#ZaNdaaani

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 11 вер 2024
  • 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

КОМЕНТАРІ • 70

  • @DonDaudi
    @DonDaudi 22 дні тому +15

    Yani mzee wa zandaAAAni upewe maua yako! Hili swala. Mimi mwenyewe lilikua Linaniumizaa? Mchezaji kama Dickson job kweli asiitwe Tim yatafa ya Tanzania kweliii?

  • @MwajumaFundi-ex5tj
    @MwajumaFundi-ex5tj 21 день тому

    Safi Sana ✅✅✅

  • @FrankKajwaula
    @FrankKajwaula 21 день тому +5

    MCHEZAJI JITAMBUE UKIITWA TIMU YA TAIFA HITIKA NIDHAMU KWANZA

    • @manaseobed8023
      @manaseobed8023 21 день тому +2

      Kwani Dick hana nidhamu, wangapi hawana nidhamu na wapo timu taifa? Acha akili za Jemedar wewe

    • @DloveAfrika
      @DloveAfrika 21 день тому

      Yani aitwe mechi ya mwisho alafu apangwe kwenye nafasi ambayo hachezagi then akubali tu kisa aonekane ana nidhamu? Hivi una akili wewe? Vp akicheza vibaya unahisi atakua amegharimu career yake au taifa zima? Acha ujinga kalina heshima yake na taifa so km kulinda heshima ya taifa ni kukosa nidhamu basi aadhibiwe

    • @benshark3212
      @benshark3212 21 день тому

      Hitika ndio nini?

    • @fadhililihinda6491
      @fadhililihinda6491 18 днів тому

      Umemsikiliza vizuri ntangazaji?

  • @stn4873
    @stn4873 22 дні тому +7

    Suratul Ad dhuha...aya ya 11
    "Na neema za mola wako zisimlie"
    "Wa amma bi ni'mati rabbika fahadith"

  • @elrachum3866
    @elrachum3866 22 дні тому +1

    au ananizungumzia mimi.😄

  • @antonjohn134
    @antonjohn134 21 день тому +1

    Nidhamu kama auna nidhamu sehemu yoyote unakuwa ufai

  • @HussenMadimbwala
    @HussenMadimbwala 22 дні тому +1

    Mtumie angekuwa wa timu nyingine ndio mgeona viziri tulieni nyie wawili tunawajua

  • @samsonmwingwa364
    @samsonmwingwa364 22 дні тому +1

    Ndio mzur uyo kiongozi

  • @yuahahmad6651
    @yuahahmad6651 22 дні тому +1

    Code ya Leo ngumu aliyeelewa anyooshe maelezo 😂

  • @user-kf1yr3kx2o
    @user-kf1yr3kx2o 22 дні тому +2

    Mmh hii code ngum

  • @fredymwakikono1575
    @fredymwakikono1575 22 дні тому +6

    Huyu ni Hemed Moroco

  • @MfukunyukuMfinyute
    @MfukunyukuMfinyute 22 дні тому +4

    DIC JOB DAAAAAH

  • @samwelrobertmwakatobe6467
    @samwelrobertmwakatobe6467 22 дні тому +3

    Tuone na kibu akifungiwa maana aliitwa timu ya taifa hakutokea.Karia na Morocco roho mbaya chagueni Toka Tanga,mnangamiza vipaji.hebu tuone mtafungia wangapi!

  • @charlesmustafa8998
    @charlesmustafa8998 21 день тому

    Tunajua agent wake ndo kakutuma kwa kuwa ni mfanyakazi wa wasafi ili watu wapige kelele

  • @HERIDZUGWEH
    @HERIDZUGWEH 22 дні тому +1

    Karia ama moroco

  • @saidmasoud9004
    @saidmasoud9004 21 день тому +3

    Hiki kipindi cha Wasafi kimekosa ubora wake wa kuchambua mpira kimekua kma tawi la Yanga.

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 21 день тому +1

      KWELI BRO ANGEKUWA MCHEZAJI WA SIMBA WANGEFURAHI NA WANGESEMA HANA NIDHAMU WASAFI MACHOOKO KWELI.

    • @hassanabdala7383
      @hassanabdala7383 21 день тому

      @@saidmasoud9004 sahihi kabsaa issue ya team ya Okrah kuidai Yanga ingelikua ni Simba ndio wanadaiwa wangekesha hapo kuinanga Simba lkn ni team yao wamefyata mikia yao

  • @samwelsengati1369
    @samwelsengati1369 22 дні тому

    Job

  • @DonDaudi
    @DonDaudi 22 дні тому +5

    Bora huyo kiongozi aondokee Dickinson job aitwe Tim ya taifa ya tanzania#

    • @user-mq4yq6rw1w
      @user-mq4yq6rw1w 22 дні тому

      Kweli kabisa au aende akacheze kiongozi hy .kaka kitenge na Ricardo Momo mtajeji tumpatie maneno yake Aachen ushamba na roho mbaya.Je angekuwa mwanae angemuacha asicheze?

  • @mwikamwika4851
    @mwikamwika4851 22 дні тому +1

    Wachezaji wako wengi.

  • @salimmalaka256
    @salimmalaka256 21 день тому +1

    ANGEKUWA MCHEZAJI WA SIMBA MNGEFURAHI NA MNGESEMA HANA NIDHAMU MACHOOKO WA UTOPOLO NYIE 😂😂😂😂😂😂 SHENZISTAN NYIE 😂😂

  • @mdachimdachi1517
    @mdachimdachi1517 21 день тому +1

    Nidham nidhammmmmm

  • @bakarsalum880
    @bakarsalum880 21 день тому

    Mchezaj gn amezuiwaaaa

  • @SADIKIMAPESA-yn7mo
    @SADIKIMAPESA-yn7mo 22 дні тому

    🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌

  • @yohanakayinga9279
    @yohanakayinga9279 22 дні тому +1

    Umbea2

  • @selemanmcharazo
    @selemanmcharazo 21 день тому

    Katika wachezaji wenye nidhamu job

  • @YahayaKunga-le7mr
    @YahayaKunga-le7mr 22 дні тому +1

    Momo tatzo. Lk uyangaaaà umekujaaa hilo domo lak liwekweee ubupu ndo utanyamaza kjn hana nidhamu MPR bila nidham kutoboa ngumu

    • @hassanabdala7383
      @hassanabdala7383 21 день тому

      @@YahayaKunga-le7mr Momo alikua Simba lialia ndugu yake alipo vutwa na yule mlevi mwenzie Manara ndio na yeye kabadilika wamekutana na Kitenge na hao wafukunyuku wengine uchambuzi wao umekua wakishabiki 2

    • @MariamMohamed-jt1qy
      @MariamMohamed-jt1qy 14 днів тому

      KiU​@@hassanabdala7383up

  • @aberemanwer2939
    @aberemanwer2939 21 день тому

    Kwani nani nani alimtuma asuse na nyie acheni unafiki acha avune alichokipanda

  • @user-bo3jd6ng5d
    @user-bo3jd6ng5d 22 дні тому +2

    Yule Morocco ndio mchawi pale

  • @moviekaa
    @moviekaa 21 день тому +2

    Amna kocha mule.Bora Mgunda.

  • @user-gr6hz5oq2g
    @user-gr6hz5oq2g 21 день тому +2

    Acha ujinga momo hana nidhamu hawezii kumpangia kocha mpira una misingi yake

  • @boscomalangalila
    @boscomalangalila 21 день тому +1

    Moroko hafai kuwa kiongozi

    • @DonDaudi
      @DonDaudi 16 днів тому

      @@boscomalangalila tupa kule kocha Hana nidham job ananizam# huoni kwatim yakee! Angekua Hana nidham c. Msaidizi anapewaje pale yanga? Kazi kwenu vilaza

  • @happinessmwisse1152
    @happinessmwisse1152 22 дні тому +3

    Moroco mchawi anaendesha timu ya taifa kishabiki tu

  • @DonDaudi
    @DonDaudi 22 дні тому

    Asipo itwa tena aaa twendeni kwamama!

  • @lucasbatano333
    @lucasbatano333 22 дні тому

    Dickson Job

  • @gabrielmchau8764
    @gabrielmchau8764 21 день тому

    Nlimuona priva kapost sikuelewa, ila uyo jamaa ajitafakari maana vyeo si dhamana ila mapito tu 4sure, leo ni vyetu ila kesho ni someone

  • @daudkondo4069
    @daudkondo4069 22 дні тому

    Huyo kiongozi ni mpumbafu atajwe tuu, Taifa star si Mali yake au wadau wa soka wapige yowe kiongozi atoke madarakani, hafai hafai

  • @hassanabdala7383
    @hassanabdala7383 22 дні тому +1

    Media wa wanafiki imepoteza mvuto kabsa kwa uchambuzi wa kishabiki

    • @user-bo3jd6ng5d
      @user-bo3jd6ng5d 22 дні тому

      Ipi yeny mvuto kaka

    • @nswilahebronhans9550
      @nswilahebronhans9550 22 дні тому +1

      Jamani dhima ya kipengele husika si inajieleza unafiki unatoka wapi Sema fikra mgando zinakusumbua

    • @hassanabdala7383
      @hassanabdala7383 22 дні тому

      @@nswilahebronhans9550 fikira mgando labda zipo kwako mchezaji amekosea hana nidhani lazima awajibishwe wacheni kuleta unazi kwenye mswala ya kitaifa wasafi imekuwa media ya utopolo hilo lipo wazi haswa maulidi kitenge hakuna siku ataleta mada ya utopolo hata kama wamekosea saiv swala la Okrah ingekuwa ni Simba ungewackia mapovu yanavo watoka lkn lipo kwenye team yao pendwa mikia wameiweka nyuma

    • @kimoppa1240
      @kimoppa1240 22 дні тому +1

      Halafu redio zipo nyiiiingi mno za kusikiliza sijui binadamu hii fikra ya chuki inatokea wapi, kama kitu hakikufurahishi wewe usilazimishe wengine wakione kwa mtazamo wako huo pia, wewe zima Wasafi fm afu kasikilize redio zako nyingine zinazokufurahisha very Simple and Easy kuliko kuja hapa kuandika chuki kwa vitu ambavyo havina mlengo huo hasi! #MIYEYUSHO

    • @haidhabushiri9558
      @haidhabushiri9558 22 дні тому +1

      Sasa kakuambia nani usikilize 😂😂

  • @DonDaudi
    @DonDaudi 22 дні тому +1

    Jobu pale yanga sasahivi ndo captain msaidizii? Jinsi Gani anao uwezo mkubwa sana kwenye mpira wa Tanzania?huyo anaebana nafasi yamchezaji kama job Tim ya taifa? Aondoke tuu!? Hivi haoni mpaka mama anatoa motisha yakila goli linalo fungwa kwenye mechi za awali clab bingwa milioni 5? Imajni Yani ? Halafu unazuia .mchezaji kama Dickson job asicheze Tim ya taifa? WY? Aisee mama. Atadili nawewe fanya umuite mapema job Tim ya taifa#hao ndovijana walio iva kwenye mpira wa Tanzania kwasasa? Huogopiii?

    • @user-mq4yq6rw1w
      @user-mq4yq6rw1w 22 дні тому

      Na akitwa halafu asimpange Job asicheze aondoke yeye!Taifa linahitaji ushindi na tuna wachezaji wazuri atoke mtu sijui kutoka uswekeni huko anapinga serikali huyu.Akumbuke check ni kama nguo ya kuazima.!

    • @user-mq4yq6rw1w
      @user-mq4yq6rw1w 22 дні тому

      Cheo

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 21 день тому

      MATOPOLO YANA MTETEA CHOOKO MWENZAO 😂😂😂😂😂 MACHOGOOOOOOOOO