Tunaomba Tafadhali kwa ajili ya ALLAH Shekh Othman akija Msa atupunguzie Malipo maana makubwa sana ndio pia dawa zina kua Taufik wengene hatuna pesa Fanyeni dawa kwa wepesi wa pesa INSHAALLAH
mimi nimefurahi mawaidha yanavyotolewa hakika ni somo nzuri sana, ila hofu yangu ni mahilizi na dini ya kislamu kwani yanaashiria ushirikina sasa hapo ndio siajaelewa labda elimu yangu ndogo
Maashallah baharin kupaa angani skuli yote nimeota kuingiliwa miala iloipita sasa afazar ila majenga mwaka wa5 numba imesimama nikikata pesa za kezeka bat sijui zinakwenda wapi inakuka kila sabab matumiz zinpungua siezeki ni lweki shehe inayoyasema mtihani mkubwa yarab🤲
asalam aleykum shekhe mm hayo yte ulosema yana nikuta sana shekhe ndoa mbil zimevunjika bila sababu wala mahusiano haya dumu shekhe napitia wakat mgumu sna shekhe
@@jeaninevumilia5917 Inamaanisha unaamini huu upuuzi ? Tunajaribu kuwasaidia nyinnyi mnao danganywa. I'm not here to argue with people. Una uhuru wa kuamini na kutoamini. Sina haja ya utoto wa kushindana na watu !
Mm ninae uwa ananisumbua sana maana mm hunijia pale ninapo anza ku lala huja nika pigana nae japo kua hunimaliza nguvu na kama kuna mtu ako karibu yangu basi atanisikia nikipiga kelele sijui nifanyeje ili aniondokee maana sazengine huninia na sauti yani aongea ila simuelewi kisha ananiingia anaanza kunisumbua ila uwa simruhusu maana uwa napigana nae hadi inanibidi nipige makelele ili wenye wame lala karibu yangu waniamshe ndo pale anapo niachilia aki nimechoka na hili li jini
Mimi mwenyewe nkitaka kulala kale kausingizi inanijia yaan nakua naskia kila kitu ila mwil unakua hauna nguvu ata kujigeuza swez na saut haitoki imenitesa muda mrefuuu mnoo
Itia jina la YESU KRISTO WA NAZARETH ALIE HAI KWA NGUVU AU ITA DAMU YA YESU KRISTO WA NAZARETH ALIE HAI, MAANA HUYO YESU KRISTO NDO KIBOKO YA WACHAWI WAGANGA WASHIRIKINA NA TAKATAKA ZOTE ANAZOZUNGUMZIA HUYU NA HATA HUYU MGANGA YESU KRISTO NI WEMBE
Halafu HUYU anawadanganya UFALME WA giza hauwezi ukafitini UFALME WAKE maana hawa WAGANGA NA HAYO majina WOTE WAKO KATIKA falme moja AMBAO NI UFALME WA SHETANI, kwahyo msihangaike kutafuta vibaraka WA shetani AMBAO NI waganga hapana tafta watumishi wa MUNGU (YESU KRISTO WA NAZARETH ALIE HAI) watumishi wake YESU KRISTO NDO wanaoweza kuwaweka huru kwenye hzo nguvu za giza lkn sio waganga maana wanatumia nguvu za giza lkn sio inayotoka juu MBINGUNI tafta watumishi kama akina kuhani Musa, SUGUYE, MWAMPOSA, prophet david Richard , hawa ndio wanaoweza kuyatatua shda kama hzo maana NGUVU wanayoitimia inatoka juu MBINGUNI
Mimi nilikuwa naota hivo nikiwa najaamiana basi nikatoa sacrifice namba Saba ,,ya kukata hizo ndoto za kujamiana..tangu nitoe hazijawai nirudia hata kidogo
HAPO SASA UNATAKA KUWAGEUZA ILI UWATAPELI WATU WEWE NDIO MWALIMU WA MATAPELI UNATAKIWA UCHUNGUZWE UNATUMIA DINI KITAPELI WATU HAPO JAMANI TUWE MAKINI NA HUYU SHEKH MSHIRIKINA,,🤣🤣🤣🤣,
Find JESUS CHRIST IS THE SOLUTION OF YOUR PROBLEMS, BECAUSE WAGANGA ARE NOT AGENTS OF HEAVEN THEIR AGENT OF THE DEVIL, FIND THE SERVANTS OF THE LORD JESUS CHRIST
jamani Mimi nimeota ni merudi sehemu ambayo nilikuwa nafanya kazi zamani na apo nilishafukuzwa sasa nimerudi na wafanya kazi wezangu wananishangaa nimerudije naomba nijibu plz shekhe
You know what,kama kitu hakijawahi kukutokea utaona chochote kile unachoambiwa ni uongo tu Lakini nikwambie watu wanapitia mtihani huku nje ,kama uko sawa sema Alhamdulilah Allah akulinde na kukuepusha na mabaya. Kwa wale wana shida wacha waskie Insha'Allah kwa auezo wa Allah watapata shifa na kufanyiwa wepesi katika kila jambo Lao. Mungu akulinde na kukuepusha na maadui,mashetani na kila jambo mbaya likitaka kukutokea Allah akutangulie mbele Aameen.
Bahati mbaya na wewe ni mganga umekuja tu na kuwaponda waganga lakini na wewe ni mganga kuni neno uganga ni utibabu kwani hata wale wahospitali wanaitwa waganga Sasa waponde wenzako lakini Bado itabaki wewe ni mganga no comment
SUBHANAALLAH YAARABB TUKINGE NA MAJINI 🤲🤲😰😰😰
Tunaomba Tafadhali kwa ajili ya ALLAH Shekh Othman akija Msa atupunguzie Malipo maana makubwa sana ndio pia dawa zina kua Taufik wengene hatuna pesa Fanyeni dawa kwa wepesi wa pesa INSHAALLAH
Nisadie Niko na shida ndoto mbaya sana,Niko na kisirani mbaya
Dah yan shekhee umeongea lugha zote kuhutaj uwo mti,.lkn kw kiswahil ndo umefeli 😁😁😁😁,make ungeutaj uwez ukapgiwaa sim 😁😁😁 shekhee ww noma sanaaa
Assalaamaleikum vipi sheikh ati ni mtigani anaouzungumzia hapo naona nikiwa search Google yanakuja mengi!!!
Mhh yaani shehe ww unaongea kweli sisi wenye jini mahaba tunapata shida sana na hatuna bahati kabisa
Masha Allah Mimi nataka
Ahsante Sanaa Sheikh kwa Somo nzuri
ALLAH hu Ahad ALLAH hu swamad
Asante sana kwa mafunzo mungu akubariki🙏🙏🙏
Shekh mm Niko na hizo shida nakupataje wallah nimechoka kabisa Mambo hayaidi kila nifanyalo nakuomba sana nidaudie sijui nifanyaje mm
Una swali kila Siku??? Simamisha Swala mambo yako Yatanyoka!
Huo mti wa mkuta ndio mti gani wanao jua watusaidie
Asante Sana kwa funzo🙏
Maashaallah
Shukran laka kwa elmu
Yarabi inamanisha mm ninayo mm naota nikipaa subunallah
Uchawi
Wallah nimejikuta nacheka
Kabisaa
Mm maisha siotiii kabisaa haya jini asieota aitwa nani .nalala fofo .wtt n mume wangu kutwa Kuni beza kwa usingizi mwingi.
Maneno mengiiiiiiiii!!
mimi nimefurahi mawaidha yanavyotolewa hakika ni somo nzuri sana, ila hofu yangu ni mahilizi na dini ya kislamu kwani yanaashiria ushirikina sasa hapo ndio siajaelewa labda elimu yangu ndogo
Nami hzo ndoto ndio zangu kbsa wallah
Maajabu ya dunia,kurushia wengine ouoga, nikama wao watakaa hii dunia melele😢😢
Sheikh kambe waniongelea mm😢😢
Duu atr Allah atupishe naivo vitu
Sawa ila mbon umevaa mielizi n miguo hiyo y kienyeji
Je ukiwa unasafir mara kwa mara safari za kawaida inakua jje sheikh
Inachekesha weweshehe wangu
Waleykumusalamu warahmatullah wabarakatuh, 😁mwamba, we jafari ninacheka unafikiri mazuri usituchekeshe na hali ni musiba
Kweli kabisaa
Maashallah baharin kupaa angani skuli yote nimeota kuingiliwa miala iloipita sasa afazar ila majenga mwaka wa5 numba imesimama nikikata pesa za kezeka bat sijui zinakwenda wapi inakuka kila sabab matumiz zinpungua siezeki ni lweki shehe inayoyasema mtihani mkubwa yarab🤲
Kweli wanakoxea
Kweli wanakosea
Munipe.namba.niwapigiye.sim
Ni dhambi kuwa wawili watu wa jinsia tofauti
Ndio nizambi mnafanyanini uko vichocholoni.kwenye faraga?
asalam aleykum shekhe mm hayo yte ulosema yana nikuta sana shekhe ndoa mbil zimevunjika bila sababu wala mahusiano haya dumu shekhe napitia wakat mgumu sna shekhe
Tuonyeshe mti huo naomba tafadhali
Jamani mkowapi
Nimependa sana mafunzo yako
Mm mara Moja moja ndio naota hiyo y kupaa mara Moja Moja je ninaye, naomba unijibu
Unandoto kubwa katika maisha yako Fanya Ibada unanuru ndani yako!!!
@@muba6699 wallah kama vile unajua bro shukran
Taja tena.huo mti.
Shekhe mm ndoto hzo naota sn nitasaidikaje niko mbali
Mimi Kuota na kuhaudiwa pesa lakini siku ikifika anitumi anageuka
Hali hii inanikumba napambana sema sasa hivi alhamdullillah sipai na kuota niko baharini miaka zaidi ya 35 alhamdullillah vimepungua
Uwongo mtupu.
Mnao tizama hii you tube chungeni.
Wewe piya waitazama
@@jeaninevumilia5917
Inamaanisha unaamini huu upuuzi ?
Tunajaribu kuwasaidia nyinnyi mnao danganywa.
I'm not here to argue with people.
Una uhuru wa kuamini na kutoamini.
Sina haja ya utoto wa kushindana na watu !
Kiswahili unaitwaje
😂 Ninayo kivuli hikyo ya Nuksi
Hapo kwa bibi harusi na po nimejifunza sana nilikuwa sijui watu husema nn
Tuandikie Jina zahizo mti
Iyonikweli wa Ganga niwaongo 😂😂
Hello Mimi nashita Kama izo unaweza nisaidia namnagani? Pesa nabata kwa mwezi elfu hamsini lakini uwa sizioni kapsa Sina kitu
Aisee balaa
Miminimete sekasana apaduniyani.
Mimi niko kenya mti jana ya kenya
Unashindwa kuzungumzia tiba unatoa stor
Pole
Anime Google kama alivyo sema nimepata al ausaj na al khaizaran imekuja miti miwili tofauti 😮
+254 Kenya mti wa kuondoa nuts audawa inapatkanna wait?
Huyu shiek alikata kunifanyia Dua shiek Michael
Kweli basi na mmi mkenya ata ni zaidia kweli
Kwahy uy mgang au shekh nasikia shekh wang😅😅
Mm ninae uwa ananisumbua sana maana mm hunijia pale ninapo anza ku lala huja nika pigana nae japo kua hunimaliza nguvu na kama kuna mtu ako karibu yangu basi atanisikia nikipiga kelele sijui nifanyeje ili aniondokee maana sazengine huninia na sauti yani aongea ila simuelewi kisha ananiingia anaanza kunisumbua ila uwa simruhusu maana uwa napigana nae hadi inanibidi nipige makelele ili wenye wame lala karibu yangu waniamshe ndo pale anapo niachilia aki nimechoka na hili li jini
Mimi mwenyewe nkitaka kulala kale kausingizi inanijia yaan nakua naskia kila kitu ila mwil unakua hauna nguvu ata kujigeuza swez na saut haitoki imenitesa muda mrefuuu mnoo
Itia jina la YESU KRISTO WA NAZARETH ALIE HAI KWA NGUVU AU ITA DAMU YA YESU KRISTO WA NAZARETH ALIE HAI, MAANA HUYO YESU KRISTO NDO KIBOKO YA WACHAWI WAGANGA WASHIRIKINA NA TAKATAKA ZOTE ANAZOZUNGUMZIA HUYU NA HATA HUYU MGANGA YESU KRISTO NI WEMBE
@@neemamboya-ss6pl MWITE AU ITA KWA JINA LA YESU KRISTO WA NAZARETHI ALIE HAI
Halafu HUYU anawadanganya UFALME WA giza hauwezi ukafitini UFALME WAKE maana hawa WAGANGA NA HAYO majina WOTE WAKO KATIKA falme moja AMBAO NI UFALME WA SHETANI, kwahyo msihangaike kutafuta vibaraka WA shetani AMBAO NI waganga hapana tafta watumishi wa MUNGU (YESU KRISTO WA NAZARETH ALIE HAI) watumishi wake YESU KRISTO NDO wanaoweza kuwaweka huru kwenye hzo nguvu za giza lkn sio waganga maana wanatumia nguvu za giza lkn sio inayotoka juu MBINGUNI tafta watumishi kama akina kuhani Musa, SUGUYE, MWAMPOSA, prophet david Richard , hawa ndio wanaoweza kuyatatua shda kama hzo maana NGUVU wanayoitimia inatoka juu MBINGUNI
Mimi nilikuwa naota hivo nikiwa najaamiana basi nikatoa sacrifice namba Saba ,,ya kukata hizo ndoto za kujamiana..tangu nitoe hazijawai nirudia hata kidogo
Elimu inaweza kuwa nzuri, ila uvaaji huu unatufundisha nini kama umma wa kiislamu?
😢😢😢utanisaidiaje mm maana Chenye unaongea kinanikuta kila wakati nafukuzwa kazi na nikipa mwanaume ananiacha bila sababu😢😢😢😢
Njoo upate dawa utoe nuksi 254712734325
Jambo jina ni sandrine Mimi nahitaji Numero yako ya wastapp
Kaka uyo mti unaitwaje kwenye kingereza ?
HAPO SASA UNATAKA KUWAGEUZA ILI UWATAPELI WATU WEWE NDIO MWALIMU WA MATAPELI UNATAKIWA UCHUNGUZWE UNATUMIA DINI KITAPELI WATU HAPO JAMANI TUWE MAKINI NA HUYU SHEKH MSHIRIKINA,,🤣🤣🤣🤣,
tusaidie tufanyeje ili watuondoke shkh tusaidie
Sikiliza maelezo ya sheikh kwa makini
kivipi
Shkh tusadie tiba hiyo see tulioko mikoani
Mmmmmh
Me napenda kuota nikiwa nafunukwa na maji 😢 mana yake nini..?
Unampenda kuota ivyo?
Sasa naweza kuzitoa vp
Yaan huyu sheikh ana comedy ndani yake😂😂😂utacheka tu
😂😂😂😂😂
@@manasa2449 kweli sngd comedian
@@zohoraramadan4540 yaani ukiangalia unaruadia rudia 😀😀😀
Na napenda kuota nikia nimepaa
Ilo vazi shekh vipi mbona kama mganga wakienyeji ??unatueka njia panda
Mkuta mbona iyo kiswahili inatuchanganya
Nami na apitia hayo, nakupataje unisaidiye
Mimi kila siku naota Niko na watoto
Hii inamaanisha ushaoleka kwa spirit huwezi pata watoto mradi ukombolewe
@@anitahshere8063 nipo nao 2
Sasa huyo muti tutaupataje
Namba za fundi huyo
Huo muilizi hapo ndo uonekane fundi au yani sikuizi mjini wezi wengi kwa kweli khaaaaa kujiganya unaongea kilafudhi ya kiislam kuchafua watu tuuu
Sheikh mti huo hauna jina Kwa kiswahili ili nasi tujue?
Naomba namba
Mimi Nina mwaka sita nishaasha shule lakini kila siku nakua naota nikiwa shule
Uyu mganga au shekhe mbona ana mielizi kama mijezi ya makolo
Huo ni uwongo.
Naweza je kukupata shehe huyo au kujua sehem gani naweza kufikia
Buguruni dar
Nahitaji msaada ktk hili kila ulichokiongea kinanihusu mimi
Mtu huyo sheikh mungutuonyesha majani yake tungeutafuta au kama inawezekana kukupata kupitia ww tusaidie namba zasim mm nipo Burundi sjui nitaupataje
Omg...yani i have had all those kind of dreams...and my hubby never stay at my home...we're strangers to each other...how can you help me!
Find JESUS CHRIST IS THE SOLUTION OF YOUR PROBLEMS, BECAUSE WAGANGA ARE NOT AGENTS OF HEAVEN THEIR AGENT OF THE DEVIL, FIND THE SERVANTS OF THE LORD JESUS CHRIST
Pole sana dadangu nitafute insha Allah
Mm naota napigana baadae naruka
Muue kabisa razika
Biashara hii na dini
Naomba kujua vile naweza toa nuksi, na nipate nyota yangu na pia kupendwa na mwanamke akuwe tu akinifikiria kila saa.
jamani Mimi nimeota ni merudi sehemu ambayo nilikuwa nafanya kazi zamani na apo nilishafukuzwa sasa nimerudi na wafanya kazi wezangu wananishangaa nimerudije naomba nijibu plz shekhe
Komboa nafsi yako
Daa pole aisee hem nitafute unieleze labda naeza kushauri insha Allah
Uwo mti unaitwaje shekhe
🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇲🇿🇲🇿🙏🙏
Niko na muzungu alikuwa ananisadia lakini sahii
Mimi mara nyingi uota na paaa sana msituni
Unakumbuka aliye nyuma yako
Uwa naona taaa inawaka sana lakini sioni mtu
Some time mmetuvalia juga kutundanganya, ndoto inaendana na mawazo yako
You know what,kama kitu hakijawahi kukutokea utaona chochote kile unachoambiwa ni uongo tu
Lakini nikwambie watu wanapitia mtihani huku nje ,kama uko sawa sema Alhamdulilah
Allah akulinde na kukuepusha na mabaya.
Kwa wale wana shida wacha waskie Insha'Allah kwa auezo wa Allah watapata shifa na kufanyiwa wepesi katika kila jambo Lao.
Mungu akulinde na kukuepusha na maadui,mashetani na kila jambo mbaya likitaka kukutokea Allah akutangulie mbele Aameen.
Life is spiritual,kama waelewa what spiritual is basi haifai kupingana
@@reenaismael4310 kweli asee
Na mawazo yako yanawezatawaliwa bado na shetani
Sio kweli ndoto huletwa na Mungu au shetani
Tunataka huwomti nimtigani
Samahanini huyu msemaji hapa tumfahamu vipi AMA yupo kundi gani?
😁😁😁😁Waganga
Bahati mbaya na wewe ni mganga umekuja tu na kuwaponda waganga lakini na wewe ni mganga kuni neno uganga ni utibabu kwani hata wale wahospitali wanaitwa waganga Sasa waponde wenzako lakini Bado itabaki wewe ni mganga no comment
Mimi nnaye nitakupataje dalili zote nnazo naokewakila naachika nitakupataje nasumbuka
Pole sana nitafute naeza kushauri insha Allah dadaa
Unaongea ukweli yaani wachawi kiukweli ni kipi wanachokipata
Uyu anaitwa nani
Ivi huyu mbona yupo nawatu wa bidaa asaiv au Bora tonge
Shrek Niko nazungu
Sari au swali Mungu anasikia
Na huyu nae pia anitwa shekhe??? Mnaomuamini nyote mnakufuru