Hongera sana 😍 Awesome hakika MUNGU Yu mwema 😍vyote ni mall Yako MUNGU. wangu. tusipo kutolea ww tuta mtolea nani 🙏🙏🙌🏿hallelujah hallelujah Glory to GOD 🙌🏿
Wakristo tulifunzwa kutoa, kwa mfano mimi nimechangia kanisa laki 5 na mshahara wangu laki tatu, sababu nimefundishwa anae nipa kila kitu ni Mungu kwanini nisimtolee? Ila kwa waislam wanao toa pesa nyingi ni wale matajiri tu tena anaweza kujenga msikiti peke yake, hawa wachini kama mimi hua hawaoni sababu ya kutoa saaaana.
Mungu akabari kazi za mikono yenu kwa kujitoa kwa ajili ya nyumba ya bwana. Natamani sana siku kanisa litakapo ona umuhimu wa kutumia ushawishi wake na kukusanya pesa kwa ajili ya kujenga viwanda vidogo na vikubwa kwa ajili ya kujenga ajira kwa vijana. Kanisa ni mihumu kuinua watu kiroho na kuwawezesha kupata mahitaji yao ya kimwili. Naamini kila jimbo lingeweka mkakati wakuwa na kiwanda angalao viwili, watoto wetu wangepata ajira na kuzidi kumtumikia Mungu. Naamini hilo linawezekana tukiwa na nia ya kulisaidia taifa. Naona Makanisa na misikiti inaongezeka kila mtaa, lakini hakuna viwanda kila mtaa, nafkri bado hatujafkria vizuri jinsi ya kuliunua taifa letu.
Ndugu Makupa, Kati ya Fikra nilizonazo Juu ya hizi majenzi ya hizi nyumba kuuuuubwa ibada Nami nahiis mapungufu makubwa sana. Mfano. Ipo shule ya secondari Siha. Hivi Sasa imefungwa, hii ikikarbatiwa na ikafanywa maalum Kwa mafunzi ya Computer nadhani itapata wanafunzi wa kutosha Lakini kwanini vijana sasa hivi hawapendi kanisa ( wengi wao!!) Ni kwamba hawapati wanachotarajia!! Makanisa mengi hasa ya huku vijijini siku za ibada waumini ni wachache sana
@@joharimapunda7678 acha kuleta sababu hasi Walishikilia nchi ndo nini Walioko juu na vyeo vingi ni waislam, kuchangia sisi haijaanza leo ni toka enzi Hapo sijaona michango mikubwa saana maana sisi tushawai changa mpaka bil 1 ndani ya wiki bila kuwepo mwanasiasa
@Hassan Bakar 🙏🙏🙏🤔 Hapa uta ona wakija kucommnt ila inge kuwa ile Ya makafiri wakubwa unge wanao kama wote 😂🤣🤣🤣😂🤣 ninacho mpenda MUNGU wa wote aijalish kafiri or laah Na ana toa ridhiki kwa wote kweli MUNGU ni penda 💕 😂🤣
@@joharimapunda7678 sasa kwanini na sisi tusio kama awo alf sisi ndo wenyew dini Ya haki 😂🤣🤣🤣🔨🔨ila MUNGU muach aitwe MUNGU ana tuonyesha hapa hapa dunia kwamba hata makafiri wana haki kuliko 😂🤣😂🤣😂🤣😂
@@joramkimario9321 hawa watu hufundishwa ubinafsi nahisi!cha kwao cha Halali cha kwetu utapeli,pia hawafundishwi ukarimu nahisi,na pia hhufundishwa kufatilia yasiyo wahusu nahisi 🤔!!
Hongera sana Rev Kimaro ww ni kipenzi cha watu wengi. Mungu azidi kukuinua katika utumishi wako.
Hongera sana 😍 Awesome hakika MUNGU Yu mwema 😍vyote ni mall Yako MUNGU. wangu. tusipo kutolea ww tuta mtolea nani 🙏🙏🙌🏿hallelujah hallelujah Glory to GOD 🙌🏿
Hongera sana Baba Mchg. Dr. Eliona Isack Kimaro. MUNGU azidi kukuinua ktk huduma yako. "Your the chosen one" we ❤ you. Mbingu zizidi kukutambulisha.🙏
Our Champion Dr Kimaro wewe umechaguliwa tangu tumboni mwa mamayako umeshangaza dunia , who has the final say Jehova has the final say 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Waauu baba yetu mchungaji Ref: Eliona Kimaro hongera sana tunakupenda sana sana Mungu akubariki sana
Hongera sana Mch, Eliona kimaro kwa kazi njema ya kumjengea MUNGU hekalu.
Wakristo tulifunzwa kutoa, kwa mfano mimi nimechangia kanisa laki 5 na mshahara wangu laki tatu, sababu nimefundishwa anae nipa kila kitu ni Mungu kwanini nisimtolee? Ila kwa waislam wanao toa pesa nyingi ni wale matajiri tu tena anaweza kujenga msikiti peke yake, hawa wachini kama mimi hua hawaoni sababu ya kutoa saaaana.
Kwa kweli Kuna Cha kujifunza apa waisalam #heroman tv
Mungu akabari kazi za mikono yenu kwa kujitoa kwa ajili ya nyumba ya bwana. Natamani sana siku kanisa litakapo ona umuhimu wa kutumia ushawishi wake na kukusanya pesa kwa ajili ya kujenga viwanda vidogo na vikubwa kwa ajili ya kujenga ajira kwa vijana.
Kanisa ni mihumu kuinua watu kiroho na kuwawezesha kupata mahitaji yao ya kimwili. Naamini kila jimbo lingeweka mkakati wakuwa na kiwanda angalao viwili, watoto wetu wangepata ajira na kuzidi kumtumikia Mungu. Naamini hilo linawezekana tukiwa na nia ya kulisaidia taifa. Naona Makanisa na misikiti inaongezeka kila mtaa, lakini hakuna viwanda kila mtaa, nafkri bado hatujafkria vizuri jinsi ya kuliunua taifa letu.
Ndugu Makupa, Kati ya Fikra nilizonazo Juu ya hizi majenzi ya hizi nyumba kuuuuubwa ibada Nami nahiis mapungufu makubwa sana.
Mfano. Ipo shule ya secondari Siha. Hivi Sasa imefungwa, hii ikikarbatiwa na ikafanywa maalum Kwa mafunzi ya Computer nadhani itapata wanafunzi wa kutosha
Lakini kwanini vijana sasa hivi hawapendi kanisa ( wengi wao!!)
Ni kwamba hawapati wanachotarajia!!
Makanisa mengi hasa ya huku vijijini siku za ibada waumini ni wachache sana
Mungu akuongezeye masikuzamisha nakufanta toka kongo
Mungu akubariki pastor kimaro
Mungu akubariki mch. 🙏🏽
Amina
Mungu Mwenyezi Akubariki sana Kwa KAZI njema. Amina
Kama hutojari wa kristo tunasema "mwenye enzi Mungu" sio mwenyezi
UbArikiwe Kiimaro
Viongiz angaalien bas na Barbara ya Matala.Naomben iwekwe lami jaman.
Amen amen amen
Kimaro ni mchungaji wa kipekeeee acha awe na bango lake mjini hapa anastahili mnooooo
Huyu Mchungaji ana kitu Cha ziada, ndo maana shetani anamfuata fuata
WAISILAMU TUJIFUNZE,,KATIKA PITA PITA ZANGU SIJAWAH ONA WAISLAMU WAMEFIKA HATA 100M KATIKA MICHANGO YETU..
Kwanza nikurekebishe sio michango niharambee nakingine hawa watu wameshika dola kwa asilimia kubwa ona tu waliopo hapo
@@joharimapunda7678 😆,hudhuria misikitini,,,any Wei harambee ni jina tu,,ni kama kuogopa na wasiwasi
@@joharimapunda7678 acha kuleta sababu hasi
Walishikilia nchi ndo nini
Walioko juu na vyeo vingi ni waislam, kuchangia sisi haijaanza leo ni toka enzi
Hapo sijaona michango mikubwa saana maana sisi tushawai changa mpaka bil 1 ndani ya wiki bila kuwepo mwanasiasa
@Hassan Bakar 🙏🙏🙏🤔 Hapa uta ona wakija kucommnt ila inge kuwa ile Ya makafiri wakubwa unge wanao kama wote 😂🤣🤣🤣😂🤣 ninacho mpenda MUNGU wa wote aijalish kafiri or laah Na ana toa ridhiki kwa wote kweli MUNGU ni penda 💕 😂🤣
@@joharimapunda7678 sasa kwanini na sisi tusio kama awo alf sisi ndo wenyew dini Ya haki 😂🤣🤣🤣🔨🔨ila MUNGU muach aitwe MUNGU ana tuonyesha hapa hapa dunia kwamba hata makafiri wana haki kuliko 😂🤣😂🤣😂🤣😂
Hichi ndicho kinachomponza wivu watu wakimwona na kibali hk vita haikomi
Za Yanga au
Hahahaha jamani
Kama ni Hella safi basi ni sadaka safi!
Mungu hutakasa
mmmmm bora wewe umetambua 🔥🔥🔥🔥🔥
Mwiguru amechukua azina
Wanalipana pesa ndefu si mshahara wake wa mwezi huu
Tafuta pesa upunguze makasiliko
Na wewe godfrey kama hujui jina la mch.usitungela kwako anaitwa Eliona Kimaro mshamba wewe.
Steve Nyerere kamaliza maneno hiyo cio sadaka ni utapeli mkubwa
Ni sadaka ya kujega kanisa
Jina lenyewe Suleiman,tushakujua haina haja ya kukuelekeza
Ingekuwa niwa kuwajengea msikit vp
@@joramkimario9321 hawa watu hufundishwa ubinafsi nahisi!cha kwao cha Halali cha kwetu utapeli,pia hawafundishwi ukarimu nahisi,na pia hhufundishwa kufatilia yasiyo wahusu nahisi 🤔!!
@@sabrinajuma3253 😅😅😅😅😅😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌