#ZaNdaaani

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 13 лип 2023
  • www.youtube.com/@Wasafi_Media...
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • Спорт

КОМЕНТАРІ • 171

  • @DottoWence
    @DottoWence День тому

    Wa-Kudere..... Due -mbili.... Discussione-mazungumzo(Kitaliana).... Si Bravo

  • @Amanzi27
    @Amanzi27 5 місяців тому +3

    Mzee wa kidere Brother mpaka kukuelewa inabid kutulia sana Big up

  • @user-ds5tf2ph5l
    @user-ds5tf2ph5l 10 місяців тому +6

    Daa yani nyie mnanipa rahaa sana aswa bwana mkubwa ukisikia tu Zandaaaaaaaniii ujuwe kunajambo mawili liwezuri kwetu yanga au liwe baya lakini hiili la jangwani kwetu zuri kila la kheri kwenye kazi yako inshaaala iko siku nitakuona usokwa uso

  • @jersonmpeka4984
    @jersonmpeka4984 10 місяців тому +9

    Nimecheka sana leo viongozi kusikia jangwani wamepagawa

  • @user-ke2hc9gf2o
    @user-ke2hc9gf2o Місяць тому +2

    🎉🎉🎉🎉🎉🎉ila nyie jamaa Mungu anawaona

  • @mtalimaaloyce7860
    @mtalimaaloyce7860 10 місяців тому +3

    Hapo rikado habari zako za ndani saivi siziamini nyingi unafeli saiv zamani kweli ulikua unatupa za ndani Ila saivi nawewe unachukua tetesi tu. Unazitumia. Hilo la chama Fanya utafiti tena

  • @rehemaabdullah7606
    @rehemaabdullah7606 10 місяців тому +9

    Hahahahhahahaaaa mwachen maslah yake maana hata Kwa Fei mlisema hivohivo na mchango mkachangiaa😂😂😂😂

  • @mawazomdemu5169
    @mawazomdemu5169 10 місяців тому +3

    Mmenifurahisha sana Kwa mjadala mpana huo

  • @JohnNdereka
    @JohnNdereka 2 місяці тому

    Namkubari mzeee was zandaniii na kweri kweriiii

  • @plasuccompanyltd8602
    @plasuccompanyltd8602 10 місяців тому +5

    Ila we jamaa unjua kufukunyua mambo haahaa😂😂😂

  • @zulfikakalumba1977
    @zulfikakalumba1977 10 місяців тому +1

    Jamaa anajua sana kudadavua

  • @robertsanga5390
    @robertsanga5390 10 місяців тому

    Yaaan kwa usajili wao tuu naona hawa pumui vzr

  • @gastonfuraha
    @gastonfuraha 10 місяців тому +1

    Chama huyo

  • @farajaleonard9793
    @farajaleonard9793 10 місяців тому +2

    Muongooo sanaaa ww alafuuu unapagawishaaa tuuu mashabiikii ww

  • @castolikiliwike8393
    @castolikiliwike8393 10 місяців тому

    Eti,'lakini siyo modern taarabu'😂😂

  • @user-jb6lp1zi9q
    @user-jb6lp1zi9q 10 місяців тому

    Tafta njia ya kutafta helaa wew mshambaaa

  • @abelmirwatu544
    @abelmirwatu544 10 місяців тому

    Mwongo mwongo huyu dah!😂😂😂

  • @salmamlokela1987
    @salmamlokela1987 10 місяців тому +1

    Aya tena wale wakudakia mambo ya watu na michango kuchangishana..kuleni chuma hikooo

  • @user-pu8dx6ky4g
    @user-pu8dx6ky4g 5 місяців тому +1

    Fabrice luamba Ngoma huyo

  • @davidsimbeya
    @davidsimbeya 10 місяців тому +4

    Chama anaitaka furaaha nafuraha ipojangwani wadau mnasemaje

  • @HalimaIssa-pu4yt
    @HalimaIssa-pu4yt 3 місяці тому +1

    Chama

  • @atanasemmanuel
    @atanasemmanuel 10 місяців тому +3

    Hapo sioni hoja coz contract arleady signed so ingekue hana mkataba asingekuw kweny sintofahamu so kama kuna timu inamtaka iweke ofa mezani na ivunje mkataba

    • @thadeylyimo9772
      @thadeylyimo9772 10 місяців тому +1

      Hahahah kuimba kupokezana... Si mlifurahiya ya fei.. Leo zamu yenu😂😂😂😂

    • @akleidesideri7996
      @akleidesideri7996 10 місяців тому

      Anavunja mwenyewe

    • @thadeylyimo9772
      @thadeylyimo9772 10 місяців тому

      @@akleidesideri7996 Mkataba una kipengele Kama wa Fei, asipo ongezewa haya anayotaka atasepa!!!

  • @onesmochwaly4411
    @onesmochwaly4411 10 місяців тому

    Jamaaa liongoooo

  • @BonnieHokororo-vg1lw
    @BonnieHokororo-vg1lw 10 місяців тому

    Ricardooooooo utawauaaaaa daaaaaah!!!! Hataeeeeeee waambieeeeeeeeeeeee!!!!!!

  • @saleheaboud1612
    @saleheaboud1612 10 місяців тому

    Uyo ni joyce lomalisa

  • @user-od8lh6il8q
    @user-od8lh6il8q 5 місяців тому

    Ngoma huyoo

  • @christiansokorot
    @christiansokorot 10 місяців тому +1

    Daaaaah Yanga tamu jaman

  • @stanslausmteme8455
    @stanslausmteme8455 5 місяців тому

    Huyo ni John Bocco😅😅😅

  • @amanrasmos1282
    @amanrasmos1282 Місяць тому

    Semaji la Caf Ahmed Ally
    Mchezaji Chama

  • @azirajiabdallah7177
    @azirajiabdallah7177 10 місяців тому +1

    momo kk umetish ap kweny saud arabia kosh ip kweny jangw 🤣🤣🤣🤣🤣🤣dah

  • @mohammedissah8467
    @mohammedissah8467 10 місяців тому +1

    Aende tu kwani yeye nan

  • @pixels_tech
    @pixels_tech 10 місяців тому

    Zingekuwepo lak 2 wasingeokoteza uko uswahilin wachezaj walioachwa.😀😀😀

  • @imatisatv9239
    @imatisatv9239 10 місяців тому +4

    Karibu yanga chama😂😂

  • @DavidMasumbuko-bo4vy
    @DavidMasumbuko-bo4vy 10 місяців тому

    Hahahaha sema momo miyeyusho sana wewe eti wasoud wanaoishi jangwani

  • @lizashagilliard2336
    @lizashagilliard2336 10 місяців тому +1

    Kama ni kweli nitakunywa flyingfish bariiiiiid walivyokuw wanampamp fei sasa yamewageukiaaa😅

  • @ibnmasuod2184
    @ibnmasuod2184 10 місяців тому +2

    bado tumsubiri babalevo na zake za ndani jana na leo

  • @thehustlerafrica4368
    @thehustlerafrica4368 10 місяців тому

    Hizo Dola laki 2 😂😂😂😂

  • @daggerslick
    @daggerslick 10 місяців тому +1

    😂😂😂😂😂momo hatriii

  • @chichasam9032
    @chichasam9032 10 місяців тому

    Chama anataka ufalme wake na kaona watu wa nguvu wamekuja..asepe

  • @michaelmwakatundu1693
    @michaelmwakatundu1693 10 місяців тому +2

    😂😂😂😂😂😂😂hiyo imeenda

  • @FatumaJuma-jh6yi
    @FatumaJuma-jh6yi 5 місяців тому

    Momo haswa mbea😂😂😂😂

  • @robertsanga5390
    @robertsanga5390 10 місяців тому

    Asasa uyo mwamba akiondoka kuta kuwa na timu au kikundi cha masela

  • @harounali9057
    @harounali9057 10 місяців тому +2

    Code ime funguliwa alipo tajwa semaji la CUF.

  • @clementdeud9366
    @clementdeud9366 10 місяців тому

    Huyo muongo sana

  • @BetoSmith-ju1ht
    @BetoSmith-ju1ht 10 місяців тому

    Leo umechamba

  • @husseinyusuph5458
    @husseinyusuph5458 Місяць тому

    Muruson uyo ila me simkubali ata kwakweli

  • @veelmng7746
    @veelmng7746 10 місяців тому +4

    Jamaa anachekesha sana , wasaudi wa jangwani no wapi hao

  • @user-nz5tt4do3k
    @user-nz5tt4do3k 10 місяців тому

    Chama niwakawaida sana ck iz wapo wachezaji wengine wanacheza Zaid wake

    • @youngmasta5444
      @youngmasta5444 10 місяців тому

      Mmeanza kumkataa kisa tetesi

    • @user-nz5tt4do3k
      @user-nz5tt4do3k 10 місяців тому

      Sikia chama ameanza kusema ivyo mapema kabla ligi aija Anza ili aongezewe mshahara mapema Mana ana ona namba anaenda kukosa kabx

  • @harounali9057
    @harounali9057 10 місяців тому

    Hii ime enda nime iangalia x3. Mpaka sasa na comment yangu ya pili

  • @azizihfarijala5307
    @azizihfarijala5307 5 місяців тому

    huyu mpeni kazi ingine hana jipya

  • @xavioutfit3611
    @xavioutfit3611 5 місяців тому

    Chama aondoke tumeshabmchoka yeyevnani bana nw muangalie pacome tukimtarajia

  • @vascokinunda
    @vascokinunda 10 місяців тому

    Ww likado momo utawatoa watu loo kaka acha izo bhana watakuloga kaks

  • @alhajikissu5341
    @alhajikissu5341 10 місяців тому

    Mayele huyoo kasepa

  • @femidayahaya4882
    @femidayahaya4882 10 місяців тому

    Ila kuna interview 1 Chama alisema anamuonea sana wivu Morrison...anafuraha mno...huyu Mwamba anaitaka YANGA.

  • @ismailjuma267
    @ismailjuma267 10 місяців тому

    Huyu mayele , jamaa msengelema sna

  • @BensonMpomo
    @BensonMpomo Місяць тому

    yani kama ni chama basi nasi uongozi wetu utakua nao umeanza kukengeuka yule akija yanga ndio atacheza vizuri na atafanya makubwa ila kiukweli yule keshachoka umli umeenda afu anakiburi

  • @samatamadega1896
    @samatamadega1896 10 місяців тому +1

    Uyo chama ata akisepa asepe tu

  • @dionistindwa7429
    @dionistindwa7429 10 місяців тому +1

    Momo 🙌🙌🙌😆😆

  • @saidseleman2973
    @saidseleman2973 6 місяців тому

    Kama Ni chama sawa kuondoka akuna atakacho ongeza Simba

  • @mehmetmikola-5972
    @mehmetmikola-5972 5 місяців тому

    Moses phili 🔰

  • @user-vn9xl4wd7p
    @user-vn9xl4wd7p 10 місяців тому +1

    HUYU JAMAA NIMIONGO SANA

  • @sniper93999
    @sniper93999 10 місяців тому +2

    huyu mwamba ilikuwa simuelewi ila toka alipoiyanzisha ishu ya Feisal na halaf akaja kuifunga WALLAH NIMEMKUBALI ANACHOKIONGELEA

  • @emmanuelkungubala3912
    @emmanuelkungubala3912 10 місяців тому +1

    Baleke

  • @mbaroukrashid6201
    @mbaroukrashid6201 10 місяців тому

    Jumatatu yeye baleke onana na Ngoma wote wanelekea uturuki na Luis Miquissone pua😅😅😅😅😅

  • @user-xd3vd6um4r
    @user-xd3vd6um4r 10 місяців тому +1

    Kipindi kwenye TV huwa siku gani na nisaa ngapi? Tafadhali kufahamishwa

  • @faustinombilinyi9809
    @faustinombilinyi9809 10 місяців тому

    Hatumuuzi

  • @thomasfrancis6177
    @thomasfrancis6177 10 місяців тому

    Unamuongelea nani mafumbo sasa ongea kiume weka wazi mbn unakua muoga

  • @godfreyayo7831
    @godfreyayo7831 10 місяців тому +4

    Utatoa watu roho ww😂😂

  • @thehustlerafrica4368
    @thehustlerafrica4368 10 місяців тому +1

    Momo senge tuui ndo maana mke wako watu wanatomba

    • @ShafiiMussa-dm2iw
      @ShafiiMussa-dm2iw 10 місяців тому

      Mwanamke kawaida t mbona ayo mambo ulitaka uliwe wew sas

  • @wazirimahamudu3878
    @wazirimahamudu3878 10 місяців тому +1

    😂😂😂😂😂😂 ya leo kali

  • @husseinmasangya1272
    @husseinmasangya1272 10 місяців тому +1

    Akidai tunafurahiiii😅

  • @diwanikatayankonko2671
    @diwanikatayankonko2671 Місяць тому

    Ngoma😂

  • @mohdswahili7219
    @mohdswahili7219 10 місяців тому +2

    Mayele atazingua

  • @RaymondHenry-hf3pn
    @RaymondHenry-hf3pn 5 місяців тому

    Ngoma 😂😂

  • @frankmalema5350
    @frankmalema5350 6 місяців тому

    Chama ni nani aisee mkumbuke Simba ni kubwa sana aondoke saivi hana jipya.

    • @AjiaMohamed-rt5pb
      @AjiaMohamed-rt5pb 5 місяців тому

      Mmbwa nyie Leo simba kubwa kuloko chama wakati chama alikuwa mkubwa kuliko kocho yeyote

  • @zainabrajab9608
    @zainabrajab9608 10 місяців тому

    Nitakuzarau asipoenda yanga

  • @thehustlerafrica4368
    @thehustlerafrica4368 10 місяців тому +1

    Chama kama Manara tuu

  • @user-ui4vt9vl6h
    @user-ui4vt9vl6h 5 місяців тому

    Ah😂

  • @amanilupembe9788
    @amanilupembe9788 Місяць тому

    Dube huyo

  • @edyi9187
    @edyi9187 10 місяців тому

    Asepeeeeee

  • @allysinge7096
    @allysinge7096 10 місяців тому

    RAHAAAAAAAAA

  • @thomasfrancis6177
    @thomasfrancis6177 10 місяців тому

    We ni shabiki wa yanga huna jambo

  • @user-xy9zg3ki1s
    @user-xy9zg3ki1s 5 місяців тому

    Msuva

  • @raphaelkisungura8398
    @raphaelkisungura8398 10 місяців тому +33

    Chama huyo, nipeni likes zangu

  • @faustinombilinyi9809
    @faustinombilinyi9809 10 місяців тому

    Chama tumemchoka AONDOKE tumemchoka maneno mengi aondoke timu kubwa inawachezaji wengi wazuri yy aende some Simba kubwa kuliko yy aondoke hata kesho asepe tuuuu

  • @ahmadismail2604
    @ahmadismail2604 10 місяців тому +2

    Ela ya kumpa chama IPO ila yakumuongezea mayere akuna? Bongo bahati mbaya

  • @shukuruiddi82
    @shukuruiddi82 5 місяців тому

    unakula bundle za wana

  • @emmanuelkungubala3912
    @emmanuelkungubala3912 10 місяців тому

    Balele

  • @MacdonaldMsoma-sm9yn
    @MacdonaldMsoma-sm9yn 4 місяці тому

    tumemchukua mkude yupo kama choko ....tusichukue wachezaji kwa mihemko

  • @adrophinamwanguse1510
    @adrophinamwanguse1510 10 місяців тому

    Momo nawe muongo muogo tu

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 10 місяців тому

    SASA SIMBA KWANN MSIMMALIZIE CHAMA? TAFADHALI MSIMPOTEZE MALIZANANAYE JAMANI ABAKI SIMBA.

  • @yusuphjilala846
    @yusuphjilala846 10 місяців тому +2

    Mchambuzi wamchlngoooo😂😂😂

  • @qwirinishao1003
    @qwirinishao1003 10 місяців тому

    😂😂😂 milakiii

  • @hassanbakari4525
    @hassanbakari4525 10 місяців тому

    INAWEZEKANA UKAUJUA MPIRA LAKINI UKAWA HUJUI JINSI YA KUUONGELEA.

  • @thehustlerafrica4368
    @thehustlerafrica4368 10 місяців тому

    Hizo zimewashinda kumpa Mayele

  • @ameirzapy1318
    @ameirzapy1318 10 місяців тому

    Momo 😂 hataree

  • @salymkitumbika8644
    @salymkitumbika8644 10 місяців тому

    Mchukueni asee Tulifanya vizuri bila UWEPOWAKE hata mwenzie misim yote kaondoka na bado tunafanya vyema SIMBA ni kubwa kuliko yeyoteee

  • @taswiramedia
    @taswiramedia 10 місяців тому +1

    DOSARI EP 2
    ua-cam.com/video/8JX7s5DYwok/v-deo.html

  • @mussakingazi8875
    @mussakingazi8875 10 місяців тому

    Chama hana mkataba umeisha

  • @kamenyaakwitanda989
    @kamenyaakwitanda989 10 місяців тому

    Huyu bhana kujilambalamba kama demu vile😂

    • @abdallahmdiliko8088
      @abdallahmdiliko8088 10 місяців тому

      ACHA kashifa.... Mpe demu wako ndio utamjua yupo kama demu au vip... Usipende KUTUKANA wanaume mitandaoni

    • @kamenyaakwitanda989
      @kamenyaakwitanda989 10 місяців тому

      @@abdallahmdiliko8088 kwaiyo kujilamba kama demu ni kutukana,,wew hamnazo kweli!kwaiyo nikikuambia wew upo kama demu nimekutukana!?Jinga Sana wew!