AHMED ALLY APIGIWA SIMU NA WAZIRI MKUU/ALLY KAMWE AINGILIA/"MHESHIMIWA TUMIA JINA LA ALLY KAMWE"
Вставка
- Опубліковано 5 вер 2024
- JAMBO LA NCHI Ni zoezi la Uchangiaji Tiketi kwaajili ya kuipa Sapoti Timu ya Taifa Ya Tanzania ‘Taifa Stars’ kwenye Mechi ya Marudiano ya Kufuzu Afcon dhidi ya Uganda Siku ya Jumanne Saa 1:00 Kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa.
Cliford Ndimbo Ofisa Habari wa TFF,amewakutanisha Maofisa wengine kutoka Simba Sc Ahmed Ally,Yanga Sc Ally Kamwe na Azam Fc Hasheem Ibwe ili kuendesha Harambee hiyo kwenye Mkutano na Wanahabari uliofanyika Leo Dar es salaam.
Jumla ya Ticket 10500 zimekusanywa kwenye Hatua ya Awali,Zoezi ilo likiwa ni endelevu Mpaka kufikia siku ya Mechi.
Mpira uliharibiwa na manara ona hawa vijana wanafnya kazi kwa weredi mkubwa presconference za kuvutia wanatufundisha mpira ni urafiki wenye utani wa kujenga nmefurahi sana sana hawa vijana ni wanafaa kuigwa❤❤
Umeonaeee yaani kiukweli tungekuwa mbali sana Tena hao vijana Wana hofu ya mungu matusi hawana nawapenda sana Bora ally kamwe aendee yanga
Kabisa kabisa
Ukifanya kazi na brand kubwa utakuwa mkubwa tu na utajulikana na utakuwa karibu na wakubwa pia, hongera ahmed ally kwa kuichagua simba kuwa ndio klabu yako ya kuisemea
Simba na Yanga tumepata wasemaji wa mpira hii ndo napenda bravo Ahmed bravo Ally kamwe🎉
Kuhusu manara vip
Sanaaaaaaa
Manara wa kazi gani mlopokaji tuu matusi kibao@@merckmdamu2942
Hongereni sana mmenifulahisha sana leo usimba na yanga pembeni,4000, kupitia kwa Ahmed,🤗💕
Daaaaah aiseeee nimefurahi SN Hawa. Vijana AA HIZI ALLY KAMWE NA AHMED
Tumepata semaji la Caf Bravo Hamed Ally
hawa wasemaji wa simba na yanga ni watu wa michezo sana kazi wanaiweza
Hongereni sana sana sana wasemaji wetu wa club zetu mmetisha mme vibe hii ni kwa mara ya kwanza kusupport hivi 👏 lkn Ahmed Ally ndio umpigie waziri mkuu kweli 😂 na mguu ukaweka juu eti ukimaanisha kazi umemaliza 🤣 sawa bhaana umeshinda 😂🏆💚💛💪🇹🇿🇦🇪
Hongereni sana Wasemaji wa timu zetu Simba, Yanga na Azam kazi nzuri sana. Matumaini yetu makubwa tutapata ushindi kwenye mchezo huo wa tarehe 28/03/2023 Bip Up pia TFF
Uhakika tumepata wasemaji kweli syo masiala wa ndo wasemaji Sasa utani mwingi d safi sana Aise siyo kina hajiz manala lopopot utani hajui ila sifatu ndomaana wakamufungua asijishilikishe na mpila miaka miwali na faini mana hajielewi
Ally kamwe umetisha
Daa naflahi sana Ahmed All na All kamwe jinsi mnavyo ishi mnaflahisha kwel kwel
Naam!! Soka sio uadui.Soka hujenga umoja na mshikamano.Kongole kwa Hashim Ibwe,Ahmed Ally na Ally Kamwe.Kinachopendeza zaidi wote watatu ni matunda ya AZAM MEDIA
Kiukweli napenda kuona wasemaji mnashirikiana kwenye mambo muhimu kama haya. Mpira si uadui. Kiukweli mpo vizuri.
Haya ndy mambo tunayataka kwenye mpira wetu siyo waropokaji mpira umepata wasemaji
Tuliza gubu
Jeri muro na manara walileta uadui🙆 na Hawa wasasa wameleta utani😋 hongeleni sana vijana wenzangu🙏🤝📌🔨
Tatizo shule Ahmed na aliy kamwe ni wasomi
Kumbe Jeri alikua msemaji wa timu gan maana mpira nmeanza kufwatilia mwaka juz 2022😂😂
Semaji la migoli mingi mingi semaji la caf mimi niwaombe wanasimba wenzangu tumuunge mkono semaji letu wachezaji viongozi na bechi la ufundi kwa ujumla wake kwa hakika tutafika mbali kwa umoja wetu
Good improvement ya football ad wasemaj wanakaa pamoja
😂😂😂😂raha sana wasemaji wetu wanajielewa mnooo na wanapendana sana
Kiukweli kama mimi nashukuru sana kutokana mwenye kiti wa simba ❤
AZAM TV hapa ilizaa sana
Alikamwe unachekesha sana yani nimecheka sana alivyo mkata semaji laazamu
Napenda sana hali hii nchini kwangu.mpira sio vita jamani
Huu ndiyo Mpira tunaoutaka Tanzania Nchi yenye Amani furaha iliyoje kuwa na Wasemaji mahiri kama hawa big Up kwenu vijana🤣😂😂💪💪💪
Ally Kamwe bhana,ninamkubali sana.Ibwe na Ahmed Ally pia ni wasemaji wazuri.Hongereni vijana kwa kulisogeza mbele soka la Bongo.
Syo soka la bongo soka la tanzania wew bwege nini
I like this, hongereni sana Azam Kwa upendo mlioujenga Kwa hao vijana,wanaongeza hamasa na kuvunja uadui, nimefurahi walivyofanya na wanavyotaniana
Safi sana hawa ndo wasemaji sasa hawana bif wanafanya kazi kwauweled
Hawa ndio wasemaji sasa angekuwepo Ashura cheupe kingenuka jamaa mshari sana uropokaji kwa sasa wangeondonga hapo wamejazana vifua hongereni sana uongozi wa timu zote kwa kuchagua wasemaji wenye kujielewa
Semaji la CAF umetisha
Matunda ya Azam hao wote nawakubali sana
Bravo!!!! You are doing well comrades
Na hapo tumefany kumshtukiza mwenyekiti 😅😅tungempanga mngefurah😅😅
Yan majib yk hayatok mbali
Safiii kabisa kabisa
Hongeren Kwa kuliongoza soka letu vyema.
Naomba Muunganiko huu, muwe nao hata kwa ngazi ya clab hususan vinapo kuja vilabu tuka nje ya nchi ni vizuri kama uzalendo utakuwa mbele kuliko usimba na uyanga.
Kiufupi ally kamwe amelowa
Mnamsumbua tu ahmedi ally mpiara hauchangiwi bali mngewaambia tu ,mashabiki wa ssc walipie zote . Maana huwa hawapendi kilipiwa hao starehe wanaijua.
Wasemeji wa simba na yanga wamenifuraisha sana sana mpira unaitaji sana
mmetisha sana wasemaji wetu
Great moment's 🙏
Nimependa umojawao mwananchi na taifa stars
Safii sana wasemaji wetu t
Nimefrah sana hii ndo tunaipenda sana ktk soka nyny mashujaaa wasemaji wetu watatu nawapenda sanaaaaaaaa
Mko vizur sana mwenyez mungu azid kuwabaliki
Well done
Keep it up
Hili jambo zuri sana liendelee tafadhali!
Pia ni vema liwe linafanyika kwa ngazi ya vilabu!
Daaah naikumbuka iyo
Nimependa sana ❤❤❤❤❤❤
Safi sana wote hapo mezani
Eti nahapo tumemshitukiza daah
Shiikamoo Ahmed Aly
Nimecheka huo mguu hapo mezani siyo powa
I love you guys to the fullest ❤
PM wetu ni simba fan,anajulikana
Namungooo😂😂
@@segeospatialtechnology7482 ni mlezi wa namungo, anayo mapenzi na simba toka ujana wake
@@segeospatialtechnology7482Namungo na Simba hipi ya kwanza kuzaliwa
Simba tunatisha tuko juu
Hongereni nyote wakuu wa simba,yanga,azam .pia komed kwawingi😅😅😅
Nimecheka sana ally kamwe balaaa
huutatu mtakatifu Sana tulichelewa kupata wa semaji waainahi kwa mda mrefu Sana
Yeah,I appreciate
Thank you
Hahahaha hawa jamaa wehu sana Ila kicheko cha ally kamwe cha kikuda
Umekuja na silaha nzito kaka kudadadeki🤣🤣🤣🤣🤣
Wabongoi badilikeni hiliniswala la TAIFA u SIMBA na uYANGA wekeni pembeni tupambanie inchikwanza msituletee usimba na yanga kwenye comment.
Hawa wapo kwa ajili ya uhamasishaji wote wanatetea taifa
Ally kamwe ni comedian san an!!!🤣🤣🤣🤣
Good moments
Naskia wivu kabisa Tanzania muko mbeleee kwaani nchi zingine za Eac usingizini tuuu
Warifika wapi?
We unatokea nchi gani kaka?
So funny...mmetisha sana
Guys u are good 2024
Saf sana semaji la caf
Ahmed alicheza faulo mwanzo...alipiga mwenyewe ahmed
Mama katoa ahadi waziri mkuu mfuate kwa mawaziri muanze na waziri wa michezo pia ahamed usisahau spiker wa bunge ni Simba yule
Muheshimiwa kupitia kupga kwa ahmedi imetia nguvu kwake
ahmed ndiye aliyempigia majaliwa rudia tena uangalie
Ni kweli
Huu ndo upendo unaotakiwa kwetu watanzania.
Ali kamwe ndo kanogesha press 🔋
Safi sana wasemaji sio manala alikua kaziyake kugombanisha watu,
Safiiiii sanaaa
Ila Ahmed jamani mpole
Hapa angekuwepo kenge mmoja ivi angejifanya msemaji peke yake
Yule Loooooooooooooser!!!
Hongera Sana
Ali kamwe anakalibia levo ya ahmed ko akazane😃😂
kama kuna mtu anateseka hapa ni ibwe
Mbona wa azam wanamtenga
Nimefurai sana na sprained ya semaji la kafu.
Kasimu majaliwa nimnyama piwa na nikocha na nimtu wasoka anaujuwa mpila
Manara anajuta maana hizo ndizo issue zake,simba imemkuza simba imemmpoteza,yanga wamemtumia yanga imemupa yanga imempoteza
Ila ukweli usemwe Hawachangamshi km Alivyo kuwa Manara , Alivyo kuwa Akihamasishaaaaaaaaa
Kiukweli awa vijana wanauwezo mkibwa sanawa kutangaza mpila nakuna mwaka tutakuja kuchukua mataji yoye makubea kwa wakati moja ongera zenu wasemaji wete watatu jamani manara sio kabisaaa kwanza tuwashulkulu TFF kwakumfungia nandio chanzo cha kumtoa kwenyenafasi Alli kamwe oyeeeeeeee ila mwamedi ally kubwa lao semaji la CAF
Kama ndo mm Ahmed Ally ningempiga kwel kbao
Mbona niwatu wasimba tu wanao changia hatujasikia mmewapigia watu wa azam na yanga nyinyi nikuwapigia wasimba tu
kiukweli raha sanaa,
Nimefurahia sana 😅😅😅
Eti,hiyo silaa nzito.
😅😅😅
Ahmed anapigia majalia apo 😂😂
Kuna io sehem ally anateta na ibwe tangu babra aondoke
Ila Ahmed Ally ameshindikana
Mamb Tanzania
Kwa ushind!
B
SILAHA NZITO 😅😅😅
Raha ya mpira ❤🎉🎉🎉😂
🔥💎
Kamwe amekaa kinafki sana 😂
Simba mfumo wake mgumu sana yanga hers akisema imeisha
Tulia mwana utopolo
Tulia hapa ni uraia wetu sio uadui
🤣🤣mpigie amedi ali kamwe vp tulia semaji la kafu lazima lipigiwe kwanza si mkubwa 🤣💕🤗
❤❤❤❤ tzs
😂😂😂 wajua kabsa kuchekesha