NYIMBO PENDWA ZA KWARESMA 2024. Mtunzi Aloyce Goden KIPANGULA Chang'ombe Catholic Singers Dsm Tz
Вставка
- Опубліковано 4 жов 2024
- Nyimbo Hizi Zote zimetungwa na Mimi Aloyce Goden Kipangula na Kuimbwa na Wanakwaya wakatoliki Parokia ya Chang'ombe Jimbo Kuu Katoliki Dar es salaam ( CHANGOMBE CATHOLIC SINGERS). Ni wajibu wa kila Mbatizwa kuhubiri Injili kwa kadiri ya Karama aliyopewa na Mwenyezi Mungu. Nasi tumekuletea Nyimbo Hizi zenye Tafakari ya kina ili zikufae wewe na Yeyote ambaye utapenda kumshirikisha ili kwa Pamoja kupitia Nyimbo Hizi za Kwaresma Tuweze KUWAPELEKA WATU KWA KRISTO NA PIA KUMLETA KRISTO KWA WATU ( KUTAKATIFUZA MALIMWENGU). NI Nyimbo za Kwaresma lakini pia zinafaa Kuimbwa wakati wowote kwani Katika tungo hizo Hakuna Sehemu hata Moja ambayo nimezungumzia neno Kwaresma Bali nimezungumzia kuhusu umuhimu wa kutubu, kuacha Dhambi, kumgeukia Kristo, kumtegemea Kristo huku Tukiiga mfano wa Mtakatifu Agustino Hippo, Kurudi na kuacha njia ya Dhambi na kufuata njia ya Uzima.
Nimefiwa na mwanafunzi wangu mwenzenu,naombeni faraja zenu😭😭Nipo hapa nalia mwenzenu hasa kila ninapousikiliza wimbo wa kwanza,"lakini hata sasa,nirudieni mimi"😭😭😭😭😭
Mimi ni muislam by the way
Pole Sana kwa Kufiwa Mwenyezi Mungu akupe Faraja katika kipindi ambacho ni Kigumu
@@AloyceKipangula Ameen!🙏
@@shyfettymtunda4619 may the merciful lord comfort you
Hizi nyimbo ni nzuri sana, zinanigusa mimi sio mkatoliki lakini ninazipenda na zinagusa maisha yangu sana, Ubarikiwe sana kwa kutunga nyimbo hizi! Mungu azidi kukubariki ili uguse maisha ya watu wengi... AMEN
Asante Sana Mpendwa Katika Kristo Endelea kutufuatilia, na kwa Neema ya Mungu tutaendelea kukuletea Nyimbo Nyingine
Mbarikiwe kwa nyimbo nzuri.
Asant San ubarick saw
P
@@AloyceKipangula sweet songs Mie sabato ila nazfulahia saan nabalikiwa n navutw zaid especially wakat wa unyonge na nkihc ulemevuu wa dhambi
Mungu atusamehe makosa yetu na kuzibariki familia zetu
Napendaa sana🙏🏿naomba mnisaidie nataka kudownload niandike vip hili kupata zotee
Nasikiya kujazwa na huu nyimbo nimekosa unihurumiye bila huruma ya Mungu hakuna maisha kwa mwanadamu tupo sote binafsi mimi ni mwenye zambi Bwana anihurumie
Mimi sio mkatoleki lakini zanibariki sana
Che bella!!!
Wimbo mzuri sana yesu krito alihulumie na anisamehe zambi Angu amina
Asante sana mimi ni ni muislamu lakini napenda s⛪ana hizo nyimbo na napenda ukristo
ASANTE NDUGU AMINA SHARIFF TUMEUFURAHIA UJUMBE WAKO. NA SISI SOTE NI WATOTO WA BABA MMOJA HIVYO NAKUKARIBISHA ENDELEA KUTUFUATILIA KUPITIA CHANELL YETU YENYE JINA ALOYCE GOLDEN KIPANGULA- ILI KUPATA NYIMBO ZOTE CHA CHANG'OMBE CATHOLIC SINGERS.
Karibu jmn
Karibu sana kanisan kwetu la katoliki.
HONGERA NA ASANTE KWA NYIMBO NZURI ZA TAFAKARI YA KINA HASA KATIKA KIPINDI HIKI KIZURI CHA KWARESMA. IKAWE KWETU YA MAFANIKIO MAKUBWA KIROHO NA KIMWILI PIA
Nakukubari sana kaka kazi zako nzuri
ikiwa jumatano ya majivu,tunaanza msimu was Kwaeresma ,hivo basi nyimbo zako zinatukumbusha kumrudia Mungu wetu kwa kutubu na kuacha nia zetu mbaya ,Nabarikiwa sana nikiwa huku Kenya
Amina
Amena
Amen
s❤❤
@@AloyceKipangulalm.
t
Jaman mi ni muislam lkn naguswa sana na nyimbo za baraka sana
Ur welcome dear
Amen welcome dear
Amina
Mungu wetu ni mmoja... kuna kaswida pia nishawahi kuzisikia nikazipenda
Waislamu na wakatoliki tuko sambamba
Asante mwenyezi mungu kunifanyizia nafasi wakati wa shida mwanangu ulmponya waziimu sina chakukulipa Bali nitaendelea kukutukuza
1k😊😊
Mungu akubariki kwa kutumia vema karama ya uimbaji katika uinjilishaji. Hakika nabarikiwa na nyimbo hizi
My favourite lent songs collection of all time 🙏🏾🙏🏾😘👏🏾👏🏾
🙏
Nimekooosaa nimekoosaaa nimekoosa baba nimekosa nihurumieee😭🤲🤦🙏
Nihurumie Nimekosa BABA..Nihurumie..Mie ni dhehebu tofaut na Romani Catholic ila Nimeguswa na nyimbo..hizi.kilala kher kwa kwaresma hii...MUNGU Awaongoze
God bless
Nimerudi hapa kuskiza tena nyimbo nzuri za kwaresma.....hongera bwana Aloyce kwà kazi nzuri,,,Mungu atuongoze kwa kipindi kinachotusubiri hivi karibuni
Catholic from Christ The King Opanga Catholic Church of Rongo Parish,Homa Bay Diocese in Kenya.
The Kwaresma album and Nyimbo za Mama Maria albums are so spiritual to listen to.
Blessed be the composers and singers,in a special way you are preaching to generations.
May Rais Magufuli's soul continue Resting in Eternal Peace.It is during his state burial functions that I came to know about the Kwaresma Songs by Changombe Choir.Every moment I listen ,the funeral memory flows in my mind 😭.
May he rip as he sing and dances with angels till we meet again.
"Ee Bwana Unifaadhili Mimi.." was the hit that drew me to look for the song kwa UA-cam
Lccft
Keep it up
Baraka tele nyimbo tamu sana full of glory be blessed choir
Ee Bwana Unifadhili is my best song too in this album❤
I love this compilation of Chang'ombe choir. I will check out thd Homabay one also. Be blessed for feeling our hearts with such soothing songs. Listening from SA
Amina,Mungu aendelee kuturehemu👏
Napenda kusikiliza hizinyimbo wakatoli 🙏
Touching songs, mungu tuhurumie na utusamehe makosa yetu..
Amina. Asante Sarah endelea kutuombea Ili Roho Mtakatifu ezidi kutupatia mapaji yake tuendelee kutunga nyimbo kwa sifa na utukufu wake
Ubarikiwe sana Mtumishi wa Mungu kwa nyimbo zenye ujumbe tukufu
🙏
Mungu atujalie neema zake kipindi hiki cha kwaresma tunapotubu na kumrudia
Amina. Asante Richard
Naguswa sana nikizisikia hizinyimbo.mungu aniurumie
I come from Christ the king Cathedral Bungoma, Bungoma diocese (western Kenya).All the best bro
Barikiwa sana mtumishi kwa kazi nzur.
Asante Sana
And again here is Lent. Tumshukuru Mungu!
Hongera mtunzi na waimbaji nyimbo nzuri
Mungu aishiye milele atuhurumie na atusamehe dhambi zetu sisi wakosefu na atujaze roho wake mtakatifu katika kipindi hiki cha kwaresma
Am a catholic by faith.The Lenten songs are so inspiring.More please.God bless.
Pamoja sana ktk.kipindi hili cha kwalezima tumrudie na tufanye toba ya kweli
🙏🏼🙏🏼🙏🏼hakika nyimbo zimenigusa zaidi
Mimi kila wakati haipiti siku kama sijasikiliza hizi nyimbo na kurudia mara kadhaa... Mungu Ambariki kwaya hiyi. Sauti zimepangwa vilivyo
Ee Mwenyezi Mungu, uwe nasi katika nyakati zote.
Hongera mtunzi na waimbaji nyimbo nzuri 1:35 2:09
Jamani nakumbuka tz kwaresma nyimbo zina sisimua sana
Ee Bwana unfanifhili mimi 💖 💓 ❤️ 💕 ♥️
Nakuomba ndugu kipangula nipelekee ushsuli wangu kwa jimbo kuu la dar es salaam naomba kama lile kanisa jipya. Litalochua nafasi ya st Joseph liiwe na sehemu itakayo wekwa picha za wale wote waliotunga tuzi bora yaani tokea ukatoliki upoingia tanzania 🇹🇿 ili vizazi vyetu vitambue michango ya wazee wao mungu hawabariki watuzi maana injili inasambaa kweli kweli amen 🙏
😂😂😂
Wakati nilipo pitia magumu na ninapopitia magumu mdao wote nyimbo hii hua inanifariji.
asante kwa kuitunga
Huu wimbo wa kwanza unaniguza sana.nakummbuka msiba wa baba yangu
Nimerudia bwana mungu na moyo wangu yote ,nilikua nimepotea nikala na ngururue lakini nikakumbuka nyumba ya Baba yangu nalala naye ,nimerudi nyumbani mwa Baba yangu ,EEE bwana yesu nipoke Mimi mwano
We really need to walk with God and lead us in the way to heaven and live happily life in paradise. Dear lord we have done many sins now its our turn to pay you for good cause you have been with us all the time you don't care if we does wrong I love you God help me out of this sin and Forgive us all Help the world
Nawatakia kwaresma njemà
Mungu utuhurumie sisi pamoja na familia zetu
blessed again with this songs🙏on ash wednesday on 2024
🙏
Mpendwa Tuti Salim, Mungu akuimarishe katika ufuatiliaji wa nyimbo uzionazo ni za Baraka kwako
Nyimbo nzur mno za kwalesma zinafundisha vizuri mno
Nyimbo na sauti nzuri sana mbarikiwe
Nabarikiwa Sana na nyimbo hizi
Mungu awabariki kwa kutenga muda wenu na kumuimbia Mungu hakika tunaobarikiwa ni wengi kupitia nyimbo zenu na kutumbusha mambo muhimu ya kumtafuta "Mungu"
Aloyce hongera sana kwa kazi nzuri
Mungu akubariki sana kwa kazi yako njema na kizazi chako Mungu akibariki kazi umeifanya
Asante Sana Wilhelmina Cheyo tuzidi kuombeana Ili kupitia nyimbo hizi Watu wamwone Kristo Mkombozi wetu
amin
AMINA
Thanks for uploading 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Amen
@@AloyceKipangula Amen 🙏
Mkuu uko vizuri sana,
Hongera Kaka kwa kuhubiri injili ya kupitia uiimbaji, tunafarijika na nyimbo zako hasa katika kipindi hiki cha kwaresma, Asante
Asante Dada Endelea kutufuatilia kupitia hii youtube channel Yetu Ili uinjilike Zaidi
Mungu ni mwema kwetu
Good song ❤
Mungu akubariki kwakutumia Karama vema aliyokupa mungu
Napenda sana hz nyimbo
Asante sana
napenda nyimbo za injili sana za imani zote ili mradi zina utukufu wa MUNGU.
Nabarikiwa Sana inagusa Moyo Wangu be blessed all ❤
Huu wimbo naupenda sana hakuna mwanadamu ambaye anaweza jitoa kufa kwaajili yetu ila Yesu tu .
Mimi sio mkatoriki lakini nimebarikiwa sana na hizi nyimbo Ee bwana unifadhili mimi🙏
Asante Sana Ndugu Mpendwa Brianna kendrick Naomba Endelea kutufuatilia Ili kupata Zaidi nyingine
Amina hongera na Mungu akubariki saana
Kaka Aloyce,wimbo wa nne unanikumbusha kuwa mlango wa uruma ya MUNGU huu wazi,Kwa Nini siukaribii,,,,
Tumshukuru Mungu kwa Yote
Nyimbo ina hisia sana hii,Mungu azidi kuwabariki waimbaji
Nazipenda hizi nyimbo mimi mlokole mpentecoste.nyimbo hizi nzuri zimeimbwa kwa utulivu na ni neno la MUNGU.Mbarikiwe sana kazi nzuri Changombe katolic
❤Mungu tusamehe watoto wako
And today marks beginning of another Kwaresma, May God help us
Napenda sana nyimbo hz pia nabarikiwa sana
Tumsifu yesu kristu kila wakati
God my Father indeed I have sinned,,,,,, have mercy on me
Ubarikiwe sana ndugu, nyimbo tamu sana hizi
Amina. Asante Sana Ndugu
Congratulations!! 🙏🙏And thanks a lot for boosting our love in God through this song prayer🙏🙏👏
M balikiwe wote mnao sikiliza hizi nyimbo nzuri
Amina. Tunaomba uwatumie na wengine Ili wasikilize
Tufunge na kusali kwa roho na kweli bwana atapokea sala zetu huku tukitafakari nyimbo za kwaresma
Asante Aristides kwa Ujumbe.
Mungu akubaliki sana, ninapokua ktk wakt mugumu, nyimbo zako hunifariji sana, ubalikiwe Mr Aloyce
MUNGU ATUBARIKI SOTE
I,thank God 4 everything
Nyimbo nzuri sana za Kwaresma, today is also ash Wednesday
Asante Sana
Katika hii album wimbo Ee bwana unifadhili huwa nanyenyekea mno nikiusikiliza yaani daah nimeutafuta kwa muda sana kumbe ni kazi ya Chang'ombe Catholic Singers ubarikiwa sana Aloyce Golden..
Asante Ndugu Ramadhan sirro. Uzidi kutuombea Ili tuendelee kuinjilisha Pamoja
MWENYEZI MUNGU AKUBARIKI SANA
I like your Lenten songs, very inspiring.
🙏
Ee mwenyezi Mungu nisaidie nitubu hima
Zinanipa faraja sana, ila namukumbuka sana Mama yangu kipenzi😭😭😭🙏🏼
🙏
Ee Mungu uniwie radhi Mimi mwenye dhambi
Mungu tunakushukuru kwa kwaresma hii. Tembea nasi katika safari hii ya toba. Tunaomba utusemehe makosa yote tuliyokukusea tukijua na bila kujua. Upendo wako uwe nasi milele Amina❤❤❤
Karibu sana ukristu
Nyimbo nzuri sana i love the songs ho🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏✅
Listening to this songs so touching in Riyadh be blessed Mr aloyce
Mungu tusamehe ,maana cc ni wadhambi. Baba utuhurumue
Eeeee mwenyenz mungu tuandalie sisi na makosa yetu sisi wenyewe tumeshindwa kuona na kutambua tunaomba utupe macho ya roho
👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾🙏🏾
😭😭😭😭.tutubu na tumrudie Mungu.i just feel relaxed when ever I hear this songs
Kiukweli ukiutafakari ukuu wa Mungu ndani yake lazima utoe 😭😭😭😭😭😭
Ubarikiwe sana kwa nyimbo nzuri zenye ubora kama huu
Mimi ni Muislam Bibi na Babu kwa pande zote, baba yangu mzazi ni ostadh haswaa Ila hizi nyimbo zinanifariji Sana nazipenda kwa asie muelew ANAWEZA jua nimebadili Ila zinaniingia Sana moyon mwangu nazipenda sana naimani hata wakristo baadhi ya Qwasida zetu wanazipenda...MUNGU NI WETU SOTE NA NI 1
Asante Sana Sharifa salum tuendelee endelea Kusikiliza hizo nyimbo Kwani anatukupenda sana na kupitia nyimbo hizi anaongea nasi kwa Namna mbalimbali Hasa kupitia nyimbo hizi. Endelea Kufuatilia Acaunt yangu UA-cam kwa jina la Aloyce Kipangula Ili upate nyimbo zote nilizoweka Mtandaoni 🙏
Ubarikiwa sana 🙏🙏
Mungu wangu nirehemu mimi mtenda dhambi
Nimekosa❤😢
Mungu aturehemu sisi na dunia nzima
Mungu awainue zaidi na zaidi
Amina
Ziafundisha sana
Mungu awabaliki nyote mnaona sikikiza hizi nyimboo
🙏
Mungu awabariki kwa ujumbe mzuri mliotupatia kupitia huu wimbo unanitia nguvu sana
👉