Hongereni sana waumini Kwa zawadi nzuri na mumemuenzi Baba askofu angali akiwa hai.,,sio Yale maneno ya baada ya kuondoka . Mungu awabariki sana ,, hakika ukimtumikia Mungu Kwa uaminifu naye Mungu anakuheshimisha .
Ninachoshangaa kuna watu wanapata shida kwa baba askofu kupewa zawadi,hawa wapendwa walitoa kwa hiari yao wenyewe,sasa ukisema waumini wanakondeana wapi hii zawadi hawjatoa waumini wote ni wachache tu wenye maisha yao muumini anaweza kutoa milioni 10 unafikir ni mtu ambae amekondeana,Mungu awabariki sana kwa sadaka zenu
Unaweza ongea kejeli kwa Kanisa halafu baadae unajikuta unapata matatizo usojua yametokea wapi kumbe ni kejeli kwa Kanisa. Tumeshuhudia viongozi mbali mbali kutoka sekta mbali mbali wakipewa zawadi (shukrani) kwa kazi /Utumishi uliotukuka. Hilo gari amepewa kama zawadi na amepewa na watu wachache walioona wamzawadie kama Mkongojo wa Babu!! Tuache maneno mengi. Mwenyenzi Mungu Awabariki wote waliotoa kwa Mtumishi wa Mungu!!!!!
Hiyo safi sana !! Achaneni na hawa wapagani ambao hawaimini ktk Mungu na watumishi wake. Walimksoa Yesu alipewa pafyumu na akawajibu maskini mnao siku zote.
Hongereni sana kuna ambae hawaoni Sababu na wanalalamika hata kipindi cha Yesu mayuda walilalamika Yesu kuzawadiwa marihamu safi. So ni jamboree la historian tu
Mwaka 2016-2021 naliamka asbh Sana kupiga kinanda Cha ibada usharika wa Moshi mjini.kinanda Cha miguu....nilipiga na kupewa nauli ya shilingi 150000.ajabu kilinunuliwa kinanda cha garama Sana na siku hiyo hyo niliondolewa bila hata neno la kwa heri didn't forget this..
Sio jambo baya lakini muda mwingine mchange muwapatie watu wenye mahitaji maalum unafuu wa maisha ,kama vile walemavu ,vipofu,viziwi ,MASKINI mayatima nk.
Acheni manenomaneno ilifaa apate hata zawadi ya private jet mbona wanasiasa wanatuibia kila siku wanajiwekeza had nje ya nchi hamsemi tena inatakiwa mashekhe wachungaji na mapadri ndio wamiliki vitu vizuri kuliko wanasiasa mana nchi na vyote vijazavyo n Mali ya bwana na hawa ndio watumishi wa bwana so acha wafaidi m sichukii hata kidogi
Any business that do not attract Death and taxes is always attractive and profitable in short and long terms Let's keep on investing in religion than erecting factories because jobs,incomes and taxes are of little value addition to our life AFTER death. Safiiiiii sana
Kupongeza jambo hilo ni kumdhihaki Mungu Muumba ambaye alitupendelea sisi wanadamu akili ya utambuzi wa mambo lakini hatuitumii ipasavyo! dogmatism hii ni hatari kwa nini usiwepo mpango endelevu wa kuondoa umaskini kwa wanakondoo husika kupitia michango?
Mnachota maji mferejini mnamwaga baharini, haliyakua bahari limejaa. Angalieni hapo nyumbani kwanza, kuna watu wanakosa mlo kwa siku na mnawafahamu. Tujiongezege na kumuogopa mungu na kuwa na huruma. Hakika mungu anasema tumuangalie aliyeko chini kwanza.
Acheni maneno mengi ninyi, wewe umesaidia Maskini wangapi...? Kila kitu ni kulaumu tu na cha ajabu unalaumu kuhusu Watu kumtunza Askofu wakati hujachangia hata tsh Mia yako. Kuna mamba hayakihusu hvyo jifunze kutulia.
Unawivu sana wewe ,,Biblia inasema mtu akinitumikia baba mtamheshimu Sasa askofu amemtumikia Mungu,,na Mungu akampa heshima hii kwani nani aliyekuambia kanisa halihudumii watoto yatima acha kejeli mara moja
Waumini wa leo wanajipendekeza sana ukisoma maandiko hakuna mitume wa Yesu waliopewa zawadi ata Petro pamoja na kuwa mpambe wa Yesu hakupewa zawadi hizo.
😅😅😅 biblia gani hiyo......au yakwako, Elia aliomba unga uliobaki kwa yule mjane, petrol na Paul wote walipewa sana vyakula tena walikua wanaamrisha nipe mnyama huyu nile
@@walker-96 Elia aliomba kwa Mungu akuomba kwa wanadamu, na mtume Paulo akutaka kuwa mzigo pamoja na kuwa mtume alikuwa fundi wa kushona mahema, na unapashwa utambue kuwa kiimani hao manabii walikuwa wako karibu sana na Mungu ndo maana wao waliweza kuongea direct na Mungu, ndo maana ata waliweza kusimamisha jua.
Maskofu mabilionea , wangechanga izo hela wakachimba visima vya maji vijijini na wakawanunulia mabati , watu ambao wanalala nyumban za nyasi , . Uko vijijini lakini kumchanga hela mnanua gar la namna iyo mmekosea wapenda, , ndio maana ya andiko wema wenu ni uovu mbele yangu . Ndo maanake
Ndugu yangu ufalme wa mungu si lelemama . Usiyawai kusoma utumishi wa Yeremia, Paul , mitume . Yesu mwenyewe jinsi alivyokua wakigawana Mali. . Na yesu amesema tujifunze kutoka kwake Hapo tumejifunza, Unajua iyo garl jinsi lilivyopatikana Kuna nyuma ya pazia serekarini
Mbona yapo Sana kwetu sisi Waislamu. Sema yapo out of camera Ila Swala la Matajiri waliojaliwa Mali kuwapa Masheikh wao magari, majumba Ni Jambo sio lakushangaza
@@AmiBoy-vs2td mwamba waislamu niwagumu sana masheikh tunao mitaani ata pkpkp Hawana waislamu mjitoe uku mtani kuna wachungaji wa michongo wengi tuu wanapewa vitu na waumini wao ila kuna masheikh wako sawa sana kimani hawana kitu.
@@simonmalegesi414 yeah sure, nikiangalia Masheikh wengi wanaotunikiwa zawadi na Matajiri Ni Masheikh waliosoma na wenye kuijua Dini kweli kweli, lkn wale wanaonekna kuwa Hawaeleweki eleweki hua wanaendesha Maish Yao na waumin wao kwa kuchangishana Mia mia za sadaka baada ya Sala Ila sio kupewa. Lakin kwa ilivyo ukifuatilia Masheikh waliosoma kweli Dini ukitoa janja janja km kina Dr sule nazungumzia waliosoma kweli Dini, miskiti Yao huwa haichangishi sadaka, wanashinda kwenye madarasa na vijana, hawana biashara za Maana lkn Maish Yao na vipando vyao nivzr Tena wako wengi tu
Hahahaha,,, Uislam ni dini ya haki, hainaga Mambo ya dhulma dhulma, kwahiyo hapo nikwambie Tu hatuna cha kujifunza , eti mnawadanganya watu kuwa mchungaji akitaka kitu anachangiwa wakati kondoo wa bwana wakitaka kitu wao wanaombewa,,,uwongo huo waislam hatuna!!
Hamna maskini katika kanisa Hilo ambao lingekuwa faraja mbele za Mungu kama wangesaidiwa hata choo TU,,kwani askofu alikuwa hana gari ??? Mimi naona angepewa biblia tu
Kwa akili ya kawaida tu sijui una umri gan lakin kama nimtu mzima una una familia alaf una tegemea babayako akununulie gari au wew ndo uwanun lie wazazi wako acha ujinga.
'Watumishi wa Mungu' kupenda zawadi za kidunia! hapa mimi natatizika Yesu katika uhai wakewote alifadhiliwa nini na nani? utumishi wa Mungu ni wito wa kiungu sio sawa ifananishwe na ajira za kidunia zenye asante za kibinadam mwishoni au wakati wa utumishi wake cha kushangaza zaidi ni pale kondoo wanapoishi ktk hali ya kukondeana huku Wachungaji na Maaskofu wakiishi kama wafalme jamani tuwe macho na hizi dini 'kukamuana' tuu!
Yesu alikuwa maskini ili tuwe matajiri,kwa kupigwa kwake tumepona,aliteswa kwa ajili ya dhambi zetu, kumtumikia Mungu haimaanishi tuwe maskini,soma tena maandiko, Shoo alistahili hata zaidi ya hiyo zawadi
Muache kujaji sadaka wanazopewa watumishi huku dunian watu hawalinqan kua matajir na maskin hivyo mtu akipewa amewa huo ni wivu na kukosa Cha kusema huyu aliye andik msq hii wewe unasaidia wasio nacho au unasema tuu munu awasameh
Walimpaka yesu mafut na marihamu wakalalamika wakasem inqeuzwa wapewe maskin yesu akasem maskin mnao siku zote Hawa waliomnunulia askofu Qari wamefanya kz kubwa lenye barak
Any business that do not attract Death and taxes is always attractive and profitable in short and long terms Let's keep on investing in religion than erecting factories because jobs,incomes and taxes are of little value addition to our life AFTER death. Safiiiiii sana
Hongereni sana waumini Kwa zawadi nzuri na mumemuenzi Baba askofu angali akiwa hai.,,sio Yale maneno ya baada ya kuondoka .
Mungu awabariki sana ,, hakika ukimtumikia Mungu Kwa uaminifu naye Mungu anakuheshimisha .
Be blessed!! Kuna watu hapa wanaumia!! Jambo ni moja ukiona unaumia ujue una wivu tuu
Kuna watu wanataka watumishi wawe ombaomba
Ninachoshangaa kuna watu wanapata shida kwa baba askofu kupewa zawadi,hawa wapendwa walitoa kwa hiari yao wenyewe,sasa ukisema waumini wanakondeana wapi hii zawadi hawjatoa waumini wote ni wachache tu wenye maisha yao muumini anaweza kutoa milioni 10 unafikir ni mtu ambae amekondeana,Mungu awabariki sana kwa sadaka zenu
Kwa kweli inahitaji shule nayo hii
Hongereni sana kwa upendo huu mkubwa mliouonesha kwa mkuu wa kanisa mstaafu Mungu aikumbuke sadaka yenu.
And Muda sio Mrefu walimsimamisha mchungaji kimaro.,Hivi ndivyo namna bora ya Kulipa..Hongera Baba Eliona Am proud of you.
Unaweza ongea kejeli kwa Kanisa halafu baadae unajikuta unapata matatizo usojua yametokea wapi kumbe ni kejeli kwa Kanisa.
Tumeshuhudia viongozi mbali mbali kutoka sekta mbali mbali wakipewa zawadi (shukrani) kwa kazi /Utumishi uliotukuka.
Hilo gari amepewa kama zawadi na amepewa na watu wachache walioona wamzawadie kama Mkongojo wa Babu!!
Tuache maneno mengi.
Mwenyenzi Mungu Awabariki wote waliotoa kwa Mtumishi wa Mungu!!!!!
Mungu awabariki sana mliotoa
Amen Asante kwa somo
Ameniii 🙏
Imeandikwa "mwenye nacho ataongezewa"
😆😆🤗
Asko shoo amefanya kazi kubwa sana hata zilizowashinda wenye maarifa ni baraka kwa yale aliyo simamia na kuamini
Hiyo safi sana !! Achaneni na hawa wapagani ambao hawaimini ktk Mungu na watumishi wake. Walimksoa Yesu alipewa pafyumu na akawajibu maskini mnao siku zote.
Hakk nijambo njema , mungu awaongezee pale mlipo toa!
Hii ndiyo Ile inaitwa mchungaji akitaka gari anachangiwa waumini wakitaka gari wanaombewa aliimba apewe mauwa yake🤣🤣
Kwa kweli alistahili jambo jema kamahili na mengine mazuri zaidi baba Mungu akutunze na familia yako ufurahie maisha yako
Hongera Sana Askofu. Kumtumikia Mungu ni baraka
Hongereni sana kuna ambae hawaoni Sababu na wanalalamika hata kipindi cha Yesu mayuda walilalamika Yesu kuzawadiwa marihamu safi. So ni jamboree la historian tu
Jambo njema. Mm mkatoliki kwa hili nawapongeza ndugu zangu. Kilichobaki ni kumwombea awe na afya njema siku zote.
Mwaka 2016-2021 naliamka asbh Sana kupiga kinanda Cha ibada usharika wa Moshi mjini.kinanda Cha miguu....nilipiga na kupewa nauli ya shilingi 150000.ajabu kilinunuliwa kinanda cha garama Sana na siku hiyo hyo niliondolewa bila hata neno la kwa heri didn't forget this..
Pole sana bro wangu,kuna wa2 hawanaga shukrani,walipata sifa kupitia ww,wakafaidika kupitia ww,lakini shukrani yenyewe 150 000/= c Mora wangeacha??
Hongereni sana hakika Mungu kwa hilo kuwabariki atawabari 💯✍
Sio jambo baya lakini muda mwingine mchange muwapatie watu wenye mahitaji maalum unafuu wa maisha ,kama vile walemavu ,vipofu,viziwi ,MASKINI mayatima nk.
Kila mtu anaelekeza hela yake anakotaka sasa hao uliowataja tuanzishie wewe
Ni kweli lakini tunatakiwa tuwatunze wanaotutunza kiroho,
Ukisema kila kitu walemavu tunaweza kuwasaidia wote na je wewe Kuna siku ulisema ngoja uuze smartphone ukawasaidie hao walemavu
Mbona tunafanya hivo vituo vya watoto Yakima vipo na wanao tunza ni waumini
Kuleni pepo yenu hapa duniani,hongera watoto bilashaka mmempa Mzee wenu mkongojo stahiki
Mna akili nyingi Sana Mungu awabariki sana
Acheni manenomaneno ilifaa apate hata zawadi ya private jet mbona wanasiasa wanatuibia kila siku wanajiwekeza had nje ya nchi hamsemi tena inatakiwa mashekhe wachungaji na mapadri ndio wamiliki vitu vizuri kuliko wanasiasa mana nchi na vyote vijazavyo n Mali ya bwana na hawa ndio watumishi wa bwana so acha wafaidi m sichukii hata kidogi
Ubarikiwe
Hongera sana kwa wale walio toa wengine eanaends kuombewa sisi tunavhangishs
Hongera sana askofu na kustaafu kwako
Any business that do not attract Death and taxes is always attractive and profitable in short and long terms
Let's keep on investing in religion than erecting factories because jobs,incomes and taxes are of little value addition to our life AFTER death.
Safiiiiii sana
Siii kwamba hatujui tunajuwa aliempa gari ni Samia baada ya kutetea bandari iuzwe nakuwapinga wakatoriki kwà tamko lao tunajuwa msifikili hatujui
Acha ujinga mambo yanaanza kukuendea vibaya nini kudhihaki wapakwa mafuta
Hongera sana.
Ee Mungu Baba wa Mbinguni tunakuomba umlinde Baba yetu huyu mpe Afya Njema Baba yetu huyu Amina
Hongeren sana MUNGU awabarck
Hongera sana
Mngekuwa na moyo wa kusadia maskini na watoto wanawo lala na nja ,Askofu ana uwezo wa kutosha sana
Kila kitu kina nafasi yake.kwanini kuonyesha hisia mbaya kwa mitandao?.Ukweli umehumia.Yesu akuponye.
Mwenye nacho huongezewa,asiyenacho hunyang'anywa hata alicho nacho😂
Amen. Mungu akamuuliza Musa, una nini mkononi!
Blessed
mbarikiwe na Bwana
Jambo jema sana Kwa Mwenyezi Mungu
Na mliofanya hivi Mwenyezi Mungu akawajalie Neema na Baraka zake Mungu
Hongera Mwigulu.
Acha ujinga
Kuna watu wamejaliwa kiuchumi lakini hawasaidii maskini .Lakini hapa utakuta wametoa mchango mkubwa mkubwa sana bado kwa mungu hamna nafasi.
Acha tu Kama huyo mba
Awww🥰
Dini inalippa acha nianze mazoezi ya kuubiri neno,kisha nafungua kanisa,nakopa hela talipa jpili
Fungua uone ilivo ngum
Wachaga kongole. Hatujawai feli sisi.🎉
Ndio nini sasa?
hongereni sana mliofikiria na kuliona Hilo jambo kubwa,jamani kumtumikia Mungu Kuna faida,Mungu hatakuacha Bure.
Kupongeza jambo hilo ni kumdhihaki Mungu Muumba ambaye alitupendelea sisi wanadamu akili ya utambuzi wa mambo lakini hatuitumii ipasavyo! dogmatism hii ni hatari kwa nini usiwepo mpango endelevu wa kuondoa umaskini kwa wanakondoo husika kupitia michango?
@@kassimjigge4727 lakini labda amewasaidia wengi na yeye,hatuwezijua hivyo tusimhukumu sana japo sio vibaya kutolea maoni jambo Hilo.
Jambo jema Sana
Mnachota maji mferejini mnamwaga baharini, haliyakua bahari limejaa. Angalieni hapo nyumbani kwanza, kuna watu wanakosa mlo kwa siku na mnawafahamu. Tujiongezege na kumuogopa mungu na kuwa na huruma. Hakika mungu anasema tumuangalie aliyeko chini kwanza.
Pole unaumia ukiwa wapi jamani neno linasema mwenye nacho atazidishiwa na aiyekuwa nacho hapo jaza mwenyewe
Watu 60 mmenunua mzgo wa milion 500 khaa
Kweli nilizani nimemaliza kutafuta hela kumbe bado nina safari ndefu😮😮😮😮😮
Sana ndugu tena sanaaa
Hawa si wanajenga kanisa peke yao
Wao wakitaka mandinga wanaenda kuombewa, askofu anachangiwa
Hii ndo Africa
Acha upagani wewe
na ww kama unataka kuwa Askofu uchangiwe kama unaona ni raisi sio unajiropokea tuu
@@denisrukangula2227 Sawa mfia dini
@@user-cn9br7en7w nilikuwa najisemea mawazo yangu tu mkuu, sina ubaya na yanayoendelea madhabahuni.. na apologize kama umekwazika
Nanyie mmezidi ubaguzi mara nyingi ni kanda ya kaskazini tu
Pastor anachangiwa pesa muhumini anaombewa 😢
Mchungaji akitaka gar anachangiwa na muumin nakitaka gar anaombewa basi na yeye tumuombee halafu tukae pare tusubili muujiza wa wagharatia
Acheni maneno mengi ninyi, wewe umesaidia Maskini wangapi...? Kila kitu ni kulaumu tu na cha ajabu unalaumu kuhusu Watu kumtunza Askofu wakati hujachangia hata tsh Mia yako. Kuna mamba hayakihusu hvyo jifunze kutulia.
Kaskazini Huwa hamna jambodogo AISE,wachaga mpo juuu
Acheni kutoa zawadi ya magari.Hiyo hela wasaidie masikini ,yatima ,wajane NK Sisi waafrika kweli tuko nyuma.😢
Acha wivu kwani hujawahi sikia makanisa yana vituo vya Yakima. nk
Bora mnenipa mimi jamani
Tumeogopa utaweza kulihudumia make hilo mafuta hatutumii linakunywa 😁😁
Kwahiyo Hana mke Wala watoto hongereni
Kwa nini umesema hivo?
Kondoo wakitaka gari mnaombewa😂😂😂😂
kwa kweli Wachaga ni kiboko.
Siyo Wachagga pekee waliochanga
Chaga hiyo
Kukaa kimya ni Busara pia!!!!
Mbona watu toafauti tofauti kutoka sehemu na makabila tofauti wamechangia? Au uchaga ndo umekujaa kichwani!
Watoto wa mitaani wamejaa Arusha mnapoteza pesa kwa kununua gari bei hivyo. Watanzania tutafika mbinguni tilalila
Anza na ww...umefanya nn kuwasaidia hao watoto?..
Unauhakika gani kama hawasaidiwi nao?!...
Unawivu sana wewe ,,Biblia inasema mtu akinitumikia baba mtamheshimu Sasa askofu amemtumikia Mungu,,na Mungu akampa heshima hii kwani nani aliyekuambia kanisa halihudumii watoto yatima acha kejeli mara moja
Limenunuliwa na nani
Waumini wa leo wanajipendekeza sana ukisoma maandiko hakuna mitume wa Yesu waliopewa zawadi ata Petro pamoja na kuwa mpambe wa Yesu hakupewa zawadi hizo.
Wala yesu hajawahi kuomba sadaka wala fungu la kumi lakini hawa mapasta wanafanya biashara tu
😅😅😅 biblia gani hiyo......au yakwako, Elia aliomba unga uliobaki kwa yule mjane, petrol na Paul wote walipewa sana vyakula tena walikua wanaamrisha nipe mnyama huyu nile
@@walker-96
Elia aliomba kwa Mungu akuomba kwa wanadamu, na mtume Paulo akutaka kuwa mzigo pamoja na kuwa mtume alikuwa fundi wa kushona mahema, na unapashwa utambue kuwa kiimani hao manabii walikuwa wako karibu sana na Mungu ndo maana wao waliweza kuongea direct na Mungu, ndo maana ata waliweza kusimamisha jua.
@@alzawahirabdallah2299 kweli yesu hajawahi ila Yesu
Rushwa hiyo
Huku comment za maskini utazijua tu, sisi wachaga hatuna baya haya ni mamb yetu.
Bibilia imewaita maaskof mbwa, ni kweli mbwa
Sawa mbwa kibwe af ww Kibwetere nini?
Maskofu mabilionea , wangechanga izo hela wakachimba visima vya maji vijijini na wakawanunulia mabati , watu ambao wanalala nyumban za nyasi , . Uko vijijini lakini kumchanga hela mnanua gar la namna iyo mmekosea wapenda, , ndio maana ya andiko wema wenu ni uovu mbele yangu . Ndo maanake
Kanisa linafanya makubwa kuliko unavodhani ,visima linachimba, vituo vya malezi ya watoto yatima vipo ko kumtunza mtumishi sio dhambi
Ndugu yangu ufalme wa mungu si lelemama . Usiyawai kusoma utumishi wa Yeremia, Paul , mitume . Yesu mwenyewe jinsi alivyokua wakigawana Mali. . Na yesu amesema tujifunze kutoka kwake
Hapo tumejifunza, Unajua iyo garl jinsi lilivyopatikana Kuna nyuma ya pazia serekarini
WATANZANIA wanafiki SN acheni tuuu hiii nchi wapo maskini lkn wanasahaulika hahahah nchi hiii
Nimependa cmt
Zawadi Ili kuwanyamazisha midomo mambo ya bandariiiii
Masikini tupo nao sikubzote hata mwisho wa dunia ila show askofu ni wamuda tu
Nijambo jema sana Mpeni na askofu shao mbona ni wakondeni mwenzenu msimsahau naye ni mstaafu akafanya mengi sana
Nae razima alipewa kwa wakati wake
Haya bna, endeleeni kupeana magari ila Bandar muikome!!
Mmmh?Kuna jambo umelishitukia?unaona mbali na kutafasiri vizuri mazingira na matukio
Bandari mbona tayari DP world wako njiani?
400
Dp W
Mkono
Mh!
Nani katoa au wanasiasa kwaajili ya walaka anazotoa?
Ni watu wameguswa kuchangia na kupata gali hilo la kipekee sio kwasababu ya siasa au walaka, sikiliza tena utaelewa
@@user-cn9br7en7w Amen
Kikubwa mafarisayo wanajipigia vyao
Je na mafuta
Raia sio wajinga kukubali mkataba lazma upewe zawadi kuuza iendelee
Ccm mambo yao kuwanunua tu
Hapo ni kupongeza tuuu
Wahumini wa dini ya kisilam mjifunze haya kwa viongozi wenu unakuta shehe ata pikipiki Ana siyo pouwa kabisa.
Mbona yapo Sana kwetu sisi Waislamu. Sema yapo out of camera Ila Swala la Matajiri waliojaliwa Mali kuwapa Masheikh wao magari, majumba Ni Jambo sio lakushangaza
@@AmiBoy-vs2td mwamba waislamu niwagumu sana masheikh tunao mitaani ata pkpkp Hawana waislamu mjitoe uku mtani kuna wachungaji wa michongo wengi tuu wanapewa vitu na waumini wao ila kuna masheikh wako sawa sana kimani hawana kitu.
@@simonmalegesi414 yeah sure, nikiangalia Masheikh wengi wanaotunikiwa zawadi na Matajiri Ni Masheikh waliosoma na wenye kuijua Dini kweli kweli, lkn wale wanaonekna kuwa Hawaeleweki eleweki hua wanaendesha Maish Yao na waumin wao kwa kuchangishana Mia mia za sadaka baada ya Sala Ila sio kupewa. Lakin kwa ilivyo ukifuatilia Masheikh waliosoma kweli Dini ukitoa janja janja km kina Dr sule nazungumzia waliosoma kweli Dini, miskiti Yao huwa haichangishi sadaka, wanashinda kwenye madarasa na vijana, hawana biashara za Maana lkn Maish Yao na vipando vyao nivzr Tena wako wengi tu
Hahahaha,,, Uislam ni dini ya haki, hainaga Mambo ya dhulma dhulma, kwahiyo hapo nikwambie Tu hatuna cha kujifunza , eti mnawadanganya watu kuwa mchungaji akitaka kitu anachangiwa wakati kondoo wa bwana wakitaka kitu wao wanaombewa,,,uwongo huo waislam hatuna!!
@@jumakapilima7295 haimanishi mzee toa sadaka Acha mbamba😂😂😂😂
Jaman mimi kiukweli siamini dini mnisamee bule
Uko sahihi,sio dini ni biashara na nyuma ya Kila zawadi ktk dini Kuna biashara au siasa
@@Youngchimodzi823 mawazo yako
True,I rarely buy into others mind and thinking
Hamna maskini katika kanisa Hilo ambao lingekuwa faraja mbele za Mungu kama wangesaidiwa hata choo TU,,kwani askofu alikuwa hana gari ??? Mimi naona angepewa biblia tu
Mpelekee biblia pia nizawadi hao walio toa gari nao kwao wameona ni jambo jema.
Mbona hatujawai sikia Askofu kampa gari muumin wake au sadaka anchangiwa mchungaji tu 😁
😂😂nyie mtaombewa
Geordavie anagawa magari,nenda ngurumo ya upako.
Sema hujawahi,usiseme hatujawahi.
@@neema_mollelsisi waumini tukilala njaa tunaombewa tu
Kwa akili ya kawaida tu sijui una umri gan lakin kama nimtu mzima una una familia alaf una tegemea babayako akununulie gari au wew ndo uwanun lie wazazi wako acha ujinga.
Hahah MCHUNGAJI HANANJA ALISEMA HUU NI UJINGA WA MUAFRICA
Dipiword
Wajasiliamali wa Injili wamejaa wengi sana Tanzania
😂😂😂nomaa
Wivu
😂😂😂😂😂bado hamjasemaaaaa
Hamna kitu hapo kuna kitu
hebu tuambie ww mwenye mawazo potofu kuna nini??
@@user-cn9br7en7w mambo ya walaka hayo
'Watumishi wa Mungu' kupenda zawadi za kidunia! hapa mimi natatizika Yesu katika uhai wakewote alifadhiliwa nini na nani? utumishi wa Mungu ni wito wa kiungu sio sawa ifananishwe na ajira za kidunia zenye asante za kibinadam mwishoni au wakati wa utumishi wake cha kushangaza zaidi ni pale kondoo wanapoishi ktk hali ya kukondeana huku Wachungaji na Maaskofu wakiishi kama wafalme jamani tuwe macho na hizi dini 'kukamuana' tuu!
Ko Unataka watumishi wawe mafukara au Vipi?
Yesu alikuwa maskini ili tuwe matajiri,kwa kupigwa kwake tumepona,aliteswa kwa ajili ya dhambi zetu, kumtumikia Mungu haimaanishi tuwe maskini,soma tena maandiko, Shoo alistahili hata zaidi ya hiyo zawadi
Muache kujaji sadaka wanazopewa watumishi huku dunian watu hawalinqan kua matajir na maskin hivyo mtu akipewa amewa huo ni wivu na kukosa Cha kusema huyu aliye andik msq hii wewe unasaidia wasio nacho au unasema tuu munu awasameh
Walimpaka yesu mafut na marihamu wakalalamika wakasem inqeuzwa wapewe maskin yesu akasem maskin mnao siku zote Hawa waliomnunulia askofu Qari wamefanya kz kubwa lenye barak
Kutoa sadaka alafu nyumbani hali sio shwari pia ni dhambi.
Reference ndugu nikasome
Ujinga mtupu
Any business that do not attract Death and taxes is always attractive and profitable in short and long terms
Let's keep on investing in religion than erecting factories because jobs,incomes and taxes are of little value addition to our life AFTER death.
Safiiiiii sana
🙏🙏🙏🙏