Amen Amen Amen umenena nami mtumishi barikiwa Sana sana kama Kuna kitu nahitaji MUNGU akufanyie n akupe maisha marefu ili uzidi kuponya nafsi za wengi ndilo ombi langu kwa Jina la YESU
Barikiwa sana Apostle , Mafunzo yako yanajenga ,yana bariki na kubadilisha maisha yangu.I was going into Depression ,mwili ikaisha but kwa sasa imeisha,na naona mwili wangu unarudi tangu nianze kufuata mafunzo yako ,Na nina imani mungu anenda kutenda Mengi juu ya maisha yangu.Amen 🙏
Nakushukuru Mungu Kwa ajili ya mtumishi wako apostle dionis mtalemwa unayemtumia Kwa viwango vya juu sana kutufundisha siri za ufalme wako ,mbariki ,mtunze endelea kumpa mafunuo Kwa ajili yetu watoto wako amen
Bwana YESU na akuzidishie kuishi, amin, unanibariki Sana na umetumiwa na Mungu kunibadirisha sana yaani ubada zenu zinanigusa sana, nami huku huwa nafanya kama niko hapo nikiamini kiroho tupo pamoja, amuna KUBWA kwa utukufu wa MUNGU
Ubarikiwe Sana mtumishi, Somo ni zuri Sana, tumesoma Sana maandiko lakini hatujayafanyia kazi, tunayaacha badala ya kukiri na kuamini maandiko. Barikiwa
Asante Sana apostle, umenigusa katika sehemu Fulani, I declare I'm a more than a conquerer, every plans of the wicked against my life ,will not stand neither will it come to pass according to Isaiah 7:7. No weapon fashioned against my marriage , ministry, calling, business, career, marriage, family will Prosper according to Isaiah 54:17 in Jesus mighty name. I PREVAIL in Jesus mighty name amen
Asante sana mutumishi, leo umenifundisha kitu kikubwa sana katika kusoma neno la Mungu. Ubarikiwe Bwana YESU akuzidishie ufahamu zaidi. I am Desire from Germany 🇩🇪🇩🇪 🇩🇪 🇩🇪.
Asante kwa neno zuri mtumishi wa MUNGU. Mungu amesema nami na kunifundisha Nlikua kwenye maombi wiki mbil zilizo pita na nkapata msukumo wa kufanya hivi ulivyo fundisha nkawa nkisoma neno na usiku wa sasita naipokea sikj na kuisemea kulingana na neno la Mungu lilivyo andikwa na nalifanya kua langu na ninatembea nayo kwa siku hiyo nzima nikaona baraka kwenye kazi yangu ya udereva tax (uber&bolt) Lakini sasa siku ya ijumaa ya tareh 18 Feb nkafanya kosa nkasoma neno nkaomba lkn nilipo ingia kazini nkakaa na madeleva wenzangu nkanena tofauti kwamba siku sio nzur abilia hamna na kilicho nikuta nlimaliza siku hiyo kwa hasala paka mtaji wa mafuta ukakatika, lakin leo tareh19 Feb nimeona ujumbe huu nimeona nlipokosea jana. Asante kwa neno zuri sito rudia kosa. Ubarikiwe.
I'm Kenya in Arabian but I love your sermon I gain a lot I say thanks you
Asante mtumish wa Mungu,imekuwa
Amen Amen Amen umenena nami mtumishi barikiwa Sana sana kama Kuna kitu nahitaji MUNGU akufanyie n akupe maisha marefu ili uzidi kuponya nafsi za wengi ndilo ombi langu kwa Jina la YESU
Eemwenyezi MUNGU nisaididaima nisomapo nenolako nilielewenakulishika nalitende kazi maishani mwangu katika jina la YESU kristo AMEN
Thank U alot Apostle. I'm blessed from DRC Goma
Wow chief nilikuwa na hio shida nikianza kusoma hata sielewi nashikwa na usingizi. Nashukuru sana kwa mafundisho nitabatilika
Twambie apostle maana uvivu umezidi sikuhizi kuchukua bible ni shida Asante na Mungu atuponye barikiwa sana apostle Mungu akutunze na familia yako
Barikiwa sana Apostle , Mafunzo yako yanajenga ,yana bariki na kubadilisha maisha yangu.I was going into Depression ,mwili ikaisha but kwa sasa imeisha,na naona mwili wangu unarudi tangu nianze kufuata mafunzo yako ,Na nina imani mungu anenda kutenda Mengi juu ya maisha yangu.Amen 🙏
Amen Chief, kwa kweli sikuwa na maarifa haya, thank you very much, I am blessed, NEEMA YA MUNGU INI WEZESHE, KWA JINA LA YESU.
Asante Sana Apostle nimejifunza jambo..may our living God continue protecting you and bless you for us 🙏
Nakushukuru Mungu Kwa ajili ya mtumishi wako apostle dionis mtalemwa unayemtumia Kwa viwango vya juu sana kutufundisha siri za ufalme wako ,mbariki ,mtunze endelea kumpa mafunuo Kwa ajili yetu watoto wako amen
Ahsante mtumishi wa Mungu umenitoa kichakani barikiwa sana
Barikiwa mtumishi nimejifunza jinsi ya kusoma bibilia. Sikuwa najua kabisa
Dakika tatu za mwanzo aki Apostle huyo ni mimi,asante kwa somo hili.
Asante sana my mentor
Yan Mungu nisaidie hakuna kitu napambana nacho kama nisome neno la Mungu na kuelewa na kulitamka.
Barikiwa mtumishi
Asante sana Apostle kwa somo la leo,nimejifunza kitu cha kunisaidia sana,God bless
Bwana YESU na akuzidishie kuishi, amin, unanibariki Sana na umetumiwa na Mungu kunibadirisha sana yaani ubada zenu zinanigusa sana, nami huku huwa nafanya kama niko hapo nikiamini kiroho tupo pamoja, amuna KUBWA kwa utukufu wa MUNGU
Asnte mchj,
Kutukumbusha nguvu ya kunena (matunda ya mdomo kwa neno la Mungu)
*Imenenwa🔥🔥🔥🔥*
Mungu nashukuru.unajua uliponitoa aposto.ubarikiweubarikiwe no
Amen nawafuatilia kutoka Saudi Arabia be blessed too
Ujumbe wangu.shetani nimekutsmbua.toka ktk maisha yangu.
Amina Sasa nimeelewa
Always teaching the real word and giving clarifications you made me understand everything.lwill change from today
GOD BLESS YOU CHIEF APOSTLE.
Ubarikiwe mtumishi nashukuru roho inapona ila usiku hua nasikia kishindo mapaka yanaangukia darini
Mafundisho mazuri sana,asante mtume
Yaani itabidi tuanze kulipa ada maana sio kwa mafunuo haya
God bless you much Servant of Holy God , I am blessed with your teachings. Thank you.
Ubarikiwe Sana mtumishi, Somo ni zuri Sana, tumesoma Sana maandiko lakini hatujayafanyia kazi, tunayaacha badala ya kukiri na kuamini maandiko. Barikiwa
Hii sermon ni ya kwangu be blessed
Napenda jinsi ya kusoma nilikuwa nakosea Sana umeniludisha kwenye kujitambua Tena
Amen, Dady mahubiri nmeyapenda na nimeyaelewa na nitatok hapa nilipo
God bless you apostle
UBARIKIWE SANA MTUMISHI.UKO SAHIHI!!!!!NI 🔥🔥🔥
Jambo Mutumishi ,na shuku kwa mafundisho . asante kwa Mungu.
nakushukuru apostle hakika umenifungua mno mungu akutunze uzidi kutufundisha.
Ni kweli kabisa
Amen powerful teaching pst mungu akubariki saana . Watching from Saudi Arabia
Teach son of Major 1 ,,,,
Amen some nzuri sana
Ameen mtumishi nimepata kitu hapo nimejifunza jinsi ya kuomba mungu azidi kumuinua
Somo lina nguvu sana
Powerful Baba
Amina, ubalikiwe kwani sitakufa mapema. Mungu amekuongoza umeokoa maisha yangu naMungu akubaliki Sana
Barikiwa Mtumishi wa Mungu nimejifunza kitu
Asante Sana apostle, umenigusa katika sehemu Fulani, I declare I'm a more than a conquerer, every plans of the wicked against my life ,will not stand neither will it come to pass according to Isaiah 7:7. No weapon fashioned against my marriage , ministry, calling, business, career, marriage, family will Prosper according to Isaiah 54:17 in Jesus mighty name. I PREVAIL in Jesus mighty name amen
Asante sana mutumishi, leo umenifundisha kitu kikubwa sana katika kusoma neno la Mungu. Ubarikiwe Bwana YESU akuzidishie ufahamu zaidi. I am Desire from Germany 🇩🇪🇩🇪 🇩🇪 🇩🇪.
Amen Amen Amen baba Mimi APA asante kunifunza kusoma
Am so blessed from saudi Arabia I need more God's grace
😪😪😪leo nimejifunza kitu kikubwa sana nisichokuwa najua yani🙌🙌🙌 chief apostle Asante mungu baba kwa kutuletea.
Nimekuelewa sana pastor,ni kama vile Kirusi cha HIV,hakifanyi kazi nje ya mwili wa mwanadamu,kinapata nguvu tuu kikiingia ndani
Amen,, thnks for this revelation apostle 🙏🙏
Amen! Amen! Amen!
ASANTE my apostle umenifungua
Mungu akulinde Mtumishi nakukuinua zaidi
Mungu anisaidie kuanzia leo i reseev I reeeeesev it
Blessed much i get revelarion indeed
Thank you Apostle 🙏
IMENENWA
Thank you jesus to teach me 🙏🙏🙏
I LOVE ECG ,I WILL NEVER BE THE SOME THANK YOU JESUS
Ubalikiwe sana mtumishi wa Bwana wa majeshi
Barikiwa Sana mtumishi wa mungu nimejifunza kitu na nimetoka mahali na kwenda viwango vingine
Ooooh Yes Malaki
Amen
Amina nimejifunza kwako asante
Oooh Yes.....asante Sana Chief for this Powerful revelation.....🙏🙏🙏
Hata iwe usiku eeh asante kwa kunifundisha kunena ahaaaa😢😢😢Aaaaamen duh!! Nimeelewa
Ubarikiwe Sana mtumishi wa Mungu kwamafundisho mazuri🔥🔥🔥
Thank you for ur teachings man of God
Ameen Asante mtumishi wa Mungu kwa mafunuo haya 🙏🙏🙏
Asante mtumishi nimepata kitu kikubwa hapa naona nimepona kabisa, katika mambo yote napokea mwaka huu. Katika Jina la Yesu Kristo. Ameen
Amen 🙏🙏🙏 ubarikiwe sana mtumishi nìlikua nikisoma bibilia ila sikua nikinena Eeeh mungu nsaidie niweza kunena si kukariri tu
umenisaidia sana mtumishi kweli kabisa nilikuwa nikisoma nikitaka kuliishi neno zinakuja taarifa napata msg cm ninapigiwa
Thank you Verified Bible Teacher, I'm learning sir
Ubalikiwe sana mtumishi
Barikiwa mtumishi wa Mungu.nabarikiwa Sana na mafundisho yako
Ningekuwa nasali hapa ningekuwa kiloho Sanaa maana unafundisha kwel kweli mungu akubaliki baba
Chief Apostle
Amen 🙏🙏🙏🙏
Hakika Leo nimepata kitu kipya na kinakwenda kubadilisha maisha yangu Mungu akubariki Sana Mtumishi
Amen 🙏
Ahsante sana Apostle leo nimesikiliza na nimejifuza somo zuri sana
Asante kwa neno zuri mtumishi wa MUNGU. Mungu amesema nami na kunifundisha
Nlikua kwenye maombi wiki mbil zilizo pita na nkapata msukumo wa kufanya hivi ulivyo fundisha nkawa nkisoma neno na usiku wa sasita naipokea sikj na kuisemea kulingana na neno la Mungu lilivyo andikwa na nalifanya kua langu na ninatembea nayo kwa siku hiyo nzima nikaona baraka kwenye kazi yangu ya udereva tax (uber&bolt)
Lakini sasa siku ya ijumaa ya tareh 18 Feb nkafanya kosa nkasoma neno nkaomba lkn nilipo ingia kazini nkakaa na madeleva wenzangu nkanena tofauti kwamba siku sio nzur abilia hamna na kilicho nikuta nlimaliza siku hiyo kwa hasala paka mtaji wa mafuta ukakatika, lakin leo tareh19 Feb nimeona ujumbe huu nimeona nlipokosea jana. Asante kwa neno zuri sito rudia kosa.
Ubarikiwe.
Namshukuru Mungu Sana leo, nimepata maarifa ya neno la Mungu.🙏🙏
Hapo baba umenisaidia ni Mimi mwanao ktk malawi
Thank you Apostle Mtalemwa
for your teaching, I receive
every word. Hallelujah 🕊
Glory to God glory to God?
Nakupendaga bure baba
Every time I listen to your Sermon Apostle I get a New Revelation Glory to Jesus Forever I'm happy 🔥🔥🙌👌🇰🇪
Wonderful revaluation, thanks man of God
Asante Sana mtumishi wa MUNGU
MUNGU AZIDI KUKUINUA APOSTLE NAJIFUNZA MENGI KWAKO ,NAONA FAIDA KUBWA SANA KUJIFUNZA NA NAPATA MENGI SANA
Asante mtumishi kwa kutufungua
Napokea neema Kwa jina la YESU
Read and confess it oooooh yeeeeees!!!!
Nkweli baba nikama umeniona mm yesu nisaidie
Inaniingia hiii mzee nashukuru mimi ndo naigwa duh nanunua biblia inabaki pambo ndani nampa mtu nanunua tena inabaki tuuu busy kusoma vitu visivyo na maaana asante baba 😭😭😭😭😭
Yaaniiii Nafurahi sana
Haleluyaaaaa ameeennn nashukuru sana!!!!