Mimi yanga ila wakisema niseme man of the match Moja ama wawili ni kipa wa costal na beki aliyepewa red card mmmh ni noma japo Mungu ametujalia point 3 na cleensheet
Kama wakilingana idadi ya mechi, watakuwa na tofauti ya points 7,hiyo gap itakuwa covered vipi kama wote wakishinda mechi zilizobaki? Naamini points ni 3 kwa kila ushindi,iweje Yanga wapate points 12 kwa mechi 6?Kama points 3 ni sahihi,Yanga wakishinda zote,watafikisha 80 points, naomba kusahihishwa au kufundishwa zaidi.
Amesema kama watalingana point, siyo mechi. Yaani wote Simba na Yanga wakipata point 73. Simba atafikisha point 73 iwapo watashinda mechi zao zote zilizobaki. Ili walingane point, itabidi Yanga wapate point 11 katika mechi zake 6 zilizobaki. Yaani washinde mechi 3, watoke sare mechi 2 na kushindwa mechi 1. Jambo ambalo linawezekana. Yanga ili kuwa bingwa wanatakiwa kushinda mechi 4 watafikisha point 74 ambazo hakuna timu itazifikia.
Yani mashabiki wa simba bwana kwani wewe ukuona ile ilikuwa ni sawa au wewe wataka mchezaji aumizwe ndio kadi nyekundu itoke,embu fatilia kadi nyekundu zinatokaje,na shelia zake zikoje mimi ni mwanamke lakini nakushinda😂😂😂😂😂
Si lazma aumizwe mchezaji ndo kadi nyekundu itolewe..azizi alikua kwenye movement ya kwenda kufunga gol...na alishamiacha beki wa mwisho mbali so anapomfanyia faulo ya aina yeyote ile ...inaesabika ni kad nyekundu
Uyu ndie mchambuzi number one Tanzania nzima tumpe like za kutosha
Kwa kweli huyu ni mchambuzi.sio wale wachafusi
Upo sawa
umeona eeh mimi na mkubali sana
Mwanangu hapo hatutowsa hia . Wale vibaraka wawili kuchukuwa ndoo 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 kabisaaaa
Tatizo wagosi wakaya wakikutana na yanga wanakuwa ni rafu mbaya kwenda mbele😊😊😊😊😊 .
Nipeni liki zangu🎉❤
Mbwaduke...mchambuzi wangu bora kabisa❤❤❤❤❤❤
@mbwaduke nakubal sana uchambuzi wako 🙏🙏🙏🙏
Nakuelewa sana mbwaduke
Nakubali baba mbwaduke
Superb Mr. Mbwaduke
Nakubali mzee
Kafunga goli kalisana gedeeee rejendi🎉
Asante mzee wa data shikamooo
Gedee mdogomdogo anautaka ufalme
Hakika yuko vzr sana
Oscer mmakonde na oruma someni kwa bure acheni ujinga na ushoga mwanduke wape darasa hao mafala
Kwasasa naona mwanasayansi wa soccer Tanzania ni mmoja tu
❤❤❤❤
Wewe Huna baya kabisa ishi tu
Mimi yanga ila wakisema niseme man of the match Moja ama wawili ni kipa wa costal na beki aliyepewa red card mmmh ni noma japo Mungu ametujalia point 3 na cleensheet
Uko vizuri ndugu mwananchi mwenzangu hii ndo raha ya kuujua mpira kabla ya ushabiki good analysis.
@@HoseaNguge umeona eeh Mungu ni mwema
Tumpe maua yake mwamba anajua sana
🎉🎉🎉
Mwamba kweli kwel
Kweli
Huyu ni mwama
Data ndo ukweli!
🔥🔥🔥🔥🔥
Bonge la uchambuzi
🇿🇲🇿🇲 tuko pamoj
🎉
Kama wakilingana idadi ya mechi, watakuwa na tofauti ya points 7,hiyo gap itakuwa covered vipi kama wote wakishinda mechi zilizobaki?
Naamini points ni 3 kwa kila ushindi,iweje Yanga wapate points 12 kwa mechi 6?Kama points 3 ni sahihi,Yanga wakishinda zote,watafikisha 80 points, naomba kusahihishwa au kufundishwa zaidi.
Amesema kama watalingana point, siyo mechi. Yaani wote Simba na Yanga wakipata point 73. Simba atafikisha point 73 iwapo watashinda mechi zao zote zilizobaki. Ili walingane point, itabidi Yanga wapate point 11 katika mechi zake 6 zilizobaki. Yaani washinde mechi 3, watoke sare mechi 2 na kushindwa mechi 1. Jambo ambalo linawezekana. Yanga ili kuwa bingwa wanatakiwa kushinda mechi 4 watafikisha point 74 ambazo hakuna timu itazifikia.
Okay,akhsante sanaaa. @@josephatn5040
,kasema ili yanga wawe mabingwa wanahitaji points 12 kt ya 18 zilizo bakia ktk match 6.
Teh mbwaduke mzee wa stats, fuatilia vizuri takwimu zako wewe ndo utakuwa umekosea😂
😂@@husseinmassawa7186
Tupe uhalisia msemakwelii wewe ndio mchambuzi wa ukweli huna makando makando
Ihefu walifungwa 4, mojawapo lenye utata na siyo 5 Mbwaduke hebu rejea kumbukumbu zako!
Ndio lishahesabiwa hivyo hata magoli ya Azam ya michezo yote miwili waliocheza na Yanga ni offside lakini yameishahesabiwa hayafutiki tena!
Mbona kadi nyekudu huizungumzii.
Hii timu inabebwa sana
Yani mashabiki wa simba bwana kwani wewe ukuona ile ilikuwa ni sawa au wewe wataka mchezaji aumizwe ndio kadi nyekundu itoke,embu fatilia kadi nyekundu zinatokaje,na shelia zake zikoje mimi ni mwanamke lakini nakushinda😂😂😂😂😂
Si lazma aumizwe mchezaji ndo kadi nyekundu itolewe..azizi alikua kwenye movement ya kwenda kufunga gol...na alishamiacha beki wa mwisho mbali so anapomfanyia faulo ya aina yeyote ile ...inaesabika ni kad nyekundu
@@rosemunissy hakua beki wa mwisho
Mbwaduke hoyeeeee!!! Naridhishwa na uchambuzi wako.