Chadema wasameheni hao kina mama it takes huge efforts for a women to reach those levels they are, na nyie Chadema mmekuwa sehemu ya kuwajenga hao kina mama. Yalitokea Mengi huko Nyuma tunahitaji Sasa kuyasahau na kujenga mustakabali mpya. It so good to see Lema, Halima, and Esther Bulaya together.
Hii Haina Tofauti na Yule Sijui Mashimo au Malakula anasema Membe Amsamehe Musiba. TANZANIA MNACHEZA. NCHI HII, KATIBA, SHERIA, TARATIBU HAZINA MAANA. WASAMEHE UHUNI????
Acha wenge kwani kulikuwa hakuna wachungaji wengine wa kusimamia hio mchango , we acha wenge hapo ametambuliwa bcz hapo kwao , hafu KKKT ndio imemfanya ajulikane , au umbebe ww xaxa
Nawapongeza sana wawakilishi na viongozi wa serikali wakiristo,kujitokeza na kuchangia mambo ya kiroho wakiwa na fahari juu ya kazi hiyo.viongozi na wawakilishi waislamu wanaogopa kuitwa wana udini,na hawawezi katu kujitokeza kama timu nzima ya chadema inavoonekana na viongozi wengine,endeleeni na moyo huu usio na unafiki.BIG UP!
Mm nasema inchi hii Kuna maigizo Sana sana ndomaa hatuendi unafiki unafiki hizo sadaka mnaahidi sawa na viongozi wanashangilia kwa sababu wanatoa pesa Ila kumbukeni hela za masikini wa inchi hii tanzania huwa naumia Sana basi tu
Haya yote ni matunda ya mama etu rais wetu Samia kutuleta pamoja Mungu ibariki Tanzania,Mungu mbariki rais wetu.Amani,Umoja na Mshikamano viwe ngao yetu .Siasa sio uadui❤️
Halima nilikua nakukuubali Sana ila dah! Najua hamna mtu mwenye ugomvi na ela illa kunawakati ela zingine inabidi uzipishe. Halima yani kila nikiwaza siamini kamanda.
ilibidi akubaliane na hali iliyokuwepo wakati huo,alikuwa hana chaguo jingine zaidi ya kuchukua hela maana ata angezikataa angeishia kutekwa na kupotezwa kama siyo kuuawa au kupewa kesi zisizokuwa na dhamana.
Napata Shida sana kusema Udhalimu ni Haki. Na Haramu ni Halali?. Mhe. Lema Macho yake hayana Pazia kama ulivyoyaona. USO Umeumbwa na Haya!?. Nasubiri 'palee' Kula Matapishi yangu mwenyewe. Siasa za Wanasiasa Ndani ya Kanisa la Kisasa. Mshahara wa Wabunge Wasio na Baraka za Chama ukitumika kulijenga Kanisa. Bora Niuze Gongo na Bangi Kuliko Unafiki MATHAYO 23. SOMA mwenyewe.
NA WALE WATUMISHI WASIO MPENDA KIMARO WAITISHE HARAMBEE KAMA HIZI ILI TUONE KIBALI WALICHO NACHO TOKA KWA MUNGU. USHAURI WANGU WATUMISHI TUPENDANE DUNIA IPATE KUTAMBUA KWAMBA TUNAPENDANA
godbless lema nakukubali sana kamanda ang, nataman siku moja tukutane tuongee, naitwa ELIKANA Npo jimbo la sengerema
Kweli nikimuona Kimaro ninafarijika sana. Mungu azidi kukutunza.
Walitaka kucheza na akili za mchungaji kimaro cheki Sasa anafanya kazi kubwa sana na anawatu wakubwa kwelikweli Mungu akubariki kimaro.
Chadema wooooote hawa.hata kimaro maskn ya MUNGU NA NILIKIA NAMPENDA SANA KIMARO KUMBE UKO HUKOOO....UWIII😊
Chadema wasameheni hao kina mama it takes huge efforts for a women to reach those levels they are, na nyie Chadema mmekuwa sehemu ya kuwajenga hao kina mama. Yalitokea Mengi huko Nyuma tunahitaji Sasa kuyasahau na kujenga mustakabali mpya. It so good to see Lema, Halima, and Esther Bulaya together.
Itakua ni mazoea kwa ccm kufanya ukafiri wakitegemea msamaha apa ni kukaza tu wanakula kodi za bure
Binafs nataman sana na mimi kuona hawa wakina dada wanarud kundini jaman! Sema basi tu ndo maisha yalivyo.
Kusamehe In Which Sense? Kuhalalisha walichofanya?
Hii Haina Tofauti na Yule Sijui Mashimo au Malakula anasema Membe Amsamehe Musiba. TANZANIA MNACHEZA. NCHI HII, KATIBA, SHERIA, TARATIBU HAZINA MAANA. WASAMEHE UHUNI????
@@ThobiasMarandu wanazani kila mtanzania ni ndondocha
Mungu ni mwema,Mh.Rais maono yako yanaonekana hadi Kanisani.
Hongera Daddy ELIONA KIMARO
NAIPENDA SANA TANZANIA 🇹🇿 ,NAWAPENDA SANA WATANZANIA.MUNGU ASANTE KWA KUWA NA WATANZANIA,SIFA NA UTUKUFU NI WAKO.
Hongera sana Mtumishi wa Mungu
Dr Kimaro Mungu aendelee kukutunza
Jamani mbaka Mguru Mchemba yupo haaa🤭🤭👏👏
Acheni kumsifu mchungaji,Anayeujua moyo wake ni Mungu mwenyewe.Mwachenj afanye kazi ya Mungu
Mtu akifanya kazi na asifiwe,binaadamu ana nafasi,na Mungu ndiye msimamizi mkuh.
Amina 🙏🏿🇹🇿🤔
Kazi nzuri 👏👏👏
Nampenda sana Mhe. Halima kama sio kikwazo cha Dini ningemuomba awe mkewe wangu. Mungu ambariki sana!
ungemuomba au ungemtongoza si mpaka ukubaliwe
Huyu jamaa vipi tofautisha mbingu na ardhi
Amina
eriona kimaro nikati ya wachungaji ambao nawakubari sana
Mchungaji Eliona Kimaro. Kanisa lisikutumie kukusanya michango tu, pia litambue na kuheshimu huduma yako yenye kipaji ndani yake.
Kwani haitambuliki?
Mchungaji kimaro ameajiriwa na KKKT,na siyo kweli kwamba ana kanisa lake,hasha!
Acha wenge kwani kulikuwa hakuna wachungaji wengine wa kusimamia hio mchango , we acha wenge hapo ametambuliwa bcz hapo kwao , hafu KKKT ndio imemfanya ajulikane , au umbebe ww xaxa
Lovely
Nawapongeza sana wawakilishi na viongozi wa serikali wakiristo,kujitokeza na kuchangia mambo ya kiroho wakiwa na fahari juu ya kazi hiyo.viongozi na wawakilishi waislamu wanaogopa kuitwa wana udini,na hawawezi katu kujitokeza kama timu nzima ya chadema inavoonekana na viongozi wengine,endeleeni na moyo huu usio na unafiki.BIG UP!
Mungu awabariki sana
Hii ndo Tanzania tunayoitaka .tusibaguane kwa vyama sisi tuunganishwe na utaifa wetu .vyama vitapita lakin Tanzania itabaki daima
Good but siyo vzr kwenda na sare za chama kanisani
Mm nasema inchi hii Kuna maigizo Sana sana ndomaa hatuendi unafiki unafiki hizo sadaka mnaahidi sawa na viongozi wanashangilia kwa sababu wanatoa pesa Ila kumbukeni hela za masikini wa inchi hii tanzania huwa naumia Sana basi tu
Siasa viva Roma utabiri wako ume wekewa Wakfu Allah leo lema kasimama na mwigru
Huku ni Kwa Yesu Kristo Kila mtu anakaribishwa karibu sana
Mdee madawa yamekuuwa😊
Ndugu ripota, uko vizuri lakini KKKT hatuna kanisa la Mchungaji flani eg kanisa la mch Kimaro
Mi nikajuwa Lema na halina hawaongei siasaa
Haya yote ni matunda ya mama etu rais wetu Samia kutuleta pamoja Mungu ibariki Tanzania,Mungu mbariki rais wetu.Amani,Umoja na Mshikamano viwe ngao yetu .Siasa sio uadui❤️
Mungu amewaleta pamoja sio mtu
@@baghabaghaingwengwe1750 Mungu hutumia mtu
@@baghabaghaingwengwe1750 naamini hivyo ila MUNGU hakushuka chini amemtumia mama 😀
@@lusajomwaipopo5042kweli kabisa .
@@linnamlay3643 exactly
Ok
Mhmmm yesu mwenyewe hakuwahi kuingia kanisani kimaro piga pesa namie naanzisha kanisa langu kea biashara nzuri
Halima nilikua nakukuubali Sana ila dah! Najua hamna mtu mwenye ugomvi na ela illa kunawakati ela zingine inabidi uzipishe. Halima yani kila nikiwaza siamini kamanda.
ilibidi akubaliane na hali iliyokuwepo wakati huo,alikuwa hana chaguo jingine zaidi ya kuchukua hela maana ata angezikataa angeishia kutekwa na kupotezwa kama siyo kuuawa au kupewa kesi zisizokuwa na dhamana.
Samahani naomba kuhuliza kwani huyu Mchungaji Kimaro ameamishwa Dar lini?
Hajahamishwa alienda kutoa shukrani kwenye usharika wa Kondeni matala usharika wa nyumbani kwake alikozaliwa Moshi.
Kuna siku mnakua wastaharabu sana sana.kama Leo mmekua safi
Napata Shida sana kusema Udhalimu ni Haki.
Na Haramu ni Halali?.
Mhe. Lema Macho yake hayana Pazia kama ulivyoyaona.
USO Umeumbwa na Haya!?.
Nasubiri 'palee' Kula Matapishi yangu mwenyewe.
Siasa za Wanasiasa Ndani ya Kanisa la Kisasa.
Mshahara wa Wabunge Wasio na Baraka za Chama ukitumika kulijenga Kanisa.
Bora Niuze Gongo na Bangi Kuliko Unafiki
MATHAYO 23.
SOMA mwenyewe.
Hongera sana daddy 😍🔨
Mdee na Bulaya wezi wa kodi zetu hapo wanatupiga changa la macho ni mafisadi kama wengine tu
Esther Bulaya kutoka Mara..... Mbunge ....
Halima Mdee kutoka Kawe... Mbunge mstaafu ??? Lema .... Mwugulu..
Sauti ya zege mnafikiiiii
Milard hatuna kanisa la Mchungaji Kimaro
Kweli tuna kanisa la KKKT
Acha ujinaga hapo KKKT sio kanisa la Kimaro ,
Lema aibu lazima kamchezo anakajuwa sasa hv wanapasua kuku kupitia ruzuku toka kwa hao 19
mashoga akili hamna
Kanisani au pikniki
Kumbe halima mdee ni mkristo?
Mbona lema kama ana ka aibu flani hivi🤭🤭
Umeonaee!!!???
Ila ajasema mbunge wa chama gani
Samahanini kimario kapelekwa kanisa gani baada ya kijitonyama
Kwani apo uwanja wa taifa naskia
Inawezekana hawa Bulaya na mwenzie wanakulana kweli hawa
Mh jmn
Mke wa halima mdee si huyu ester Bulaya
jmn kwann?
@@messiasulleydidy2585 kwa sababu viashiria ni vingi mbona kusoma unaweza ukawa usijue ila picha nayo dah
wana c.c.m mbona wanafaa pia nguo zao za chama kanisani.kanisa halichagui mavazi
Huyu padre amebarikiwa kuwa kiongozi
Sio Padre ni mchungaji
@@veeJesus wewe ni KKKT
Eee
Unaifahamu historia ya kanisa lako vizuri
@@chescokagali5962 Usiniulize maswali namjua Yesu dini kaa nazo wewe me hazinipelek kokote
Kwani Esta na halima ni mke na mume au kila sehem akiwa mmoja na mwenzie yupo🤔
Mashostito pika pakua
@@wemakingdaily1462siyo kweli Halima ni mume Ester ni mke.
Ester I love you My loving sister ila nafuta furaha ya kweli Una uzuni kubwa ninishida
Mahali NI pazuri..
Ndugu wanapokaa kaa
Tuna KKKT sio kanisa la Kimero , samahani mildayo
Mafisadi watarajiwa.
Siasa siasa Haina adui Wala rafiki wa kudumu
MUNGU IBARIKI NCHI YETU BARIKI VIONGOZI WOTE WAKI DINI NA WAKISIASA TUIJENGE NCHI YETU
ni nguo kama nguo nyingine
😂😂😂😂😂😂😂mtoto Mdogo huwezi Tafsiri hilo chemo miaka 1000.
Halima Mdee Na Bulaya wajue kuwa wao hawawezi kuwa juu ya Chadema, Chadema ni kubwa zaidi yao
Wanafanya tu siasa mpaka kwenye nyumba za ibada.
Kifo hicho dangerous
Sure
Hapo Ndipo mnapofeli waislam mambo ya wakristo hayawahusu kaeni kimya
Sihsa mbaya sana
Hivi halima ni mbunge wa chama gani vilee!.
Viti maalum
NA WALE WATUMISHI WASIO MPENDA KIMARO WAITISHE HARAMBEE KAMA HIZI ILI TUONE KIBALI WALICHO NACHO TOKA KWA MUNGU. USHAURI WANGU WATUMISHI TUPENDANE DUNIA IPATE KUTAMBUA KWAMBA TUNAPENDANA
Kuvaa gwanda la chama cha siasa kanisani Ina maana gani?
Haina maana yeyote wewe unahisi inamaana Gani?
Kwani Nikienda na gwanda kanisani Mungu hawezi kusikia?
Lina maana mama samia hana ubaguzi wa vyama
@@gladnesskombe1664 ha ha ha ha tumsamehe bure mavazi yake ya kawaida aliyaacha Canada
sasa magwanda ya chama hadi kanisani kweli!!! mmmhhhhh
Piga pesa kimaro za wajinga
Mch. Kimaro hii Kaz Yako ya uchungaji mungu alikubarikia tangu tumboni kwa mama yako
Kabsaaaa
@@aishalucas3502 why yeye na asiwe mchungaji mwingine yeyote?? ulishawahi kujiuliza?????