Yaani wanadamu wanakimbilia ya ulimwengu batala ya kumukimbilia mungu wao mungu rehemu kizazi hiki kipotofu tena kipotefu...pst you always talk and teach the truth
Mtumishi wa Mungu Mungu azidi kukuhinuwa kira hatua>eisee kwenye swala la mpira kwakweri roho zetu zimetekwa Mtumishi tuombee kwa Mungu Bwana wetu Yesu Kiristo atusaidie tusije tukahangamia Naomba Mungu Wa Mbinguni Akurinde Na Akutie Nguvu Amina
Asante sana mtumishi wa Mungu.Mimi ni mmoja wa hao mashabiki na leo hii nimegoma. Nimejitoa kule nimshabikie Mungu wangu pekee.Asante kwa ufahamu huu.Barikiwa sana katika jina la Mwenyezi Mungu. ❤🇰🇪
HALLELUJAH HALLELUJAH, glory be to God forever 🙏 Mtumishi Mungu akutunze kwa kazi nzuri unayofanya... uko mstari wa mbele kuwafungua wengi waliogizani....Mungu mtumishi anahubiri neno kwa uaminifu na kujitolea zaidi kwa wote. Mungu mpe nguvu siku zote ili kutangaza ukweli wa neno lako kwa ujasiri na kuweka atharani siri za muovu shetani. Mtumishi endelea kutenda mema mungu yuko pamoja nawe
Barikiwa Mtumishi wa Mungu,mimi nilikuwa namwambia mtu akabisha sasa MUNGU akafanya muujiza akaja mtu ambae ni mganga na alikuwa ajui kuwa ni mganga akaanza kumuonyesha jinsi ambavyo wanafanya kafara ili timu zishinde hizi kubwa hata ndogo pia.
Mungu atusaidie, mimi mme wangu alimnunulia mtoto jezi za simba, yaani ni kama vile kulikuwa na nguvu nyuma yake, toka alivyo anza kuvaa, hataki nguo ya rangi ingine zaidi ya nyekundu hadi vyombo anabagua na anamiaka mnne, ikabidi niwe mkali nakunyima, ila leo pia umenifungua macho.
Shetani yupo kila eneo hospitalini n.k . Mpira si mbaya sababu hata anaye toa kipaji ni Mungu . Tatizo lipo kwa huyo anaetumia hicho kipaji . Kila eneo shetani yupo si ndo alipotupwa Dunia. Yani michezo iwe Dhambi. Ila usikose kuabudu sababu ya soccer
Kwakweli uuu ukweli mtupu tunaaangamia kwakukosa ufahamu na sasaaivi ukiambia shabiki wa hizo team kbwa kbwa kua sio nzuri wanakupiga tsee na kkuchukia
Wacha niongee kwa njia ya kidole kuhakikisha kua huu ujumbe ufikie jamii yangu maana wanaeza kosa kula ili mradi waangalie mpira. Neno la Mungu halidhaminiwi kabisa. Watu wanazingatia maovu kwa wingi mno. Turejelee njia za Mungu ili kuhaibisha shetani. Hata haya madhabao, wanaochangia ni wachache na tuko wengi na hatusongezi huduma mbele. Mungu anisaidie nijitahiti vilivyo ili nishiriki kuisongeza huduma hii mbele.
Wengi wameangamia katika tasnia ya mpira Ila hapa Sasa napata majibu bila ukakasi juu ya wapendao mpira, Mungu na akubariki mtumishi wa Bwana Yesu endelea kumwaakilisha Kristo ktk Huduma ya uinjilisti
Yaani wanadamu wanakimbilia ya ulimwengu batala ya kumukimbilia mungu wao mungu rehemu kizazi hiki kipotofu tena kipotefu...pst you always talk and teach the truth
Sema kweli mtumishi wa Mungu maana saizi hata makanisa ya kiroho wanatim za mipira Mungu atusaidie sana
Mtumishi wa Mungu Mungu azidi kukuhinuwa kira hatua>eisee kwenye swala la mpira kwakweri roho zetu zimetekwa Mtumishi tuombee kwa Mungu Bwana wetu Yesu Kiristo atusaidie tusije tukahangamia Naomba Mungu Wa Mbinguni Akurinde Na Akutie Nguvu Amina
Oh Lord Jesus..Hii ni kweli ya Mungu iwekayo huru..Sema mtumishi no saa ya wateule kujitambua..
Amina mtumishi wa Mungu ona vile nyimbo za zamani zilivojaa utukufu wa Mungu.Haleluya.
Sema mtumishi ingawa inaumiza maana mpira umetawala maisha ya watu na ujumbe huo inachoma penyewe
AMEN Amen,,,,kweli kabisa mpira SII kitu kizuri Kwa mkristo mwenda MBINGUNI
Asante sana mtumishi wa Mungu.Mimi ni mmoja wa hao mashabiki na leo hii nimegoma.
Nimejitoa kule nimshabikie Mungu wangu pekee.Asante kwa ufahamu huu.Barikiwa sana katika jina la Mwenyezi Mungu. ❤🇰🇪
Namm nitaacha kwa kweli 🥲
Ata mimi nimejiondoa kuwa shabiki wa Mpira, nataka nimtumikie Mungu kwa moyo wangu wote
Bwana Yesu Asifiwe.Kweli Mtumishi Endelea Kutugusa.NaMungu Akutetee.
Ubarikiwe sana mtumishi wa Bwana MUNGU akutie nguvu
Amen 🙏🙏 mtu wa mungu ubarikiwe sana
Ubalikiwe pasta kasian nakupenda Sana yesu akutie nguvu Sana
HALLELUJAH HALLELUJAH, glory be to God forever 🙏
Mtumishi Mungu akutunze kwa kazi nzuri unayofanya... uko mstari wa mbele kuwafungua wengi waliogizani....Mungu mtumishi anahubiri neno kwa uaminifu na kujitolea zaidi kwa wote. Mungu mpe nguvu siku zote ili kutangaza ukweli wa neno lako kwa ujasiri na kuweka atharani siri za muovu shetani.
Mtumishi endelea kutenda mema mungu yuko pamoja nawe
❤
Mungu asante kwa kumtumia mtumishi wako kutuangazia🙏🙏🙏
Hii ndio injili isiyoghoshiwa... hallelujah 🙌
Hakika
Amen Amen Atusaidie kwakweli. Nyundo hii Leo imanipiga na Mimi nitaacha kwa msaada wake ⛪
Seen Mungu akufungue kaka
Nimependa sana wimbo uum🇲🇿
Barikiwa sana Mtumishi wa MUNGU
Barikiwa Mtumishi wa Mungu,mimi nilikuwa namwambia mtu akabisha sasa MUNGU akafanya muujiza akaja mtu ambae ni mganga na alikuwa ajui kuwa ni mganga akaanza kumuonyesha jinsi ambavyo wanafanya kafara ili timu zishinde hizi kubwa hata ndogo pia.
Dah sikuwa najua kabisa 😢
Upo sawa kabisa mtumish dunia inaelekea mwisho
Amina mtumishi ubalikiwe mimi mwenyewe nimetekwa na ushabiki wa mpila kwa yanga
Amém
Amina Mtumishi. Mungu Akubariki
Mungu atusaidie, mimi mme wangu alimnunulia mtoto jezi za simba, yaani ni kama vile kulikuwa na nguvu nyuma yake, toka alivyo anza kuvaa, hataki nguo ya rangi ingine zaidi ya nyekundu hadi vyombo anabagua na anamiaka mnne, ikabidi niwe mkali nakunyima, ila leo pia umenifungua macho.
Nimekuelewa huo ni kweli mpira ni kazi mojawapo ya Kaz izake
Eee Mtumishi wa Mungu umesema kweli kabisa hata ndoa hakuna wakati mpira unapochezwa man u ubarikiwe sana kwa kunifungua macho
Tafadhali mtumishi, napenda sana kuangalia nyimbo zako UA-cam. Naomba kujua title ya wimbo huo ulioimba kwenye video hii, nimeupenda mnoo.
Ubarikiwe
Haijatoka BADO unaitwa mambo.ya dunia
@paschalcassianoriginal9411 Asante kwa kureply mtumishi.
I can't wait kuusikia wote. Nyimbo zako ni mahubiri tosha kabisa, zinanibariki mno.
Shetani yupo kila eneo hospitalini n.k . Mpira si mbaya sababu hata anaye toa kipaji ni Mungu . Tatizo lipo kwa huyo anaetumia hicho kipaji . Kila eneo shetani yupo si ndo alipotupwa Dunia. Yani michezo iwe Dhambi. Ila usikose kuabudu sababu ya soccer
Amen 🙏
Kwenye mpira umenigusa sana! Huwa naweza kwenda mbali sana kwaajili ya kuangalia mechi za ulaya
Ndio maana Mungu akamuinua na kusudi hili awafungue wengi nyakati hizi za mwisho... msambaze ujumbe huu kwa wengi wafunguliwe.
Kweri ujakosea
Ashante tumishi, wewe umeweza kunitowa motoni, Mungu akubariki, na akupe nguvu uzidi kutufudyicha, mimi shikupate kwenye WhatsApp🇲🇿
Hata mm niliachana na ushabiki wa time.mtumishi umenigusa
Sema mtumishi wengine wanafuata viongozi wao wa dini ambao ni mashabiki wa mpira
Huyo mungu wa mpira alinikamata sana miaka7 iliyopita nikamshtukia hivi sasa hana chake kwangu. Niko huru katika jina la Yesu
Amen
Ukuel ndio manaa watu wamelewa na kushabikia mpira mpaka wengne wnajisucrifise kua mpira wambie ukuel
BWANA YESU turehemu baba tumekukosea mnooo
Yaan ni kweli kabisaaa nafahamu
Kwakweli uuu ukweli mtupu tunaaangamia kwakukosa ufahamu na sasaaivi ukiambia shabiki wa hizo team kbwa kbwa kua sio nzuri wanakupiga tsee na kkuchukia
Mimi binafsi Roho mtakatifu alinizuia habari za mpira ila nilishindwa kuacha kabisa hadi nilipomwomba anisaidie kuacha ndipo nnilifanikiwa
Mimi nilikuwa na beti , kwanzia sasa nitaacha kucheza kamare.Ee Mungu naomba msamaha
Shetani yupo hata kanisan,any where na ana uweza wake na ni mfalme wa dunia hii
Mhuuuuuuh
Kwakweli Jambo hili kime wameza wengi Yamkini hata Watumishi wa Mungu wame mezwa humo Huyo mungu wa Mpira amewameza wengi Sana.Piga tu Mtu wa Mungu
Amina
Hubili mtumishi
Hakika MUNGU naomba utusaidie tuweze kuachana na mpra
Ameen
Ndio maana Manchester wanajiita the red devils(mashetani wekundu)
Mweee tumehalibika tumehalibika mweee mpaka huruma
Ee MUNGU BABA tusaidie tumewapoteza watoto wetu wa MUNGU ambao pengine MUNGU aliwandaa kuwa wahubili wazuri wa injili
Leo mimi ni wakwanza
ndo mana mimi sina timu
Wacha niongee kwa njia ya kidole kuhakikisha kua huu ujumbe ufikie jamii yangu maana wanaeza kosa kula ili mradi waangalie mpira. Neno la Mungu halidhaminiwi kabisa. Watu wanazingatia maovu kwa wingi mno. Turejelee njia za Mungu ili kuhaibisha shetani. Hata haya madhabao, wanaochangia ni wachache na tuko wengi na hatusongezi huduma mbele. Mungu anisaidie nijitahiti vilivyo ili nishiriki kuisongeza huduma hii mbele.
❤❤❤❤
Wengi wameangamia katika tasnia ya mpira Ila hapa Sasa napata majibu bila ukakasi juu ya wapendao mpira, Mungu na akubariki mtumishi wa Bwana Yesu endelea kumwaakilisha Kristo ktk Huduma ya uinjilisti
Umenigusa ndio maana Manchester inaitwa red devil Leo nimeelewa
ubarikiwe
Huuu ndie ukleli
Nikweri kabisa mtumishi iyo ni sila ya shetwani
Ndo maana sipendi mpira kivileee
MUNGU naomba utusaidie
Ye Nini kushubukiya ya ulimwegu
Ndio sababu watu hujiyoga wakishinwa 🤔
Huo wimbo ulioimba mwanzoni unaitwaje
Nikweli mpira ni mpango wa shetani Waz wazi
Twambie neno zowezi lafaa kidogo limanisha Nini ni mazowezi yapi kibiblia?twambie
Kwwni mazoezi ndyo mpira
Kabisaa unakuta mtu anaweka bondi ata mkewake
Kabisaa unakuta mtu anaweka bondi ata mkewake
Na Kama huyo alokufa juzi eti kisa furaha ya ushindi jamn Kwel?
Michezo ameumba nani???????????
Miereka ni nini
Michezo ya ngumi Mtumishi
Wrestling
@@janethKamazimaMchezo wa ngumi ni ndondi
SIO KILA KITU NYIE MNAOJIITA WATUMISHI WA MUNGU MSEMACHO NI SAHIHI.MPIRA NI KAZI HALALI
Usilolijua ni Sawa na usiku wa giza, ukiona vya elea ujue vimeundwa.
ACHA upuuzi ndugu yangu shetani yupo kazini tubu na kuungama zambi zako yesu anarudi
Mpira sio dhambi, imeandikwa wapi? Na wewe mbona nilikuona umevaa jezi ya Real Madrid? Naangalia mpira ili kupoteza muda. Sio unayo fikiri wewe.