Це відео не доступне.
Перепрошуємо.
#EXCLUSIVE
Вставка
- Опубліковано 28 лип 2024
- #EXCLUSIVE: ASKARI SABASITA ALIYEJIJENGEA KABURI afunguka "MUDA SI MREFU NITATOWEKA DUNIANI"
www.youtube.com/@Wasafi_Media...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Baba Tunda🙌
Binafc cjaona km ni jambo baya nafikiri 2 hofu ya watu wengi ni kwamb jambo Hilo ni geni kwetu na siyo Mila na desturi zetu mtu kujichimbia kaburi mwenyew
hh
Hangaika na mambo ya Dunia hii lakini lazima utakufa tu.mzee upo sahihi kabisa Kwa kujipanga mapema na kuwapunguzia uchungu wale ambao watakuja kulia siku ya msiba wako manake wakiwa wanaliona Hilo kaburi pindi ukiwa hai na ukifa wataona kawaida
akili sifur
Vizuri jambo nzuri sana andaa makao milele roho inavyotaka
Yesss hakika kabisa
Ni njia moja ya kutosababisha vita siku yake ya mwisho kwani tushaona sana familia zikizua ugomvi wa sehemu marehemu atalazwa
Hiyo ni afya ya akili
Uko sawa mzee, kufa ni lazima
Good!!
Tujiandae kwa ajili ya mwisho mwema, tuandae pepo sasa ili iyo hewa nzuri ikufikie.🎉🎉🎉
Kwahali hii lazma atakua anaishi maisha mazuri kwakua kifo kwamtu aliyeokoka nisawa kwakua mwisho wasku anaamini atafufuka katika wafu ivo nisalama kwakua kristo yesu kashinda basi tutashinda
Amen ni faida kufa katika kristo kila nafs itaonja maut
Kama hela ipo unajiandalia mazingira ohooo!!!, Unawaacha pesa wanakuzika ovyo lazima uwe na uhakika wa utakapolala😅😅
Iyo plani nzuri 🤣mtoto uezi kuuza iyo nyumba hatakama ela ikiishayoote::
Yupo sawa kwan mwanadam kitu pekee ambacho unauhakika nacho ni kifo tu
Jambo jema, ila tusiamini kwenye shimo la kaburi kifo ni siri kubwa huwezi jua itakukuta wapi pengine baharini mwili usionekane tena.
Umewaza kama mimi
Mmm kuwa uyaone
Mpuuzi we Mzee...
Haha ha.
Sema ukisema utakufa siku si nyingi na Mungu nae hakuchukui unaishi saaana
Mzee unazingua unatumia million 7 kujenga kaburi😅😅 hiyo ni Nyumba mzee
Tena na kiwanja
Yuko sawa kabisa ni swal l kili tu all we are dying suddenly
Afya akiri ni changamoto
Utafanya vyote ila moto unakusubiri wewe waza kufa tu hujui kilichopo ndani yako
Kwakwer majambawaz walijuta kwako
Kaka yangu katumia akili ya kuzaliwa hakuna cha mtu hapo hahahaa
Manyara,kiteto tunamjua vzr sana😂😂
Kivipii... Nsimulie na mi nataman nimjue
Kwahiyo anaogopa akifa hatozikwa? au ndio swagga za kidunia?
Sasa ata ukilipamba ivyo ndo utaenda pepon?? Jiandae kwa ibada hivyo vyote ni vyaanasa
Mzee mi naomba nisomeshe tu maana napata tabu
Hapendi kuja kusumbuka baada ya kifo
Sasa anywe sumu ili yakamilishe alivyo viandaa
huyu itakuea alifanya madhabi sana
Sanaa
Saaaana km tunda tu😂😂
Tatizo nyumba anaifanya ionekane kama kaburi.
Huyu ndioyule alikuwaga morogoro miakaya nyuma auwanafanana majina
Yeye
Mwamba alisumbuasana
Tuliokuwaga moro enzi zake lazima tumfahamu uyu mwamba, alikuwa kama jini yaan kwa waarifu😅😅
Ukifa utapelekwa kijijini ww 😂😂
Hapo ndio kijijini Moji kijijini ni kama mjini
Wengi tunazikwa vibaya kwa kukosa maharifa
Soon unatngulia
HUYU KADATA MILIO YA RISASI ISHAMFYATUA NETWORK UKIJICHANGANYA TU HATA RISASI ANAKUWEKA, NA HILO KABURI LITAKUWA LINAMUITA HANA SIKU SI NYINGI ATAONDOKA HUYOO
Yani kajenga geto
@@leahzuu6468😂😂😂😂
Omba msamaha kwa mungu wako hata ukifanya hivyo mungu hapendi umeumbwa kwa udongo lazima ulalie hayo ni makosa makumbwa mbele ya mwenyezi mungu huo ni msiba mkubwa kabisa
Baba akili nyingi naamini unajiandaa ata njia zako
Wote mnao judge vibaya huyu mzee nyie sio watoa hukumu mwacheni mzee wawatu.... Mungu ndio finally judge binadamu mnapiga kelele tu.. Nmefurah kusikia kuwa amemrudia mungu❤❤
❤❤❤
Linapaipuuu ya kupitishaaa hewa au kututoleaaa unuko wako ukesha ozaaa
😂😂😂😂
Baba Tunda Whozu