KUNGWI DUME sehemu ya Ishirini
Вставка
- Опубліковано 24 лют 2024
- "KUNGWI kakupa mzungu huujui maana yake mfate akakwambie maana ili uondokane na usungo, Siku zote mwanamke mazingira jambo la kwanza ni kujipenda na ndio maana ya pambo la nyumba"
- Розваги
Kazi nzur tunaomba usicheleweshe mwendelezo🔥🔥🔥💯🙏
Mwari kigego huyuu😢🤌🏼
Kumbe Kuna sikio lakusia nakuna sikio lakutapika daaaa uyu dada ameniabisha kweli kuleta ex wake mjini jamani😢😢 kazi mzuri kungwi hongera❤❤❤❤
Mafunzo mazuri kaka ila unatuweka had tunasahau tulipoishia kipindi cha nyumaa mjitahidi kutupa vituu🌹🌹
Uhakika🎉🎉🎉
Tunaisubir mpaka tunakata tamaaa ni zur sana
Huyo bi harusi ni kigego ataka kumwaibisha kungwi wake. Bora arudishwe kwa bibi yake akafunde. Ex harudiliwi na ndio tabia ya badhi ya wanawake.
Uyu bi harusi kigego tena wa mwisho nini haya tena me sijapenda kabisaa akyy uridhiki uje kuolewa ni jaliwa aya sije ukajalia nitakucheka tuu😂
Twasubiria
Nakupenda kungwi hongera kwa kazi nzuri ❤
Kazi nzuri sana pole Kwa changamoto👍🙏
Mmmh kungwi katoa boko😂😂😂
Yan unajua mpaka kero❤ kaz nzr🎉
Mashallah Kaz Nzurii🎉🎉🎉❤❤❤😊
Jamani yaani kumbe badhii yetu sisi wanawake nimashetani hivi na hamsemi jamani wanaume ? 😭😭😭 Hakika nimeumia saana mtuu unawezaj kukubari kufunga ndoa unakaa namtuu zaidi yamwaka umoja unamtimizia kila kitu alakini baado haumpendi yaani mwanaume wawatu anajitoa il baado tu wewe mwanamke hulidhik? 💔💔 Jaman jamani hiyi nizaidi ya Aibu 🙄🙄
Wanaume wenye mapenzi ya dhati hawanaga bahati Ila sio vizuri mtu ukipendwa pendeka
Dhambi io ukiingia kwny ndoa aufai kuzini nje wapata zambi kumbwa sn
Hongereni kazi njuri
Aiseee maharusi yote wanamsikiliza kungwi wetu lkn huyu msungo loooh puuuuh
Na ukimuona ht umdhanii
Twasubr jmni 🙆♀️
Nimewahi mnooo😊
Kazi nzuri kweli ❤❤
Sehem ya 21 ❤❤🎉🎉
Harusi tunayo🎉🎉🎉🎉
Na bwana harusi kazi anayo pia🤣🤣
Anayo mathezo..😅🤸
Huyo Dada mshenzi kweli
Ninaisubiri kwa hamu
MashaALLAH. Kazi 🔥🔥🔥🔥🔥
Kuna wanawake mashetani jamanii...
Kweli brother🎉🎉
Kazi mnzuri ila anachelewa kuitoa sana
😢😢😢Yaan NDio kwnz ndoa changa unaanza kumtekenya mwenzio akuache mbwa weee mwari kigego.
Kazi nzuri sana 😍😍😍
Good sana kabisa 😊😅😅😅
Nimesikia uchungu😢😢😢😢😢mfano ndokaka ako sasa anafanyiwa hivyo je utajisikiajeee daaah ndoman sahiz mahusiyano yamekuwa changamoto mauwaji ndoyameshika %100
Mmb c ndio Ayo kungw
Kazi nzuri jamni lakini musichelewe sana
Mlikuwa wap jamani nliwamic
Huyuu biharusi mpya asima anaichezea bahati kunamm ata kuchumbiwa hapiti mdudu ila nimepepelza waliyo wengi wakiolewa tu wanadai talaka? Sijuw kwann najifuna kaka kupitiya humu
Unachelewesha sana muendelezo
🔥🔥🔥🔥🔥
Dah
Huyu mwanamke kiboko
Tunasubir kwa ham zoote insha Allah ❤
🔥🔥🔥🔥
Nice 🎉
❤❤❤❤❤
Huu ndo ujinga wa sisi wanawake hatina waminifu.
❤❤
❤❤❤
❤❤❤❤
😢😢😢😢😢
Munachelew san
Mnisamehe channel yangu walii hack hivyo imerudi mikononi mwangu juzi
Waaah pole snaa @@ibrahthedon
@@ibrahthedon pole sana sana
@@ibrahthedonpole bro na tumashukuru kuipaa
@@ibrahthedon Pole sana Kaka kwa changamoto ♥️
Jamani yaani kumbe badhii yetu sisi wanawake nimashetani hivi na hamsemi jamani wanaume ? 😭😭😭 Hakika nimeumia saana mtuu unawezaj kukubari kufunga ndoa unakaa namtuu zaidi yamwaka umoja unamtimizia kila kitu alakini baado haumpendi yaani mwanaume wawatu anajitoa il baado tu wewe mwanamke hulidhik? 💔💔 Jaman jamani hiyi nizaidi ya Aibu 🙄🙄