Це відео не доступне.
Перепрошуємо.

#EXCLUSIVE

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 28 лип 2024
  • #EXCLUSIVE: ASKARI SABASITA ALIYEJIJENGEA KABURI afunguka "MUDA SI MREFU NITATOWEKA DUNIANI"
    www.youtube.com/@Wasafi_Media...
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

КОМЕНТАРІ • 59

  • @ZeraGeofrey
    @ZeraGeofrey 10 місяців тому +11

    Baba Tunda🙌

  • @marselojr9884
    @marselojr9884 10 місяців тому +14

    Binafc cjaona km ni jambo baya nafikiri 2 hofu ya watu wengi ni kwamb jambo Hilo ni geni kwetu na siyo Mila na desturi zetu mtu kujichimbia kaburi mwenyew

  • @Chettymlambalipsi-lb9km
    @Chettymlambalipsi-lb9km 10 місяців тому +8

    Hangaika na mambo ya Dunia hii lakini lazima utakufa tu.mzee upo sahihi kabisa Kwa kujipanga mapema na kuwapunguzia uchungu wale ambao watakuja kulia siku ya msiba wako manake wakiwa wanaliona Hilo kaburi pindi ukiwa hai na ukifa wataona kawaida

  • @joshuasamson9618
    @joshuasamson9618 10 місяців тому +2

    Vizuri jambo nzuri sana andaa makao milele roho inavyotaka

  • @PanchoValentino-wh7wt
    @PanchoValentino-wh7wt 10 місяців тому +1

    Yesss hakika kabisa

  • @davidwalalason7630
    @davidwalalason7630 10 місяців тому +4

    Ni njia moja ya kutosababisha vita siku yake ya mwisho kwani tushaona sana familia zikizua ugomvi wa sehemu marehemu atalazwa

  • @juma2979
    @juma2979 10 місяців тому +7

    Hiyo ni afya ya akili

  • @saretachacha8637
    @saretachacha8637 10 місяців тому +1

    Uko sawa mzee, kufa ni lazima

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 10 місяців тому

    Good!!

  • @Tchidymbanga
    @Tchidymbanga 10 місяців тому

    Tujiandae kwa ajili ya mwisho mwema, tuandae pepo sasa ili iyo hewa nzuri ikufikie.🎉🎉🎉

  • @IzihakaFihirini
    @IzihakaFihirini 10 місяців тому +8

    Kwahali hii lazma atakua anaishi maisha mazuri kwakua kifo kwamtu aliyeokoka nisawa kwakua mwisho wasku anaamini atafufuka katika wafu ivo nisalama kwakua kristo yesu kashinda basi tutashinda

  • @NaomiChristopher-mt2yh
    @NaomiChristopher-mt2yh 10 місяців тому +2

    Kama hela ipo unajiandalia mazingira ohooo!!!, Unawaacha pesa wanakuzika ovyo lazima uwe na uhakika wa utakapolala😅😅

    • @jostamzxkaole3113
      @jostamzxkaole3113 10 місяців тому

      Iyo plani nzuri 🤣mtoto uezi kuuza iyo nyumba hatakama ela ikiishayoote::

  • @wisperfect5320
    @wisperfect5320 10 місяців тому +1

    Yupo sawa kwan mwanadam kitu pekee ambacho unauhakika nacho ni kifo tu

  • @christopherjoseph8330
    @christopherjoseph8330 10 місяців тому +2

    Jambo jema, ila tusiamini kwenye shimo la kaburi kifo ni siri kubwa huwezi jua itakukuta wapi pengine baharini mwili usionekane tena.

  • @agnesjohn9382
    @agnesjohn9382 10 місяців тому +1

    Mmm kuwa uyaone

  • @mathewungani9724
    @mathewungani9724 10 місяців тому +2

    Mpuuzi we Mzee...

  • @godfreyjames8582
    @godfreyjames8582 10 місяців тому +1

    Sema ukisema utakufa siku si nyingi na Mungu nae hakuchukui unaishi saaana

  • @PrinceBonnyTz8
    @PrinceBonnyTz8 10 місяців тому +2

    Mzee unazingua unatumia million 7 kujenga kaburi😅😅 hiyo ni Nyumba mzee

  • @Jonnibo
    @Jonnibo 10 місяців тому

    Yuko sawa kabisa ni swal l kili tu all we are dying suddenly

  • @paulntalima6998
    @paulntalima6998 10 місяців тому +2

    Afya akiri ni changamoto

  • @user-dk5kk4rf3v
    @user-dk5kk4rf3v 9 місяців тому +1

    Utafanya vyote ila moto unakusubiri wewe waza kufa tu hujui kilichopo ndani yako

  • @rashdiyange7758
    @rashdiyange7758 10 місяців тому +1

    Kwakwer majambawaz walijuta kwako

  • @RachelBriervanity1
    @RachelBriervanity1 10 місяців тому

    Kaka yangu katumia akili ya kuzaliwa hakuna cha mtu hapo hahahaa

  • @njoroboihastla
    @njoroboihastla 10 місяців тому

    Manyara,kiteto tunamjua vzr sana😂😂

    • @qaiyahdoow1257
      @qaiyahdoow1257 9 місяців тому

      Kivipii... Nsimulie na mi nataman nimjue

  • @ip_header
    @ip_header 10 місяців тому +1

    Kwahiyo anaogopa akifa hatozikwa? au ndio swagga za kidunia?

  • @rashidisaidi8535
    @rashidisaidi8535 10 місяців тому +5

    Sasa ata ukilipamba ivyo ndo utaenda pepon?? Jiandae kwa ibada hivyo vyote ni vyaanasa

  • @user-ts2oh1zo5b
    @user-ts2oh1zo5b 4 місяці тому

    Mzee mi naomba nisomeshe tu maana napata tabu

  • @ameirzapy1318
    @ameirzapy1318 10 місяців тому +1

    Hapendi kuja kusumbuka baada ya kifo

  • @hamidudigogo5863
    @hamidudigogo5863 4 місяці тому

    Sasa anywe sumu ili yakamilishe alivyo viandaa

  • @issackathman850
    @issackathman850 10 місяців тому +2

    huyu itakuea alifanya madhabi sana

  • @martinpaul1241
    @martinpaul1241 5 місяців тому

    Tatizo nyumba anaifanya ionekane kama kaburi.

  • @salehwaziri5062
    @salehwaziri5062 10 місяців тому +2

    Huyu ndioyule alikuwaga morogoro miakaya nyuma auwanafanana majina

  • @abdulkadirmbarouk5634
    @abdulkadirmbarouk5634 10 місяців тому +1

    Ukifa utapelekwa kijijini ww 😂😂

    • @alexchamy2289
      @alexchamy2289 10 місяців тому

      Hapo ndio kijijini Moji kijijini ni kama mjini

  • @Jonnibo
    @Jonnibo 10 місяців тому

    Wengi tunazikwa vibaya kwa kukosa maharifa

  • @Liliana-mc2su
    @Liliana-mc2su 10 місяців тому

    Soon unatngulia

  • @hamzamsafiri3418
    @hamzamsafiri3418 10 місяців тому +1

    HUYU KADATA MILIO YA RISASI ISHAMFYATUA NETWORK UKIJICHANGANYA TU HATA RISASI ANAKUWEKA, NA HILO KABURI LITAKUWA LINAMUITA HANA SIKU SI NYINGI ATAONDOKA HUYOO

  • @fatuma3969
    @fatuma3969 10 місяців тому +3

    Omba msamaha kwa mungu wako hata ukifanya hivyo mungu hapendi umeumbwa kwa udongo lazima ulalie hayo ni makosa makumbwa mbele ya mwenyezi mungu huo ni msiba mkubwa kabisa

  • @pendomarco8928
    @pendomarco8928 10 місяців тому

    Baba akili nyingi naamini unajiandaa ata njia zako

  • @Chakol123-k7s
    @Chakol123-k7s 10 місяців тому

    Wote mnao judge vibaya huyu mzee nyie sio watoa hukumu mwacheni mzee wawatu.... Mungu ndio finally judge binadamu mnapiga kelele tu.. Nmefurah kusikia kuwa amemrudia mungu❤❤

  • @rizikiabdalla2501
    @rizikiabdalla2501 10 місяців тому +1

    Linapaipuuu ya kupitishaaa hewa au kututoleaaa unuko wako ukesha ozaaa

  • @lelaiddy6856
    @lelaiddy6856 10 місяців тому

    Baba Tunda Whozu