Awa ma dada wasio taka kuolewa kz yao kuchochea ugomvi tu Kati ya wake za makaka zao... Mungu anawaona na wamama kama hao ipo siku mtayalipwa hapa hapa nchini ya juwa From USA 🇺🇸♥... Mungu akubaliki Ibra thedon
Ahsante kaka. Mi tangu mwanzo, babu ndiye chaguo langu. Kwa ushauri na mjukuu wake: -"usilete mambo ya kabla ya ndoa ndani ya ndoa -tatua matatizo bila kuyafanya kama gazeti."
Wale ambao tlikuwa tnausubir kwa hamu like zenu tjuwane
Pamoja
Maashallah 💕nimepata mafunzo mengi kutoka kwa hii sinema
Asante sana ibra na pia napata darasa hapa😍
Hongera sana ibrah,asante kwaku tu elimisha sisi ma bachelor,endelea kutu letea movie kama hizi.
Awa ma dada wasio taka kuolewa kz yao kuchochea ugomvi tu Kati ya wake za makaka zao...
Mungu anawaona na wamama kama hao ipo siku mtayalipwa hapa hapa nchini ya juwa
From USA 🇺🇸♥...
Mungu akubaliki Ibra thedon
Ki deus abençoe vocês e que façam sucesso sempre
Hongera Ibra lakni mama mkwe kama huyo namtaka sana😅😅😅😅
🤣🤣🤣
Asante sanaa kaka Ibra kwa Mafunzo mazuri na kupenda sanaaa
For sure this are things that one cannot learn in school or rather here.thumps up ndoano family.
For sure they teach very well, nic job for characters
Masha Allah. Tamthilia nzuri Sana,yenye mafunzo mema.
Mashaallah tamthilia nzr one love brother 🥰🥰🥰
Hongera kaka kwa mafunzo mazuri sana Mungu akuzidishie kipaji chako
MashaAllah nzuri sana
Movie nzuri sana 😘😘,love from🇧🇮🇧🇮,respect bro
Maasha Allah Unamafunzo mazuri Allah akuifidhi na kulinde na vijicho
Tuleteee mapema broo inatufundisha sana
Duuuh haya mama nakukubali sana
Mama mkwe kaanza yake 😂😂😂😂mv nzur sana asanten washiriki
Yan sometime mama zetu wanaudhi wanatafta sababu isiyo kwel,, mmmmmmhhh!! Nafrahi KWA kuwa ni maigizo
Afu ibrah ile move ya kungi dume ungeiendeleza kwakweli nimeipenda
Tunashukulu sana kk ibra
Vip hiyo ndo styl gani ya ngoma? Nimeielewa eti🤣🤣🤣
Namukubali uyu mama
MashaAllah
Mama una bahat me ht nisingemsubil mme wng , ningekukanyaga mpk umkumbuke mmeo,
Asante kwa mafuzo yenu Mazur nimejifinza kitu muhimu zaidi dunian like wezag
Mm nilisha sema hata niwe na wapenda vp ndugu zangu kwangu siwataki hata kusia tu wanakuja ajue kabisa wikii moja ikiisha na mtimua labda awe anaumwa
Napenda sana mafunzo yako mama nimejifunza kitu kwa hi sinema
Huyu bi kasomo alifanya kazi na madebe lidai yuko vizuri sana
Aise tungepata mafunzo pande zote 2 ndoa zingedumu sana
Ndoa izi jmn maskin bint wawatu anakutana navituko vya mama mkwe na wifi khaaaaaah jmni
mama anajua kufunza hatumii fimbo la kashfa uli unamfunza mtu
Jomon nimepend wachezaj wanachez vizur kweli
Yani ili lidada utadhan halita olewa😮 ila wanawake sisi why lakin 😂
Birukia hongera mama nimekupenda sanaa
Wallah unatup mafunzo mazuri kaka Ibra
Mama allah akubarik Sana kwa Kaz uloifnya unasthl tunzo ya kipekee
Yaaan unajua sana kunavitu vingi najifunza humu ndani
Mashaallah .mafunzo mazuri sana yaa Allah nijalie nami niwe mke mwema. Ahsante kaka❤❤
Hongera kaka ibrah hakikika kipaji unakitumia vema
Masha Allah ninzuri.... Mwendelezo tafadhali
Nakukubali mbwan kungwi dume
Masha Allah hadi raha
Kazi nzur nimejifunza ka ibra
Asate na mafundicho mema
Mungu akubariki huzidi kutufunza kaka mzuri barikiwa sana
Tunajifunza mengi
Apa ndio nyumbani jamani❤❤😊
Maaa shaa Allah Allah awalipe kheri
Duh! Mama mkwe huyu cio poa kabisa mimi nilivo na hasira mwisho wa ck nafanya kwel
Subhanalha yani ww mama ww mungu anakuona kaka ibra tuletee muendelezo plz
Oh wow 🤩
Nzuri kbs😍😍😍nimekwama hapo pa kumufunza kufinya tongi kwa mikono midigo🙄🙄
Hujaaelewa ungeambiwa ana kibamia ndio ungeelewa
Kwani twasoma gazeti
Hongera Dana n
C'est dommage 😍
Nizuri sana
Masha Allah tabark Allah 😍😍😍😘
Ma shaa Allah. Tunajifunza mengi hapa.
Nakufatakutoka DRc congo kazi nzema
Hongereni sana
Mashidi
Ma Sha Allah mafunzo mazur asant bikungwi nimejifunza meng mung akubarik,🥀😍😍
Kali sana
Pamoja my brother ibrah
wao nilikua naisubilia kwahamu
Napenda sana mwalimu kwakuwa unatufuza mengi sana
Mama kweli anaweza
😊
Shukran sana
Shukra kwa washirika
Bora alivyooolewa maana yule mwngne alimwamvia azae ndo amuoee😂😂😂😂😂
Mashallah tabarakkallah 👌👌 mafunzo mazuri Sana,sisi pia twajifunza humu humu
Hakika hii ni darsa tosha Asante sana kaka ibra
hongeraa sanaaaaa
Hongereni washirika wote
Nzuri sana
Nakaribia kuingia kwenye ndoa Asante kwakunipa mafunzo
Janani hii ni Ile kupokonywa tonge mdomoni 😀Yani ndio nimekaa nahamu kumbe imeisha!
MASHAALLAH 👌🏿 Kaka muendelezo.
akuna ya tatu hizi picha zinafuza kabisa tutolehe yatatu ❤❤
Wakwe zetu ndivyo mlivyo hata sishangai
Mfundishe mumeo kufinya tonge hata kama mikono yake midogo mfundishe kunyinya kulingana na mikono yake,nimecheka sana
🔥🔥🔥🔥
Kali hiyo keep going Mr Thedon
Asante kaka
Ahsante kaka. Mi tangu mwanzo, babu ndiye chaguo langu. Kwa ushauri na mjukuu wake: -"usilete mambo ya kabla ya ndoa ndani ya ndoa
-tatua matatizo bila kuyafanya kama gazeti."
Mashaalha🤲🤲🤲❤️❤️❤️nawapenda
tumekosa movi kama hizi zenye mafundisho kuntu siku nyingi sana
Mbona muendelezo hii movie nzuri lkn inachelewa mbn
Mama mkwe khaaaa
nyc movie usichelewe kutuendelezea plzz
@@salmaabdulkadir2766 mama mkwe Yuko vizuli
Respect for you all of them
Nzr thanaaa Nmejifunza
Tifutifu nakupenda ww mama move ukiwepo naangalia chap
Mchezo mzr lkn kwnn munatowa kipande kipande haukamiliki
Asante kwamafunzo nimejifunza sasa
Raha ya ndoa nikuishi kivenu ww na mkeo kando.ndio mutaona utamu wa ndoa
Wow very nice job
Haya ndo mambo sasa big up Team Thedon
Kizazi sanaa watch all the way from Kenya good job
😓😓😓huyu mama mkwe na mwanae mh 😧
Huyo mama mkwe hana llote anataka mtu mjasiri na mwenye msimamo 😅😅😅ataka vunja ndoa
Movie nzuriiì sana jamaniii nawapenda bureee
Bonge la story yaaani imenikumbusha mbali sanaaaa aiseeee
Inabamba congratuation
Asante sana team ibra the don
❤️❤️❤️
Asante kwa kutuelimisha brother kazi nzuri