MALAIKA KATIKA HALI ZA UBINADAMU {PART TWO}

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 2 бер 2020

КОМЕНТАРІ • 98

  • @rachaellusava9326
    @rachaellusava9326 3 роки тому +1

    Natama kutoka Kenya, mungu anisaidie kuwatambua malaika wangu asante mtumishi wa mungu umebadilisha maisha yangu ya kiroho sana ubarikiwe apostle

  • @robertmusee1680
    @robertmusee1680 4 роки тому +5

    Hallelujah Ameeeeeen connecting from Switzerland shalom Chief Apostle

  • @godianmande4920
    @godianmande4920 4 роки тому +8

    What a revelation, what a teaching!! Am really blessed by this sermon from Chief Apostle, I give Jesus much praise for you...May God of Major1 make more use of you...amen.

    • @susunsusy8872
      @susunsusy8872 3 роки тому

      Amen...Amen..be blessed so much pastor

  • @agapeishabakaki4748
    @agapeishabakaki4748 4 роки тому +5

    Thank you my Apostle for knowledge and revelations on this amazing sermon. Powerful.

  • @hillash74
    @hillash74 4 роки тому +5

    Chief Apostle you have done it, Am so blessed.

  • @studentagency2185
    @studentagency2185 4 роки тому +5

    Thank you my Apostle for the revelation

  • @jemimatumaini7026
    @jemimatumaini7026 5 місяців тому

    Amen Apostle Mungu akutunze tuzidi kupata haya Maarifa

  • @jmusic7132
    @jmusic7132 4 роки тому +8

    Ooohyes Apostle, I receive

  • @noorkmab2005
    @noorkmab2005 4 роки тому +4

    Ameen Mungu akubarki

  • @alexnyamwoma4442
    @alexnyamwoma4442 3 роки тому +1

    PST it's amazing massage you give to as, these is the point we have on our church today God bless you Amen

  • @ctuniversityfellowship4947
    @ctuniversityfellowship4947 4 роки тому +2

    Amen Chief...nakupenda sana na nimekuelewa sanaa

  • @kisukumamahubiri6229
    @kisukumamahubiri6229 2 роки тому

    Amen Barikiwa sana mwana wa Mungu,,

  • @graceshayo2280
    @graceshayo2280 4 роки тому +8

    Mtumishi naomba uandike kitabu kuhusu hili somo ili wengi waelimike,

  • @edwardlaizer5142
    @edwardlaizer5142 4 роки тому +2

    Ubarikiwe sana mtumishi kwa huduma yako njema

  • @lenaambros7372
    @lenaambros7372 4 роки тому +2

    Nakupenda buree... You are too much... Am blessed Daddy

  • @farajamkuchu8458
    @farajamkuchu8458 4 роки тому +1

    Yaaani ktk vitu navipenda nikusikiliza mahubili yako Apostle Asante maana unanibariki naumenisaidia sanaa kiroho, Mungu akubariki sana Apostle

  • @framsirona
    @framsirona 4 роки тому +4

    THIS WISDOM IS ON ANOTHER LEVEL KWAKWELI

  • @jemimahjamilay.m6239
    @jemimahjamilay.m6239 3 роки тому

    Ahsante Chief umenifundisha kitu

  • @user-cg1wb3jj2n
    @user-cg1wb3jj2n 2 роки тому

    Amen and ameeen god blesse pastor

  • @rosemarylamsy3230
    @rosemarylamsy3230 4 роки тому +2

    Malaika wangu awe active kwa jina la Yesu,sijui nilimlaza wapi mimi!!! Mungu nisamehe,yaani uliyoongea Apostle ni ukwel mtupu kama umeniongelea mimi!zamani nikifika mahali hata kama sikuwahifika nilikuwa najiuliza mbona hapa nilishawahi kufika??? Hata maongezi mpaka mavazi najiuliza mbina tulishawahi kuongea na tulivaa hivihivi? Sasa ndio nimeelewaaaaaaaa!!!!!!

  • @melesianageorge2012
    @melesianageorge2012 2 роки тому

    Amen 🙏🙏🙏 MUNGU akubariki

  • @shedrackmgude5972
    @shedrackmgude5972 4 роки тому +2

    Nakukubari sana Apostle

  • @elizabethsolomon8620
    @elizabethsolomon8620 4 роки тому +3

    Powerful

  • @dayannatheonest8461
    @dayannatheonest8461 2 роки тому

    Ubarikiwe sana mtumishi

  • @maglindaanyango
    @maglindaanyango Рік тому

    Amen amen barikiwa

  • @lilianlubanga4010
    @lilianlubanga4010 2 роки тому

    Wonderful teachings .
    More Grace to reach the world.

  • @queenbundala6188
    @queenbundala6188 4 роки тому +3

    Ameen and ameen

  • @ceciliajohn1452
    @ceciliajohn1452 4 роки тому +4

    Amen...Chief...I really connect...
    Please Chief usiache kupost haya masomo....wengine tumekatazwa kuja kwenye ibada za jioni....please please my Apostle

    • @myself4128
      @myself4128 3 роки тому

      Hakuna mtu anaitwa chief appostle imeandikwa wapi? Au major prophet umeyatoa wapi hayo maneno? Injili sio siasa kuwapa watu Tittles,Hakuna aliye mkuu kuliko mwingine!
      Isipokuwa mitume Tena wale Tenashara na katika wao hakuna aliyekuwa mkuu kuliko wote bali Mungu alitoa hekima na huduma ya Uchungaji kwa peter!

    • @damianomandoo9268
      @damianomandoo9268 2 роки тому

      We ni jembe la bwana wa majeshi

  • @samuelnduati9792
    @samuelnduati9792 4 роки тому +1

    Ameen mtumishi ubarikiwe sana.

  • @johnshija2157
    @johnshija2157 2 роки тому

    Amina Mungu akutunze mtumishi

  • @lwizakonongo8464
    @lwizakonongo8464 3 роки тому

    Daaaa Mungu mwema Sana siamini natamani kusikia kua siyo kweli.

  • @suzanalukoomd2369
    @suzanalukoomd2369 2 роки тому

    This revelation Is🔥🔥🔥..
    God of Major one help me

  • @penuelfullsalvationchurch3350
    @penuelfullsalvationchurch3350 3 роки тому

    Nice broo

  • @Deedee88110
    @Deedee88110 3 роки тому

    Apostle yur th best,
    Wewe ni mtumishi wa Mungu alieHai

  • @upendokulwa1294
    @upendokulwa1294 4 роки тому +1

    Ohhhh! Yes teach Daddy.

  • @dilurai4204
    @dilurai4204 3 роки тому

    Amen Amen

  • @japhetjoseph1772
    @japhetjoseph1772 4 роки тому +2

    Nilikuwa na wait

  • @florencependo5998
    @florencependo5998 3 роки тому

    Nashukuriwe mungu kwakukupa huduma hiyo🙏🙏

  • @alicekhamayo1991
    @alicekhamayo1991 3 роки тому

    Aamen hallelujah ubarikiwe I'm blessed

  • @stewartmosha4959
    @stewartmosha4959 4 роки тому +2

    Ooohhh yeeeesss!!!!!!!!

  • @gloriatoo22
    @gloriatoo22 3 роки тому

    U have really enlighten me

  • @eunicemarugu3595
    @eunicemarugu3595 2 роки тому

    Naendelea kuvuna mavuno nondo za maana sana Mungu akupeleke viwango vingine

  • @neemahamisi4302
    @neemahamisi4302 4 роки тому +1

    Mungu analisafisha kanisa kupitia Mtumishi wake mteule uwe macho mwenye sikio na asikie Roho anasema na kanisa

  • @rosemarylamsy3230
    @rosemarylamsy3230 4 роки тому

    Yaaniiiii!!!!!!! Muñgu akubariki mtumishi wa Jehova.

  • @yusuphkayoka5452
    @yusuphkayoka5452 4 роки тому

    Aksante Sana mtumishi nimepokea kitu kizuri sana

  • @maglindaanyango
    @maglindaanyango Рік тому

    Amen amen

  • @mkramazani2759
    @mkramazani2759 3 роки тому

    God blesses you pastor ✨👌

  • @annekangaikathuni9523
    @annekangaikathuni9523 3 роки тому

    kweli kabisa kabisa 😂😂😂💯

  • @singifridrutatina8373
    @singifridrutatina8373 4 роки тому

    Oooh yes, apostle fireeeeee

  • @clairemuchai623
    @clairemuchai623 3 роки тому

    Powerful teaching be blessed 🙏🙏😂

  • @everjohn833
    @everjohn833 4 роки тому +1

    Natamani siku moja nikanyage tu hapo kila kitu kibaya kitavulika kama ngozi kwangu.

  • @neyhmrs7704
    @neyhmrs7704 2 роки тому

    AMEEN

  • @levinarutashongerwa8041
    @levinarutashongerwa8041 2 роки тому

    Merkesedek

  • @vickymahanga7734
    @vickymahanga7734 3 роки тому

    Thx chief nimekuelewa

  • @fatumasaleh9491
    @fatumasaleh9491 2 роки тому

    Waaaaa!

  • @annekangaikathuni9523
    @annekangaikathuni9523 3 роки тому

    ....jamani mimi ningekuwa mshirika wa kanisa hili...ninhekuwa mbali ....Asante..na pekula masomo yote 😂...Mungu aku bariki zaidi Apostle.

  • @edwinonsombi
    @edwinonsombi Рік тому

    Napokea

  • @lwizakonongo8464
    @lwizakonongo8464 3 роки тому

    Nimejifuza namna ya kumuishia Mungu.

  • @sallygrace1495
    @sallygrace1495 3 роки тому +1

    Psalm 91: 11

  • @jacquelinenyange5549
    @jacquelinenyange5549 4 роки тому

    Thank you Apostle

  • @galaxyboyofficial9785
    @galaxyboyofficial9785 4 роки тому

    Mungu nisaidie kuwajua malaika

  • @everwasike655
    @everwasike655 3 роки тому

    Amen thank you Jesus

  • @tumpelukongolukongo4069
    @tumpelukongolukongo4069 3 роки тому

    Ooh Jesus this is deep revelation

  • @janejoseph9009
    @janejoseph9009 4 роки тому

    oooh jaman Leo ndiyo najua

  • @mchungajisecilia8029
    @mchungajisecilia8029 3 роки тому

    This 20 G

  • @sarahnnko6440
    @sarahnnko6440 4 роки тому

    Thats truu papa

  • @leerimoy5477
    @leerimoy5477 4 роки тому +2

    Asante Mungu Kwa NENO hili!! Hakika Nimejifunzaaa Sana’a .

  • @angelangare863
    @angelangare863 4 роки тому

    Amen

  • @re.emmanuelmdoe3345
    @re.emmanuelmdoe3345 Рік тому

    Luka 17-7-8
    Nifuraha Mbinguni,
    Kutoka malaika ni kwaajili Yangu Mimi

  • @mussastephano4938
    @mussastephano4938 4 місяці тому

    Kwa nn mwili wa yesu haukubakia kaburini.

  • @alfredjoshua8625
    @alfredjoshua8625 2 роки тому

    napokea ufunuo juu ya malaika. na malaika kujifunua kwangu.

  • @GIHONTZTV
    @GIHONTZTV 4 роки тому

    Tunakusikia baba

  • @Rose-xv8ym
    @Rose-xv8ym 2 роки тому

    Na banalikiwa nahuduma yako mtumishi

  • @jemimahjamilay.m6239
    @jemimahjamilay.m6239 3 роки тому

    Napokea malaika awe hakimu kwenye kesi tarehe 28/1/21

  • @enockbruno8566
    @enockbruno8566 4 роки тому +3

    Zaburi 91:11

    • @enockbruno8566
      @enockbruno8566 4 роки тому +2

      Apostle Mtalemwa Mungu Akupe maono Mapya kila paitwapo leo Nakupenda sana and you Inspire me so Much 🥰😍

  • @yusuphstephenkulwa5217
    @yusuphstephenkulwa5217 4 роки тому +1

    Mtumishi somo lako zuri sana, Mimi napenda nipate ufafanuzi kwa kile alicho kisema YESU mwenyewe, (roho haina mwili)na wala siyo watu wengine wanasema tu. Hapa chini na nukuu maandiko.
    "Sikia Bwana yesu anavyo waambia wanafunzi wake.
    ; Tazameni mikono yangu na miguu yangu, ya kuwa ni mimi mwenyewe. Nishikenishikeni, mwone; kwa kuwa roho haina mwili na mifupa kama mnavyoniona mimi kuwa nayo.
    Luka 24:39
    Hapa alikuwa ana maanisha nini?

    • @mariammanasi9735
      @mariammanasi9735 4 роки тому

      PP

    • @njaujustine
      @njaujustine 4 роки тому +1

      Bwana Asifiwe, video hiyo ni mwendelezo na sehemu ama part tu ya Yale tunayofundishwa lakini nitakumegea kwa sehemu ambacho tayari baba alikuwa ameshafundisha ambapo pia alielezea kwa vizuri kabisa Hilo swali lako...

    • @njaujustine
      @njaujustine 4 роки тому +1

      Katika andiko ulilolitoa POINT NI HII
      Luka 24:39
      kwa kuwa ROHO haina mwili na mifupa KAMA mnavyoniona mimi kuwa nayo.
      Notice hajasema Roho Haina Mwili Bali Roho haina Mwili "KAMA" huu mnaoniona nao sasa
      Wala hakusema yeye Yesu mwenyewe hana Mwili wa Rohoni
      Luke 24:39 See My hands and My feet, that I am He. Touch Me and see, for a spirit does not have flesh and bones, AS YOU SEE ME HAVING (NOW).
      Yesu hakukataa kuwa Roho haina mwili NO!
      Kwani maandiko husema vile vile:
      1 KOR 15:44 Ikiwa uko MWILI WA ASILI, na WA ROHO pia uko.
      [As surely as] there is a PHYSICAL BODY, there is also a SPIRITUAL BODY.
      Ila Yesu alikuwa anasema Roho haina mwili KAMA Huu Wala Roho haina mifupa Kama hii, na ndio maana Yesu alivyofufuka alikuwa anatokea au ana appear katika miili miwili:
      1) Mwili wa kawaida walioweza kumgusa
      2) Mwili mwingine ambao aliweza kudissapear ama kupotea yaani ule wa rohoni.
      Tukisema tukamate andiko Roho haina Mwili, Je? Ule Mwili wa mbinguni tunauvaa wapi? Kwa hiyo tunagundua Mwili wa Rohoni haupo Kama huu Wala hauna mifupa Kama huu, kwa hiyo Yesu alivyotokea kwa wanafunzi wake ili wamtambue alijidhihirisha pia katika Mwili ule wa kibinadamu, Ila alikuwa na uwezo wa kuingia katika Mwili wa Rohoni yaani spiritual au angelic body. So hakukataa kuwa Roho hazina Mwili hapana Ila kwa muda na wakati huo alipowatokea kuongea na Thomaso na wengine alitokea na mwili ambao wanaweza kugusa. Ule mwingine wasingeweza kugusa maana sababu hiyo unaitwa mwili wa Rohoni

    • @njaujustine
      @njaujustine 4 роки тому +1

      @@mariammanasi9735
      Katika andiko ulilolitoa POINT NI HII
      Luka 24:39
      kwa kuwa ROHO haina mwili na mifupa KAMA mnavyoniona mimi kuwa nayo.
      Notice hajasema Roho Haina Mwili Bali Roho haina Mwili "KAMA" huu mnaoniona nao sasa
      Wala hakusema yeye Yesu mwenyewe hana Mwili wa Rohoni
      Luke 24:39 See My hands and My feet, that I am He. Touch Me and see, for a spirit does not have flesh and bones, AS YOU SEE ME HAVING (NOW).
      Yesu hakukataa kuwa Roho haina mwili NO!
      Kwani maandiko husema vile vile:
      1 KOR 15:44 Ikiwa uko MWILI WA ASILI, na WA ROHO pia uko.
      [As surely as] there is a PHYSICAL BODY, there is also a SPIRITUAL BODY.
      Ila Yesu alikuwa anasema Roho haina mwili KAMA Huu Wala Roho haina mifupa Kama hii, na ndio maana Yesu alivyofufuka alikuwa anatokea au ana appear katika miili miwili:
      1) Mwili wa kawaida walioweza kumgusa
      2) Mwili mwingine ambao aliweza kudissapear ama kupotea yaani ule wa rohoni.
      Tukisema tukamate andiko Roho haina Mwili, Je? Ule Mwili wa mbinguni tunauvaa wapi? Kwa hiyo tunagundua Mwili wa Rohoni haupo Kama huu Wala hauna mifupa Kama huu, kwa hiyo Yesu alivyotokea kwa wanafunzi wake ili wamtambue alijidhihirisha pia katika Mwili ule wa kibinadamu, Ila alikuwa na uwezo wa kuingia katika Mwili wa Rohoni yaani spiritual au angelic body. So hakukataa kuwa Roho hazina Mwili hapana Ila kwa muda na wakati huo alipowatokea kuongea na Thomaso na wengine alitokea na mwili ambao wanaweza kugusa. Ule mwingine wasingeweza kugusa maana sababu hiyo unaitwa mwili wa Rohoni

    • @njaujustine
      @njaujustine 4 роки тому +1

      1) Mifano ya Yesu kujizihirisha kwa mwili wa kiroho.
      a) Aliweza kupita sehemu hata zilizofungwa
      YOHANA 20:19
      milango imefungwa kwa hofu ya Wayahudi; akaja Yesu, akasimama katikati, akawaambia, Amani iwe kwenu.
      b) Alikuwa na uwezo wa kupotea au kutoweka
      LUKA 24:31
      Yakafumbuliwa macho yao, wakamtambua; kisha AKATOWEKA mbele yao.
      c) Aliweza kupaa mbinguni
      MATENDO 1:9
      Akiisha kusema hayo, walipokuwa wakitazama, akainuliwa, wingu likampokea kutoka machoni pao.
      d) Hutokea katika katika utukufu hivyo Ni rahisi kumjua.
      kwenye kitabu Cha ufunuo na Mdo 7:55.. Akauona utukufu wa Mungu, na Yesu akisimama upande wa mkono wa kulia wa Mungu.
      Haya yote hayafanyiki kwa mwili wa kawaida

  • @angelkanoga2175
    @angelkanoga2175 2 роки тому

    Powerful

  • @faidaimmaculee28
    @faidaimmaculee28 4 роки тому

    Amen