Mungu hashindwi na chochote ,kinyonge ndicho chenye nguvu,fahari za dunia tutaziacha,bila kuiponya roho sio mwili Mana mbinguni Kuna vzr kuliko vya duniani,mwenye masikio na asikie,Mungu anaongea na watu kupitia watumishi wake wa kweli,Mungu azidi kukulinda na kuokoa nafsi za watoto wake watiifu nakukubali Sana Sana ,huto kufa kwa Muda wa wanadamu Bali kwa muda aupendao Alie kupa pumzi ya uhai.🤝🙏
Cassian jihadhari sana mdomo wako,unafanyia nini Yesu sasa,funga mdomo na ufanye kazi ile unaona ni sawa kwa Mungu acha kumsaidia Mungu,unatafuta pesa,na itakutesa.unachuja nini Mungu ni mpana sana Cassian fanya yako acha vita.
Mpaka machozi yamenitoka jinsi mtumishi wake anavyo pita katika ukweli wa biblia ili watu tuijue kweli! Wapendwa , tusipo yashika haya, amini tutadaiwa mbele za MUNGU , ubarikiwe sana mtumishi
Achakuhukumu watumishi wamungu kkangu mungu apendi kuzungumuziawatumishiwak kwanini munapenda ongea maisha ya wenzio sisitunaamini mungu wamwamposa kwasababu tunaona mukonowake nahatutachoka kwenda kawe
Cassian Mungu Akulinde. Nilifanya kazi na GD nikatofautiana naye kwa misingi ya kimungu. Tuendelee kumuombea. Adui amemsahaulisha jinsi safari yake ilivokuwa. Alianza vizuri tu. Mungu Amrehemu.
Keki ya upako..mafuta ya upako..hivyo vitu vyote nivya kishetani ,,,watu wametekwa ufahamu na nguvu za giza....uponyani wa Mungu unaweza pokea hata kwa kusoma Neno la Mungu sio mafuta wala keki ya upako..nguvu ya Mungu haipitii kwenye vyakula....waambie ukweli usipepesi macho..safi sana
Mtumikie Mungu na imani ni muhimu sana .jua kila mtu amepewa kipawa chake na imani inafanya matokeo unayoyaona kwa imani hata kivuli kinaponya . Wewe sio Mungu hubiri neno ulilojaliwa kulijua. Mungu anajua uongo na ukweli . Usihukumu au kukaa nafasi ya Mungu .
YESU,MUNGU ROHO MTAKATIFU WOTE PAMOJA NA MALAIKA WAKO HAPO WAMEKUZUNGUKA!VITA YETU SI YA DAMU NA NYAMA BALI YA ROHO NA MAJESHI YA mapepo wabaya!YESU NDIYE NA MWISHO TUNAUJUA,jehanamu ipo na MBINGUNI IPO. Mungu atuokoe!hapendi Kifo cha mwenye dhambi. Ubarikiwe sana mtumishi Paschal!
Mungu YESU Kama mnavyomwita atakaporudi watu hawatamuona kwa sababu wakimuona watakufa kwa sababu wanadhambi hapo ndio utajua hujui, na hao aliokutana nao mwanzo huyu Mungu Yesu mnayemwita aliishi nao vipi hawakuonana. Au mnamzungumzia wa Tongaleni.
Hongera Sanaa ukweli naungana na wew kusema geordavid sio nabii wa kwelii, kwanza anajisifiu Sanaa hadi anadiriki kusema Mungu wa jeodevid ndio amekuponya na sio yesu, kumbe hyu jamaa ana Mungu wake anayemjua yey mwenyewe
mbona mnasema Mungu wa Yakobo... elewa mantiki.. huwezi kula kwenu ukashukuru kwa jirani.. ata wewe ukiomba jambo kibinafsi nalikatiki unahaki ya kusema Mungu wako ni mkuu..sidhani kama inamaana unayowaza
Ukiwa mkristo unayeamini neno la Mungu, usifuate miujiza. Jiamini kwa nafasi yako. Muombe Mungu akuokoe kwa changamoto unazopitia kwa maisha yako. Naye atakutetea.
Kila mtu anapaswa kuomba pindi unapopata shida Mungu anasikiliza maombi ya Kila mwanadam sio kwamba Kuna baadhi ya wanaoponya hata wewe ukiomba Kwa uaminifu Mungu hataacha kukusikiliza sema tu watu wengi Hawana ukaribu na Mungu hata akipata shida anataka aombewe
Wana wa Israel waliokolewa kwa MIUJIZA MINGI pasipo miujiza hakuna wokovu ingekuwepo sasa??wewe kaa useme uombe Mungu akuokoe .utazunguka ukuta wa yeriko muda mrefu sana
Wakati wa sasa MUNGU anachekecha kanisa lake ili kupata mchele safi yaani watu safi. Cassian endelea kupiga kelele usiache, paza sauti kama tarumbeta, maana ukiacha utadaiwa.
Mk 16:17-18 SUV Na ishara hizi zitafuatana na hao waaminio; kwa jina langu watatoa pepo; watasema kwa lugha mpya; watashika nyoka; hata wakinywa kitu cha kufisha, hakitawadhuru kabisa; wataweka mikono yao juu ya wagonjwa, nao watapata afya.
Auwezifanya vitu vyenye mwamposa anafaaka atutaacha kuomba mungu wamwamposa kamwe dunia anamungu mkbwasana mungu wamwamposa anatenda mungu wamwamposa anaponywa mungu wamwamposa anajibu mahitaji sasa sisi mutatuchukia bure kwasababu tunaamini mungu wamwamposa aishimilele tuna mpenda mwamposa mungu amulide amuepushe na nyinyi watu wakumuongea vibaya siovizuri kilamutu abakie na himaniyake na maleziake na mwamini mungu wamwamposa sana
Usiogope anaye ua mwili peke yake bali muogope anaye ua mwli na roho simameni pamoja na mtumishi wa Mungu Katekela muitetee injili ya Bwana mbarikiwe sana
Mtumishi wa Mungu Alie Hai yaani Yesu Christo Mimi mwenyewe niliwai kumuona unabii Kwa shs laki mbili Na hamsini Na sikupokea chochite tulipewa unabii ambao haukutimia
Mtumishi naomba kujua kwaio walio muona Yesu wakati Yesu yupo duniani ilikuwaje... nawao si walitakiwa wafe pale pale maana ni walimuona Mungu au...nimekuelewa vibaya, pia umenichanganya umesema Musa hakuwa na dhambi alafu pia umesema Mungu alimwambia Musa kuwa hataweza kumuona maana yeye anadhambi
Aisee hawa wanataka kufifisha Nguvu ya MUNGU ili watu waumizwe zaidi na mashetani,,mbona yeye haoneshi miujiza ya ukweli ya Mungu wake sasa.Watuoneshe namna ya kufanya Miujiza kumshinda shetani sasa,,Anamaanisha kuwa Shetani tu ndiye anaweza kufanya Miujiza?Eeeh.
Usipime kukanyagisha miguuu pale ao maali ali kuanda riya. Hakuna zaidi yayale anasikiya usiku na mcana ukiubiriya. Apo utakuwa una muasi Mungu. Kama anataka kutubu akukutanye kwenye weye uri andaaa Asante
Huyu hapa anasema yesu ni nabii mkuu, mwengine anasema yesu ni mungu, jee yesu wapo wangapi, maana ninavyojua mimi ktk imani Mungu ni mmoja ambaye ameumba mbingu na ardhi na vilivyomo ndani yake kama malaika, majini, wanadamu, wanyama, wadudu, miti, upepo, jua mwezi, bahari, samaki, Mungu ni muumba, hakuzaa wala hakuzaliwa, lkn yesu amezaliwa na Mariamu, yesu ni nabii wa Mungu sio Mungu, yesu ana damu lkn Mungu hana damu, ni vipi yesu awe mungu hlf atokee mtu aseme damu ya yesu imfunike caspian, na damu kitu kimeumbwa, jee mungu anaweza kuwa na damu???
Naomba kukuzaidia tu wachana na wao ambao wamejichanganya maana yesu alisema wacha mangungu na ngano zimee pamoja mungu atawahukumu mwenyewe , ambia watu ukweli ule unajua kuhusu biblia wacha kujisumbua na waaubiri wa uongo mungu anawajua .
We are in the New Testament dispensation. So don't mix the two samani mungu hakukuwa amemtoa mwanawe Leo hii asha mtoa na yesu huwa anawatokea watu kama vile anawatokea kina mariamu na hata wafuanzi wake nafikili urundi kwa bibilia. Yesu alipatia wafuazi wake nguvu ya kuponya wagojwa katika mathayo 10:1-3
Musa alikuwa na Dhambi pia umesahau alivyoua kule Misri!!kingine Musa alikuwa na hasira sana ni kwamba Mungu wetu ni upendo anatupenda Sanaaaaa ni kwa rehema na neema zake
MUNGU HAMUOMBI YEYOTE SABABU YEYE NDIO MKUU ALIYEUMBA MBINGU NA ARDHI,VIUMBE HAI NA VISIVYO HAI. YESU SIO MUNGU KWASABABU ALIOMBA CHAKULA TOKA MBINGUNI, ALISINZIA,ALITESWA NA KUVULIWA NGUO ILA MUNGU HAJAWAHI TESWA NA KUVULIWA NGUO, ALIKUFA ILA MUNGU HAJAWAHI KUFA NA HATAKUFA MILELE, ALIZALIWA ILA MUNGU HAJAZALIWA, YESU ALIKUTA ARDHI NA MBINGU VIMESHAUMBWA, ALIFUFUA WAFU NA KUUMBA UDONGO KWA MFANO WA NDEGE NA KUUPULIZA KUWA NDEGE ILA NI KWA IDHINI YA MUNGU SIO YEYE.
❤asande Kwa somo mzuri sana Mimi natokea Nairobi Kenya naomba unisaidie swali hili je kuanzisha vikundi ya pesa makanisani ya kukopa nakukopesha je hiyo ni ibada ya kishetani Naomba unijibu please 😊😊
Nakuelewa sana,ni kweli muujuza wa MUNGU ni halisi,tatzo tumekuwa wavivu kuomba na kusoma neno,tunafikiri mbingu tutaiendea na miujiza,tumetekwa fahamu
Mungu hashindwi na chochote ,kinyonge ndicho chenye nguvu,fahari za dunia tutaziacha,bila kuiponya roho sio mwili Mana mbinguni Kuna vzr kuliko vya duniani,mwenye masikio na asikie,Mungu anaongea na watu kupitia watumishi wake wa kweli,Mungu azidi kukulinda na kuokoa nafsi za watoto wake watiifu nakukubali Sana Sana ,huto kufa kwa Muda wa wanadamu Bali kwa muda aupendao Alie kupa pumzi ya uhai.🤝🙏
Aise rafiki yangu Cassian Niko nawe sambamba sema kweli Mungu akuteteee kabisaaaa
Only one in spirit will understand this man of God 😢😢😢😢😢😢preach man of God 😢😢😢🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
God is with you don't fear anything
Exactly
Kweli kila Siku inaumiza, ubarikiwe mtumishi wa Mungu
Mungu akutangulie kaka na azidi kukutangulia katika yoote.
MUNGU wetu tunamwombea mtumishi wako huyu pamoja na wengine wa KWELI uwalinde dhidi ya manabii wa uongo.Amen
Amen barikiwa sana mtumishi, huo ndio ukweli,nafasi yanehema bado iko aje atubu Mungu anapenda 🇰🇪🇰🇪.
Cassian jihadhari sana mdomo wako,unafanyia nini Yesu sasa,funga mdomo na ufanye kazi ile unaona ni sawa kwa Mungu acha kumsaidia Mungu,unatafuta pesa,na itakutesa.unachuja nini Mungu ni mpana sana Cassian fanya yako acha vita.
Heri waaminio kweli maana ufalme wa mbingu ni wao mungu akubariki
Usiogoke Yesu Kristo yupo na wenye wanamwamini, tuko karibu kwenda nyumbani , sema ukweri Mungu atakubariki, atakupa taji rako.
Mpaka machozi yamenitoka jinsi mtumishi wake anavyo pita katika ukweli wa biblia ili watu tuijue kweli! Wapendwa , tusipo yashika haya, amini tutadaiwa mbele za MUNGU , ubarikiwe sana mtumishi
Achakuhukumu watumishi wamungu kkangu mungu apendi kuzungumuziawatumishiwak kwanini munapenda ongea maisha ya wenzio sisitunaamini mungu wamwamposa kwasababu tunaona mukonowake nahatutachoka kwenda kawe
Sasa kama yéyé haamini kama mungu iko siache kuwasengenya wezake huu jama ni mwivu wala sio mtumishi wangu huu
Mungu awasaidie maana naona teyale pepo limewakamata ndomana kweli linawaumiza.
mbona hatuon ukiombea watu watu wakipona ww kaz kuponda watumishi wenzio
Sema ukweli Hawa wote wanaokusengenya wamepofushwa ufahamu wao
Acha kumusifia mung wa mwamuposa unajua anamutumikua mung gan sif n za mung wa mbingn tu@@user-qf4ok3wl2x
Cassian Mungu Akulinde. Nilifanya kazi na GD nikatofautiana naye kwa misingi ya kimungu. Tuendelee kumuombea. Adui amemsahaulisha jinsi safari yake ilivokuwa. Alianza vizuri tu. Mungu Amrehemu.
Hebu tusimulie kidogo
Keki ya upako..mafuta ya upako..hivyo vitu vyote nivya kishetani ,,,watu wametekwa ufahamu na nguvu za giza....uponyani wa Mungu unaweza pokea hata kwa kusoma Neno la Mungu sio mafuta wala keki ya upako..nguvu ya Mungu haipitii kwenye vyakula....waambie ukweli usipepesi macho..safi sana
Mungu atusaidie YESU yuko jirani mnoooo!Tudumu katika maombi peke yetu hatuwezi tuombeane wapendwa dunia imekwisha
Mtumikie Mungu na imani ni muhimu sana .jua kila mtu amepewa kipawa chake na imani inafanya matokeo unayoyaona kwa imani hata kivuli kinaponya . Wewe sio Mungu hubiri neno ulilojaliwa kulijua. Mungu anajua uongo na ukweli . Usihukumu au kukaa nafasi ya Mungu .
We're ndio muongo pia umepungukiwa mwanadamu utasubiri ziki kuu inakuja Maana munaamini manabii wauongo mtakanyahishwa mafuta nakulishwa mkate
@@StephanoChalesi-or5olamen
YESU,MUNGU ROHO MTAKATIFU WOTE PAMOJA NA MALAIKA WAKO HAPO WAMEKUZUNGUKA!VITA YETU SI YA DAMU NA NYAMA BALI YA ROHO NA MAJESHI YA mapepo wabaya!YESU NDIYE NA MWISHO TUNAUJUA,jehanamu ipo na MBINGUNI IPO.
Mungu atuokoe!hapendi Kifo cha mwenye dhambi.
Ubarikiwe sana mtumishi Paschal!
God bless you man of God sasa watu tuombe sana MUNGU atupee roho mtakatifu atuoneshe ukweli
Mungu YESU Kama mnavyomwita atakaporudi watu hawatamuona kwa sababu wakimuona watakufa kwa sababu wanadhambi hapo ndio utajua hujui, na hao aliokutana nao mwanzo huyu Mungu Yesu mnayemwita aliishi nao vipi hawakuonana.
Au mnamzungumzia wa Tongaleni.
Mungu akulinde zaidi nakufatilia sana
Amina mtumishi. Yani mpaka kieleweke. Nibora kumwaga damu kama wanyama kuliko kunyamaza ezekieli 3:17-20
May God raise you up to another level
Akuna mutu mwenye ashaka ona mungu mwache kukua napotoshawatu mungu ni roho
Hongera kwa kutafuta ukweli Wa mungu nakuelewa sana baba Chungaji
Mungu akufunike akutunze uendelee kuihubul kweli ya mungu
Tumekalibia nyumbani, sema tena kwa sauti kuu tumekalibia nyumbani 💪
Amina Amina Sana mtumishi wa Mungu umesema ukweli
Amina barikiwa Mtumidhi
Amen mtumishi wa mungu endelea kutuelemisha
Wewe ni kati ya watumishi ambawo Sina mashaka nawo hata kidogo hakika mungu anakutumia vema
Mungu akulinde usiku na mchana akufunike ulinzi thabiti shetani asikudhuru hata kidogo
Mungu anawaona hawa manabii
Mungu akubaliki baba huenda kuna watu wanaelewa hiki unachokifanya
Hongera Sanaa ukweli naungana na wew kusema geordavid sio nabii wa kwelii, kwanza anajisifiu Sanaa hadi anadiriki kusema Mungu wa jeodevid ndio amekuponya na sio yesu, kumbe hyu jamaa ana Mungu wake anayemjua yey mwenyewe
mbona mnasema Mungu wa Yakobo... elewa mantiki.. huwezi kula kwenu ukashukuru kwa jirani.. ata wewe ukiomba jambo kibinafsi nalikatiki unahaki ya kusema Mungu wako ni mkuu..sidhani kama inamaana unayowaza
Umeona eee huwa anajisifu af et anaitagwa Baba nawaumini wake
Amen mtumishi wa mungu, biblia inasema uwe mwaminifu mpaka kufa
Jamani IPO kazi duniani,,, MUNGU nisaidie na nipe macho ya rohoni,,,,,,, barikiwa mtumishi wa BWANA 🎉
Hakika Kuna kitu ndani yako Mungu awe nawe
Mwandishi wa habari ukitoka hujaokoka hapo mmmh injiri ya uzima inaunguruma Mungu azidi kukutia mafuta ya kiroho mtumishi wa Mungu Pascal
❤
HAKIKA
Ataokoka ata kwa fimbo
Amen watu saiz wanatok kweny makanis yao kis kuskia miujiz tu wanatak kuombew baada y kuomb mung atusaidie
Mimi nakukubali sana kwanza hakuna binadamu wa kumuona Mungu kwa dunia ya sqsa ukimuona Mungu lzm ufe
Kwa Hilo ni Siri ya Mungu .Kwa hio watu wateseke na magonjwa huyo ndie Mungu. Kama watu hupona nawapone atajua mwenyewe alietuumba
Mungu akushindie vita vyako
Tofauti ya manabii wengi wa uongo ni kutumia vitu vya mwilini, Na Nabii wa Mungu wa kweli anatumia Neno la MUNGU,.Yeremia 23:28-29.
Ukiwa mkristo unayeamini neno la Mungu, usifuate miujiza. Jiamini kwa nafasi yako. Muombe Mungu akuokoe kwa changamoto unazopitia kwa maisha yako. Naye atakutetea.
Weglngine Mungu amewapa vipaji vya kuponya na SI Kila mtu anaponya so hata kama mkristo tunazidiana vipaji.
Kila mtu anapaswa kuomba pindi unapopata shida Mungu anasikiliza maombi ya Kila mwanadam sio kwamba Kuna baadhi ya wanaoponya hata wewe ukiomba Kwa uaminifu Mungu hataacha kukusikiliza sema tu watu wengi Hawana ukaribu na Mungu hata akipata shida anataka aombewe
Wana wa Israel waliokolewa kwa MIUJIZA MINGI pasipo miujiza hakuna wokovu ingekuwepo sasa??wewe kaa useme uombe Mungu akuokoe .utazunguka ukuta wa yeriko muda mrefu sana
Wakati wa sasa MUNGU anachekecha kanisa lake ili kupata mchele safi yaani watu safi. Cassian endelea kupiga kelele usiache, paza sauti kama tarumbeta, maana ukiacha utadaiwa.
Pole baba Cassian songa mbele upo ushindi 15:40 15
Mk 16:17-18 SUV
Na ishara hizi zitafuatana na hao waaminio; kwa jina langu watatoa pepo; watasema kwa lugha mpya; watashika nyoka; hata wakinywa kitu cha kufisha, hakitawadhuru kabisa; wataweka mikono yao juu ya wagonjwa, nao watapata afya.
Mpelekee Geodavie sumu anywe kama hatujamsahau
Exactly Mtumishi wa MUNGU, mimi yalinikuta na watumishi wa mafuta , naelew unachokiongelea ,dunia imeisha niwakati wakusali kabisa tena kwa kulia sana
Auwezifanya vitu vyenye mwamposa anafaaka atutaacha kuomba mungu wamwamposa kamwe dunia anamungu mkbwasana mungu wamwamposa anatenda mungu wamwamposa anaponywa mungu wamwamposa anajibu mahitaji sasa sisi mutatuchukia bure kwasababu tunaamini mungu wamwamposa aishimilele tuna mpenda mwamposa mungu amulide amuepushe na nyinyi watu wakumuongea vibaya siovizuri kilamutu abakie na himaniyake na maleziake na mwamini mungu wamwamposa sana
Jamani mafundisho hayo ni sahihi kabisa, ubarikiwe sana mtumishi.
Mungu azidi kukuinua
AMEN. Mungu wetu mwema Kila wakati 🙏
Amen Man of GOD......
GO on, we bihind you Sir🖊️✌️
Hongera sana mtumishi MUNGU akubariki sana
Barikiwa mtumishi wa Yesu ni ndiye Mungu pekee Yohana 8:24
Usiogope anaye ua mwili peke yake bali muogope anaye ua mwli na roho simameni pamoja na mtumishi wa Mungu Katekela muitetee injili ya Bwana mbarikiwe sana
Nmeishi kufutilia mhubiri yako kwa mua Sasa wa mwaka n yote unayoyasrma n kweli na Mungu akubariki
Mtumishi wa Mungu Alie Hai yaani Yesu Christo Mimi mwenyewe niliwai kumuona unabii Kwa shs laki mbili Na hamsini Na sikupokea chochite tulipewa unabii ambao haukutimia
😂🤣🤣😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣 uenda amkuwa na imani
Duh! Pole sana. Mungu akusaidie sana; muujiza huwa haubadiliishwi na muujiza wa Mungu
Mtumishi naomba kujua kwaio walio muona Yesu wakati Yesu yupo duniani ilikuwaje... nawao si walitakiwa wafe pale pale maana ni walimuona Mungu au...nimekuelewa vibaya, pia umenichanganya umesema Musa hakuwa na dhambi alafu pia umesema Mungu alimwambia Musa kuwa hataweza kumuona maana yeye anadhambi
Aisee hawa wanataka kufifisha Nguvu ya MUNGU ili watu waumizwe zaidi na mashetani,,mbona yeye haoneshi miujiza ya ukweli ya Mungu wake sasa.Watuoneshe namna ya kufanya Miujiza kumshinda shetani sasa,,Anamaanisha kuwa Shetani tu ndiye anaweza kufanya Miujiza?Eeeh.
❤Ameen mtumishi wew uko sahihi San Mungu akupiganie
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu
2Nyakati 20:20 waaminini manabii wake ndivyo mtakavyofanikiwa
Unasema kweli Mungu akupe nguvu.manabii wa uwongo wanadanganya watu sana.
Usipime kukanyagisha miguuu pale ao maali ali kuanda riya. Hakuna zaidi yayale anasikiya usiku na mcana ukiubiriya. Apo utakuwa una muasi Mungu. Kama anataka kutubu akukutanye kwenye weye uri andaaa
Asante
Amina mtumish hawa wanagusa shida za watu na magonjwa ndio maana Wana kundi kubwa hasa wanawake ndio wengi Mungu tusaidie
kwekweli mungu akubari maana Mimi sijawai kuamini awa manabii wa uwongo mungu yupo pamoja na nami nimewatoa watu wengi sana kwa manabii wa uwongo
Amen,,,Mungu akubark sana
Call it a pure word of God,, I love it🙏🙏
Nakubar umeongea ukweli sana tena amekuful kusema yenye ni nabii mkuu wakati nabii mkuu ni yesu tu hakuna zaidi ya yesu
Huyu hapa anasema yesu ni nabii mkuu, mwengine anasema yesu ni mungu, jee yesu wapo wangapi, maana ninavyojua mimi ktk imani Mungu ni mmoja ambaye ameumba mbingu na ardhi na vilivyomo ndani yake kama malaika, majini, wanadamu, wanyama, wadudu, miti, upepo, jua mwezi, bahari, samaki, Mungu ni muumba, hakuzaa wala hakuzaliwa, lkn yesu amezaliwa na Mariamu, yesu ni nabii wa Mungu sio Mungu, yesu ana damu lkn Mungu hana damu, ni vipi yesu awe mungu hlf atokee mtu aseme damu ya yesu imfunike caspian, na damu kitu kimeumbwa, jee mungu anaweza kuwa na damu???
Hii ndio injili ya kweli MUNGU akubariki
Chapa injili ya kweli mtumishi, Mungu akubariki kufungua watu macho.
Mungu akutunze mtumishi
Amen be blesse man of God
Miujiza ya Mungu ni ipi? Au Mungu ni mnyonge sana hana miujiza? Nakushauri pambania karama yako uliyopewa na Mungu usipambane na karama za wenzako..
Nabarikiwa sana Mtumishi wa Mungu
Uko sawa mtumishi nakuunga mkono
Mungu Azidi Kuwafunuli aWatumishi WaMungu.NaMungu Awarinde.Mikononi Mwa Adui.
Pastor muongo sana sasa ikiwa watu zamani waliomuona mungu utuambie mmoja ambae alimuona mungu
The man msikilize kwa makini
Be blessed Baba🙏🏾🙏🏾 , tunakusilizaa
Mungu akiwekee sana wengi tuongoke Amen
Naomba kukuzaidia tu wachana na wao ambao wamejichanganya maana yesu alisema wacha mangungu na ngano zimee pamoja mungu atawahukumu mwenyewe , ambia watu ukweli ule unajua kuhusu biblia wacha kujisumbua na waaubiri wa uongo mungu anawajua .
Acha awasaidie kwani ni kundi kubwa wanalolipotosha yawezekana wapo ambao wanaweza kusikia wakamgeukia Mungu wa kweli kabla Yesu hajarudi.
Mungu akusaidie mbaka mwisho
Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu
Rezemos para esses irmãos que o Espírito Santo ilumine os seus corações.🇲🇿🇲🇿
ingekuwa vyema kama wewe mwenye nguvu za Mungu uponye watu maana watu wanashida
uzima wa milele ni wa maana kuliko mwili wa kuisha
miujiza ni ya muda lakini ufalme wa Mungu ni wa milele
Naamini nimkristo kamili soma biblia utajua harafu muombe mungu akupe macho yarohon
Atapataje sasa NGUVU kama anaipinga??
Biblia inasema mtakeni BWANA MUNGU NA NGUVU ZAKE.yeye hataki.anamtaka MUNGU na udhaifu wake😅
We are in the New Testament dispensation. So don't mix the two samani mungu hakukuwa amemtoa mwanawe Leo hii asha mtoa na yesu huwa anawatokea watu kama vile anawatokea kina mariamu na hata wafuanzi wake nafikili urundi kwa bibilia. Yesu alipatia wafuazi wake nguvu ya kuponya wagojwa katika mathayo 10:1-3
Wewe Nikichaa,kwani Yesu akuwatokea wanafunzi wake,au
Hajui anachokiongea eti😅😅😅
Hivi ndugu zake huyu Mungu yesu kama mnavyomwita waliozaliwa na bikira Maria walikufa ote
Mungu akupe ujasiri ufunuo zaidi ili tuujue ukweli wa miujiza pia.
❤ Amen 🙏 man of God be blessed
Bwana akuhifadhi mpendwa wa Mungu
Paschal you're very right, some who opposes will one day agree with you
Amen ubarikiwe.
Musa alikuwa na Dhambi pia umesahau alivyoua kule Misri!!kingine Musa alikuwa na hasira sana ni kwamba Mungu wetu ni upendo anatupenda Sanaaaaa ni kwa rehema na neema zake
MUNGU HAMUOMBI YEYOTE SABABU YEYE NDIO MKUU ALIYEUMBA MBINGU NA ARDHI,VIUMBE HAI NA VISIVYO HAI. YESU SIO MUNGU KWASABABU ALIOMBA CHAKULA TOKA MBINGUNI, ALISINZIA,ALITESWA NA KUVULIWA NGUO ILA MUNGU HAJAWAHI TESWA NA KUVULIWA NGUO, ALIKUFA ILA MUNGU HAJAWAHI KUFA NA HATAKUFA MILELE, ALIZALIWA ILA MUNGU HAJAZALIWA, YESU ALIKUTA ARDHI NA MBINGU VIMESHAUMBWA, ALIFUFUA WAFU NA KUUMBA UDONGO KWA MFANO WA NDEGE NA KUUPULIZA KUWA NDEGE ILA NI KWA IDHINI YA MUNGU SIO YEYE.
Mungu akutunze daima na atusaidie kuepuka moto wa jehanam
Paschal Cassian na katekela no vijana ambao wametumwa na mungu ph
Hongera sana mtumishi....kweli kabisa
Really appreciate your preaching
Mtapata tabu Sana pia wewe ujui ukweli Ila juaribu kuwakamata watu
❤asande Kwa somo mzuri sana Mimi natokea Nairobi Kenya naomba unisaidie swali hili je kuanzisha vikundi ya pesa makanisani ya kukopa nakukopesha je hiyo ni ibada ya kishetani Naomba unijibu please 😊😊
Amen, ihubiri kweli, Mungu awe nawe
Merci vraiment pour la vérité, Dieu vous bénisse 🙌🙌🇨🇩🇨🇩
🇹🇿
Nakuelewa sana,ni kweli muujuza wa MUNGU ni halisi,tatzo tumekuwa wavivu kuomba na kusoma neno,tunafikiri mbingu tutaiendea na miujiza,tumetekwa fahamu
Ukiomba na wewe ukapewa hiyo karama ya Miujiza na Mungu wako tukuiteje??unafanya kwa mamlaka ipi?
Ameen mtumishi usikate taama Mungu atakushindia