HALIMA ALIYESINGIZIWA NA BOSS WAKE KUWA AMEIBA MILION 5 UKWELI WAFICHUKA PART-1

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 22 сер 2024

КОМЕНТАРІ • 186

  • @user-qu2ky6mi6v
    @user-qu2ky6mi6v 5 місяців тому +6

    Huyo ndo kiboko Dunia nzima hayupo wa kufanana na wewe mungu akupe maisha 10000000000

  • @user-ly6qh2ip9e
    @user-ly6qh2ip9e 6 місяців тому +3

    Nabii mungu akuweke utukomboe na xixi bado hsujatuona japo unajitahidi. Kusikilliz vipindi vysko Amiin mtetexi wa wanyonge

  • @user-nl4jx2zw6e
    @user-nl4jx2zw6e 6 місяців тому +5

    Bwanayesu asifiwe mtumishi yani Mimi napenda unavyo wahambiya watu ukweli

  • @edgercyprian964
    @edgercyprian964 3 місяці тому +5

    We dada kua na moyo wahuruma msamehe mwenzio wewe Unamkosea mangapi Mungu naanakusamehe ukweli huyo dada hajachukua hiyo pesa mumeo ndio aliyo chukua unatakiwa umlipe fidia ya kumzalilisha Hadi mie imeniuma .

  • @MichaelAkyoo-o6c
    @MichaelAkyoo-o6c 26 днів тому

    Mtumishi bwana yesu asifiwe Mimi Kwa majina yangu ninaitwa maiko kutoka Arusha nimekubali sana unabiii wako endelea kuwakomesha wachawi

  • @MsafiriMrisho
    @MsafiriMrisho 3 місяці тому +2

    NABII NISAIDIE NAITWA MSAFIRI MRISHO KIPONZA.UCHUMI WANGU UMEANGUKA NINA UMWA NINA MALAZI MENGI TU NA FAMILIA NI MATATIZO MKE WATOTO HAKUNA MAENDELEO.

  • @user-qi4ut1zr6d
    @user-qi4ut1zr6d 3 місяці тому +1

    Baba ubarikiwe sana kiukweri nko safari congo kirasiku uwanabarikiwa sana naposikiriza maubiriyako nakufatiria sana baba nataman sikunifike kwako baba

  • @user-mt9qg2br8p
    @user-mt9qg2br8p 7 місяців тому +1

    Pole dada usiriye wanawake tunadangayika na wanaume akikwambiya Sina mke unakuwa upo pekeyako

  • @mariakibwana3700
    @mariakibwana3700 7 місяців тому +1

    Kwa hili tutapona kwa roho ya usingiziaji,Mungu anisamehe.Wanadamu wengi tutaingia motoni kwa kuhisi na kusingizia.

  • @tamashasembuli115
    @tamashasembuli115 25 днів тому

    Mwenyezi Mungu akusimamie kiboko wetu,

  • @SmilingFreshwaterLake-tg5qp
    @SmilingFreshwaterLake-tg5qp 7 місяців тому +2

    Mungu ni mutetezi Wawa nyonge pole halima 😭😭😭

  • @user-le4gi5bk1z
    @user-le4gi5bk1z Місяць тому

    Asante mungu kwakua unawasumbua waovu na kutuweka Hulu wanyonge

  • @tahnsorg3855
    @tahnsorg3855 7 місяців тому +1

    Nabii Wewe ni kiboko kweli. Mungu akutunze akulinde utusaidieee

  • @ElizabethJoseph-oj9lj
    @ElizabethJoseph-oj9lj 3 місяці тому +1

    Adinimecheza Mimi nikiwa nimekaaa jmn daaaaa achan na mungu

  • @Ma4leMamiro
    @Ma4leMamiro 4 місяці тому +1

    Baba naomba nisaidie uchumi wangu umekuwa mgumu baba

  • @JohnkhalfanGody
    @JohnkhalfanGody 2 місяці тому

    Mungu akulinde sana mtumishi wa mungu Kwa kazi unayoifanya

  • @williummtenga5386
    @williummtenga5386 7 місяців тому +1

    Amina baba mungu akuinue

  • @rachaelmkacharomwaisabu293
    @rachaelmkacharomwaisabu293 3 місяці тому

    Ilove how u prophesy, ineed that favour and annoiting

  • @angelsaid7869
    @angelsaid7869 7 місяців тому +1

    Ila mi mchungaji nakupenda sana yaani nikiangalia vipindi vyako mpka najikopesha bando

  • @user-md6gx4ox4l
    @user-md6gx4ox4l 4 місяці тому +1

    Baba naomba unisaidie niombee nijue tatiso langu nina hali mbaya ya maisha nisaidie

  • @user-sj8ov9tf6z
    @user-sj8ov9tf6z 5 місяців тому +1

    Amina Mungu ni mwema

  • @fatumakimaro3186
    @fatumakimaro3186 6 місяців тому +1

    Daaah aiseeeh mungu yumwema

  • @AnestaNziguje
    @AnestaNziguje 2 місяці тому

    Bwanayesu asifiwe mtumishi ninaitwa anesta jakobo mutumishi ninateseka na mafuwa kwamuda murefu sana namuomba mungu anitendee nipone

  • @Nage-vl7uo
    @Nage-vl7uo 7 місяців тому +1

    Nabii Mungu alibariki sana unasaidia wanyonge

  • @sabinaboas6760
    @sabinaboas6760 22 дні тому

    Apigwe kwa jina la Yeeeeeeeeeesu

  • @democritenzoisaba9117
    @democritenzoisaba9117 Місяць тому

    its wandering congratulation nabii Dominic

  • @GiftNassoro
    @GiftNassoro 6 місяців тому

    baba naomba uniombee niweze kuongezewa mshahala ,mama yang aweze kufanikiwa katika miashala yak na Dada yang na yeye aweze kuongezew mshahara🙏

  • @SalmaYusuph-jb1sx
    @SalmaYusuph-jb1sx 2 місяці тому

    Bwana yesu asifiwe baba nabii nakufatilia sana naomba nisaidie niongezewe mshahala npo Oman nafanya Kaz

  • @kelvindaudi1063
    @kelvindaudi1063 7 місяців тому +1

    Mungu ni mwema sanaaaaa❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @BoniphanceMakini
    @BoniphanceMakini 4 місяці тому

    Baba naomba uniombee maisha yangu yaweze kiunuka mtumishi kiuchumi

  • @user-gq9pz3fh2q
    @user-gq9pz3fh2q 7 місяців тому

    Asanteeee mtumishi nakupenda

  • @anithamgina3365
    @anithamgina3365 23 дні тому

    Nabii naitwa Stella naomba uniombee mwanangu amexhumbiwa na mahari imetolewa mara ghafla upande wa mwanaume wakavunja uchumba na wkiwa wamesha mzalisha naomba unisaidie

  • @user-gy8hu4fe3p
    @user-gy8hu4fe3p 3 місяці тому +1

    Isha waikunikuta mbaka nikaenda segelea😭

  • @user-yh1gi6sh7f
    @user-yh1gi6sh7f 2 місяці тому

    Amen 🙏 pray for me

  • @user-qo7ub6ix5k
    @user-qo7ub6ix5k 7 місяців тому +1

    nabii nitabalie maisha yangu

  • @user-jf3tv1gv9b
    @user-jf3tv1gv9b 7 місяців тому +1

    Mungu anaweza

  • @smartboy-fk4yd
    @smartboy-fk4yd 4 місяці тому

    Mungu akupe maisha ya milele baba

  • @BaruaniJeanpierre-fn9hk
    @BaruaniJeanpierre-fn9hk 3 місяці тому

    Ubarikiwe sana mtumishi wa mungu

  • @yukundapeter8200
    @yukundapeter8200 7 місяців тому +2

    Lichomwe moto,halina tofauti na mchawi,kweli dada wa wa2 ameteseka hivyo?Aibu kubwa sn,tena likaja kujidai kwa Mchungaji kumcndikixa mke.Lipigwee.

  • @PhestoChidobi
    @PhestoChidobi Місяць тому

    Naomba mwanangu apone, hata sasa amesafir kuja dar ili kupata huduma ya maombi. Ana miaka mi tano na amesafir na mama Ake.

  • @AgathaChales
    @AgathaChales 26 днів тому

    Baba uishi miaka mingi baba tunaomewa Sana na wachawi

  • @NakuYona-kn6us
    @NakuYona-kn6us 3 місяці тому +1

    Baba umenichekesha hela imeenda kwa ujenzi wa ashura jamani hwa wanaumw watuhurumie

  • @sabinaboas6760
    @sabinaboas6760 22 дні тому

    We love you Daddy

  • @martinbarabara4370
    @martinbarabara4370 3 місяці тому +1

    NABII NAOMBA UPONYAJI KWA. MKE WANGU MARIAM

  • @emamariomuineque9445
    @emamariomuineque9445 Місяць тому

    Kwa apa baba nimekukubali sana,

  • @StanleyChibwete
    @StanleyChibwete Місяць тому

    Nakuomba umusaidia mke wangu haoni ndani ya miaka 3 nakuomba sana na bii uni saaidia juu muke wangu haoonikabisa

  • @salomesamweli8162
    @salomesamweli8162 7 місяців тому

    Baba amina ubarikiwe sana

  • @TasinimuAlly-pm3vg
    @TasinimuAlly-pm3vg 7 місяців тому +1

    Kilanga komo Hahahaa jamani namuonea adi uluma jamani 😂😂😂😂😂sema baba sema

  • @user-fb1xx5pz4o
    @user-fb1xx5pz4o 3 місяці тому

    I just like how you do your prophecy nabii kiboko kweli mtetezi wa wanyonge

  • @user-sp4cm1hq8i
    @user-sp4cm1hq8i 7 місяців тому +1

    Glory be to God

  • @bonabonala5559
    @bonabonala5559 5 місяців тому +2

    kiboko ya wachawi ni kiboko pia kuimba pia anajua kuimba

  • @MsafiriMrisho
    @MsafiriMrisho 3 місяці тому

    Baba inua uchumi wangu na niondolee maradhi mwilini mwangu na mwanangu swaumu masikio yafunguke

  • @MercyFabian-ye5bw
    @MercyFabian-ye5bw 4 місяці тому

    Nakuombea kwa Mungu azidi kukuzidisha Baba mara dufu

  • @eliupendouronu1810
    @eliupendouronu1810 3 місяці тому

    Barikiwa sana napenda tuu ukwel hufichi ili taifa ipone

  • @user-gy8hu4fe3p
    @user-gy8hu4fe3p 3 місяці тому +1

    Kiboko yawachawi🙏

  • @TumaiValentine
    @TumaiValentine 3 місяці тому

    Waa samese kwakuwa hawajuwi walitendao maka ata yesu alevokuwa akiteshwa alisema eeeee baba wasamehe kwakuwa hawajuwi watendalooo kwahyoo naa ww kiboko yawachawi wasamehe bule ww nimjumbe kutoka kwa mungu

  • @RizikiMbuki-xd3rr
    @RizikiMbuki-xd3rr 2 місяці тому

    Umasikiwetu unatuponza hata ukisema ukweri ausikirizw mungu yupo pamoja nawe

  • @user-kq9lb7bd8l
    @user-kq9lb7bd8l 5 місяців тому

    baba nawomba umwombee mwana afailu Yuko sekondari nawomba uniambiye nani anayeniaribiye maisha yangu Mimi supat kukay

  • @user-bt2it1vw3t
    @user-bt2it1vw3t 4 місяці тому

    Daaaaah na mimi naadamwa na mambo yakuzingiziwa mpaka sipati usingizi nisaidie babaa

  • @EMMNA187
    @EMMNA187 7 місяців тому

    Ohh my Lord,unaweza Mambo yote❤

    • @ChristianBeda-pj7jr
      @ChristianBeda-pj7jr 7 місяців тому

      Naitw , ... .Christian baba sipti kaz na nkipt hela haikai

  • @user-le3pl4xw6f
    @user-le3pl4xw6f 5 місяців тому +1

    Wewe ni mfano wamungu SEMA ukweli baba mngu akusaidie

  • @omamomanhelena9433
    @omamomanhelena9433 7 місяців тому +1

    Mungu ni mwaminifu kwetu yata pita

    • @user-qt3vo2go7d
      @user-qt3vo2go7d 6 місяців тому

      Sema ukweli nabii nikweli a kaiba au wanamuongopea wew ndo wajua kila kitu😊

  • @DmMh-kl4bz
    @DmMh-kl4bz 3 місяці тому

    Nabii naomba uponyaji naitwa Daudi Alfred sina uwezo wa kufika kanisa maana uchumi wangu nia afifu sana naomba msaada wako nabii

  • @RehemaSaidi-dj8bg
    @RehemaSaidi-dj8bg 2 місяці тому

    Nabii tuonelee na familia zet roh za umaut zitutooke kwenye familiaa zet

  • @shukurusimba9866
    @shukurusimba9866 2 місяці тому

    Mtumishi nasi tunakesi hiyo hiyo tumeambuwa tumeimba hela bank za trucine

  • @AgnesJohn-cx2hy
    @AgnesJohn-cx2hy Місяць тому

    Nabii niokowe Mimi Agness Niko manyara nakusikiliza wew mtumishi

  • @user-vp6qj2ht8m
    @user-vp6qj2ht8m 7 місяців тому

    Amina Baba naomba unisaidie

  • @emilianaemanuel7796
    @emilianaemanuel7796 3 місяці тому

    Amina Baba

  • @MankaJoseph
    @MankaJoseph 4 місяці тому

    Amina nabii unatisha

  • @jasmineomary4325
    @jasmineomary4325 5 місяців тому

    Uyu nabiii ni wakweli mimi namwamini sana ipo siku na mimi atanitabiria na nitapata uponyaji

  • @ummynyevu1027
    @ummynyevu1027 7 місяців тому

    Pastor help me in prayers my step daughter is Ina coma for 5 days now

  • @user-sp4cm1hq8i
    @user-sp4cm1hq8i 7 місяців тому

    Utukufu kwa Mungu juu naamani Duniani kwa watu wenye mapenzi mema! Hallelujah

  • @user-bt2it1vw3t
    @user-bt2it1vw3t 4 місяці тому

    Nimekupenda bule papaaaaa

  • @MichaelMwambene
    @MichaelMwambene 2 місяці тому

    Baba watu tiuna shida sana endelea kutusaidia

  • @KhamisKinobad
    @KhamisKinobad 2 місяці тому

    Naitwa johana joakimu makaba ninafaninyingi lakini kazi sip at I Manisa naomba unisaidie

  • @jacklolenjackson5511
    @jacklolenjackson5511 4 місяці тому

    Watu wangu wanaangamia kwa kuyakosa maalifa,yani nilichogundua hata waumini wenyewe ni wambea kama nn,hivi hapa kuna mahubiri gani ya neno la Mungu,nyakati za mwisho ndo hizi kabisa

  • @jenifercynthiakazimoto5392
    @jenifercynthiakazimoto5392 4 місяці тому

    Kanisa Lina burudani hiliiii hadi rahaaa big up nabii

  • @tatumaganga-zx1qo
    @tatumaganga-zx1qo 3 місяці тому

    Nimekoswa nauli mchungaji ningekuja huko unaweza kwamungu hashindwi kitu

  • @SofiaWasofia
    @SofiaWasofia 7 місяців тому

    Amiini

  • @fatmaahmed8637
    @fatmaahmed8637 5 місяців тому

    DADA UMENCHUKUKIA MWANAMKE HUYO.BORA UWE NAE KAMA DADA YAKO AKULIWAZE..UMEMSINGIZIA KWA KUAMINI MUME ANAEKULA😂😂

  • @CathelinYeremiah
    @CathelinYeremiah 2 місяці тому

    Naomba unisaidie mwanangu apone nakuomba mwanang hatembei hakai mimi siolewi kila ane niowa nikizaa ananiacha naitwa catherine jeremia nipo migoli ya iringa

  • @hildamahanga5767
    @hildamahanga5767 3 місяці тому

    Mtumishi naomba unisadie unifunguekiafya kiroho kiuchumi baba pesa haikai

  • @noellaniyokwizera379
    @noellaniyokwizera379 3 місяці тому

    Mugu akupe Manisha marefu

  • @user-gm4qi3nn9n
    @user-gm4qi3nn9n 4 місяці тому

    😂😂😂duh najuta kurudi Tanzania na nisifike hapo wah

  • @hildarajab2891
    @hildarajab2891 3 місяці тому

    Ivi miwani nyeusi ndoinakamilisha ubaunsa😂

  • @jasmineomary4325
    @jasmineomary4325 5 місяців тому

    Mtumishi we ishi TU Mimi sikati tamaa kutoka Zanzibar kuja huko ibadani Kila mwezi namimi ipo siku nitafunguliwa tarehe6 j4 ijayo nakuja Mimi Lucy sikati tamaa nampambania ndowa yangu

  • @user-zj6qi6xz8d
    @user-zj6qi6xz8d 7 місяців тому

    Nina mgonjwa wangu ni mpenz wangu alipata ajal yupo ICU Benjamin mkapa hospital hajapata fahamu ni wiki sasa nitabirie baba

  • @IrfanMwinyi
    @IrfanMwinyi 2 місяці тому

    Unajua kuokoa watu baba ubarikiwe

  • @user-kq9lb7bd8l
    @user-kq9lb7bd8l 5 місяців тому

    baba muadhibu uyo mwana ume

  • @ElizabethJoseph-oj9lj
    @ElizabethJoseph-oj9lj 3 місяці тому

    Ii nimeipenda

  • @RizikiSangawe
    @RizikiSangawe Місяць тому

    Mchungaji niombee kamisheni yangu ipande

  • @magrethmagessa2445
    @magrethmagessa2445 6 місяців тому

    Amen

  • @user-np2cd3xj4d
    @user-np2cd3xj4d 7 місяців тому

    Amina Tinah

  • @user-gf4dj8uv3f
    @user-gf4dj8uv3f 7 місяців тому

    Mungu ni mukuu

  • @juliennenzeyimana3274
    @juliennenzeyimana3274 7 місяців тому +1

    Na mme wako ataweza kukuibiya pesa dada?ivyo biwumbe abiyaminike

  • @iddahravity9369
    @iddahravity9369 Місяць тому

    Nabii nitabirie nami

  • @teddyteddyjoseph
    @teddyteddyjoseph 7 місяців тому

    Amina

  • @AISHAATHUMANI-no3xg
    @AISHAATHUMANI-no3xg 3 місяці тому

    Nabii kiboko yawachawi kwa majina naitwa asha samilu naishi bangulo naomba unisaidie mume wangu aache pombe naawe naupendo na familia yake

  • @user-zc9rs1jv1j
    @user-zc9rs1jv1j 7 місяців тому

    Ubalikiwe baba naitaji maombi

  • @user-xy2pc1jv9j
    @user-xy2pc1jv9j 7 місяців тому

    Naomba nifungue biashara ya saloon na mama yang apone vvu na biashara zake zifunguliwe