Sijawhi kukuhisi hata siku moja ukionyesha upendeleo wa kuchambua mpira kuipendeea timu wala kujulikana kama wewe shabiki wa timu gani baba unatisha wachambuzi jifunzeni kwake
Nilisha acha kufuatilia na kuwasikilza wachambuzi labda kwenyekipndi cha kabla ya mechi kwenye runinga uwepo nawewe tofauti yake nitakusubiri UA-cam tu bw mkubwa
kafanyaje? mbwaduke sku zote akichambua yanga ni yule yule na akichambua simba ni yule yule hanaga upendeleo tena video za yanga kazifanya nyingi kuliko za simba
Baada ya kula chakula, lazima unywe maji. Mbwaduke Stats ni kama maji baada ya mlo.
Asante kwa kazi unayofanya Mr. Mbwaduke!
Wewe ndio Mchambue Mwenye Upeo wa Mpira Unajua Unachambua Nini? Unaelezea Mpaka mtu anaelewa vizuri Big up nakupata TOKA JUBA SUDAN
Mbwatuke unatisha mzee wa data hongera
Hongera mzee wa Data upewe 🎉🎉🎉🎉🎉
Assalam alaykum mungu akupe maisha marefu ili utupe darasa hili
Asante
Ana hasira ya kutokumpa ukocha yanga amesahau tulivyo muuguza na kumununuria meno baada kuumizwa
Hongera Sana mzee wa data
Aliyetoa pass ya usaidizi wa kufunga ni Azizi sio Yao
Pass ni ya Azizi Ki
Unajuw kwr yan
Very good
Sijawhi kukuhisi hata siku moja ukionyesha upendeleo wa kuchambua mpira kuipendeea timu wala kujulikana kama wewe shabiki wa timu gani baba unatisha wachambuzi jifunzeni kwake
Mzee wa data Unafaa kuajiriwa crown 👑 Media
Yaani atoke Azam aende Crown🥲
Assist si katoa Aziz ki sio Yao kouassi
Pasi ya Aziz Ki
Nilisha acha kufuatilia na kuwasikilza wachambuzi labda kwenyekipndi cha kabla ya mechi kwenye runinga uwepo nawewe tofauti yake nitakusubiri UA-cam tu bw mkubwa
Kesho Simba vs Azam ni suluhu Nitoe ahadi?
Mbwaduke ndo mchambuzi bora Africa, sio wa mchongo kama wengine😅
Mbona haukusema goli la pili la yanga lililokataliwa?
Vip ni swali tu wanaeza mfungia kocha wetu Kwa uchungu aliokua nao ama itakua tu fain ama ni jaziba za mpira tu akun kitakachotokea
Yaani wamepata sababu watamalizia Hasira zao kwake wana hasira na Yanga hao!!
@@sweetbertrwiza5982 mwenyezi Mungu atasimama na sisi acha waendelee kujibizana na meçhi ndo hizo zinakuja Kila baada ya siku3
Huyu baba fala anaikamia yanga lakini simba anawapenulia tu ole wako uje jangwani tunakutoa nduki ww na mkwasa
kafanyaje? mbwaduke sku zote akichambua yanga ni yule yule na akichambua simba ni yule yule hanaga upendeleo tena video za yanga kazifanya nyingi kuliko za simba
@@latifahamza7913Siyo mbwaduke, anmzungumzia minzilo
daa asante kwa kunielewesha skumuelewa@@daudimichael7338
daa bro samahani nilijib bila kuelewa ulichomaanisha