NDOANO sehemu ya kwanza
Вставка
- Опубліковано 3 вер 2021
- Sifa ya mtu mwenye UPENDO wa kweli ni yule mtu anaekipigania kile anachokihitaji kisipotee katika HIMAYA yake, Ebu sasa jiulize tu! Wewe umefanya nini ili unaempenda na kumuhitaji asiondoke kwenye himaya yako?
- Фільми й анімація
Umefanya kazi nzuri Ibrah The Don, tunasubiria sehemu zingine zifwatazo, mimi niko 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Safi brother tunajivunia kupata ilimu na ushauri fasaha kutoka kwa kijana mwenzetu... Mungu azidi kukupatia afya na ilmu zaidi kuwasilisha jumbe zenye kusisimua na kuleta mafunzo kwa wana jamii. Thank you brother #ibrathedon #ndoano #manixAwadh more love from +254 (Kenya)
Tangu inaanza mpaka nimemaliza mengi nimejifunza 🙌twaomba muundelezo tujifunze zaidi 🙏ibrah thedon
Ww mama mnene Nakupendaga sana wallah allah azid kukuweka inshaa allah😘😍😍
Mimi pia nampnda sanaaaaaaaaaaa
Yaan anaongea fact sanaaaaa na aanawezea part zake
Asante sana kungwi dume nimejifuza mengi sana
Asante sana kungwi dume nimejifunz mengi kupita movie zako izi mbili🙏🙏🙏
😃 hhh huyu Mzee ni muigizaji mzuri sana hongera San ibrah
Mashallah Mungu awajalie utajir w afya daim ili muwez kutufunz
Thanks 4 Apploding mob love From 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Huy mama bonge namkubali tok kw kina madebelidai 📌📌📌amenfumbua akili kwa maneno yake 🤤🤤🤤🤤🤤🤤🤤🤤
Love you so much kungwi dume from kenya napenda sana mafudisho yako
Nimempenda babu kwa kweli❤😂
Ata mm😂😂😂😂😂😂
Naima somo yangu usikubali ukamtia aibu mama😂😂😂waah iko perfect 👌 Sana hii
Good job 👍 ibra the don mung akuzidishie ufaham Ili uzid kutufunza inshallah
Nawapenda sana jamaniii yani sijui nisemejeee.burundi🇧🇮🇧🇮🇧🇮🥰🥰🥰♥️✌🙏🙏💃💃
Mashallah mungu akupe afya na elimu zaidi kaka Ibrah nzuri mno tunasubili muendelezo
Uyu babu noma sana mze wakuunganisha
Hello guys, its my own hope that the whole entire your're watching this greatest movie of "NDOANO" from the Reborn "CHARLES STEVEN KANUMBA"Let us Give him full supports and Overwhelming power to step forward ever backward never .His Orign name Called IBRAH THE DON.......we have been waiting for long and several years after our beloved Actor Charles Steven Kanumba who passed away during 07/04/2012 at midnigt!....Every Citizen of Tanzania got shocked after bad news and people asked themselves who can make replacement??? But the year of today 2021 with the variation of -9 years after his death We got another Great person to replace the Gap whos is IBRAH THE DON!! Let us aks our Almighty to give him Power!.
I appreciate this guy called IBRA THEDON
The movie is so perfect but introduction is irritating especially to those are using earfone, what is braking glasses all about?
mzee wangu kacheza kama pele, kiungwana kabisaaaa. ananikumbusha wazee wetu wa kale.
Saf sana iyo br,
Ninasubili sehem ya pili nakufuatilia san nikiwa 🇺🇲🇺🇸🇺🇸🇺🇸
Ibraaa the doon vizuri brother,babuu kiboko 😂😂😂
NYC BROO BIG UP SANA NAKUCHEKI NKiWA KENYA PAMOJA SANA
Allah azidi kuwaongoza 🙏🏾💪🏽💪🏽💪🏽💪🏽👐🏾👐🏾🤲🏾
Ujawahi haribu,nampenda sana mama huyo
Mashaa Allah kazi nzuri na safii sana Yani imenivitia kiasi Cha kwamba nimepata mafunzo ambayo sikuwa najua na kuelewa jinsi ha kukabiliana. Nayo maana hii fillm ni maisha yangu kabisa ya ndoa matupu shukran sana kaka kwa mafunzo yako
Filamu nzuri zaidi mafunzo mazuri Sana part2 please
Mashaa ALLAH ibrah,nilikua kila siku naomba mungu akupe ujasiri utengeneze moved kwa sababu ninajifunza mambo mengi kutoka kwako kaka ,nilijua ukituekea moved angalao ya dakika 30 tutafaidika na mafunzo yako atimae mungu kajibu maombi yangu ,good job bro mungu azidi kuku simamia kwenye kazi zako uzidi kutufunza in sha ALLAH
Insha Allah nipo kwa ajili yenu.
@@ibrahthedon mungu akubariki akuondolee husda za waja
Babu umenifurahisha😂😂
Wallah nimeipenda na nimejifunza... Nawafatilia uzuli nikiwa UAE🇦🇪
MASHA ALLAH. ALLAH AWAHIFADHI AMIIN. NIMEPENDA MANENO YA SOMO ❤❤❤❤ ELIMU TOSHA. SHUKURANI SAN 🙏🙏
Hahaha babu katixha sana alivyompambanixha jamaaa na bint
Maa shaa Allah, nimependa maneno ya somo
Sanaaaaaaaa mimi pia nimeyapndaaa
Movie nzuri sana pia inamafunzo mazuri 😍
Jamali from burundi &tanzania &Oman i'lick Holl vidéos of ibrah the don
Nzuri sana love from Burundi😘,Respect bro
Hakika umecheza umetumia skills kubwa sana endelea na simama kwa ukiaminicho big up one step ahead.
Nimeipenda sana kwakweli
I really like you Ibrah hua unanijenga sana kimawazo keep it
Honestly today I learned a lesson ❤
Safi sana kaka ibra mungu azidi kukujalia afya tele na baraka uzidi kusonga mbele
Mtoto wa mama bonge nimependa alivyompa maji yule kaka kaonyesha nidhamu ya hali ya juu wallah nimependa ,ndo hapo inaonyesha kuwa amefunzwa na wazaz
Nimeipenda Sana big. ap Mzee baba nimeipenda
😂😂😂😂😂😂aki uyu Mzee kiboko
Nzuri Sana love from Kenya in lrag 🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿
Uyo mama mtu nampendaga sauti yake ya upole... ! Anajua sana
Mimi ndio nimecelewa kanzi nzuri big up sana
Nice one 👌👌 waiting for 2
Nkbl mr. Ongera sana kipaji
Honestly this episode a lesson
Aa iko vizuri san pambaneni kwa my wa that
Wa kwaza like za kutoshs
KAzichema.nakukubali
Hingera Kaka nasubiri muendelezo you inshaallah.
Bro nakukubali kinoma nasubiri mwendelezo
Hakika mama alimpa binti yake elimu ya kotosha jinsi mbavyo mwana ndoa anastahili kuwa.
Mama napenda sana usia wako
One of the greatest lesson that we can learn from,am greatful have gain same tips that I can empliment in my relationship life.
Babu yuko vizur 😊😅😅😅
Sinema nzuri sana hongera
Mafunzo mazuri sana
Asante sana hongera sana Kaka Ibraah.
Courage vraiment
Huyu kungwi nlimuona kwa madebe yuko vzr sn
Babu kama babu bwuanaa💪💪🤣🤣🤣
Babu kibokoo hahahahhahahhhahaha
Asante sana ibrah wangu natamani nikuone uso kwa uso dear brother wangu cinema nzuri sana namafunzo manzuri Asante kabisa kwa mafunzo
Bora Kama umeanza kutuwekea huku, tutakuwa tunaangalia Sana kk
Jmn raha sana nzr kk ibra
Dua nene mwanangu #ibra the don
move nzr xana inaelimisha jamii kwa kweli
Asante sana my brother from another mother
Love from usa 🇺🇸 😍
Mashallah 🎉🎉🎉🎉
I really love you from my heart dony God bless you all the time
Uzuri wajeneza haupendezeshi Maiti
Yaani duuuh
Movie nzuri sana
ibrah the don be blessed unaelimish sana
Nkbl san ibrah the don
Ka Ibra nataka huyu mama aje kunifunda nampataje
Asanteni kwa elimu twaendelea na sehemu ya 2
Mashaallah movie nzuri
Babu anajua kupambaaa....
Bro ibra movie nzury lkn sauty kwingine ndio haickikii
Babu hana baya winga teleza😂😂😂
Maneno ya somo nimeyaelewa pale mwanzon ,mashallah
Filam za vijijin nazipenda
Good job 👍 brother 🇰🇪
Nzuri sana ibrah
Am waiting
Babu na mhukuu 😂😂
Waiting
Naisubili
Ibraah fundi
Hiyo mwari ni mzee kuliko kungwi
😂😂😂😂😂
Nmeipenda jamani, uhalisia 100%
Good story
Duuuh move Kali Sana kaka
Movie nzuri iliyojaa mafunzo
Vizuri yan
Babu kama CHAMA JR anafunga na anatoa assist
Babu kajua kuwasha moto😂😂😂🤣
Movie nzuri sanaaa
kazi mzuri
Ninzuri Sana nimeipenda
Dope 🔝