Marefa wanataka kuwarundisha mashabiki kupiga marefa ipo siku watapingwa tena wasicheze na mashabiki wa yanga wao hawaoni hasara kulipa faini au kufungiwa mashabiki wa yanga wao wakiamuwa lao wafanya sasa marefa wasijisahalishe miaka ya yuma wamepingwa sana sasa wasije wakarudi kule kule
Yanga bingwa
Walipata shida kubadilisha score board....hd live score ikaandika goal correction 0-0
Marefa wanafanya makusudi kama kweli Mungu yupo hawa marefa wasijifanye wanaumiza sana wachezaji kukataa goli halali hizo siyo sifa
Halafu TFF wanaliangalia hili au wao ndo wanatoa haya maagizo
Hiyo ni mipango Yao ili Yanga asichukue ubingwa Kama tulivyo polwa Ngao ya jamii
Marefa wanakuwa na roho mbaya kiukweri sisi yanga tunashinda,natutachukuwa ubingwa ila tunavita sana tunaonewa sana sana
Asitubabaishe marefa
Azizi ki is not dreaming of top scorering. He is thinking of championship
True
Yes! Fei has scored easy goals AZAM vs Tabora United so Azizi K has the high level.
Aipingwi
Ligi yetu inaangaliwa na watu wengi duniani hy marefa wanajishusha watabakia na ligi zao za bongo tu.
Ukiona refa ni elisasi ,jonesia ,Emanuel mwandembwa na Esther ujue yanga atapata shida kweny mechi husika
Ubingwa 100.0%
Mm n mkenya lkn marifa wa kitanzania wengi washenzi sana wanapenda hongo sana na hongo wanadhani wamepewa na Majirani
Marefa wanataka kuwarundisha mashabiki kupiga marefa ipo siku watapingwa tena wasicheze na mashabiki wa yanga wao hawaoni hasara kulipa faini au kufungiwa mashabiki wa yanga wao wakiamuwa lao wafanya sasa marefa wasijisahalishe miaka ya yuma wamepingwa sana sasa wasije wakarudi kule kule
😂😂😂😂😂😂nani mwingine anamwona kwa mbali mzee wa utopolo na kijiji chake akitema cheche
Wale mamamaaa malizia makolo 😂😂😂
Yanga bingwa adi 230
Wewe Sam wacha ujinga,haikusaidii kitu kuisifia yanga nyakati zote,kama kweli wewe ni simba ungeiombea hata dua ya mafanikio
Kwenda uko fala
Refaree mkiendelea hivi hamtaitwa mechi za kimataifa shame on u
Hiii imeshakuwa ndio tamaduni yao ss marefa kukata magoli ya harari na hatujajuwa km ni mipango yao TFF WENYEWE
Achana na yanga, timu yako je
Ivi kwann yanga lnaonewasana aibu àoni kalia na bodi ya ligi?
Kaka unakitu mwilini kwalwel
Ipo siku watapigwa ndo utakuwa mwishowe upuuzi Kama huu
Kweli kabisa wanaumiza sana mpaka kocha wetu kaumiza
Guede kanyimwa goli jamani hivyo idadi yake ya kuongeza magoli inapungua pole yake