufua yesu Lazaro basi n yeye amepewa unguvu izo
uongo mtupu na ni ujinga msindwe nyie alifufua 2 ni Mungu nonsense pastor
Amen baba naomba niombe niweze kupata ajira ya jwtz mwaka huu
Niwewe pekee nabii kiboko ya wachawi nakuamini pakuwa fufuwa watu, amen
huamini yesu Christo?
I receive I receive I receive I receive I receive I receive I receive I receive I receive I receive I receive I receive I receive I receive I receive I receive I receive I receive I receive I receive powerful
Mungu naomba ufufue uchumi wangu na upigane na mapepo yanayotaka kuangamiza familia
Amen
Bwana Yesu Kristo namwombea Grace aondolewe wachawi wote dhidi yake Amen
Aminaa
Aminaa 2:42
Amen my spiritual father
Akataka kifo
Ameeen
Lakini huyu mama kafiwa na baba asubuh na anazikwa mda ambao huyo mama amekuja kanisani😂 nguvu za kuja kanisani mda huo kapataje!!🤔🤔🤔
Akuna anayemjua huyo mama kweli atupe ukweli wa mambo
@@kashurusho863mbona kwenye msiba nasikia tu sauti ya watu 2 tu?
😅😅😅😅 nacheka kama mazuriii
Kuna mda nawaza daaah nashindwa kwenda kanisani
Tunapigwa san bora umegundua na ww
Amina mtumishi
Tabili juu yangu
Naitwa laurent lwena
Fanya kazi ya mungu tupone naitwa muhidini selemani nisaidie mtumishi
Nakufuatilia baba,hakika mungu anaweza ,kupitia maombi yako naomba huu mwaka usipite bila kupata ajira,mwaka wa 9 nasubiri ajira ya ualimu bila mafanikio,napokea muujiza kupitia maombi yako baba amen
Wanawake wengi motoni
Amina baba
Bwana Yesu Kristo naomba uniondolee wachawi wote dhidi yangu na watoto wangu na wadogo zangu wote
Amina
Amena sana unangusa wengi nami futa machozi yangu bwana uniponye fangasi pamoja uvimbe wa shingo
Ameni baba
Mtu kafiwa na baba yake badala aende msiba anakuja kanisani mmh mbona hapa sielewi,Ee Mungu tusaidie tupe macho ya rohoni
Matapel hayo hyo ni kamali inachezwa mjini shule
Mjini maisha magum
Huelewi kwa nini aende kanisani badala ya msiba. Ni wewe huna imani mwenzio amekimbilia penye msaada.
Imani ni kitu kingine huwezi jua kwann amefanya hivyo
@@designdesign4426😂😂😂😂
Nabii mungu azidi kukutumia kuokoa watu,naomba na mimi umuokoe mwanangu amepinda mgongo kama upinde na hawezi kutembea huu mwaka wa tatu
Sharom amen amen iam a Kenyan natamani kufika huko tazanzania naomba direction amen
Panda Basi njoo dar es salaam shuka Magufuli stand , panda daladala linaloenda Buza Kwa lulenge bus stand, than ask bodaboda to kiboko ya wachawi church.
Hio ni scipt imeandaliwa sio kweli 😂😂😂😂😂
Hatali sana naona kama nindoto kwamala yakwanza leo nimeshangazwa nakupenda sana kiboko yawachawi
Bwana Yesu asifiwe nabii naitaji maombi Yako maana changamoto. Nayoipitia naisi kukataa tamaa majaribu yamekuwa meng peke yangu siwez kila mwaka nnn mmm tu nabii nafukuzwa kazi naomba unisadie nabii naitwa james
Ameen
Ubarikiwe mchungaji
Asante kwa kuKomboa baba maisha yetu
Mathayo 22:29
[29]Yesu akajibu, akawaambia, Mwapotea, kwa kuwa hamyajui maandiko wala uweza wa Mungu.
Jesus answered and said unto them, Ye do err, not knowing the scriptures, nor the power of God.
Najiconne na Hilo ombi katika jina la Yesu
Amen mungu akubariki unagusa wengi
baba nimekuwa mtu wamatukio yaajabu sana baba naomba niokoe baba nabii
🎉Paster kemea ushoga Tanzania wajukuu wetu wametekwa na watu wenye pesa kutoka nchi za nje pia kemea ushoga na usagaji .Hiyo pia ni njia ya uchawi Mungu akubariki Sana
Ameni
Amina hakika mungu anaweza
❤❤saf sana mtumishi nikiludi nitafika apo
Baba mume wangu amepata ajari kwa njia yakutatanisha amefariki nisaidie
Bwana Yesu asifiwe nabii naitaji maombi Yako maana changamoto. Nayoipitia naisi kukataa tamaa majaribu yamekuwa meng peke yangu siwez kila mwaka nnn mmm tu nabii nafukuzwa kazi naomba unisadie nabii naitwa james baba
Daina nataka nipate koneksheni sahiii katika maisha yangu
Daina nataka nilipwe haki zangu zote hata zile nilizodhurumiwa nilipwe na mume wangu Apate safali kazi joseph
Duh
Amina baba nataka.mtoto
I received
Mtumishi Naomba muomb baba yangu anaumwa presha
Jmn huy kibok ya wachawi hadi uje kumuona ushapita kwa mashemasi wanakusany maokot had uonane nae unabak mtupu 😢
❤❤❤
Jamani mungu anawaona
Wao wanaokuongerea vibaya wait ndio wachawi nguvu na uweza unatoa kwa mungu endelea kutuponya
Barikiwa baba
Ameeen
Mungu Ni Mkuu Hakika
Kunaukweli hapo?vitu vya Mungu inautaratibu wake na malengo yake. sasa hii Mimi sijaiamini kabisa.waje watoe ushuhuda kama ni kweli
@@samwelmatemu8873 Mambo Ya Mungu Hayachunguziki Kaka Ila Kwenye Simu Kasema Baba Ake Kaamka
Mungu nipe pesa kwa njia rahisi niende nikaonane na nabii kiboko Cha wachawi wote
Nenda katapeliwe unazani utamuona bila pesa
Ase Mimi naangalia maigizo mwenye nacheka hahaha
maigizo haya
Ww ni mm kabisa niko nacheka tu hapa eeh MUNGU tusaidie
Maigizo ya viwango😂
😂😂😂 watu ni wasanii sana na mbinguni ni mbali sana
Nimecheka hapo alipomuambia amwagie maji bila kupewa maelekezo
Amen and Amen and Amen and Amen and Amen and Amen and Amen and Amen and Amen and Amen ❤❤
Wee kataa Mauti ila Mauti yanakuja afu ivi kweli Mungu akazungumze na ww kwamba Mungu amekosa kazi au wewe waibie wenzako ila kesho inshallah utakutana na Allah zen utajibu
Wee mkongooo utafika mbali Mungu atakuaibisha kwa uwongooo wako
Kwani muzaa akifwa dousiede ibadani kisa kifo acha babatu hatakama mwanagu kanisani naedatu Wacha wafu wazikane wwnyewe soma diko vizuli nautafwahamu namanishani mungu atujaliye
Mungu akujaliye
Ameeeeen
Glory🙏🙏
Baba yangu Mungu azidi kukulinda
AMEN AMEN AMEN
Napenda sana mafundisho yako baba kiboko ya wachawi
TUNA MUHITAJI MAGUFULI JAMANI MFUFUE HARAKA AJE
mmmh!!!
na nyerere amfufue pia😂😂😂😂😂
Baba nisaidie namimi sijaona siku zangu miezi 5 Sasa tumbo kubwa Kama Nina mimba na mtt acheza nikienda hosptl naambiwa wanaona kivuli cheusi
Dada sikia unaweza usipate msaada hapo utaibiwa
Uongo mwingine hata haufai, umefiwa na baba unawezaje kwenda kanisaini
Mm ninakuamini nabii. Siku zote kama hujawahi kupata shida huwez jua kama shida huwa zipo. Tusaidie watu tunapitia mengi mnoo. Kila mmoja na shida zake.
Nyie wapumbavu msioamini watu wanapona nyie mnasema maigizo basi fanyeji original mlionayo nyinyi fanyeni original watu wawafuate, mko tayari kuwazika wagonjwa wanakufa sio kuponywa mimi naamini nyie wachawi kila kitu kizuri ni sheteni mungu awasaidie
Wajinga nyie msitake tuwatukene mme msikia nabii vizur au umekulupuka
Amesema amepokea taarifa yeye akiwa apo kanisan amini wewe acha ujinga Mungu yupo na anaweza
Labda amefarik yupokanxan
❤❤❤🎉
Naombeni mawasiliano ya hyu nabii😊
Hongera sana. Mimi na mke wangu tunafuatilia sana ila tupo mbali Dodoma. Tunapenda kutanguliza sadaka yetu na kuomba utusaidie tumeteseka sana so chini ya miaka 30 mateso na mikosi ya kichawi, maelezo ni marefu na achungu. Tunaomba namba yako tutume sadaka yetu ndogo na utuelekeze tufanyeje maana tumekwisha kabisa hatuna uwezo na ni wazee.
Nabii tabili juu yangu
Kweli tusimdharau huyu paster jamani tumwachie Mungu yeye ndie anayejua ,kwenda kanisani ni sawa kabisa maana ndo kimbilio letu .
Babaako afariki uwende kanisani wakati ingekuwa hufai naushaondoka uwongooo mtu kuliaa tu niuwongooo
Amen amen 🙏
Kwer kabisa amina
Kweli mpk YESU arudi tutaona mengi
Umeonaeee!
Amerni
Amen Amen
❤❤❤ameen
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Naomba niombee
Ww siyo mtumish wa mungu tushakugundua nenda kalim3
Nabii naomba utuponye na familia yangu na umfufue dada yangu alikofichwa
Fanya kazi ya mungu nabii tupone naitwa Victoria chilumba
Daa
Nataka kupona sukali na binti yangu Apate mume na nilipwe pesa zangu nilizodhurumiwa na pikipiki zangu 2 zirudishwe nimjue Aliyeniiibia
Hakika mungu nimuweza wayote sifanautukufu ziludi kwako nahitaji maombi katk fmly ya
Jaman mungu awasaihdie
Benard luwilo naomba niunganishwe namaomb
Daina nataka dada yangu mtumishi ufahamu wake urudishwe na mume wake Amtafute
iv alishawekwa kwenye friji kwel uyo marehem na alifariki lin mpaka kufikia alishwekwa kwenye jeneza kwa inavo onekana mtumish katokea congo angetupa stor kidogo kua kula congo kafufua wangap na kama vip ange kimbia muimbili bc akaokoe roho za watu jmn watu wanapumulia mipira watu wanakufa kila siku aende akawafufue jmn mbona ukristo kwa sasa umekua muvi
Mimi sishangai kwa haya kutokea. Yote yameandikwa kwenye biblia. Acha unabii utimiye.
Nifunguliwe na Mimi watoto wangu wawe wazima na mume wangu awe mzima