MBILINI Sehemu ya Pili (2)
Вставка
- Опубліковано 2 жов 2024
- Mbilini ni filamu ambayo kwanza imezingatia Utamaduni halisi katika masuala ya Kijamii,kutana na binti kidole ambae aliolewa kwa sababu tu amebarehe ila anajikuta katika wakati mgumu baada ya kutaka kutoka kwenye Ndoa hiyo..!
Kawaida kitu kikiwa kitamu huwaga unaona ni kidogo au mda mchache. Hebu basi tuongezeni japo robo saa
Vitu vizuri halafu mnaweka dakika chache shusheni vitu tunahamu sana na flamu zako sisi mashabiki wako uko vizuri sana kamanda
Elim hii zaidi ya chuo kikuu, MADEBE kwako wajifunze
Kupiga.sio suluhishoo
Kazi mazuri ime pangika na pia muda imezingatiwa hakuna kuboeka tayari usha jifunza kitu mungu abarikiye kazi ya mikono yako kaka madebe lidai na washirika wako
🙆🏻♀️🙆🏻♀️🙆🏻♀️🙆🏻♀️🙆🏻♀️🙆🏻♀️🙆🏻♀️🙆🏻♀️🙆🏻♀️tabia yamama kumbee🙆🏻♀️ chafuuuu ndomtoto ameshika mwendo.wamama mama hajatulia
Hahahaha 🤣🤣🤣 madebe big up Sana unanifurahisha na misemo Yako unampinzank Tanzania Eli umempa moyo wako wakat yeye alihitaji mwili ,,na eeti umeacha kufunzwa na kungwi umefunzwa na shangingi hahaha Asante madebe
Ambao tupo pamoj gonga like hap
Madebe lidai, mbona mdaa mchache sanaa duh kitu kizuri sanaa
Wewe madebe lazma nikuone kwa macho yangu sio tu kwa filamu
Kwani hujawahi muona live, yupo kawaida tuu
@@selemanimsangi7805 safi kabisa mpeni salamu mwambieni anakubalika huku kilifi....
@@safarisafari7388 nchi gani hiyo?
@@selemanimsangi7805 kenya yote kaka sanasana coast upande wa pwani🤣👍👍
KUTOKA Qatar kwa kweli Tunafurahia Na kujifunza sana katika kazi zenu
Hellow from Oman
From abudhabi
Kwa tulio elewa funzo tujuane
Kazi nzuri xana madebe..tunajifunza mengi kupitia ww .
Allah abariki kazi ya mikono yko💞💞
🔥movie nzur jmn muendelez mapm sasa...ila uy mam anampotosha mwanae nd man na yy aliachan na mumew kwa tabia zak mbov
Mbona leo dakika chache sana Nabii Mswahili???
From kenya movie nzuri sanaa
Na mm sijachelewa wadau nataka kumuona mama mkwe mtambo
Niko zambian tuhalakishie baba tuma ya sehemu ya tatu
Madebe muda ni mdogo Sana mbona
Madebe duuuh umenieka macho niko nasubiriya
Iko powa xan ahsanten kwa mafunzo tunasubir muendelezo 💋💋
Ama hakika inafundisha saaaanaaaaaaaaa
Madebe hii move ni maisha yangu kabisa..Yan nimepitia haya maisha hiv hiv mwanaume ananipenda lakin mm sielew Yan sitak hata kua nae nataka nirud kwetu .ikafika hatua nadai talaka mwanaume atak kunipa had nirudishe Mahal yake na nilimpa ilimlad tu nikakae kwetu kwnye ndoa naona tabu ..had sasa nipo kwetu chamoto nakiona
Poleee sana
Madebe huna mbaya vov zako zina funza sanaaa
Mnatuwwka xna jmn 😔😔😔😔🔥🔥🔥🔥🔥
Nakukubali sana brother like zao jmn
nawachek 2
from mpanda katavi
Naomba kujua maaana ya neno mbilini??
Kwa wale ambao wako mahiri kwenye lugha tunaomba tafsiri halisi wa neno mbilini???
Ndoani
Kwa uwelewa wangu mie
Tunaoangalia na kuzipenda move za madebe gonga like hapa
Kazi safi
Kazi nzuri wow!kwa hakika hayo ni ushauri nzuri sana kwa wana ndoa madebe ubarikiwe,kuna kujengana katika ndoa ..mume kwa mke si kuachana ,maisha ni kusaidiana.....kuvumiliana kila hali...funzo kwa wasichana wasiolewa..msisikize mama pekee chukueni upande wa baba pia ushauri huenda utakufaa Maishani....
yangu mamcho mwanzo mwisho kusubiri
Facts, filam hii nimeikubali pongezi kwako Madebe
Ameonekana mmmmmm kazi ipo
Mwamba unajua sn
Continue
Good
Mkuu Kazi nzuri
Mbona mbali sana unanipa makasiriko
Msungooo wifi AMA wewe namwanao unamfunzaa madudu kichwani
Madebe madebe madebe tenaaaaa
Yohana 3:16-17 Kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu, hata akamtoa Mwanawe pekee, ili kila mtu amwaminiye asipotee, bali awe na uzima wa milele. Maana Mungu hakumtuma Mwana ulimwenguni ili auhukumu ulimwengu; bali ulimwengu uokolewe katika yeye.
Kwa yeyote asiyemjua Mungu na anataka, na kuwa na uzima wa milele, bado hujachelewa kumtafuta Mungu kwa moyo wako wote kwa maombi na toba, kwa sababu Yesu anakupenda zaidi ya uwezavyo kujua na anataka uokoke. . Usikatae zawadi ya bure ya uzima wa milele. Ikiwa utamwomba Yesu Kristo kwa moyo wa kweli akusamehe dhambi zako zote, na kuingia moyoni mwako na tafadhali kukuokoa, atakuokoa na hivi karibuni utajua jinsi alivyo halisi. Mungu akubariki.
Mwenyezi mungu awaokoa walio na mafikra haya,fungua kitabu Cha Matayo 15-24,MIKA 5:2, YOHANA 12:19....(nakuomba ufungulie Bibilia YUDA 1:4 ukimkana mola mwishowe motoni haya ni malazi ya wakafiri)
Kazi nzuri sana tunashukuru kwakweli
Mbilini yamaanisha nini?
Kwa mume
@@khadijahali4837 oho..thanks dear
@@molidwins3450 ok
Allah bless your work
Katambuga yuabamba akilewa jamani 🤣🤣
Namkubali sana uyu mtaalam sana
Kaz nzuri
Uko vizuli Sana madebe nakubali sana
Uyu mama waina gn sijui 🙆♂️🙆♂️🙆♂️🙆♂️ongeren sn kz mzr👏👏👏
🤣🤣🤣
Haya tulio kuwepo kwanye matusi na sasa tuko mbilini tujuane kwa like
Upo juu madebe
Hivi Mama Ulikua umekosa jina la kumpa huyo mtoto paka ummpe juna la kidole yaani kiungo cha mwili Daah!! NOMA SANA 😂😂
Tamu sana jaman 😘😘😘
Endelea kutufunza tupo na wewe
Unaladha yako kabisa kwenye hii tasnia,safi sana LP
Sema homeboy(madebe) mbna hata hujasalimia hapo kwa bwana magoli
Kazi safi sana
Aisee mmenifanya nifatilie movies zenu from usa 🇺🇸 thanks so much
Upo vizuri madebe shuklan Sana 🙏
Finally 🤸♀️🤸♀️🤸♀️
🔥🔥🔥🔥
Duuh baada ya masaa 38 sawa bhana ngoja tusubiri
Lidai fundi always movie zako Zina mafunzo mashallah
Kwakweli huyu mtunzi ananikosha vilivyo kongole kwake
Asante sana madebe🙏🙏❤️❤️❤️
ujumbe kwawanaume wote duniani msitafute mwanamke mrembo ispokuwa mfanye mkeo awe mrembo tunakumbushana tu
Safi sana👏👏
hii ya leo kibok
Misamiat unayoitumia naipnd sn il tfsr y misamiat n temthl unzztmia znnfny nzd kzpnd flm zako mn unaongea ukwel n uhlsia ktk maisha yt❤
Very nice
Madebe wewe ni fundi na huyo mama kidole anajua sana
💯💥
Wale maharusi watarajiwa kama mm tukaribie darasa huru❤❤❤❤.. kazi safi kaka madebe
Naqbr Sana brother
Mwalimu madebe lidai katika masomo yako yote haujawai kuferisha wanafunzi wako tupo pamoja nawe inshaallah 🙏
""Kwenye Maisha Haya Usitafute Mwanamke Mrembo, isipokua Mfanye Mkeo awe mrembo""
Noted
Kazi mzuri sana
Huu wimbo matatizo running in the background I wish kama ingekua the theme song mbilini...ingukua classical sana
Kwangu ni hongera sufufu kwako kakangu madebe.
Hngr u are the good actor❤ mnn y busr ulyytmia implkea kutfny mng tuelw n tjfnz kutk kwk ❤mol akulnd sn kiongz il uwz kfk mbl zaid ❤
Madebe jaman eti umetosha 😂😂😂😂😂
Wachagga tu ndo wameelewa lafuzi ya madebe
Kazi nzuri madabe
Finally 🤸♀️🤸♀️🤸♀️🤸♀️ we love you brother
From Burundi kazi nzuri sana
ONGERENI KWA KAZI NZURI, HILA MBILINI AONGEZE BIDII KUVAA UHUSIKA
duuuh...Madebe ipo siku nchi nzima itazungumza na kusema uwezo wako sawa sawa kwa sauti, maana wanaona ila wananyamaza lakini mioyoni mwao umetukuka💪
Napenda sana kazi yenu💯
Mr madebe your the best
Tunao kubali talent ya madebe piga like
Mambo hayooooo🔥🔥💃💃
Safi sanasana
♥️♥️
Maneno yenye mizani bwana madebe...🤝👊
Kweli kabisa.
Inafundisha sana kwa wana ndoa hii movie
But the song
MASHA ALLAH