UKIOTA NDOTO NYOKA KAINGIA KATIKA CHUMBA AU OFSINI........ || MWL CHRISTOPHER MWAKASEGE

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 26 січ 2024
  • Kongamano La Waombaji Sumbawanga |\ 2024

КОМЕНТАРІ • 72

  • @rabekahadson1401
    @rabekahadson1401 5 місяців тому +10

    Jamani tunaomba video nzima ya hili kongamano 😢 naihitaji sana 🙏

  • @emmanuelhumph
    @emmanuelhumph 4 місяці тому +4

    Asante Baba unanikuza sana Mungu akutunze wewe na mama Diana na huduma ya mana

  • @ericmellau3783
    @ericmellau3783 5 місяців тому +7

    Ila uyu mzee ni wamoto sana, yaani i tafsir imenibamba sana ❤❤❤

  • @user-ji7ot3vh6z
    @user-ji7ot3vh6z 6 днів тому

    Tusaidie mtumishi wa Mungu.

  • @emanuelnyab9872
    @emanuelnyab9872 5 місяців тому +6

    Ohoo my Lord ahsante kww mafunuo haya

  • @esthermchiwa7896
    @esthermchiwa7896 5 місяців тому +4

    Mungu wa mbinguni aukumbuke utumishi wako baba huwa unanibariki sana.Natamani siku moja nikuelezee ndoto zangu unisaidie

  • @christopherjoyce1903
    @christopherjoyce1903 Місяць тому

    Amina mtumishi najifunza!ni jana tu nimeota nyoka kaingia kwenye nyumba yetu

  • @rebeccabayo2988
    @rebeccabayo2988 5 місяців тому +3

    Mwalimu naomba nami unikumbuke, niombee kwa mungu shamba langu lizae maana mwaka jana nilipata hasar mungu anisaidie na kuniinua.

  • @bluebirdlogisticsco.limite3415
    @bluebirdlogisticsco.limite3415 14 днів тому

    Amen

  • @neemamachangemachange8874
    @neemamachangemachange8874 5 місяців тому +2

    Jehovah nifundishe kuomba jinsi ipasavyo

  • @user-ke9vc5it1d
    @user-ke9vc5it1d 5 місяців тому +1

    Amen Baba Mungu akutuze

  • @rebeccabayo2988
    @rebeccabayo2988 5 місяців тому +1

    Mungu akubariki mwalimu ili uzidi kutufundisha

  • @meudakayuni2346
    @meudakayuni2346 4 місяці тому

    ❤ nawapenda katika Kristo mbarkiwe saana mtumishi

  • @JacklineJoseph-ld1gi
    @JacklineJoseph-ld1gi 2 місяці тому

    Mwl naomba uniombee niliamka usiku. Nikaenda choooni. Mara narudi nikashutuka nyoka. Kumwamgalia sikumwona. Kweli sikuomba.nimekaaa wiki Moja . Mungu kanikushusha Ile nyoka ndo nikaomba. Nikangoa na kuaribu.

  • @isdoryndayanse
    @isdoryndayanse 5 місяців тому

    Mungu akubalik

  • @user-st8qb8qj7j
    @user-st8qb8qj7j 5 місяців тому

    Mungu akubariki mtumishi

  • @allthingdranabeauty
    @allthingdranabeauty 5 місяців тому

    Amen Babà 🥰

  • @rechosagumo8971
    @rechosagumo8971 5 місяців тому

    Amen baba

  • @EfronMayoba
    @EfronMayoba 5 місяців тому

    Amen sana mtumishi

  • @elishaathumanathuman16
    @elishaathumanathuman16 4 місяці тому

    I receive I receive I receive

  • @edwardpeter701
    @edwardpeter701 4 місяці тому

    Asante mtumishi

  • @emmaforrealtz1
    @emmaforrealtz1 5 місяців тому

    Amina

  • @rahelchilale1075
    @rahelchilale1075 5 місяців тому

    AMEN 🙏.

  • @Mak_health
    @Mak_health 5 місяців тому

    Amen 🙏

  • @user-mt1vj9hh8p
    @user-mt1vj9hh8p 5 місяців тому

    Ameni 🙏

  • @neemamachangemachange8874
    @neemamachangemachange8874 5 місяців тому

    Amen Amen

  • @user-is1ek4dh8o
    @user-is1ek4dh8o 3 місяці тому

    Naomba no za mchungaji jaman

  • @elishaathumanathuman16
    @elishaathumanathuman16 4 місяці тому

    AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN

  • @lightnesskweka4774
    @lightnesskweka4774 5 місяців тому +1

    Shallom mm nimewah kuota nyoka ameingia sehem zangu za siri na hakutoka tena mara 2 kabisaa😢😢😢nn maana yke 😢

    • @joycestivini677
      @joycestivini677 4 місяці тому

      Maana yake unaishi na adui,,hasa eneo la mahusiano

  • @JoshuaHilgath
    @JoshuaHilgath 5 місяців тому

    Ameni

  • @user-kc6lr3pq2c
    @user-kc6lr3pq2c 4 місяці тому

    Ameeen

  • @PriscaDaniel-vu5bl
    @PriscaDaniel-vu5bl 2 місяці тому

    Mwalimu mm nikiota nyoka mkubwa sana kavunja duka langu na aliyemtuma ni jirani yangu ,baada ya hapo uchumi wangu umevurugika sana ,leo nimeota nimengatwa na nyoka meno mawili

    • @CharlesNdoshi-xk7hd
      @CharlesNdoshi-xk7hd Місяць тому

      Omba tena kwa maombi ya mnyororo wa kufunga usipo angalia uko pabaya sana

  • @aidanongole9341
    @aidanongole9341 5 місяців тому

    amen

  • @MagangaMasunga
    @MagangaMasunga 4 місяці тому

    Ameen

  • @ChristinMsanganzila-te4pf
    @ChristinMsanganzila-te4pf Місяць тому

    jesus❤

  • @florasimba3784
    @florasimba3784 4 місяці тому

    Namb namb ya mtumish mwakaseg jmn

  • @user-im4dv8ls1b
    @user-im4dv8ls1b 5 місяців тому

    Baba naomba maombi

  • @tumainiswai3540
    @tumainiswai3540 5 місяців тому

    Nimepata kitu nukikuamwajiriwa miaka 8 imepita sasa lakini naota nikiwa na yule boss. Tunahesabu ela hii inamanisha boss ananipiga ela nini

  • @samwelimadaraka4358
    @samwelimadaraka4358 5 місяців тому

    Nina shida sana nahitaji mawasiliano ya Mwali mwakasege

  • @amosmdullah7301
    @amosmdullah7301 3 місяці тому

    Imenikita ili jambo😢

  • @christinamwakitalima4267
    @christinamwakitalima4267 5 місяців тому

    Tunaomba somo lote huduma ya mana

  • @MINISTERBAHATIMPUME-px4pf
    @MINISTERBAHATIMPUME-px4pf 4 місяці тому

    Wewe ni Baba unanilea japo sijawahi hata kukaa karibu na wewe zaidi ya kukuona madhabahuni

  • @user-gh9oh6mt5o
    @user-gh9oh6mt5o 4 місяці тому

    Niliota nyoka anaishia kutoka ndani paka wawili waksmla sikufuatilia😅😊

  • @franklinisaya4796
    @franklinisaya4796 5 місяців тому

    Kwanza nimecheka kweny kukimbia

  • @user-jt4xw3py4k
    @user-jt4xw3py4k 5 місяців тому

    Tunaomba semina nzima baba

  • @user-th5xz1fg5t
    @user-th5xz1fg5t 5 місяців тому

    mtt wng mm anakimbia mpk ktandan uyo nyoka anamfuata na anamkimbiza

  • @FelisterMunissy
    @FelisterMunissy 5 місяців тому

    Niliota baba nimengatwa na nyoka

  • @HappynesSamuel
    @HappynesSamuel 5 місяців тому

    Baba namie niliota ndoto nyoka kalala tumboni kwangu nyoka wa blauni

    • @beniviva5014
      @beniviva5014 5 місяців тому

      Duuuuh!! Omba toba Kwaajili ya chochote kilichofungua Mlango huyo nyoka akakaa hapo tumbn, Afu anzaa kuachilia Damu ya Yesu kumuondoa, jitahd kuombea sana hiyo ndoto, Maan baaada ya MUDA UTAAANZA KUSUMBULIWA NA MATATIZO YA TUMBO, ukishindwa kuomba mwenyew Mtafut mtumish mweny Nguv za Mungu akusaidie kuomb usiipotezee hiyo ndt

    • @HappynesSamuel
      @HappynesSamuel 5 місяців тому

      Ni miaka 4 iliyopita na kweli nasumbuliwa sana na tumbo kila nikienda hospital wanasema ni UTI na Taifod na kila mwez naenda hospital nameza dawa zikiisha linaanza kuuma tena

    • @HappynesSamuel
      @HappynesSamuel 5 місяців тому

      Kuna Mtumishi wa Huduma ya Mana Mwanza huwa naenda

    • @beniviva5014
      @beniviva5014 5 місяців тому +1

      Duuh! Pole aisee Mtumish, Hilo tumbo sio La ugonjwa wa kawaida Kam wanavyosema Uti, Mi nikushaur kam unaweza kufunga na kuomba, Na maombi yako yakilenga Toba Na Damu ya Yesu, Na kuamuru kila rojo iliyo kaa kweny Tumbo lako ikuachie, Basi baada ya Muda Utafunguliwa na utakua mzima kabisa

    • @user-th5xz1fg5t
      @user-th5xz1fg5t 5 місяців тому

      mwanang anaota anakimbizwa na nyoka

  • @eaglecrown1101
    @eaglecrown1101 5 місяців тому

    Mie niliota nyoka kaniuma lakini nikamlalia kifuani na yeye huyo nyoka akafa

    • @yukundapeter8200
      @yukundapeter8200 4 місяці тому +1

      Hongera sana hapo ulikuwa adui.Mimi nilitoka kwa rafiki jioni,kagixa kanaingia,nkawa Nakimbia wamama wawili wakanistopisha ucje cha2,yule mama mmoja akarudi dukani kwake kuchukua panga,mimi nkachukua jiwe kubwa km kichwa changu,nkamlenga Nyoka cha2 kichwani paa akaviviringisha,nkachukua jingine paa,aka2lia ana hacra,mama wa duka akalikata kichwa likafa,hii ni life,Unene wake unakaribia nguxo ya umeme,urefu nusu nguxo,mkichwa wa nyoka 2kausokomexa kwenye shimo la mchwa pana sn.Kila alopita hakuna aloamini km cc wamama 3 ndo 2meuwa lile joka,ucku nikiwa ucngixini ktk ndoto,akanijia akanijia joka lile lile,likaniulixa kwa nn umeniua?? Sasa nakuuwa wewe,nami nkaliambia joka hutaniuwa,ntakuuwa mimi ktk jina la Yesu,nkachukua gongo nkalipiga kichwani nkaliuwa.Nkastuka ucngixini moyo ukawa unadunda sn,Nkafunga safari kwenda Arusha kumwelexea Mch.Mch akaniambia lile likitoka kuximu,kwa nguvu ya Mungu nkalishinda.Ukiwa karibu na Mungu utaepuka mengi ya ibilic.

    • @eaglecrown1101
      @eaglecrown1101 4 місяці тому

      @@yukundapeter8200 duuuu hongera Sana ulishinda hiyo Vita

  • @esthermbugulu3404
    @esthermbugulu3404 4 місяці тому +1

    Amen

  • @JacklineJoseph-ld1gi
    @JacklineJoseph-ld1gi 2 місяці тому

    Amen

  • @mathewpeter9504
    @mathewpeter9504 5 місяців тому

    Amen

  • @user-ep2jm7dp2r
    @user-ep2jm7dp2r 5 місяців тому

    Amen

  • @user-ep2jm7dp2r
    @user-ep2jm7dp2r 5 місяців тому

    Amen

  • @user-gg4ok6ws4p
    @user-gg4ok6ws4p 4 місяці тому

    Amen

  • @JonhMassawe
    @JonhMassawe 4 місяці тому

    Amen

  • @rosedohho8971
    @rosedohho8971 4 місяці тому

    Amen

  • @amanmponji219
    @amanmponji219 5 місяців тому

    Amen

    • @HappynesSamuel
      @HappynesSamuel 5 місяців тому

      Amina Mtumishi nikumbuke ktk Maombi wakati mwingine nashindwa kuomba

    • @HappynesSamuel
      @HappynesSamuel 5 місяців тому

      Pole Mungu Akutetee