MWL CHRISTOPHER MWAKASEGE: FAHAMU NI JINSI GANI SADAKA INAVYOWEZA KUSHIKA MAISHA YAKO YA BAADAE.

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 18 тра 2023
  • USHUHUDA HUU WA MWLIMU MWAKASEGE NI SEHEMU YA SOMO LENYE KICHWA KINACHOSEMA "HASARA NA HATARI ZA KUTOUTHAMINI WOKOVU" ALILOFUNDISHA KAHAMA, MWAKA 2023 SEMINA SIKU YA PILI.

КОМЕНТАРІ • 85

  • @user-gu4fe4zv1e
    @user-gu4fe4zv1e 7 місяців тому +7

    Mungu wetu anasikia Kila unalo omba kwa uaminifu , Nina muomba MUNGU atujarie sisi wasichana ambao hatujaolewa tuwe na maamuzi sahihi ameen 🙏

  • @SimonLukindo-qm8ql
    @SimonLukindo-qm8ql Рік тому +7

    Napenda sana kuwa pamoja na mwalimu ananifundisha sana nampenda sana ananipeleka nitakiwapo

  • @cominathamchomvu2206
    @cominathamchomvu2206 Рік тому +4

    Ee Mungu nisaidie na mm nahitaj kuwa miongon mwa watu wakoo nabarikiwaa saana na mwakasegeee Mungu akubarik saanaa

  • @rhodanilsson9627
    @rhodanilsson9627 Рік тому +19

    Hii neno linanitafarisha sana . Asante Yesu mama ya mtumishi alitoa sadaka kwa Mungu aliye hai. Nawaza tu kwa sauti haya maisha na sadaka zilizotolewa sehemu mbalimbali tusizozijua na kushika maisha yetu.

    • @nyamburafrank9782
      @nyamburafrank9782 Рік тому

      Ndiyo kabisa mkuu

    • @ibrahimsokoine
      @ibrahimsokoine Рік тому

      Mungu akupe maisha marefu huduma hii inanifugua akili namna ya kumtumikia Mungu.

  • @agapenyigo9798
    @agapenyigo9798 10 місяців тому +5

    Daaa mm nampenda sanaaa huyu mzee yaan mafundisho yake yanaaa maanaaa

  • @user-vi9xn5ui9g
    @user-vi9xn5ui9g 8 місяців тому +3

    Kwa kweli mtumishi wa MUNGU unatufundishaga neno la MUNGU kwa namna ambavyo mimi naeza nikasema huwa unaonanaga na MUNGU ANA KWA ANA asante sana MUNGU anisaidie nizidi kuwa na ufahamu!

  • @alexrichboy93
    @alexrichboy93 Рік тому +6

    MTUMISHI WA MUNGU, ni ombi langu, Mungu afanye mlango na kufungua kibali juu ya mkoa mpya wa Songwe (Mlowo) Tupate neema hii.
    Tunakukaribisha sana Mtumishi wa Mungu. Na Mungu akuwezeshe na kukubariki.

  • @carenmitta6939
    @carenmitta6939 14 днів тому +1

    Asante mtumishi! Nabarikiwa na neno lako japo napitia wakati Mgumu lakini wakati wa Mungu ni wakati sahihi Amen.

    • @kaicy165
      @kaicy165 7 днів тому

      Amina, usiache kumwamini na kumtegemea Mwenyezi MUNGU hasa nyakati za shida, atakutendea zaidi ya uwazavyo na uombavyo katika muda wake🙏🏾❤.

  • @veronicamwaseba7839
    @veronicamwaseba7839 Рік тому +2

    Tuko pamoja Baba. Naomba sana Mwenyezi Mungu atufungue ktk vifungo mbalimbali tulivyofungwa bila sisi kujua.

  • @GodfreyAllan-yv3pk
    @GodfreyAllan-yv3pk Рік тому +8

    Umenigusa Mtumishi wa Mungu... Umenikumbusha mbali,,,, UBARIKIWE

  • @priscamussa4672
    @priscamussa4672 6 місяців тому +2

    Eeeh Mungu katika ulimwengu huu wa mwili na roho naomba ukanitendee ukanionyeshe mambo makubwa na magum nisio yajua😢 tunaishi dunia ambayo watu wa karibu ndio wanao tuuwa kwakua wanatufahamu kiundani roho mtaka tifu uniongoze unioneshe yote yanayo kuja mbele yangu

  • @erickykiwango4012
    @erickykiwango4012 Рік тому +3

    Ubarikiwe sana mtumishi WA MUNGU nimaombi yangu mbele za bwana juu ya mahusiano yangu na mtu nlioko nae ni miaka 2 Sasa tumepiga hatua Sasa imefika mahali s week 2 zimepita anasema hawezi kuondelea tena katolewa sadaka za kishirikina na MUNGU kaninisistiza kutoa sadaka kwa ajili yakurudisha fikra na fahamu zake tena maana upendo umeisha ghafla

  • @ElifurahaMinja-hp2hy
    @ElifurahaMinja-hp2hy Рік тому +3

    mungu wetu ni mwaminifu sanaa... anatuwazia yaliyomema kila siku

  • @user-uz3po4gr6n
    @user-uz3po4gr6n 7 місяців тому +3

    Kweli Mungu yupo, Amen mtumish

  • @user-ny5gc3fg8d
    @user-ny5gc3fg8d 25 днів тому

    Amen, UTUKUFU KWA YESU KRISTO❤

  • @olivaerasto372
    @olivaerasto372 Рік тому +37

    Mungu atusaidie.wakati mwingine tunapitia maisha magumu kupita kiasi. kumbe ni sadaka zilizotolewa upande wa pili.Mungu nakuomba unisaidie na ufungue akili yangu na ufamu wangu nikujue njinsi ulivyo na nikutafute kwa akili yangu yote na ufahamu wangu pia na nguvu zangu.fungua macho yangu ya kiloho ili nijue kinachoendelea katika maisha yangu katika ulimwengu wa kiloho.

  • @trillhappybeautypoint9874
    @trillhappybeautypoint9874 5 місяців тому +1

    Ooh man of God ❤

  • @EsterMathayo
    @EsterMathayo 2 місяці тому

    Amina sana na barikiwa sana na neno la mungu mungu azidi kutupa ufahamu

  • @jescatebuye2287
    @jescatebuye2287 Рік тому +3

    Umebarikiwa na Mungu mtumishi Mungu aendelee kukuweka ili utufundishe.najiskia kubarikiwa ninaposikia mafundisho

  • @mohamedimembe834
    @mohamedimembe834 3 місяці тому +1

    Mungu ni MUNGU mwenye Nguvu

  • @KamusokoTz
    @KamusokoTz 7 днів тому

    Mungu awe nawe mtumisha na Asante Kwa neno

  • @angelamdee9319
    @angelamdee9319 Рік тому +7

    Haleluuuuuuuya!!! Asante YESU kwa ajili ya mama

    • @matildachuhila1321
      @matildachuhila1321 Рік тому

      Kumbe Mtumishi mkubwa namna hii alizaliwa na mama ambaye angeweza kuwa Sista!!Nampenda Mungu kwa sababu huwa hasahau Agano analofanya nasi.Abarikiwe yule mama kwa kitimiza Agano alilofanya na Mungu.Tazama sasa kila mtu amchaye Bwana anachota hekima hii kubwa Asante Yesu

  • @NdageDacosta-uy4ir
    @NdageDacosta-uy4ir Рік тому +1

    Mtumishi wetu baba wa taifa yupo vizuri

  • @Julesbahatip3
    @Julesbahatip3 5 місяців тому +2

    Merci Sana.

  • @InesYohana
    @InesYohana 2 місяці тому

    Barikiwa baba mungu akutunze

  • @kimpalambapj
    @kimpalambapj Рік тому +1

    Aisee!
    Mungu nisaidie sana kujua kweli yako.

  • @FarajaMbigi-zs9ed
    @FarajaMbigi-zs9ed Місяць тому

    barikiwa baba christopher

  • @eliasbelthandiyooooo6119
    @eliasbelthandiyooooo6119 8 місяців тому +1

    Mungu akupe umri mlefu

  • @maryamm7254
    @maryamm7254 Рік тому +5

    Ubarikiwe mama mtumishi na mwalimu

  • @fredyJoseph-pb7og
    @fredyJoseph-pb7og 2 місяці тому

    Amina ..tulishe kondoo wako tunaangamia kwakukosa maarifa na hekima ya kimungu ndani yetu ituinue tusikie yale anayotaka tusikie na tuone anachotaka tuone na kunena anachotaka tunene kwa jinsi aonavyo yeye inafaa.

  • @ReginaSanga-uo7yo
    @ReginaSanga-uo7yo 11 місяців тому +1

    Asante mungu kwajili ta mama

  • @erickmkandara8245
    @erickmkandara8245 Рік тому +3

    Mungu unapodhuru wengine usinipite na famiria yangu

  • @StephanoMollel-eu2dp
    @StephanoMollel-eu2dp 2 місяці тому

    Hakiki Mungu aturehemu na wazazi wetu waliotuunganisha na sadaka tusizojua

  • @irenelyamuya5466
    @irenelyamuya5466 Рік тому +2

    Uso wako uende nami YESU 🙏 nawe utanipa Raha 🌹

  • @daudlusaganya5324
    @daudlusaganya5324 Рік тому +4

    Mungu ushikae agano nisaidie na mimi

  • @esteryohan290
    @esteryohan290 6 місяців тому +1

    Aminaa 🙏🙏

  • @ambindwilehosea6837
    @ambindwilehosea6837 Рік тому +3

    Aaah ama hakika Mungu yupo

  • @donathasimon9292
    @donathasimon9292 Рік тому +1

    Ubarikiwe Mwalimu nakuelewa sanaaa🙏🙏naninakufurahia

  • @ShedrackabelpetroShedrackabelp
    @ShedrackabelpetroShedrackabelp 6 місяців тому +1

    Amina

  • @petersimeone6621
    @petersimeone6621 11 місяців тому +1

    Amen mtumishi

  • @EmmaSwai-uv1fh
    @EmmaSwai-uv1fh Місяць тому

    Mtumishi wa Mungu naomba nieleweshe nini maana ya Fungu la kumi

  • @PascalMuga-zk7bm
    @PascalMuga-zk7bm 8 місяців тому +1

    Amen Amen🎉

  • @kibwanambelwa8352
    @kibwanambelwa8352 Рік тому +3

    Amen

  • @user-bt5mu4gz4u
    @user-bt5mu4gz4u 6 місяців тому +1

    Eee MUNGU utusikiye tunapo kuomba na sadaka tunazo toa kanisani hata kwawenzetu ambao ni wandugu na marafiki zikubaliwe na wewe mwenye uwezo.

  • @maryamm7254
    @maryamm7254 Рік тому +3

    MUNGU mwenye nguvu libarikiwe Jina lako

  • @DenisRaphael-un3yq
    @DenisRaphael-un3yq Місяць тому

    Amen 🙏🙏

  • @elishaanyosisye4078
    @elishaanyosisye4078 Рік тому +3

    nguvu ya agano nakuelewa mtu wa Mungu

  • @emmanuelkalangwa-fc3iz
    @emmanuelkalangwa-fc3iz 9 місяців тому +2

    Mtumishi wa MUNGU,, BWANA akuongezee miaka ya uzima na amani taifa bado linakuhitaji sana

  • @bigbrightentertainment9498
    @bigbrightentertainment9498 Рік тому +3

    Kanisa LA Baba Mwakasege liko wap naomba msaada

    • @franklinjr996
      @franklinjr996 11 місяців тому

      ingia kwa page zao za instagram na facebook utapata info zaidi

    • @user-lg3ez7yh8c
      @user-lg3ez7yh8c 2 місяці тому

      Mwakasege hana kanisa ni Mwalimu WA neno la MUNGU Nchini kote

  • @JacklineMwakyange
    @JacklineMwakyange Рік тому +2

    Amina ubarikiwe sana mtumishi ni neno lenye ujumbe mkubwa sana katika maisha yangu Mungu anisaidie

  • @user-ky2bq1sf8w
    @user-ky2bq1sf8w 6 місяців тому +1

    🙏🙏

  • @EzekielPaulo-pm9wy
    @EzekielPaulo-pm9wy Рік тому +1

    Baba

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 Рік тому +1

    Asante baba

  • @rebekahMarco
    @rebekahMarco Рік тому +2

    Amen sana mtumishi Mungu, asante Yesu kwa sadaka ya mama aliyoitoa kwa Mungu wetu aliyehai. Umekuwa msaada sana mwalimu mwakasege Mungu akupemaisha marefu. Tunabarikiwa na uwepo wako

  • @claudiajosephmselle5091
    @claudiajosephmselle5091 Рік тому +1

    Aleluyaaaa

  • @magdalenemohamedi7061
    @magdalenemohamedi7061 Рік тому +1

    Hii ni nzuri lakini mtu akitolewa sadaka kwa miungu atateseka

  • @furahasanga2534
    @furahasanga2534 Рік тому +1

    MATENDO YANAZUNGUMZA 80%
    MANENO YANAZUNGUMZA 20%
    SASA HIVI MNAFANYA BIASHARA
    SIYO HUDUMA TENA, NDIO MAANA
    MNATEGEMEA SAYANSI ZAIDI KULIKO MUNGU, MNAMALIZA
    KAMA SAULI AU KAMA SAMSONI NA DELILA😭😭.

    • @producerflorizy2365
      @producerflorizy2365 Рік тому +6

      tengeneza mahusiano yako binafsi na Mungu linda kunywa chako kwenye habari za watumishi wa Mungu hata kama wanakosea itakusaidia sana...

    • @miraclennko1147
      @miraclennko1147 Рік тому

      Mungu nimwaminifu San nakupenda mwalimu shuuda zako Zina niinu

    • @adelajoseph127
      @adelajoseph127 Рік тому

      Yani wewe mwokope Mungu ilapole.

    • @lightnessjulius7173
      @lightnessjulius7173 Рік тому

      Kama ni rahisi fanya na wewe

    • @johnzacharia
      @johnzacharia Рік тому

      Usiseme hivyo ndugu nihatari kwako kiroho Tena kwa mtumishi wa Mungu wa kweli Kama huyu tubu haraka maneno hayo uliyotamka hayatakuacha salama, heri uwe msikilizaji Sana kuliko kuwa msemaji, chunga ulimi wako

  • @arcadetlwigulira3212
    @arcadetlwigulira3212 Рік тому +1

    Amina

  • @shilwamwanilonga9763
    @shilwamwanilonga9763 5 днів тому

    Amen

  • @urasaanold2851
    @urasaanold2851 Рік тому +1

    🙏

  • @ErnestBukombe
    @ErnestBukombe 19 днів тому

    Amina

  • @user-pj1qx4sg7i
    @user-pj1qx4sg7i Місяць тому

    Amina

  • @EmanuelCharles-jz6ut
    @EmanuelCharles-jz6ut 3 місяці тому

    Amen