UJUMBE WA MONICA DAVIE KWA MARA YA KWANZA 2023 - GeorDavie TV

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 10 лют 2025
  • SMS/WhatsApp au Piga namba: (Makao Makuu) +255 784 31 51 91 au +255 754 31 51 91 au +255 715 31 51 91 au kwa msaada zaidi. Tupo Arusha, Tanzania, East Africa. Pia Download App yetu na ufurahie huduma zetu, Nenda AppStore au PlayStore andika geordavie halafu itakuja GeorDavie Ministries, endelea kupakua. Na Endapo Umeguswa na Huduma hii na Unapenda Kutoa Sadaka yako Tuma Kwenye namba hii (M-Pesa): +255 769 00 00 34 au (kwa AirTelMoney) +255 788 00 00 35. Pia unaweza Kusikiliza redio yetu sasa hivi Online, nenda: www.nyu.radio12345.com
    Keeping Up With God's Kingdom Government Standards!
    TUFUATILIE
    ▶︎ Facebook: / geordavietv
    ▶︎ Instagram: / geordavietv
    ▶︎@GeorDavie Maarifa

КОМЕНТАРІ • 444

  • @GabrielChumbi
    @GabrielChumbi 6 місяців тому +1

    Powerful you're a great preacher,, teacher and servent of God,,may God bless you Monica,,, wonderful message what you have preached is reality in life

  • @mwanyongamama4407
    @mwanyongamama4407 Рік тому +18

    Binti Bwana Akufunulie Zaidi lipendezalo be blessed Bigup MUNGU Akupe hekima ufahamu wake Have The Best fureture On Jesus Name Glory be to God

  • @salmampinga4995
    @salmampinga4995 Рік тому +12

    "Kujishusha na kukubali kujifunza Ili uweze kuvuka"Powerful Asante sana Monica

  • @lilianmungure8374
    @lilianmungure8374 Рік тому +3

    Ooooh Hallelujah, thak you JESUS for this girl,Mungu akukuze kiroho zaidi,ufundishe mataifa yote kwa jina la YESU,AMEN

  • @laurentjoseph5646
    @laurentjoseph5646 Рік тому +8

    Amen, sipotezi tumaini langu na naitunza Imani yangu najua nafasi yangu ipo Kwa jina la yesu

  • @marianajoseph1892
    @marianajoseph1892 Рік тому +10

    Monica kazi nzuri sana,nimekuelewa, kutunza Imani na tumaini wakati wowote.🙏🏻🙏🏻💕💕

    • @DottoKitambi
      @DottoKitambi Рік тому

      Nimeguswa sana na neno Yani kanigusa sana na kanifariji ameen

  • @JEREMAYPaluku
    @JEREMAYPaluku Рік тому +1

    Asante sana kwaujumbe huu lakini nakusisanakama mutoto wa mungu unkebadili muonekanowakowaje iliuwevizurikwamungu wako sababu petro 3:3inasemahivi kujipambakwenukusiwekwakusukanyele navienginevio nivionakokwako dadangu sikusemevibaya❤

  • @richardmartin6429
    @richardmartin6429 Рік тому +3

    Dada Monica Mungu akubariki, Mungu amekupa Karama nzuri endelea kuitumia kwa Utukufu wake.

  • @lisajoerpodcast
    @lisajoerpodcast Рік тому +11

    You did amazing Monica. Extremely blessed by your message. ♥️🔥🔥

    • @jasminimalaso9417
      @jasminimalaso9417 Рік тому

      Ila nyie mungu ana waona mungu so wamchezooo ayyyyaaaaàà

  • @sophybenedict5706
    @sophybenedict5706 5 днів тому

    Powerful message

  • @monicandengo4680
    @monicandengo4680 Рік тому

    Asantee Sana Mtumishi songs mbele Ameeeeen

  • @celecridamatilya7625
    @celecridamatilya7625 Рік тому +14

    Safi sana , ❤
    Ubarikiwe na Mungu wa mbinguni azidi kukuinua zaidi uweze kuifanya kazi yake kwa ukubwa❤

  • @nabiialuta8234
    @nabiialuta8234 Рік тому

    God. Bless you Monika for transfer our heart s pia msalimu baba yetu nabii mkuu tunamuombea kwa machozi kwa hekima aliyo nayo ambayo watesi wake hawawezi kushindana nayo amen Dada Monika bwana yesu akulinde ww na familiya ya ngurumo ya upako

  • @stevenakyoo7020
    @stevenakyoo7020 Рік тому +6

    Neno lako limebariki kila mmoja Mungu aendelee kukuweka na uzima dada una nizamu sana utafikiri ijakulia kwenye mapesa mengi ivyo kwa baba nabii. Una nidhamu sana.🙏🙏

  • @juvenalymwanalyela202
    @juvenalymwanalyela202 3 місяці тому +3

    Endeleeni kujifaliji huku mkijalibiwa na tamaa zenu wenyewe,,,,Yesu hayupo hapo

  • @marcellyimo9292
    @marcellyimo9292 Рік тому +1

    Amen na hongera upo vizuri nimekuelewa

  • @aishakilimba5938
    @aishakilimba5938 Рік тому +1

    Petro 1 3:3 kujipamba kwenu ,imeelezewa Mungu apendi tupoteze asili yetu na mapambo hayatatuingiza mbinguni pamoja na mavazi yasiyompendeza Mungu mbingu ipo kuzimu ipo mtu unabadili kucha, nywele, ngozi , jamani Mungu hazihakiwi tufuare Yesu ametuagiza Nini?

    • @lucykapinga369
      @lucykapinga369 Рік тому

      ona makuchaa'nywele hivyoo vyamapamb9 awazungumzii na mavazii wakati lipo kwenye biblia Wajanjaa wanarenga kwenye kipatoo Dah

    • @AbbahCostaabbahCostaabbah
      @AbbahCostaabbahCostaabbah Рік тому

      Uhakik

  • @EliasKimathi-h9f
    @EliasKimathi-h9f 18 днів тому +1

    GEordavie hauna uwezo,hauna nguvu,hauna connection achia watu wa mungu pepo wewe .

  • @josephitangishaka960
    @josephitangishaka960 Рік тому +1

    God bless you Mona Davie I appreciate your message

  • @victoriamkilya928
    @victoriamkilya928 Рік тому +2

    Amina, binafsi nimekuelewa sana! Barikiwa sana! ❤

    • @gudilahshirima5070
      @gudilahshirima5070 Рік тому

      Mungu akubariki dada Monica....somo lako halichoshi kujifunza.....sitaman umalize

  • @kevinseleman8921
    @kevinseleman8921 Рік тому +4

    nakupenda baba unavyo saidia watu akika wewe niwapekee mungu akubariki naomba nafasi yakuja naimani ntabarikiwa

  • @DeussMtogela
    @DeussMtogela Рік тому

    Kajitahidi sana kufafanua ila mavazi hanaendani na mazingira aliyopo binti geor dav jiaribu kuheshimu madhabao mama nakupenda❤

  • @FabiolaJoseph-iq5kw
    @FabiolaJoseph-iq5kw Рік тому +1

    Nguo hazimpi MUNGU Utukufu ,Na blich kichwani,Hadi hapo Ushamkosoa MUNGU,Ni machozii😭😭😭Hakika Mwana WA Adamu yupo karibu YESU tusaidie😭😭😭

  • @annatarimo686
    @annatarimo686 Рік тому

    Kwa kwel Baba Umewalea watoto wako vyema .nashukuru kwa SoMo zur Sana.🙏🙏🙏

  • @williammduma4180
    @williammduma4180 Рік тому +1

    Thanks for the good message

  • @elizabethnamwinga3210
    @elizabethnamwinga3210 Рік тому +2

    Be blessed Father.songa mbele usimwangalie mwanadamu,nikigeugeu mwangalie mungu pekee

  • @elisantennko1585
    @elisantennko1585 Рік тому +9

    Nabii ubarikiwe kwakuwalea watoto ktk kulihishi neno hii nimeipenda ni zuri sana wengi wataongea wawezavyo ila hauwezi kuubadilisha wakati no ningumu tu🙏

  • @sellinaayoma108
    @sellinaayoma108 Рік тому +1

    Thank you for a wonderful message. Watching from Nairobi, Kenya

  • @AlistidiusKagyabukama
    @AlistidiusKagyabukama 7 місяців тому

    Ubarkiwe sana mtumishi wa Mungu mimi unanibarki sana

  • @tumainiisrael9378
    @tumainiisrael9378 Рік тому

    Good teacher

  • @dorahisinika7576
    @dorahisinika7576 Рік тому +2

    Blessed family..loving and humble child.

  • @mussatete2618
    @mussatete2618 Рік тому +11

    Somo lako zuri, nimelielewa limenikaa moyoni, I SALUTE U❤❤❤

  • @LazaroLaizer-ho9eo
    @LazaroLaizer-ho9eo 2 місяці тому

    Ubarikiwe San binti Monica geordavie hakika wafilipi 4:13 ni neno ambalo ilinibariki

  • @gracemwangi4880
    @gracemwangi4880 Рік тому +3

    Nayaweza Mambo yote katika yeye anitiae nguvu.usipoteze Imani yako...itunze tumaini lako.
    GOD BLESS YOU ABUNDANTLY 🙏 MISS MONICA DAVIE.❤
    Powerful Message. AHSANTE SANA

  • @HadijaZabroni-pu1lt
    @HadijaZabroni-pu1lt Рік тому +1

    Asante monica ❤❤❤❤

  • @davidmike6054
    @davidmike6054 Рік тому +1

    Daddy natamani nikuone tu sir amini Mungu atafunguwa njia baba yangu

  • @JoyceSwai-b9x
    @JoyceSwai-b9x Рік тому

    Ameen!Nimependa sana mafundisho yako binti

  • @mwash7777
    @mwash7777 Рік тому

    Mwanadada ni mwalimu wa neno mzuri sana. Nimefurahia sana sana ..from +254.

  • @mediavumbi9243
    @mediavumbi9243 Рік тому

    Monica ,ndakuombeya kwa Mungu akuze hico kipawa cha uinjiliste, ubarikiwe sana

  • @gracemgumba
    @gracemgumba Рік тому

    Barikiwa sana Monica Umeifanya vizuri snaa🌹

  • @bonabonala5559
    @bonabonala5559 Рік тому +1

    haya ndio mambo mungu arikutuma kuriko kuitetea viongozi wa ccm wakanye kwa kuuza bandari utakua nabii wa kweli goerdevie

  • @annamboya2822
    @annamboya2822 Рік тому +3

    Hongera Monica nimekuelewa somo zuri sn, nimejifunza jambo kutoka kwako. Mungu akubariki dear.

  • @monicandengo4680
    @monicandengo4680 Рік тому

    Monica wajina wangu nakupenda mno Mungu anakutumia Sana wewe unakitu kukubwa Sana umepewa kusema namataifa

  • @yousramutwale2463
    @yousramutwale2463 Рік тому +8

    Uyu baba niwakipekee sana love u nabii mkuuu

  • @zomasamweli
    @zomasamweli Рік тому +3

    Mungu akubarik

  • @juliusmollel9570
    @juliusmollel9570 Рік тому

    Binafsi nmetambua uwepo wako maneno yako all in all I thanks to God

  • @festodaniel2252
    @festodaniel2252 Рік тому +4

    Thank you so much for a nice word.I have lern something so precious ofcorse you touched my situation. Be blessed servant of God.

  • @upendoibrahim5030
    @upendoibrahim5030 Рік тому +2

    Eeee Mungu ahsante kwa neno lako takatifu, kupitia Mtumishi wako Monica,amegusa nafsi yangu mpaka mwili umesisimka, Mungu akutunze mwanangu,Pia wabariki wazazi wake kwa malezi mazuri ya kumjua Mungu, AMEN

    • @mugishomwenda4265
      @mugishomwenda4265 Рік тому

      Kweli ni NENO la kusisimua mweli WALA sio kuponya roho

    • @helenbahati8038
      @helenbahati8038 Рік тому

      @@mugishomwenda4265 hapo sasa watu tunapenda neno la kusisimua mbali sio neno la kuponya Roho 😭😭

  • @DaudiLaiza
    @DaudiLaiza Рік тому

    ❤❤❤ mtumishi wa mungu tunashuru Sana mkuu wetu amina

  • @catherinendwiga6207
    @catherinendwiga6207 Рік тому +2

    Asante. Monica. Kw ujumbe mwema. Umenitia Imani na mungu. Ukazidi. Kutuombea. Ameni

  • @sylvestrengwelu2012
    @sylvestrengwelu2012 Рік тому +3

    Mungu AKULINDE Monica songa mbele piga hatua.Umefundisha vizuri.
    Mifano mizuri sana.KUJISHUSHA, KUKUBARI KUJIFUNZA.HONGERA KWA WAZAZI.

  • @saturinimushi4746
    @saturinimushi4746 Рік тому +1

    Song.
    Iende Mbele Injili hiyo......
    Iyende Mbele...
    Ndiyo Mana tunawambia Iende Mbele....(x4 )
    Yaokoa Injili hiyo....
    Yaokooa....

  • @MargarethKisse
    @MargarethKisse Рік тому

    Monica uko vizuri be blessed

  • @damarisnjerunjeru399
    @damarisnjerunjeru399 Рік тому +5

    Amazing family

  • @ej4409
    @ej4409 Рік тому +3

    Mungu, akutie nguvu usonge mbele zaidi, coz watoto wengi wa wachungaji huwa hawajaokoka na hawapendi kabisa neno. Kwahiyo kitendo cha huyu binti kupata ujasili wa kufafanua na kufundisha vizuri ni neema ya Mungu. Hata kama atakuwa na mapungufu machache ,lakini hakuna aliye mkamilifu, huu ni mwanzo, tuendelee kuwaombea ili Mungu awatienguvu ,wasonge mbele.

    • @imanikambindu6830
      @imanikambindu6830 Рік тому

      Acheni umbea na kukariri mambo, kakwambia nani kwamba watoto wa wachungaji huwa wanakuwa hawajaokoka , we ndio unatazama mioyo ya watu, na mbona huelezi watoto wa waalimu , wakulima, na wengine , hao Je huwa wanakuwa wameokoka ? Don't generalise mambo

    • @ej4409
      @ej4409 Рік тому +2

      Achakukurupuka kuongea bila kuelewa nilichomaanisha.Kwani mi mi nimewataja wakulima na walimu hapa? Unatakiwa utoe comenti zako kulingana na ulivyomuelewa aliyehubiri, siyo kudakia tu mzee! Au usije ukafikiri kila mmoja anapenda malumbano yasiyo na maana, Alwayz tafakari kabla ya kutoa maneno, kuwa makini sana

    • @wemakingdaily1462
      @wemakingdaily1462 Рік тому +2

      Ni kweli watoto wengi wa wachungaji wanakuaga hawajaokoka na watukutu balaa sijui shetani ndo anakuwaga kazini, mf Linah Sanga baba yake mchungaji lakini mwangalie

  • @stelayunami7779
    @stelayunami7779 Рік тому +18

    Amejitahidi sana kufafanua! Kwa kweli maji hufuata mkondo kuhusu mwonekano! Kuna watu wanavaa mavazi ya kujisitiri ila matendo yao ni machafu kupitiliza siwezi kumwukumu! Tumwachie Mungu aonae ya sirini ahukumu mwenyewe!!!

    • @agneskapwani3484
      @agneskapwani3484 Рік тому

      Umesema vema

    • @LordGodskitchen6470
      @LordGodskitchen6470 Рік тому +1

      Mungu akikuonyehsa tatizo ataka wewe iwe sehemu ya mabadiliko, kumwachia Mungu ni kiburi

    • @official_mtiamoyo
      @official_mtiamoyo Рік тому +1

      Kubali kubadilika hata wewe unajua sio sawa

    • @lovesallu5292
      @lovesallu5292 Рік тому +4

      @@LordGodskitchen6470 😃🤣😂 nimechekaa atiii kiburi kabisaaa..hii gauni Haina utukufu😃hata nywele😄

    • @chezariboy
      @chezariboy Рік тому +1

      Huwezi kuchunguza nguvu ya neno tuu bila kuchunguza appearance ya mhubiri,, huyu hana tofaudi na muonekano wa watu wanaodanga kama makahaba walivo, huwezi sema fuateni maneno msiangalie mavazi ,,iyo ni kuhubiliwa na wapuuzi wanaokalili neno ila mioyo yao ni vipofu.

  • @elizabethkambi5221
    @elizabethkambi5221 Рік тому

    Natunza Imani yangu na muujiza wangu upo

  • @Dr.ForexTz
    @Dr.ForexTz Рік тому +4

    Mungu tusaidie

  • @jacobletema3681
    @jacobletema3681 Рік тому +9

    Binti, mafundisho yako mazuri na mazito sana, nakushauri usichekecheke, unapunguza uzito wa mafundisho, somo zuri sana!

  • @mariamthomas5554
    @mariamthomas5554 10 місяців тому

    Mungu akulinde sana una kipaji na kalama za mungu mungu anaangalia matendo haangali nguo acheni kumnuku vipaya mtoto wa wawatu Amina pambana mungu yuko na wewe

  • @unclegmihale455
    @unclegmihale455 Рік тому +3

    Safi sna ❤

  • @hidayaswai3119
    @hidayaswai3119 Рік тому +2

    Barikiwa kwa kuwa biological daughter of prophet. It's blessings

  • @rutagengwasteven7879
    @rutagengwasteven7879 Рік тому +6

    Amen amen

  • @HagaiKisaka-et1uk
    @HagaiKisaka-et1uk Рік тому +2

    I do appreciate you Frankly speaking, you inspired me

  • @stellatemu2458
    @stellatemu2458 Рік тому

    Amina binti wa Yesu
    Ubarikiwe

  • @nawechi4818
    @nawechi4818 Рік тому

    Amen Amen Amen dada nimekuelewa sana somo zuri sana

  • @nikodemmwahangila3334
    @nikodemmwahangila3334 Рік тому +4

    Mungu alinde uzao awainue awalinde ni fraha sana sisi watumishi kuona mtoto wako anasimama madhabahuni analisema neno la Mungu ni fraha sana Mungu awainue hawa watoto wa huyu baba awainue sana awatukuze sana nawaombea

  • @monicabeneditomatipani9109
    @monicabeneditomatipani9109 Рік тому +1

    Hakika leo nimejua Kuna Siri kubwa Sana ya kimungu kwa watu tunaoitwa Monica my sos umenitia moyo Sana nakupenda wajina wangu na hakika sitakata tamaa tena.

  • @santinosabugo2114
    @santinosabugo2114 Рік тому

    Mrs nabii nimeelewa mahubili yako zidi kumpendeza mungu

  • @Maryam-kl6gj
    @Maryam-kl6gj Рік тому +6

    Dah umenifariji sana moyowangu kutokana namapito yngu😢. MUNGU AKULINDE

  • @lilianmungure8374
    @lilianmungure8374 Рік тому +2

    Good girl, be blessed in JESUS name MONICA

  • @Koddooppah
    @Koddooppah Рік тому +2

    R.i.p nisher 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @anascholasticandagiwe6977
    @anascholasticandagiwe6977 Рік тому +1

    Mungu pekee akakuinue monica ukafanye zaidi binti yangu

    • @mbezionlinetv3399
      @mbezionlinetv3399 Рік тому

      Amina Somo zuri sana lenye kutia moyo hakika mtu hutakiwi kukata tamaa cha msingi ni kupambania ndoto zako huku ukimtanguliza Mungu yeye muweza wa mazito na mepesi ipo siku atatenda kwa njia usiyoitaraji zidi kubarikiwa

  • @herinestor3080
    @herinestor3080 Рік тому

    U are smart my sister 😊

  • @DAMIANPNIIMA
    @DAMIANPNIIMA Рік тому

    Monica love you so much god bless you

  • @georgemuro245
    @georgemuro245 4 місяці тому

    Great

  • @godisgood223annon
    @godisgood223annon Рік тому +1

    Ubarikiwe dada monica ❤

  • @constanciapeter2497
    @constanciapeter2497 Рік тому +4

    U made it lady..keep it up 🥳

  • @alexchaula4088
    @alexchaula4088 Рік тому

    Nakubali maneno

  • @florencemsigala6549
    @florencemsigala6549 3 місяці тому

    Mnaacha kusikiliza ujumbe mnamchambua binti wa watu kiufupi nimejifunza vitu vingi sana na nimebarikiwa na nitashinda

  • @saramartine7330
    @saramartine7330 Рік тому +4

    Siskiii Bwana Yesu asifiwe,

  • @enelissadickson7618
    @enelissadickson7618 Рік тому

    Mungu akubariki sana mtoto❤

  • @ngayaimkwe5175
    @ngayaimkwe5175 Рік тому +1

    Umeva vibaya sana kwenda za kwendeya disco

  • @GrantMwakalambile
    @GrantMwakalambile 2 місяці тому

    Powerful

  • @gosbertmuta5421
    @gosbertmuta5421 Рік тому

    Dah inauma sana baba na mwana wote vipofu......

  • @CatherineSummary
    @CatherineSummary 10 місяців тому

    ❤❤sana

  • @glaury9938
    @glaury9938 Рік тому +3

    Mungu wangu huyu ni faya nyingine nakuomba baba nabii asaidiwe ili kukua Saidi damu ya yesu umfunike kwa damu yako

  • @SaraChachatv
    @SaraChachatv 3 місяці тому

    Nakupenda monic jitambue hivyohivyo wazazi wamezaa ila Mungu akuongozeee mama

  • @josephinenkuubi4485
    @josephinenkuubi4485 Рік тому +2

    Asante Monica

  • @JenifaJohn-d7t
    @JenifaJohn-d7t Рік тому

    Shallom shallom niko marekani lakini ni Mtanzania Naomba number ya Nabii ninashida naye ombi

  • @essaueldad
    @essaueldad Рік тому

    Katika vitu watumishi wengi hawafanyi nikuwaambukiza watoto wao kuhusu kumtumikia Mungu au kuwaelekeza kwa Mungu hii nimeifrahia wakumbushen watoto wenu kuhusu utumishi hongera saana saaana Jo dev kuwakumbusha watoto nakuwalea vizuri mtoto anapoongea hapo inaonekana kabisa amelelewa ongera saaana nawatumishi tujifunze apa

  • @SuzyKasozy-ke1pu
    @SuzyKasozy-ke1pu Рік тому

    Monica unao utashi na ndani yako unamoyo wa jiungu Sana. Kama hicho unachoongea ndicho. Mungu akulinde

  • @zomasamweli
    @zomasamweli Рік тому +4

    Asante🙏 Monica maneno yako nimafunzo kwa watu

  • @EdwinNgande
    @EdwinNgande Рік тому

    Asomaye neno la Mungu anajua asili ya nywele hizo, zitokako ndio mana mumeona baba kazigusa bila kujali kuwa ni binti yake.

  • @imansmwatete4953
    @imansmwatete4953 7 місяців тому

    Good job Monica.

  • @kileopajoseph2158
    @kileopajoseph2158 Рік тому +10

    Angalia nafsi yako wewe usiangalie ya mwenzako! Huyu amejitahidi sana kwa mara ya kwanza tu ameweza hivi! Huyu ni kipaji mavazi nywele wala havina shida kabisa sikuliza ujumbe tu.

  • @SaidiJuma-b4k
    @SaidiJuma-b4k Рік тому

    Dah kwakweli mwanamke anatoa neno akiwa amevaa nguo ya kwendea bar kichwani ameshevu kiduku tunasema inalilah wainaliahi rajiuni huu ni msiba mkubaa

  • @namicktz_official
    @namicktz_official Рік тому +3

    She talked to me direct this lady,abarikiwe.

  • @ShedrackJoseph-j4b
    @ShedrackJoseph-j4b Рік тому

    Barikiwa Kwa ulichopanda Rohoni,

  • @rosekilawe786
    @rosekilawe786 Рік тому

    Shetani anafunga watu ufahamu na anakundi kubwa ila Mungu ana wachache waliomkubali waitwao ni wengi wateuliwao ni wachache .