Iron men mshindwe wenyewe, vidonge hivyo full dose mmepewa na Chief, mkavimeze , ndoa zenu zikapone ! Mme wangu akiwasili tu lazima nitamuonyesha hii clip, Asante sana Apostle, More anointing more grace
Apostle chunga husband asiione hii video. Haki umenichambua Sana😂😂😂😂 All married ladies let's gather here. Eti Sisi hatuezi ishi na Amani for more than 3moths😄🤣🤣🤣🤣🤣🤣hapa sisemi kitu
Hizi semina kwa wanaume ni adimu sana, kila siku zipo za wanawake haohao wanawake ni very complicate anae ishi nae ndo anapaswa ndo apewe semina sana za nguvu kama hizi ili awe na akili nyingi kuishi nae, Endelea kuwapa mafundisho baba mana hizi ni adimu mno. Ni maombi yangu kwa Mungu ziwepo hizi semina kila mara.
Pole mchungaji inaonekana hata ww unapitia mengi sana. Kweli hawa viumbe ni tatizo sana....... Hekima za MUNGU ziwaongoze wanaume otherwise risasi na mapanga zitawahusu sana hawa viumbe kitu ambacho sio vizuri
By the time have encountered this clip, now I realize God has been helping me to use wisdom. Ningekuwa nimevunja ndoa yangu kutokana na pressure za watu lakini nilipo utazama ujumbe huu nimejua Kwa kweli kumbe mengi nimeyafanya Kwa ndoa yangu nimekuwa nikitumia wisdom.. Asante sans apostle Kwa kufungua akili za wengi
Just stumbled in this page wot a great insight on marriage n learning a woman 👠 👠. This is a download frm heavenly father 😂😂😂. Thanks Soo much apostle l hv to share it as many as possible.
Power full teaching .If my husband angesikia nakufuata haya yote ingali kuwa vema . mimi ma ngumi ziliniuwa ,matusi ,na yote hata meno niling'olewa .hakika imesema kuna baadhi ya waume wana vutuko . hata aliambiwa aniache wammpe mke mzuri kuliko momi akanitupa na watoto tano .13 yrs now .mimo sokuolewa juu watoto .bt nimenunuwa shamba through jouse maid na kusomesha .naye wanawaketu kubadilisha .hata nyumba hana. Chief always you touch me .connecting from Lebanon.
Asante. Saidia baba. MAANA MAFUNDISHO MENGI YAMEEKEKEZA MWANAMKE TU, MPAKA WANAUME WAMESAHAU KUWA NAWAO WANATAKIWA AKIRI, NA HEKIMA. NDIYO SABABU WAMEKUWA WABABE, NA LAWAMA NIKUWA SISI HATUSIMAMI KWA NAFASI ZETU.😭😭😭
Hizi ni nyundo hasa, ulichozungumza ni sahihi kweli unaongozwa na roho wa Bwana hujakurupuka mtume. Wanaume wengi hawatumii hekima na maharifa wanatumia mabavu vitu ambavyo hatuvipendi mioyoni mwetu, afu wanaume wasiotumia hivyo vitu tunawadharaugi sana naweza ishi nae basi tu lakini moyoni namdharau simpendi nikawa nampenda muuza machungwa au mihogo kwasabu ana hekima na akili ktk kuzungumza namimi najiskia vizuri hata kupiga nae story tu napata nafuu
NIMEIPENDA HIYO ya maamuzi ya kipepo iko sawa kabis a na sayansi mpya ya mambo yasioonekana iitwayo parapsychology ...There is far more to this world than taught in our schools, shown in the media, or proclaimed by the church and state. Most of mankind lives in a hypnotic trance, taking to be reality what is instead a twisted simulacrum of reality, a collective dream in which values are inverted, lies are taken as truth, and tyranny is accepted as security. They enjoy their ignorance and cling tightly to the misery that gives them identity. Fortunately, some are born with spiritual immune systems that sooner or later give rejection to the illusory worldview grafted upon them from birth through social conditioning. They begin sensing that something is amiss, and start looking for answers. Inner knowledge and anomalous outer experiences show them a side of reality others are oblivious to, and so begins their journey of awakening. Each step of the journey is made by following the heart instead of following the crowd and by choosing knowledge over ignorance. Knowledge is the key to unlocking our potential. It gives us the self-determination, responsibility, and power necessary to cast off the chains of covert oppression. Knowledge is therefore the greatest protector, for it also gives us foresight to impeccably handle the challenges of life and, most importantly, to sidestep the traps on the path to awakening. The more you know of higher truths and apply what you know, the more you begin operating under higher laws that transcend the limitations of the lower.
Mmmh ! Kweli ata tukikwepa kuoa, tutakuta nao tu kwenye mizunguko ya kimaisha. Ombi na dua ni MUNGU atuongezee hekima.
Iron men mshindwe wenyewe, vidonge hivyo full dose mmepewa na Chief, mkavimeze , ndoa zenu zikapone ! Mme wangu akiwasili tu lazima nitamuonyesha hii clip, Asante sana Apostle, More anointing more grace
Huku mwishon ujumbe umeishia patamu Mungu akuongeze Apostle
Hapo kwenye kukubal kosa hakuna umetuonea,,, wanaume ndio awakubal kosa
Mh, kwakwel hapana, makosa mnayo kubali ni yale makubwa yenye ushahidi na madhara haya madogo madogo ya uzembe na dharau hamjawah kuyakubal
Apostle chunga husband asiione hii video. Haki umenichambua Sana😂😂😂😂 All married ladies let's gather here. Eti Sisi hatuezi ishi na Amani for more than 3moths😄🤣🤣🤣🤣🤣🤣hapa sisemi kitu
Ni kweli
Zw
This is powerful Chief Apostle
Ombi langu kwa Mungu wa Major 1 ni anipe mume ambae ataishi nami kwa akili na hekima. In Jesus Mighty name, Amen
Ndoman Niko single maana no wivu uliopitiliza siwez mwamin mwana Mme
Unahitaji ukombozi
Hujampata bado huyo mwanaume
You're right Apostle Mtalemwa..
Wamechanganyikiwa kweli..
pastor asante umenifungua,,namwambia Mungu asiwahi kukutoa haraka dunian, nikupenda kweli kweli pastor wangu ningependa hata uwe Baba yangu wa kiroho
Mungu akutunze apostle, natamani wanaume wote duniani waje wayasikie mafundisho haya.
Good San Kaka nimejifunza vitu ving ....mungu akubarik
Hizi semina kwa wanaume ni adimu sana, kila siku zipo za wanawake haohao wanawake ni very complicate anae ishi nae ndo anapaswa ndo apewe semina sana za nguvu kama hizi ili awe na akili nyingi kuishi nae, Endelea kuwapa mafundisho baba mana hizi ni adimu mno. Ni maombi yangu kwa Mungu ziwepo hizi semina kila mara.
😂😂😂
Pole mchungaji inaonekana hata ww unapitia mengi sana. Kweli hawa viumbe ni tatizo sana....... Hekima za MUNGU ziwaongoze wanaume otherwise risasi na mapanga zitawahusu sana hawa viumbe kitu ambacho sio vizuri
Kwahiyo sisi ni tatizo? 😁😁😁😁😁😁😁😁😂
Nimekulewa Fr,
Asante ujumbe nimzuri
Sana.
By the time have encountered this clip, now I realize God has been helping me to use wisdom. Ningekuwa nimevunja ndoa yangu kutokana na pressure za watu lakini nilipo utazama ujumbe huu nimejua Kwa kweli kumbe mengi nimeyafanya Kwa ndoa yangu nimekuwa nikitumia wisdom.. Asante sans apostle Kwa kufungua akili za wengi
Mungu akupe maisha marefu uendelee kutuimalisha kiroho na kijamii
Just stumbled in this page wot a great insight on marriage n learning a woman 👠 👠.
This is a download frm heavenly father 😂😂😂.
Thanks Soo much apostle l hv to share it as many as possible.
You're the right teacher for man, marriage and relationship
Apostle, thanks so much for this massage. I hope my fellow brother will get it. In religion. We use devoce and adding another wife.
Kweli kabisa, Mungu akubariki mtumishi
AMEN!! MUNGU wa Major one awasaidie sana Wanaume kupitia somo hili.
Hahaha miez mitatu aman miez mitatu kuna kitu kinatafutwa safiiii Mtalemwa
Wooow this message is very perwfully
Dah! Baba umenifungua sana
Thanks Apostle very powerful lesson
Maombi ya kuwaombea watoto limenibariki sana. Mubgu Baba azidi kukutunza na kukupa mafunuo zaidi ba zaidi mtumishi wa Mungu.🙏🙏🙏
Oooh very good Glory to God mutumishi, ubarikiwe sana na ujumbe wako umenifusa,
🤣🤣ni kweli kabisa pastor sijui tukoje jamani duuu EE MUNGU naomba nisaidie mm🙏🙏🙏
Chief this teaching is very deep and powerful I wish all men should watch this.
Powerful and FACT
We Acha kuharibu. Remember umeitwa a confused creature🤣🤣🤣🤣
@@hildajimmy1257 tayari uko confused. Kati ya maneno yote umeumia kuitwa confused😂😂
@@hildajimmy1257 Sasa si ndyo ukwelii wenywe.
Asantee Sana apostle ....iron men wamepona
Power full teaching .If my husband angesikia nakufuata haya yote ingali kuwa vema . mimi ma ngumi ziliniuwa ,matusi ,na yote hata meno niling'olewa .hakika imesema kuna baadhi ya waume wana vutuko . hata aliambiwa aniache wammpe mke mzuri kuliko momi akanitupa na watoto tano .13 yrs now .mimo sokuolewa juu watoto .bt nimenunuwa shamba through jouse maid na kusomesha .naye wanawaketu kubadilisha .hata nyumba hana. Chief always you touch me .connecting from Lebanon.
Poleeeee
Powerful words
Asante. Saidia baba. MAANA MAFUNDISHO MENGI YAMEEKEKEZA MWANAMKE TU, MPAKA WANAUME WAMESAHAU KUWA NAWAO WANATAKIWA AKIRI, NA HEKIMA. NDIYO SABABU WAMEKUWA WABABE, NA LAWAMA NIKUWA SISI HATUSIMAMI KWA NAFASI ZETU.😭😭😭
Huu ndio ufahamu na fundisho la kweli . Barikiwa pastor
Pastor miezi mitatu mbona mbari sisi kila wiki😄. Mungu tuhurumi
😂😂😂
Asante sana apostle Mungu akubariki sana Kwa kuwa mafundisho haya yatabadilisha maisha ya vijana wetu vizazi na vizazi
Amen pastor am transformed by your teaching
I'm saving this for my husband to be to hear thanks Apostle for the word stay blessed
Asante Apostel hata mimi nime zijua Leo tabia zangu, nilikua hata Sijui ni zangu 🙏🙏
Hubaijumamosi
Mungu akubariki sana
Mafundisho mazuri sana kuhusu kutumia hekima. Ila hekima Ina ukomo. When crush is inevitable, we use wisdom to crush.
Mungu akutendee mema Apostle nimefunguliwa Sana Somo hili
Nusu saa flani hiv yenye baraka
This is so Powerful....asante Apostle 🙏🏿
Asante sana apostle....
UKWELI WA NINI? MIMI PIA NINA AKILI UKWELI NITACHANGANUA. JUST BE LOYAL AND LOVE ME THAT IS YOUR JOB 😂😂😂😂. NEENA YA MUNGU IWAFUNIKE.
Exactly
Hasiekubali kujifunza ata kua funza
Nisahidie Papa mwanao Harusha Sina mtototo na mke amenisaliti nisaidie Bey Cenon Petre asante
Asante Mtume MUNGU akubariki
Iyo nikweli APA nonakiongozi mume namke wote niviongozi wana achana nikilamu ekokivyake nawana endeleya lakini kwaswala landowa imekwi sha
Amen!!! Mungu asifiwe kwa huduma ECG , zina tu faa saaaana
Point Sana brother 😶😶😶😫😫mungu akubariki Sana hataa mimi natumia hakiri
Kweli pastor asant kwa ujumbe mzuri hapo umenikumbusha yanipasayo kutenda
ASANTE EE MWENYEZI MUNGU. UNIJAALIE NIKAENENDE KTK HEKIMA. 🙏🙏🙏🙏🙏🙌🙌🙌🙌🙌
Huwa nakuelewa sana sana barakiwa sana❤❤❤❤❤
Best apostle ✍️
Thanks pastor am blessed
Amen ubarikiwe 🙏🙏
Asante ujumbe mzuri Sana Apostle
Asante sana! Maana nimeisikia sauti ya Mungu.
Poweful Apostle.
Jmnjmn unamjua mwanamke vzr
Powerful ❤
Hizi ni nyundo hasa, ulichozungumza ni sahihi kweli unaongozwa na roho wa Bwana hujakurupuka mtume. Wanaume wengi hawatumii hekima na maharifa wanatumia mabavu vitu ambavyo hatuvipendi mioyoni mwetu, afu wanaume wasiotumia hivyo vitu tunawadharaugi sana naweza ishi nae basi tu lakini moyoni namdharau simpendi nikawa nampenda muuza machungwa au mihogo kwasabu ana hekima na akili ktk kuzungumza namimi najiskia vizuri hata kupiga nae story tu napata nafuu
mshenzi kidogo si utoke tyu unakaa nae wa nini
mungu.akubarik.unawasaidi.mafundiso
This is deep Apostle..
Asante kwakunipa haya maarifa
Mtumishi huwa una unaeleka sana sana❤ kwangu mimi ❤
Asante Apostle kwakwel tuko confused daaaah
Nimejitahidi kabla ya kulijua hili,sasa mimi ni Suleiman
Ubarikiwe mtumishi kwa neno zuri
Kwakwelo Apostle olige.upo vizuri
Big upto you pastor!
Wakola mwana wa Tata... Wanjuna omukazi mbali yangobize ka gatalimagezi nobushobokelwa nakuba namwisile😂😂😂
Wowowwowwww nimekupata sana bro
Daa we need more teachings. Ya wanawake ni lini eti?
Ya wanawake yapo huku kwenye acc ya apostle mengi tu. Angalia utayaona.
Ubarikiwe mtumishi ujumbe umekolea
Ahsante sana kwa ujumbe mzuri sana Apostle. Napokea Hekima.
Wanaume wengi wa sasa awapendi kazi wanapenda kulishwa
Ameni apostle
Nimependa sana ujumbe wako Mungu azidi kukujalia neema na lehema
Woow, how l wish all men listening to this messege spread it to other by putting in practice so that others will learn from them
Very powerful iam blesed
Amen sana
Safi saana hiii
u have got a new subscriber because of this video
IS it true that women cannot make a genuine apology?
Hekima na ela dah wanaume tunakazi nzito kumbe amen 🙏
Asante Mtumishi Ubarikiwe
Kweli kabisa unachoongea
Baba asante
Nimeshuruku sana kwa mafunzo haya. Ni ukweli mtupu mtu wa Mungu.
elimu nimeipata, hiki kidogo cha leo Mungu anisaidie nikiishi, maana kwakweli mmmmh..
Amen chief
👌
Nakukubali sana mchungaji
Asanteeee 😂😂😂😂
Nimeelewa Sana hii apostle.
Ameni apstle
Daa you have read well the womens mentality. Umeongea ukweli kabisa
ubarikiwe sana kwa somo
Aamen barikiwa sana
NIMEIPENDA HIYO ya maamuzi ya kipepo iko sawa kabis a na sayansi mpya ya mambo yasioonekana iitwayo parapsychology ...There is far more to this world than taught in our schools, shown in the media, or proclaimed by the church and state. Most of mankind lives in a hypnotic trance, taking to be reality what is instead a twisted simulacrum of reality, a collective dream in which values are inverted, lies are taken as truth, and tyranny is accepted as security. They enjoy their ignorance and cling tightly to the misery that gives them identity.
Fortunately, some are born with spiritual immune systems that sooner or later give rejection to the illusory worldview grafted upon them from birth through social conditioning. They begin sensing that something is amiss, and start looking for answers. Inner knowledge and anomalous outer experiences show them a side of reality others are oblivious to, and so begins their journey of awakening. Each step of the journey is made by following the heart instead of following the crowd and by choosing knowledge over ignorance.
Knowledge is the key to unlocking our potential. It gives us the self-determination, responsibility, and power necessary to cast off the chains of covert oppression. Knowledge is therefore the greatest protector, for it also gives us foresight to impeccably handle the challenges of life and, most importantly, to sidestep the traps on the path to awakening. The more you know of higher truths and apply what you know, the more you begin operating under higher laws that transcend the limitations of the lower.
K mm mm mmlllllppp
amina mungu nipe hekima
Ubarikiwe sana