Mimi shekhe Othman Michael huwa ananifanya niipende uislam nampenda kwasababu ni mnyenyekevu sana huyu kaka mungu akutunze akupe umri mrefu kwa unyenyekevu aliokupa mungu
MASHALLAH : Ndiyo maana mimi maishani mwangu mimi najivunia kuwa muislamu,, MASHEKHE WETU : ALLAH AWAPE UMRI MREFU WENYE MANUFAA HAPA DUNIANI NA KESHO AKHERA,, na kila atakaeitikia amin
Asalam alaykum, shukran sana masheikh wetu kwa kutuonesha dawa za kiasili lkn hamkutuambia jina la mti huo mliouchuna! Tafadhali ningependa mtuambie jina la huo mti. Asanteni.
mashaallah ni kweli Jamani tuisome quran na tuifanyie kazi yani kunasehem ukisoma hata kama ulipon kuna wachawi wengi vihi hawahuwez kwa idhini yake Allah kupitia quran
Sheikhuna, assalaam aleiqum, w,llahi wabaraqaatuh, shuqran wallah kwa tiba nzuri kabisa na nazidi kufwatilia ila nna swali kidogo, je huu mbaazi wenye wamaanisha nihuu wenye sisi wakenya twaufahamu au nigani labda kiuhalisia, afwan.
Shehe mimi ni mkenya naumba duwa biashara yangu sipati wateja,,,mambo yangu yote yamekwama.mtoto wangu pia akaa msisha ya kung'ang"ana hadi hawezi nisaidia .naomba dua kwa heshima zote milango yangu ifunguke.
Asalamu alekum sheikh athuman sheikh jaifar nikepenada sana kumualeza sheikh athaman sheikh mm nimejaribi sana kuwasiliyana na ww hatanikafukasafari kujahuko lakini nalupofika Dar salam mawasiliyano mm na ww ikabadilika sauti ikawa si ww na nalio abiwa nifane yalinishaza sana so vip kukupata
Aslm alykum warahamtulah wabaraktuh masheikh wetu ...naomba mtufungue macho huo mti mkuu jina lengine ...unaitwaje,,,tumeskia mkunazi Masha Allah iko tele kwetu Kenya ila huo mti mkuu kwa jina lengine mutuambie tafadhalini ili tukomeshe wachawi apa kitaa Cha kwangu balaa atari wako tele....
Bismillah maishaallah Asanteni kwa elimu masheikh zanguu,lakini Kuna kitu kinaniumiza kichwa kuhusu kuoga maziwa sio Haram?kwa akili yangu Naona kama chakula naharibu,😢nitoweni huu wasiwasi inshallah
Tunaomba mtupe jina lengine kuhusu huo mti mkuu masheikh wetu wachawi washenzi Sana ili tuwachepe vibao usiku na wao..... Allah anatulinda twashkuru 🙏......... Allah awalipe kheri fii dunia Wal akhera 🤲
Hayo mambo ni ya kishirikina na nimpango wa shetani siyo mpango wa Mungu,mtafuteni Mungu wa kweli uchawi au mapepo hayatakupata.jina la Yesu linatosha maana yeye ndiyo kila kitu.
Jina la mti huo kwa kiswahili unaitwaje nasi tulo mbali tujisaidie tafadhali sheikh wangu naomba utujimbu tujue maana nasi pia tuna madhila sheikh please.
Mmmm hii siyo ni uchawi tu Kama uchawi mwingine Ukweli ni kwamba jina la Yesu ni top katika ushirikina asilimia kubwa uwo Ukweli amtaki kuusikia ila ndivyo ilivyo
Hawa anatesema sana na nyinyi mwajua fumbuo la maradhi yake na nimuuislamu kama nyinyi 4yrs kila siku maumivu tuu hana raha kabisa tunachanga anabasuliwa kila siku lakin hakuna matumaini mbona musiende mujamsaidia na kama mwataka pesa tuko tayari kuchanga tuwalipe basi lakin muokoeni
Mimi shekhe Othman Michael huwa ananifanya niipende uislam nampenda kwasababu ni mnyenyekevu sana huyu kaka mungu akutunze akupe umri mrefu kwa unyenyekevu aliokupa mungu
MASHALLAH : Ndiyo maana mimi maishani mwangu mimi najivunia kuwa muislamu,, MASHEKHE WETU : ALLAH AWAPE UMRI MREFU WENYE MANUFAA HAPA DUNIANI NA KESHO AKHERA,, na kila atakaeitikia amin
Hii video hata wachawi wanaangalia kwaiy wanachukua tahadhar
Amin
allah awaongoze inshaallah muendeleee kutupa elmuu inshaallah
Asalam alaykum, shukran sana masheikh wetu kwa kutuonesha dawa za kiasili lkn hamkutuambia jina la mti huo mliouchuna! Tafadhali ningependa mtuambie jina la huo mti. Asanteni.
Allah amrehemu Huyo mzee ampe Nuru njema ktk Kaburi lake
.
Nawe na ustadh awape nyingi heri
Mashallah nimeipenda sana hii Allah awape umri mrefu mashekhe wetu amin.
mashaallah ni kweli Jamani tuisome quran na tuifanyie kazi yani kunasehem ukisoma hata kama ulipon kuna wachawi wengi vihi hawahuwez kwa idhini yake Allah kupitia quran
Mashaallah tabarakallah Allah akuhifadhi Sheikh Osman
Jazakumullahu kheyr. Allah akulipeni kheri mufanye tiba kwa ajili ya Allah. Aaamin
Maashaallah maashaallah shekh athman
Aslam aleyku sheykh othman mungu akuhifadhi inshaa allah❤
Aa shukran jazakallah kheir nahitaji sanaa tu kufanyiwa dawa sijui lini muniambie sheikh Othman na sheikh jaffar
Shukran ma sheikh Allah awazidishiye kila lakheri
Shegh othman Allah bless you ❤ukiongea huna papara mardhia mashaallah nakupenda bure kaka
Mashallah tabaraka llah 🥰🌹❤️❤️❤️
Mashaallah Mwenyzi awahifadhi mpaka pumzi zenu za mwisho inshaallah
Aamin
Amin
Sheikhuna, assalaam aleiqum, w,llahi wabaraqaatuh, shuqran wallah kwa tiba nzuri kabisa na nazidi kufwatilia ila nna swali kidogo, je huu mbaazi wenye wamaanisha nihuu wenye sisi wakenya twaufahamu au nigani labda kiuhalisia, afwan.
Asante Sana Allah akulipeni Duniani na akhera inshallah
Allah mubariq shehe wang
Mashaallah ❤️ ❤️ ❤️ ❤️ ❤️ ❤️ ❤️
Asalam.aleykum shukrann sn SHEIKH othmann ila nashid naww nakupataj
Maashallah tabaraqallah
Shekhe nakupnd san ndugu yangu kwajili ya allah jalla jallalli allah akupe uzima na umri mrefu inshaalalh
Masha Allah, sheikh mm nahitaji unitumie huo mti Kenya, ama nije tz kuonana nawe na kuuchukua
Amen watumishi wa MUNGU ❤
Allah akuhifadhi vipenxi va Allah
Mashallah tabarakallah
Shukraan sana mashekhe zetu Allah awajaalie pepo❤❤❤
Aamin na ss
Maa sha Allah
Shukran 🙏🙏
Masha allah
Mansha Allah
mashaallah,allah,awalipe,ningepeda,dawa,yenu
Mimi natamani nikuone mwanangu lakini mie ni mgonjwa sijui nitafanya nini
Mashaallah
Shehe nakuelewa Sana katika tiba kuliko dr sule wallah,,,na Alhamdulillah haina majigambo
Assalamualaikum warahmatulah wabarakatuh shekhe naomba utuonyeshe na majani yake pia😢😢😢😢😢😢😢😢
Kweli kwa sababu hatujui huo mti vzr
Asalam aleyku sheykh mungu akulinde
Shehe mimi ni mkenya naumba duwa biashara yangu sipati wateja,,,mambo yangu yote yamekwama.mtoto wangu pia akaa msisha ya kung'ang"ana hadi hawezi nisaidia .naomba dua kwa heshima zote milango yangu ifunguke.
MashaAllah Allah awazidishie Kila la kheir
Assalamu Alykum warahmatulah waabarakatuh n mbaaz gani huu
Asalam aleykum Allah awahifazi nakila shari nauliza kidogo jee huo mti dukani unapatikana na km upo unaitwaje
Asalamu alekum sheikh athuman sheikh jaifar nikepenada sana kumualeza sheikh athaman sheikh mm nimejaribi sana kuwasiliyana na ww hatanikafukasafari kujahuko lakini nalupofika Dar salam mawasiliyano mm na ww ikabadilika sauti ikawa si ww na nalio abiwa nifane yalinishaza sana so vip kukupata
Marshall
Allah akuongoze
Allah qareem
Aslm alykum warahamtulah wabaraktuh masheikh wetu ...naomba mtufungue macho huo mti mkuu jina lengine ...unaitwaje,,,tumeskia mkunazi Masha Allah iko tele kwetu Kenya ila huo mti mkuu kwa jina lengine mutuambie tafadhalini ili tukomeshe wachawi apa kitaa Cha kwangu balaa atari wako tele....
Mbaazi
@@SalimSalim-ec9jo Shukran sheikh salim
@@SalimSalim-ec9jo mbaazi unaozaa mbaazi ama
Assalam alaykum Allah awalipe heri
Nihatariii poleeeeniii saaaanaaaa saaanaaa
❤
Bismillah maishaallah Asanteni kwa elimu masheikh zanguu,lakini Kuna kitu kinaniumiza kichwa kuhusu kuoga maziwa sio Haram?kwa akili yangu Naona kama chakula naharibu,😢nitoweni huu wasiwasi inshallah
Mungu awajalieni kwakutufahamisha mungu atupe maisha malefu
Ninaamini sheh wachawi wabayasana
❤❤❤❤❤❤❤
Asalmkum shekh hapo kuoga na maziwa ya faa
Masha'allah jazaka'allah kheyr,Allah awaongezeni umri
Kweli kila maradhi yana dawa naamini sana hilo hata ukimwi unadawa zake za kiasili
Jina lamuti sheikh
Asalam aleikum mawaidha mazuri❤❤❤❤❤😂😂🎉🎉🎉🎉
Asalam Aleikum sheikh naomb jina la huo mti naomb sana
Tumeona mambo ya dawa Masha Allah
Situnambiwa tiba hyo ni ushirikina vp leo watupo elmu hyo niweke wazi sheikh kipenzi wetu mwalimu wetu
Tunaomba mtupe jina lengine kuhusu huo mti mkuu masheikh wetu wachawi washenzi Sana ili tuwachepe vibao usiku na wao..... Allah anatulinda twashkuru 🙏......... Allah awalipe kheri fii dunia Wal akhera 🤲
Kwel tunateseka n mti hatujaujua
Jina lake ni mkuyu
Mkuyu hapana bana
Jamani mm najua miti paka basii yani nimewafwatilia Sana wataalamu ni mchanganya madawa mpaka yani mm Leo waganga na piganao tu story
Amiin waallay daaaa wanaboa
Assalam caleikum sheikh tuletee huu mti Kenya iA
Asalam Aleikum sheikh Allah barik
English please
Usthad mm niko na mwanangu yuko na shida ya kuongeaakiongea leo ywaeza chukuwa siku tano ndipo aongee je naezafanyaje naomba unisaidiye
Kwa mihangahiko ya dawaaaaa
Ukwl mtupu
Sheikh tueleze matumizi ya mbaazi kufukuzia majini au wachawi.
Tunaomba number za simu
Asalam aleikum unaweza kuchemsha mizizi ya mbaazi ukanywa ikasaidia kuponesha tumbo la chango
Shekhe. Unga wakutowa jini mahab nko Mombasa ni pesa ngapi tafadhali
Hayo mambo ni ya kishirikina na nimpango wa shetani siyo mpango wa Mungu,mtafuteni Mungu wa kweli uchawi au mapepo hayatakupata.jina la Yesu linatosha maana yeye ndiyo kila kitu.
Akili yenu sijui mnapeleka wapi
Imenibd nicheke😂😂😂
yenye kheri na baraka ?
Jina la mti huo kwa kiswahili unaitwaje nasi tulo mbali tujisaidie tafadhali sheikh wangu naomba utujimbu tujue maana nasi pia tuna madhila sheikh please.
Mmmm hii siyo ni uchawi tu Kama uchawi mwingine Ukweli ni kwamba jina la Yesu ni top katika ushirikina asilimia kubwa uwo Ukweli amtaki kuusikia ila ndivyo ilivyo
Ukweli gani?.
Na huuu ukweli wa kua issa n prophet si mungu kwa mana mungu hakuzaa wala hakuzaliwa kwanini usiuamini
shekhe Othuman nkufuatilia sana ,naomba namba zako nauguliwa na mzaz wangu Baba,ili umsaidie
Namba yake ni hio insyoonekana katika screen
Namba zake si hizo hapo kwenye video?
Au wataka namba gani?
@@mswakisaid2320 hizo namba Hadi matapeli wanatumia video hizi za watu wa mungu kutapeli watu
Mtu mkuu n mvujee ama
Asalam alaykum warahmatullah shekhe jafar mm Nina matatizo lkn sio sahiihi kuongea ktk public media nahitaji no yako au ya shekh maiko
Shekhe naweza nikapata namba yako
Sasa huu kwtu Kenya tuaupata VIP na hatujui
Mti mkuu hauna jina lengine
Hawa anatesema sana na nyinyi mwajua fumbuo la maradhi yake na nimuuislamu kama nyinyi 4yrs kila siku maumivu tuu hana raha kabisa tunachanga anabasuliwa kila siku lakin hakuna matumaini mbona musiende mujamsaidia na kama mwataka pesa tuko tayari kuchanga tuwalipe basi lakin muokoeni
Anasumbuliwa na nini huyo hawa?
Mie nipo Songea naomba namba ya simu niweze kuwasaidia nawe
Mnadaganya nyinyi io ni mti ya mbaazi mmeshika ama doo kumbwa sana
Mwanga jini ni, kivumbasi.
Muinga jini
Nawezaje kupata kuwasiliana nanyi nahitaji msaada wa dawa hiyo
Mbona hamtaji jina la mti
huo mti ntaupata vp.
👍🏽🙏💪👏
Nahisi mti mkuu ni mbaazi
Asalam Alaekum. Shekhe setu.
Naomba jina jingine la huu mti mkuu....Sasa sijajua nimkunazi au vp
Huo mkunazi ndio unaitwa mti mkuuu
Mbona mti wenyewe hamuuonyeshi
Haaa
Nimekuelewa NaombA namba yako shekh
Kwa mtizamo wangu huu sio mbaazi
kweli kbs nmebaki naukagua
Ata sielewi pia mm ama ni mbaazi gani 🤔🤔
Huo mti unaitwa na unapatikana wap na wap samahan naomben majibu
Shekhe Namba ya simu nahitaji
+255784122858
Nataka namba za uyu sheeh nimpe ushuda wa swala ya mtume napata wapi namba zake
Sheikh Othman Michael +255784122858
Mti mkuu kwa kisiwani zanzibar unaitwaje ?
@ziko lyra mbaaz hiz hiz mbon selew
Sasa huo mti mkuu mlouzungumzia hapo ni m,baazi?
Au ni mtihuo mloufata huko porini hamjaeka wazi hapo