MBILINI Sehemu ya Kwanza (1)
Вставка
- Опубліковано 2 жов 2024
- Mbilini ni filamu ambayo kwanza imezingatia Utamaduni halisi katika masuala ya Kijamii,kutana na binti kidole ambae aliolewa kwa sababu tu amebarehe ila anajikuta katika wakati mgumu baada ya kutaka kutoka kwenye Ndoa hiyo..!
Right on time, nawakilisha Kenya kama jirani mwema. Napenda sana kazi zenu
As'sallam Allekum vp hali wanafamilia .nawapenda sana kwa ajili ya ALLAH 🥰🥰🥰🥰🥰
Akupende pia yule ulietupenda kwa ajili yake
Asante sana madeb
Waalkm salam akupende pia kama ulvo tupenda kwa ajili yake.
Ni nzuri ila madebe mbona fupi sana dkka 13 kama nyimbo za gospel! Fanyia kaz hili.
UKIKUMBATIWA STAILI HIZI☺️☺️☺️🏃🏃🏃
ua-cam.com/video/T313lNs6nRQ/v-deo.html
❤️
NZURI NAONA UMETUKUMBUKA PIA HUKU UA-cam ASANTE
VP kiongozi MADEBE filam zako nazikubali sana mana unaelimisha jamiiiii. Ila kaka mbona safari hii imekuwa fupi mno na itakuwa inaendelea Siku gani niwako funds wako
Kaka Athuman Mpinga kazi yako maridadi sana,lakini yuko wapi dada Hidaya mustapha Boli?
Daah
ahsante madebe hujawahi.kuniangusha Allah.akufanyie wepesi
Yeah hakuna umaskini wa milele,nakumbuka jamaa Rasta kwenye shupa na shupaza
Wakenya tujuane
Sioni ikisaidia,, maana hata tukijuana hapa eti wakenya tujuane,bado tupo chini huku ukabila utatumaliza aisee hatupendani,hamna haja tujifanye hapa
@@samuelokeyo8839 wakwanza mwenye ukabila ni wewe hungeongea upuzi huo inaonekana huelewani hata na jirani zako
@@samuelokeyo8839 waongea kama ambaye nimekufata nikakwambia njoo tujuane fata kuangalia movie ukojoe ukalale
Hapa hamna kitu,,mkionaga wabongo mnajifanya mna akili Sana wakenya,,nyie maboya tu,, ukabila umewateka akilini hamna kitu hapa,, hapa Kenya ugaidi tu Wala ustaarabu hamna,,,mapimbi nyie tu
kazi njema ila huu mda,kiduchu mno banaaa
Hizi nyimbo za movies zako madebe.basi tuu!
Jaman madebe hana kazi mbovu na vinyimbo vyake vizuri
Tuisubili maana yumebaki mda mchache Sana'a * ua-cam.com/video/7s9ijUd0UDU/v-deo.html
Nilikuwa nimeisubiria sana....representing Kenya
Tunakushukuru sana kutuletea huku kaka Madebe... watching from South Korea.. nakupata vizuri
Where in south Korea, which city ?
InshaaAllah mungu atupe umri n tufikishe hy siku salama twajuwa huna ngoma mbaya
Madebe lidai nakubali kazi zako upo vizuri sana 👏👏👏👏💯💯🔥🔥🔥🙏🙏🙏
Asanteeee Kwa ujumbe wenye kugonga nyoyo. Part two lazma iwahi kuwekwa mapema tuzidi kufurahia kilichokua bora
Jmn nikuliwa nahisubili kwa hamuu hiii asante kakaangu madebe ridai kwa kz mzur 💞
LETE NYENGINE PIA IONGEZE MUDA
Fundi wa mafundi lidai juu
Madebe twakudai wali wangu na matusi bado hujatumalizia ujue
Mbona zote ameziweka na zimefika mwisho angalia utaziona
Unatuekea vipande vifupi saana
Good job madebe am from kenya
Jmn hii nyimbo inayoimba humu ni nzuri
Kuhendo inamanisha nni???
🤦🏼♂️🤦🏼♂️🤦🏼♂️🤦🏼♂️🤦🏼♂️🤦🏼♂️🤦🏼♂️🤦🏼♂️mm mamanguuu hutanipangia ndoa yani.. mwayaa mwenyewe akili zausiku kama mamayake mmmmmm mwataka ndoa zawatuuu matajirii😨😨itabidii muolewe bank ndokunapesa
Napendaga nyimbo jamniiii 🥰🥰🥰❤❤
Tunao angalia mbikini 2023 tujuane please kwa like
Bado dakika tatu tusikie utamu wa madebe
Nlimic hako kasauti ka mziki
Kaka madebe napenda kazi zako VIP naitaji naface
Am in love with you movies madebe❤🎉
Tunakubali saana kazi zenu! Tunasubiri kwa kina saana....
Wewe sio msani wa katiako,Sisi tulioko yakutia na twakuangalia na tunapenda kazi zako nzuri
Duuuuu huridhishwi namumeo inamana akikupa talaka mama mtuuu atakuridhishaa??mama wengine bn kungwi aliemfunda aliachika
Mambo Ni Moto Mambo Ni 🔥🔥🔥🔥🔥
Huna kazi mbovu mkali wetu cha pombe kapendeza hahahahaha bado hajautwanga
best actor in easg africa madebe lidai
MBILINI ina meng san twashukulu madebe kwa kazi nzuri 🔥🔥
Tunaisubili
Iko njian
Wanawake wataka Ndoa lakin hawaziwezi wengi wao
Madebe weye ndo wangu myaka yote ndaacha movies pindi utakapo fariki
Nawapata vizuri kutoka Kenya
Aweeeeeeeee🔥🔥🔥🔥
Fantastic madebe lidai
Mamb ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 kipiza mambang
🔥🔥🔥🔥shuqran madebe kwa kazi nzuri .
Mzee movie zako nakubali
Tokoss 🇨🇩🇨🇩
Mama kama mamaa 🤣🤣🤣
Msichelewe bas
Anaetunga hizo nyimbo asee daa....pongezi zangu zimfikie huko aliko.
Daar nilimiss Sana kazi kazi nzuli
Kaza nzuli San ss muendelezo tunaupataje
Nimengoja kwa muda
From Kenya Masixha Evans, napenda sana filamu za madebe
Atimaye imefunguka😂😂pongezi kwenu Kwakweli
Tumezoea kukuona una Rasta mzee baba
Apo sawaa
Tunasubili inayokuja
Nakubali sana
👍🏿👍🏾👍👍🏼👍🏻👍🏽💪🏼💪🏼 hapa sas naitaji mwendelezo
Keep it up 💪
Kazichema napenda sana mov zenu ndaniyake Ku n'a mashauri .🇨🇩🇨🇩
Duuuu.!!! good brother
Ajapita siku bila kupitia UA-cam ya madebe big up my brother
Sijawai kuwapinga hata siku moja
Uyu madebe anactahiki tunzo from Kenya 🇰🇪
Safi sana Anty Asha Mzese
🙏 liengo lyambone amadebe lidai jipingawa filam janmbone 💪💪🙏🙏
Notifications on
Najua broo uwezi kutuangusha tunaisubiri kwa hamu sna.
Banae
Tupo mlete mwanao mwanao mwanaisaya usojua maisha
Nakubal
Madede Lidai bado napenda kazi zako hata Kama ulinidhulumu kwa kunifungia Chaneli yangu kwa jina MCA TISHO. Ulinifanya kuwa chokora.Heko. cheka na ufurahi Mimi nikilia
Nzuri MBILINI,,😍
Jamani nimeipenda sana nyimbo
Tunaoangalia mbilini na kuipenda gonga like hapa tujuane
Asante madebe Kwa ufumbuz wak Kam wampenda madebe gus like tujuane ❤
😁😁😁😁hilo toto lenyewe limekubuhu kuliko mama mtu
Maishaallah madebe kutuletey muvi nzurisaan
Madebe hunaga kz mbovu haya ngoja niichek😍
Part 2 lini kaka
Vip hii mbilini hakuna sehemu ya pili kweli mahana daaa
Madebe unatisha xana.i love your movie
Jamani naitaji kujuzwa hivi maana ya mbilini ni nini mana kiswahili kigumu kwel kwel
Vizuri kwakuhonesha gisi mahisha yaleo ikivio
Asante
Keep it up. from Congo 🇨🇩 🇨🇩
🇧🇮🤝🤝🤝🇧🇮
Motoooo 👏👏👏 madebe big up, brother, ila n fupi mno, angalau iwe 20minutes
Nakukubari sana madebe natoka Burundi
Mkwaju sehemu ya tatu iko wap jaman nzuri sana
kwa uongoz sehem ya pili uludiwe mapewa
From Kenya 🇰🇪. Twende nalo
Utamu wa asali ulambe, kazi nzuri
Madebe lidai tunatamani ufike 🇧🇮
nomaaaaaa
Nina swali Mr. madebe Lidai, Hivi Kenya utakuja lini utushirikishe ingawa kiswahili cha huko kigumu ajabu