@masanja kuwa serious Sasa bro 😂😂😂 ubarikiwe Sana pastor kimaro na bro masanja Mungu akuweke siku nagonga hodi tukalime kaka watu waliopo mbele hapo Mungu awa bariki dada getrude pia Mungu akutete.
Amen hakika siku hii imekuwa siku ya mabadiliko makubwa sana katika ufahamu wangu kupitia Life experience ya kilimo kumuhusu Masanja naona kutiwa nguvu. Nimeanza leo, kwa imani kesho nitashuhudia mavuno ya shangwe. thank u Pastor Dr Eliona Kimaro.
Amen, nimebarikiwa na nimejifunza kitu Sana Mtumishi, Mungu akubariki Sana kwa darasa hili Mimi nikiwa kama kijana inahitajika nichukue hatua na hii ndio sehemu mojawapo ya kuanza kuchukua hiyo hatua kupitia watu kama Hawa waliofanikiwa!
Am feel very blessed, kwa sababu ili kusudi la BWANA litimie ni lazima watu tufanye kazi kwa kumaanisha. Hongereni watumishi wa mungu for this very special class.
Shalom. Mungu wa UPENDO azidi kukuinua na kukupa maono zaidi na zaidi na kufungua wengi zaidi na zaidi. Nakuomba usiishie kwenye kongamano kwa vijana Bali MUNGU akupe maono ya kuwafungua na Wazee waliostaafu wanakufa kwa msongo wa mawazo. Kwenye KONGAMANO hilo la wazee umkumbuke Dr Victoria Ngomuo miaka 71 mama LISHE TIBA uliemkaribisha kanisani siku moja ambapo kupitia Huu ufunuo Mungu aliempa KUPITIA MWANZO 1:29-30, HATA KANSA YA DAMU, YA "OVARY, YA UTUMBO MKUBWA, KIZAZI, KOO wamepona. UTUKUFU KWA MUNGU UZIDI KUPITIA KWAKO. AMEN
MCH. DR ELIONA KIMARO MUNGU AZIDI KUKUINUA AKUPE MAISHA MAREFU UONE WANA WA WANAO KIZAZI CHA TATU NA CHA NNE ILI WENGI WAPATE KUMJUA MUNGU ZAIDI NA ZAIDI KATIKA MAFUNDISHO YAKO NA MAKONGAMANO HAYA. VITA NI MTAJI WA KUMUINUA MTU ZAIDI NA ZAIDI NA KUMPA MUNGU UTUKUFU ZAIDI NA ZAIDI. AMEN
Ni kweli vijana tunatumia mitandao ya kijamii vijana. Lakini kuna wanaotumia kama fursa. Mfano mm niko arusha nilinunua tv yangu smart tv online kwa njia ya instagram kutoka dar. Nilikuwaga nahofia sana kama nitatapeliwa lakini yule bwana alikuwa mwema sana nililipa kidogo kidogo hadi ikajaa milioni moja na laki tisa. Siku nimemalizia tu kulipa alinitumia picha ya mzigo na risiti ya cargo aliyopakia nikaenda kuichukua. Alikuwa mwema sana yule bwana hadi leo tunawasiliana japo hatukuwahi kuonana. Anaitwa somebody nyaki. Yupo kariakoo duka linaitwa nard electronics
Amen amen,sikitu kidogo umetoa maarifa kwa maelf ya maelf ya watu ili tufanikiwe hakika umejazwa Roho ya Mungu Kimaro Kutoka 31:3 [3]nami nimemjaza roho ya Mungu, katika hekima, na maarifa, na ujuzi, na mambo ya kazi ya kila aina.
Hongera sana pastor Kimaro and pastor Masanja kweli vijana wak’africa lazima tuhamke natujue kwamba africa yetu inazo opportunities nyingi.conference kama hizi zingeletwa pia Hapa USA KWA vijana wetu W’africa sababu wengi wafikirihi kuhusu investment.
With much thanx dad🎉❤ 🎁 you're our blessing.let Phlp. 1:6 be yrs and Deut.28:15-68 be to yr enemies in the mighty name of Jesus Christ of Nazareth Amen.❤
Hongera sana baba, mchungaji kimaro,ni jinsi gani unatamani vijana wetu,waamke,ili waeze kufanikiwa. Masanja ninaomba connection please 🙏 ya kupata mashamba😅
Ningepata elimu hii miaka 3 iliyopita nisingekuwa na hali ngumu hivi nilitumia zaid ya m 10 kwenye biashara nyingine ikanikata si ningefanya kilimo eee Mungu nipe nguvu nataman kulima
Nimebarikiwa Sana Sana na Maono ya mchungaji kimaro natamani siku moja nikuone Kwa macho ana mkono Kwa mkono nipate maarifa zaidi nipate maarifa maana ni miaka minne nahangaika na kilimo cha sasa nimeamua kuweka mikorosho ekari nyingi kwako nataka neno moja tuu kwangu nami nitapona
Mch Kimaro Mungu asikuache Kwa maono hayo Asante Kwa somo la leo
Asante Mungu kwa kunipa hii tecno nimejifunza makubwa kutoka watumishi hawa
Kimaro ndie mch anayeenda na wakati, hongera sana Mungu azidi kukupa maono makubwa zaidi
Very impressing am following from Kenya , agriculture is the only backbone
Ningepata hii elimu enzi hizo niko chuo kikuu ningekuwa mbali sana. Ubarikiwe sana Mch. Kimaro
Ubarikiwe sana Mch. Kazi unayofanya utalipwa na Mungu🙏🙏
@masanja kuwa serious Sasa bro 😂😂😂 ubarikiwe Sana pastor kimaro na bro masanja Mungu akuweke siku nagonga hodi tukalime kaka watu waliopo mbele hapo Mungu awa bariki dada getrude pia Mungu akutete.
Sijutii kutumia MB zangu kufuatilia hili, asante Yesu ww ujuaye maarifa na elimu tunayoihitaji sisi vijana wa kitanzania,Tujitafute tujipate😅😅😅
Ubarikiwe mnoo mpendwa
Namshukuru Mungu kwa ajili ya Mchungaji Dk.Eliona Kimaro hakika nimejifunza mengi kupitia mdahalo huu uliouandaa kwa neema ya Mungu.
Niko hapa Saudia Arabia eneo la Riyadh naomba mawasiliano tufanye hii kazi waraabu wanakula mchele tangia asubuhi
Ongeraaa sana mchungajii wew ni wakipekee sanaa
Safi Sana mch.kimario,endelea kuita makongamano ya kutuhamasisha huo ni ukombozi wa fikra.
Maono mazuri mchungaji kwa kuamsha fikra zetu kujitambua safi sana mchungaji
Amen
hakika siku hii imekuwa siku ya mabadiliko makubwa sana katika ufahamu wangu kupitia Life experience ya kilimo kumuhusu Masanja
naona kutiwa nguvu.
Nimeanza leo, kwa imani kesho nitashuhudia mavuno ya shangwe.
thank u Pastor Dr Eliona Kimaro.
*HAKIKA KAZI NZURI IMEFANYIKA*
Kimaro you are awesome pastor
Yaaan mm ninaelekea shamba kweli masanja kutoka kuchekesha leo ubadilisha dunia mungu akutunze kabisa
Hongera sana Mch Kimaro, kazi unayofanya ni njema Mungu akulinde sana
Nimejikuta nachukia kazi nahisi kuchelewa nimepata kitu Asanteni watumishi
Mchungaji to be honest masanja alinifanya nirudi kulima
Uwiiiiii
Am so excited for the dialogue, we need to work up from the heavy dark wrapped our brain. Thank you for it
Pastor Kimaro I love you,just because what GOD insect in you,may GOD bless u.
Amen, nimebarikiwa na nimejifunza kitu Sana Mtumishi, Mungu akubariki Sana kwa darasa hili Mimi nikiwa kama kijana inahitajika nichukue hatua na hii ndio sehemu mojawapo ya kuanza kuchukua hiyo hatua kupitia watu kama Hawa waliofanikiwa!
Asante sana tumepata kitu kikubwa Sana.
Masanja bro nimekupata vizuri...nitachukua hatua
Am feel very blessed, kwa sababu ili kusudi la BWANA litimie ni lazima watu tufanye kazi kwa kumaanisha.
Hongereni watumishi wa mungu for this very special class.
Mch ulichokifanya Mungu akubariki sana sana sana , maono yako ni makubwa mno, Hongera sana baba , chamecha mlisi o wandu wa ruwa
Pastor Dr. Kimaro you are amazing. Be blessed ambundantly
🇮🇱Ubarikiweeeeeeeeeeeeee!
Mchungaji Kimaro
Masanja Ubarikiwe tena na tena
Hongera sana baba mchungaji,Masanja wewe ni mfano wa kuigwa Mungu akuinue zaid!
Shalom. Mungu wa UPENDO azidi kukuinua na kukupa maono zaidi na zaidi na kufungua wengi zaidi na zaidi. Nakuomba usiishie kwenye kongamano kwa vijana Bali MUNGU akupe maono ya kuwafungua na Wazee waliostaafu wanakufa kwa msongo wa mawazo. Kwenye KONGAMANO hilo la wazee umkumbuke Dr Victoria Ngomuo miaka 71 mama LISHE TIBA uliemkaribisha kanisani siku moja ambapo kupitia Huu ufunuo Mungu aliempa KUPITIA MWANZO 1:29-30, HATA KANSA YA DAMU, YA "OVARY, YA UTUMBO MKUBWA, KIZAZI, KOO wamepona. UTUKUFU KWA MUNGU UZIDI KUPITIA KWAKO. AMEN
MCH. DR ELIONA KIMARO MUNGU AZIDI KUKUINUA AKUPE MAISHA MAREFU UONE WANA WA WANAO KIZAZI CHA TATU NA CHA NNE ILI WENGI WAPATE KUMJUA MUNGU ZAIDI NA ZAIDI KATIKA MAFUNDISHO YAKO NA MAKONGAMANO HAYA. VITA NI MTAJI WA KUMUINUA MTU ZAIDI NA ZAIDI NA KUMPA MUNGU UTUKUFU ZAIDI NA ZAIDI. AMEN
Nakupenda Sanaa sanaaa me ni mchungaji ila pasta kimaro nakupenda sanaaa Kwa kuwa na ufahamu mkubwa sanaaa songa mbele kaka pasta
Nakupenda Sanaa sanaaa me ni mchungaji ila pasta kimaro nakupenda sanaaa Kwa kuwa na ufahamu mkubwa sanaaa songa mbele kaka pasta
Ni kweli vijana tunatumia mitandao ya kijamii vijana. Lakini kuna wanaotumia kama fursa. Mfano mm niko arusha nilinunua tv yangu smart tv online kwa njia ya instagram kutoka dar.
Nilikuwaga nahofia sana kama nitatapeliwa lakini yule bwana alikuwa mwema sana nililipa kidogo kidogo hadi ikajaa milioni moja na laki tisa. Siku nimemalizia tu kulipa alinitumia picha ya mzigo na risiti ya cargo aliyopakia nikaenda kuichukua. Alikuwa mwema sana yule bwana hadi leo tunawasiliana japo hatukuwahi kuonana. Anaitwa somebody nyaki. Yupo kariakoo duka linaitwa nard electronics
Huwa na barikiwa sana na matendo yako ya kiimani Mungu akutunze baba
Yaa mch. Nikivyopindi laiti ungeniuza duniani . Hapa milipo nimelegea kbsaa.Nawaza mpk nimechanganyikiwa Lait ningepata ht mfadhili mmoja na Mungu ambariki. Mwanangu anasomea upadri lkn naona giza. Bb mwambie ht masanja anisaidia ufadhili kwa ht mtoto huyu mmoja. Bb umepitia shida unajua. Mungu akutunze kwa unayofanya Mchungaji.
Amen amen,sikitu kidogo umetoa maarifa kwa maelf ya maelf ya watu ili tufanikiwe hakika umejazwa Roho ya Mungu Kimaro
Kutoka 31:3
[3]nami nimemjaza roho ya Mungu, katika hekima, na maarifa, na ujuzi, na mambo ya kazi ya kila aina.
Baba kimaro watashindana na hawatashinda songa mbele maneno yasikurudishe nyuma tupo pamoja kukuombea damu ya yesu ikufunike ❤
Azadea group is my company one of the biggest company, amazing company, and proud working with them, is by grace of GOD im here
Thank you Pastor Kimaro for this i keep rewatching this interview it motivates me i want to farm like Masanja
Mungu awabariki sana, Ahsante Dr.Kimaro kwa maono mazuri.
From dubai here mtumishi
Mungu akubariki sana mchungaji kimaro. Tumejifunza mengi mno.
Mungu akubariki kwa kazi njema unayo ifanya
Nimebarikiwa sana, Asante Pastor Dr. Kimaro kwa maono haya. Be Blessed
Mchungaji ameupigaa mwingi sana hongeraaa sana mchungaji Kwa wazo hilii
Baba mchungaji Kimaro wewe ni wa pekee. Watching from USA 🇺🇸
👏👏👏🙏🙏🙏 ashukuliwe mungu nimejifunza sana
Nimeipenda sana hii ni hood motivation asanteni sana
Asante kwakupitia utumishi wako Mchungaji Kimaro umefanya Hadi Mimi ninafikiwa na ujumbe huu mzuri. Asnte
Hongera sana pastor Kimaro and pastor Masanja kweli vijana wak’africa lazima tuhamke natujue kwamba africa yetu inazo opportunities nyingi.conference kama hizi zingeletwa pia Hapa USA KWA vijana wetu W’africa sababu wengi wafikirihi kuhusu investment.
Very informative thank and be blessed
Namshukuru Mungu sana kwa ajili yako Mch Dr Kimaro na Mch Masanja... Asante sana kwa kazi nzuri
amen God bless you pastor kimaro🙏🙏🙏
Mchungaji kimaro Mungu akubariki sana kwa ufunuo huu
Mch.Mungu akubariki kwa maono
Mungu akubariki mchungaji,pamoja namasanja.nimenufaikasana
Asanteee Mch Masanja umeniokoa sana kiakili baba yangu
Mungu akubariki Mch kimaro kumleta masanja umetufumbua macho
Nimejifunza mengi sana nashkru sana mchungaji wangu
Mungu naomba nitie Nguvu na kunipa kibali Cha kuwa mkulima mkubwa mwenye mafanikio
GOD bless you pastor
Ubarikiwe sana mchungaji kimaro pamoja na masanja
🙏🙏asante Dr Eliona na Masanja kwa mjadala huu
Mtaji ndo tatizo.Masanja hajakurupuka.Asante kwa elimu lakini uwezeshaji uwepo.Mimi nimejaribu lakini hoi.Kilimo ni mtaji.
KUBWA NI WAZO
Yeah ni mtaji ,kwaiyo anza na hicho kidogo au chagua kuuza mauza
So inspiring Pr Kimaro and your hosts nimejifunza kitu kikubwa sana! Mbarikiwe mnoooo!
Mbarikiwe sana kwa maono mazuri yanayo hamasisha. Na kuwafanya vijana au watu kujitambua na kubadilisha maono yao. Mungu awabariki sana.
Am very inspired of this talk!
With much thanx dad🎉❤ 🎁 you're our blessing.let Phlp. 1:6 be yrs and Deut.28:15-68 be to yr enemies in the mighty name of Jesus Christ of Nazareth Amen.❤
*_HAKIKA_*
Dah nimejikuta naisikiliza mwanzo mwisho. Very good
Ahsanteni kwa kongamano zuri, lenye kufungua fahamu za wengi.
Nimejifunza kitu mtumishi. Mungu azidi kukuinua.
Mungu awabariki sana👏👏🙏🙏
Mungu akubariki mchungaji
Nimebarikiwa sana masanja and pastor kimaro
Mungu akubariki baba kwa kufungua vijana akili
Ubarikiwe kwa kutukumbuka MAMA JoHN MBEYA
Mungu akbariki masanja
Hongereni sana kilimo na ufugaji lazima utoke tusiogope vijana
Tumepokea kwa kweli.
Mungu akutunze much.kimaro Kwa maono yako
Nashukuru Rev pamoja na Mr masanja kwa kinifungua akili
Hongera sana baba, mchungaji kimaro,ni jinsi gani unatamani vijana wetu,waamke,ili waeze kufanikiwa.
Masanja ninaomba connection please 🙏 ya kupata mashamba😅
Masanja ana mtaji amejipanga na anafanya kazi nyingi
❤❤❤nimebarikiwa mno cntokatamaa kumbee Mm ni boss mkubwa tu
Shamba tour season 2 nimeinjoy sana kweli bishop unachange World kwa kilimo watu wajue ukweli
Nimebarikiwa na mafundisho yenu kuna kitu nimechukua mungu awabariki sana
Asante baba kwa kipindi hiki nimejifunza kitu barikiwa baba
Ningepata elimu hii miaka 3 iliyopita nisingekuwa na hali ngumu hivi nilitumia zaid ya m 10 kwenye biashara nyingine ikanikata si ningefanya kilimo eee Mungu nipe nguvu nataman kulima
Asante kwa semina swali langu tuna vyakula vya asili ila mbona tunaishi maisha mafupi tatizo Nini
Hongera sana mchungaji
Have got something pastor. Mungu awe nanyiiii.
Naomben connection na masanja please nataka kwenda nae shamba na mimi nataka nikalime
Kweli Rev. Anakuuza na umeniinspire sana nimemwandikia masanja insta nataka nimpe nondo ya UK safi sana
Hongera Mtumishi masanja
Im blessed today
Napenda kilimo ❤
Sawa safi kaka naomba mawasiliano yako
God bless you pastor kimaro
Heri ukafeli shule ukafaulu maisha....
Sisi hapa marekani tuna kula chakula toka tanzania 🇹🇿
Haleluya Kuna kitu nimepata Mbarikiwe saana
Asante sana Mch kwa proactive panel
Mungu akubariki
Huyu Mungu anamtumia huyu baba yetu Mchungaji Kimaro azidi kumtunza
Nimebarikiwa Sana Sana na Maono ya mchungaji kimaro natamani siku moja nikuone Kwa macho ana mkono Kwa mkono nipate maarifa zaidi nipate maarifa maana ni miaka minne nahangaika na kilimo cha sasa nimeamua kuweka mikorosho ekari nyingi kwako nataka neno moja tuu kwangu nami nitapona
Nashukuru sana kwa hili funzo
Waoooo nimefurahi sana