#ZaNdaaani
Вставка
- Опубліковано 13 лип 2023
- www.youtube.com/@Wasafi_Media...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm - Спорт
Wa-Kudere..... Due -mbili.... Discussione-mazungumzo(Kitaliana).... Si Bravo
Mzee wa kidere Brother mpaka kukuelewa inabid kutulia sana Big up
Daa yani nyie mnanipa rahaa sana aswa bwana mkubwa ukisikia tu Zandaaaaaaaniii ujuwe kunajambo mawili liwezuri kwetu yanga au liwe baya lakini hiili la jangwani kwetu zuri kila la kheri kwenye kazi yako inshaaala iko siku nitakuona usokwa uso
Nimecheka sana leo viongozi kusikia jangwani wamepagawa
🎉🎉🎉🎉🎉🎉ila nyie jamaa Mungu anawaona
Hapo rikado habari zako za ndani saivi siziamini nyingi unafeli saiv zamani kweli ulikua unatupa za ndani Ila saivi nawewe unachukua tetesi tu. Unazitumia. Hilo la chama Fanya utafiti tena
Hahahahhahahaaaa mwachen maslah yake maana hata Kwa Fei mlisema hivohivo na mchango mkachangiaa😂😂😂😂
Mmenifurahisha sana Kwa mjadala mpana huo
Namkubari mzeee was zandaniii na kweri kweriiii
Ila we jamaa unjua kufukunyua mambo haahaa😂😂😂
Jamaa anajua sana kudadavua
Yaaan kwa usajili wao tuu naona hawa pumui vzr
Chama huyo
Muongooo sanaaa ww alafuuu unapagawishaaa tuuu mashabiikii ww
Hana jipya huyu, kwani cha ajabu nini hapo
Eti,'lakini siyo modern taarabu'😂😂
Tafta njia ya kutafta helaa wew mshambaaa
Mwongo mwongo huyu dah!😂😂😂
Aya tena wale wakudakia mambo ya watu na michango kuchangishana..kuleni chuma hikooo
Fabrice luamba Ngoma huyo
Chama anaitaka furaaha nafuraha ipojangwani wadau mnasemaje
Ni km unaota vile!
Chama
Hapo sioni hoja coz contract arleady signed so ingekue hana mkataba asingekuw kweny sintofahamu so kama kuna timu inamtaka iweke ofa mezani na ivunje mkataba
Hahahah kuimba kupokezana... Si mlifurahiya ya fei.. Leo zamu yenu😂😂😂😂
Anavunja mwenyewe
@@akleidesideri7996 Mkataba una kipengele Kama wa Fei, asipo ongezewa haya anayotaka atasepa!!!
Jamaaa liongoooo
Ricardooooooo utawauaaaaa daaaaaah!!!! Hataeeeeeee waambieeeeeeeeeeeee!!!!!!
Uyo ni joyce lomalisa
Ngoma huyoo
Daaaaah Yanga tamu jaman
Huyo ni John Bocco😅😅😅
Semaji la Caf Ahmed Ally
Mchezaji Chama
momo kk umetish ap kweny saud arabia kosh ip kweny jangw 🤣🤣🤣🤣🤣🤣dah
Aende tu kwani yeye nan
Zingekuwepo lak 2 wasingeokoteza uko uswahilin wachezaj walioachwa.😀😀😀
Karibu yanga chama😂😂
Haina haja ya mchezaji huyo.
Hahahaha sema momo miyeyusho sana wewe eti wasoud wanaoishi jangwani
Kama ni kweli nitakunywa flyingfish bariiiiiid walivyokuw wanampamp fei sasa yamewageukiaaa😅
Key and popote
bado tumsubiri babalevo na zake za ndani jana na leo
Hizo Dola laki 2 😂😂😂😂
😂😂😂😂😂momo hatriii
Chama anataka ufalme wake na kaona watu wa nguvu wamekuja..asepe
😂😂😂😂😂😂😂hiyo imeenda
Momo haswa mbea😂😂😂😂
Asasa uyo mwamba akiondoka kuta kuwa na timu au kikundi cha masela
Code ime funguliwa alipo tajwa semaji la CUF.
Huyo muongo sana
Leo umechamba
Muruson uyo ila me simkubali ata kwakweli
Jamaa anachekesha sana , wasaudi wa jangwani no wapi hao
😂😂😂😂😂
Chama niwakawaida sana ck iz wapo wachezaji wengine wanacheza Zaid wake
Mmeanza kumkataa kisa tetesi
Sikia chama ameanza kusema ivyo mapema kabla ligi aija Anza ili aongezewe mshahara mapema Mana ana ona namba anaenda kukosa kabx
Hii ime enda nime iangalia x3. Mpaka sasa na comment yangu ya pili
huyu mpeni kazi ingine hana jipya
Chama aondoke tumeshabmchoka yeyevnani bana nw muangalie pacome tukimtarajia
Ww likado momo utawatoa watu loo kaka acha izo bhana watakuloga kaks
Mayele huyoo kasepa
Ila kuna interview 1 Chama alisema anamuonea sana wivu Morrison...anafuraha mno...huyu Mwamba anaitaka YANGA.
Huyu mayele , jamaa msengelema sna
yani kama ni chama basi nasi uongozi wetu utakua nao umeanza kukengeuka yule akija yanga ndio atacheza vizuri na atafanya makubwa ila kiukweli yule keshachoka umli umeenda afu anakiburi
Uyo chama ata akisepa asepe tu
Momo 🙌🙌🙌😆😆
Kama Ni chama sawa kuondoka akuna atakacho ongeza Simba
Moses phili 🔰
HUYU JAMAA NIMIONGO SANA
huyu mwamba ilikuwa simuelewi ila toka alipoiyanzisha ishu ya Feisal na halaf akaja kuifunga WALLAH NIMEMKUBALI ANACHOKIONGELEA
Baleke
Jumatatu yeye baleke onana na Ngoma wote wanelekea uturuki na Luis Miquissone pua😅😅😅😅😅
Kipindi kwenye TV huwa siku gani na nisaa ngapi? Tafadhali kufahamishwa
Hatumuuzi
Unamuongelea nani mafumbo sasa ongea kiume weka wazi mbn unakua muoga
Utatoa watu roho ww😂😂
😂😂😂😂😂😂
Momo senge tuui ndo maana mke wako watu wanatomba
Mwanamke kawaida t mbona ayo mambo ulitaka uliwe wew sas
😂😂😂😂😂😂 ya leo kali
Akidai tunafurahiiii😅
Ngoma😂
Mayele atazingua
Ngoma 😂😂
Chama ni nani aisee mkumbuke Simba ni kubwa sana aondoke saivi hana jipya.
Mmbwa nyie Leo simba kubwa kuloko chama wakati chama alikuwa mkubwa kuliko kocho yeyote
Nitakuzarau asipoenda yanga
Chama kama Manara tuu
Ah😂
Dube huyo
Asepeeeeee
RAHAAAAAAAAA
We ni shabiki wa yanga huna jambo
Msuva
Chama huyo, nipeni likes zangu
Hapana
MAYELE
@@aayanmaroba6056ولا 🤔
Chama huyoooo
Ni yeye2
Chama tumemchoka AONDOKE tumemchoka maneno mengi aondoke timu kubwa inawachezaji wengi wazuri yy aende some Simba kubwa kuliko yy aondoke hata kesho asepe tuuuu
Fala wewe
Ela ya kumpa chama IPO ila yakumuongezea mayere akuna? Bongo bahati mbaya
unakula bundle za wana
Balele
tumemchukua mkude yupo kama choko ....tusichukue wachezaji kwa mihemko
Momo nawe muongo muogo tu
SASA SIMBA KWANN MSIMMALIZIE CHAMA? TAFADHALI MSIMPOTEZE MALIZANANAYE JAMANI ABAKI SIMBA.
Mchambuzi wamchlngoooo😂😂😂
😂😂😂 milakiii
INAWEZEKANA UKAUJUA MPIRA LAKINI UKAWA HUJUI JINSI YA KUUONGELEA.
Hizo zimewashinda kumpa Mayele
Kwaiyo we unataka kusemaje 😂
Momo 😂 hataree
Mchukueni asee Tulifanya vizuri bila UWEPOWAKE hata mwenzie misim yote kaondoka na bado tunafanya vyema SIMBA ni kubwa kuliko yeyoteee
DOSARI EP 2
ua-cam.com/video/8JX7s5DYwok/v-deo.html
Chama hana mkataba umeisha
Huyu bhana kujilambalamba kama demu vile😂
ACHA kashifa.... Mpe demu wako ndio utamjua yupo kama demu au vip... Usipende KUTUKANA wanaume mitandaoni
@@abdallahmdiliko8088 kwaiyo kujilamba kama demu ni kutukana,,wew hamnazo kweli!kwaiyo nikikuambia wew upo kama demu nimekutukana!?Jinga Sana wew!