NILIONDOKA YANGA KWASABABU WALISHINDWA KUTIMIZA MKATABA| SIKUONDOKA SIKU YA MECHI KAMA WANAVYOSEMA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 29 кві 2024
  • 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • Розваги

КОМЕНТАРІ • 26

  • @mathewmponejas3536
    @mathewmponejas3536 22 дні тому +1

    Hiyo ni tabia yako tu kuwa unakimbia so umechagua mfumo huo wa maisha kwenye kipaji chako

  • @ramamabinda5063
    @ramamabinda5063 22 дні тому +1

    Hamna mchezaji humo, huyo ni maisha yake ya kawaida kuondoka bila kurusiwa, ni kwakuwa anajiona mchezaji mzuri. Ila kiukweli huyo hafai hata kucheza tim za daraja la 2. Bahati mbaya sana ni kiongozi wa kuwashawish wachezaji wasuse au wavunje sheria.

  • @PauloAlfayo-qi1gn
    @PauloAlfayo-qi1gn 22 дні тому +1

    Baba levo mrekebishe jamaa Yako huwec kuondoka kwa ruksa ya mdomo bila barua huu ni uhuni kabisa

  • @godfreypetermasana-kb8xy
    @godfreypetermasana-kb8xy 22 дні тому +1

    Uyu hafai popote.
    Haifai kutoa haya kwa uwazi namna hii

  • @anzelohaule
    @anzelohaule 14 днів тому

    Wewe hufai

  • @mpambanajitz7026
    @mpambanajitz7026 19 днів тому

    Huyu jamaa alitusaliti kwenye hali mbaya SANA
    Kama ningeweza na nikiwa kama mwanachama hai mwenye KADI ya YANGA,,nisiingekubali kumrejesha JANGWANI kabisa...HAFAI BHANA

  • @chensigns6748
    @chensigns6748 22 дні тому

    Nimependa boss levo kuongea baada tu ya kuandika ujumbe

  • @amanilupembe9788
    @amanilupembe9788 22 дні тому +1

    Huyu jamaaa namkumbuka sana yanga yabakuri alitukimbia wa chezaji wa zamani walimchangia waki mwambia atulie llakini aliondoka tamaaa sana huyoo arudi simba

  • @salmamakweta1198
    @salmamakweta1198 21 день тому

    Uko kimaslahi zaidi, jaribu kuwa mvumilivu, hata sisi kuna muda hatulipwi kwa wakat tunavumilia na mwisho tunalipwa

  • @user-vh9wt8zh4n
    @user-vh9wt8zh4n 21 день тому

    Machi ya Simba ruhusa na mechi ya yanga ruhusa unazingua Kila mtu anakushangaa

  • @nicodemuswidambe5132
    @nicodemuswidambe5132 21 день тому

    Tamaaa mbaya mjinga wewe.

  • @user-fk4st8qj2k
    @user-fk4st8qj2k 22 дні тому

    Huyu hatufai tena kwetu Yanga.Alishindwa kutufaa kipindi tuna dhiki.Maana akufaaye kwa dhiki ndiye rafiki wa kweli.

  • @braystuskibassa3842
    @braystuskibassa3842 22 дні тому

    Ndo tatizo letu bongo ujinga mwingi saana kuuza mechi sana Ili baadhi ya timu zibebe ubingwa

  • @chensigns6748
    @chensigns6748 22 дні тому

    Baba levo ongea na huyu muhaho

  • @jumamakonya2665
    @jumamakonya2665 21 день тому

    Mmhhmm......hajitambui huyu.....!

  • @albertvalentino130
    @albertvalentino130 22 дні тому

    Huyo jamaa --- Yanga hatumtaki,hata kama atakuwa tayari kucheza bure --- viongozi wa Yanga,mkimsajili huyo,members na Fan's wote " Tutaandamana kuupinga huo usajili "

  • @andrewmbilinyi4437
    @andrewmbilinyi4437 22 дні тому

    alipisha na gari la mshahara huyo. Yanga HATUNA nafasi yake

  • @mariammbwana9018
    @mariammbwana9018 21 день тому

    Huyo kipa hajielewi

  • @lucymsheshi5871
    @lucymsheshi5871 22 дні тому

    😂😂😂😂 pumbavu kweli hajui kunakesho

  • @kelvinimunishi3334
    @kelvinimunishi3334 22 дні тому +1

    Uyoo akija yanga Mimi nahamia mashujaa

  • @haroubmwenesi7169
    @haroubmwenesi7169 21 день тому

    hapa hakuna mchezaji hata kuongea ajuhi pumba tupu

  • @user-ox4fv4cf5l
    @user-ox4fv4cf5l 22 дні тому

    Hana maana HUYU ni feki sana.

  • @ibrahimmseti
    @ibrahimmseti 22 дні тому

    Huyu hata Bure hatumtaki,Bora Niache kulipia kadi yangu ya Uanachama.Huyu jamaa alituacha wakati mbaya sana,tamaa zikamponza akakimbilia Simba😏😏,Hafai kuja Yanga hata bure

    • @user-nm1jh3dy9n
      @user-nm1jh3dy9n 18 днів тому

      Maslah jmn mbn metacha alitukan tumempokea nyie vp

  • @callicevallice7383
    @callicevallice7383 22 дні тому

    Huyo kijana nidhamu yake ni ndogo.