WONGO ...milion 250 kipindi icho so mia 200...aseme ukweli tu kwamba ilikuwaje akapata mtaji wa kununua hayo mabasi...aache kutu pigisha story za binuasi
Mzee mengine upo sawa mengine unatupa imani2 Kwa sababu kama ulinunua basi1 ukiwa na umri wa miaka19, na hapo baba Yako tayari ana gari ata kama ulikuwa mkwechwe! Kumbe WWE unatokea kwenye family inayojiweza sababu kwenye miaka ya 80_90 familia zilizokuwa zinamiliki gari,pikipiki zilikuwa nifamilia zenye uchumi wa kati Kwa kpndi hicho!
Tatizo watu walio fanikiwa huwa hawapendi kuongea ukweli wanacho kijua ni majigambo. Swala la kufanikiwa halipo kwenye hizo mbinu anazo ziongelea mbunge 🙌🙌 akili mtu wangu 🙂🙂
Safi sana Mungu azidi kukubariki maana utarudisha sehemu ya kipato chako kwa wasio nacho unawashika mkono ili na wao wasogee mbele ni wao tu kuitumia nafasi hiyo adimu tukiwa na Walofanikiwa kama Shabiby wakafanya hayo nchi inasonga mbele
Hiv nyinyi mnaosema mmechanwa na huyu jamaa familia yake mnaijua?hiv kijana wakitanzania mwenye umri wa miaka 19 mnakubali kabisa anaweza kununua bas hivi thaman ya bus mnaijua hahahaaaa mm sio mjinga hvyo unachoombiwa changanya na zako
uwe mwelewa bro, mfano amekwambia alikuwa na mashamba makubwa na mtaji wa trekta na wakati huo bas ilikuwa ml 20,Sasa kwa nn asifanikiwe kwa upambanaji huo, Tafakari bro!!
@@msowamhokole7714 ukiwa huna kitu bado huwezi pewa mkopo wa bus hata siku moja,sote tunajua unakopeshwa kulingana na Mali uliyonayo kama dhamana. Maneno alioongea nimazuri,ilakuna vipengere laazima tujiongeze wasikilizaji!!!
Safi sana Mheshimiwa Shabiby ww ni mzalendo wa Kweli. Unajitahidi sana kuleta maendeleo Kwenye Wilaya ya Gairo hakuna barabara mbovu zote hadi milimani umezitengeza zinapitika majira yote hakika we ni JEMBE!
Huo ni mpango mzuri sana mheshimiwa na wengine waliopo kwenye nafasi za kuwasaidia wengine wapate funzo. Hapo umetenda Kwa vitendo sio Kwa maneno. Asante. Wapi mbunge wangu jamani duh... Simuoni kwenye maono hayo kabisaaaaaa
Sisi tutakuunga mkono kwa kutumia ksmpuni yako kusafiri au kusafirisha na ninakuombea kwa Mungu akuzidishie kila la kheri na akuepushe na mitihani ya kidunia
Wabunge wa majimbo mengine waige mfano wa Shabiby, ili vijana wale wenye nia waweze kuinuka kiuchumi, hongera sana Shabiby kwni umeonyesha mfano mzuri sana.
Acha uongo miaka 19 ulisoma lini na kwamiaka mingapi ulifanyakazi wapi au biashara gani ukapata mamilioni ndio maana viongozi wa nchi yetu mnaonekana wezi tu kwasababu kauli zenu huwa hazina ukweli.
Mungu anaona, mtu unasema ulikuwa unaenda kulima na swalaji, baba ako alikiwa na gari mbovu, ulienda kusoma nairobi. Leo unasema ww ulikuwa maskin? Kvp
Acha kudanganya watu wewe shukuru mungu kakupa ila usidanganye vijana eti ulinunua bus ukiwa na miaka 19 labda uliuza figo,, watu tumejichanga mno ila sio miaka 19
Nahamia jimboni kwako mzee baba ,,,,ambao tunahamia kwenda jimboni kwa huyu mwamba tujuane kwa like👍🏻👍 tutakaa sehemu moja😀💪🙏
Kama.kuna wabunge ambao binafsi nawaombea wazidi kufanikiwa ni Ahmed Shabiby.Mungu akuzidishie Mara elfu 5
WONGO ...milion 250 kipindi icho so mia 200...aseme ukweli tu kwamba ilikuwaje akapata mtaji wa kununua hayo mabasi...aache kutu pigisha story za binuasi
Mashaallah mbunge anae pendwa zaid na wananchi wake yote ni kwakua anaupendo sana na wananchi wake allah akupe umri mrefu Ahmedy shabiby🥰🙏
Huna akili hata chembe huyo ni zurumati fisadi nguli naapa kwa mwenyezi MUNGU ataenda MOTONI
Sawa sawa maneno ya maana na changamoto kwa vijana , Thank you much Ahmed, Riaz hapa Marekani
Shabiby umeongea point sana mwenye kuelewa itamusaidia safi sana boss shabiby.
Shabiby Hoyer safi sana hongera sana Mbunge.!!
Hongera Sana shabiby mungu akuzidishie kheri akujaliye miongoni mwa watu wema
Mzee mengine upo sawa mengine unatupa imani2 Kwa sababu kama ulinunua basi1 ukiwa na umri wa miaka19, na hapo baba Yako tayari ana gari ata kama ulikuwa mkwechwe! Kumbe WWE unatokea kwenye family inayojiweza sababu kwenye miaka ya 80_90 familia zilizokuwa zinamiliki gari,pikipiki zilikuwa nifamilia zenye uchumi wa kati Kwa kpndi hicho!
Tatizo watu walio fanikiwa huwa hawapendi kuongea ukweli wanacho kijua ni majigambo. Swala la kufanikiwa halipo kwenye hizo mbinu anazo ziongelea mbunge 🙌🙌 akili mtu wangu 🙂🙂
Kuna zile red Mercury za kule Gailo mbona haisemi
Duh mh. shabiby katuchana sana humu vijana
Hongera sana Mhe.Shabiby
Upo vzr sn Mh.Sabiby unamalengo mazuri na vijana wako hongera
Hongera Sana mbunge wao ww ni mfano mungu akuzisishie
Asante sana Mh Mbunge
Safi sana Mungu azidi kukubariki maana utarudisha sehemu ya kipato chako kwa wasio nacho unawashika mkono ili na wao wasogee mbele ni wao tu kuitumia nafasi hiyo adimu tukiwa na Walofanikiwa kama Shabiby wakafanya hayo nchi inasonga mbele
Ahsante mzee
Mh hili ni darasa kwa nchi mzima,sio hao tu,kwa kweli dozi imeingia hongera sana kwa shule hii
Nidarasa tosha unakuta jitu unalipa mtaji hata laki tatu linaona mdogo
@@ameenaameena1224 hatari sana!!
Kazi kwenu haya yakuigwa
C.C.M Hoyeee, hongera sana Mh. Shabiby
We nae unaanza kuo gela masuala ya c c cm
Asante Sana Kwa kusema Ukweli
Mungu baba akutunze sana maana umejua kumfurahisha kuwajali wahitaji inapendeza maisha marefu kwako.
Hii ndo sawa unasikiliza motivation speech toka kwa tajiri aliefanikiwa,, achana na porojo za motivational speekers
Uko vzr mungu akutangulie unanyo pambana na wananchi wako. Ila mkubwa vijana wanakukubal mno
Hiv nyinyi mnaosema mmechanwa na huyu jamaa familia yake mnaijua?hiv kijana wakitanzania mwenye umri wa miaka 19 mnakubali kabisa anaweza kununua bas hivi thaman ya bus mnaijua hahahaaaa mm sio mjinga hvyo unachoombiwa changanya na zako
Na baada ya miaka miwili tu yameongezeka kufikia matano.....wakt mda huo ata mtaji haujarudi yy kafika matano
uwe mwelewa bro, mfano amekwambia alikuwa na mashamba makubwa na mtaji wa trekta na wakati huo bas ilikuwa ml 20,Sasa kwa nn asifanikiwe kwa upambanaji huo, Tafakari bro!!
@@davidezri4117 mbona unadanganyika kiwepesi hivyo,,,
Hard TRUTH shabiby...🎉🎉
Safi sana mheshiwa shabibi utajiri hauna elimu hata mbuyu ulinza kama mchicha
Safi Sana,👏👏👏.
Shukran mzee kwakutumotuvate vijana
Hongera sana mheshimiwa, hatuna shaka na utekelezaji👍🏿
Dah hongera kaka kuwatia moyo watu 🙏🙏🙏🙏
Hongera Sana mzee shabiby Mungu akuongezee siku za kuishi kwa upendo wa namba hiyo kwa wananchi wako pia mawazo yako ni k
Daaaa aiseee kweli kabisa bhana
Hongera sana. Hapo kwenye masada umenirudisha primary. Sijui na mifudu, misasati au huko Gairo haipo.
🤣🤣🤣🤣🤣 eti mifudu umenikumbusha hukoooo kwetu wanging'ombeee
Miaka 19 ufanye kazi kwa bidii upate pesa ununue basi labda uuze unga kama hujarisi
Alikopa Basi lake kwa super star bus ndio alio mpa mwaka 91 wewe unakumbuka
@@msowamhokole7714 ukiwa huna kitu bado huwezi pewa mkopo wa bus hata siku moja,sote tunajua unakopeshwa kulingana na Mali uliyonayo kama dhamana.
Maneno alioongea nimazuri,ilakuna vipengere laazima tujiongeze wasikilizaji!!!
@@konshazikonsha6180 hakika...huwezi kupewa mali kama huna mali.
Ni possible mtu wangu
Kiongozi bora wa jimbo langu kiukweli umekuwa msada sana kwa jamii yako Mungu azidi kukupa Afya njema na mafanikio zaidi.
Safi sana Mheshimiwa Shabiby ww ni mzalendo wa Kweli. Unajitahidi sana kuleta maendeleo Kwenye Wilaya ya Gairo hakuna barabara mbovu zote hadi milimani umezitengeza zinapitika majira yote hakika we ni JEMBE!
Hongera sana mh shabby mitano tena
Mashallah mashallah maneno mazuriii sana
Sav Sana mweshimiwa shabb
Huo ni mpango mzuri sana mheshimiwa na wengine waliopo kwenye nafasi za kuwasaidia wengine wapate funzo. Hapo umetenda Kwa vitendo sio Kwa maneno. Asante. Wapi mbunge wangu jamani duh... Simuoni kwenye maono hayo kabisaaaaaa
Mzee umeongea point sana duuh nimeiludia mara tatu😂😂😂🤣🤣
Mashaallah umeongea vizuri, I will be back..!!!
Great brain hyo wajanja tumekusoma vzr
Sisi tutakuunga mkono kwa kutumia ksmpuni yako kusafiri au kusafirisha na ninakuombea kwa Mungu akuzidishie kila la kheri na akuepushe na mitihani ya kidunia
Wabunge wa majimbo mengine waige mfano wa Shabiby, ili vijana wale wenye nia waweze kuinuka kiuchumi, hongera sana Shabiby kwni umeonyesha mfano mzuri sana.
Ujumbe mzur sana Hemed unawaasa vijana wanaobweteka
Big up mhe mbunge
Hongeraa muheshimiwa
Kwa familia za kitanzania sina uwakika.. Sema matajiri Siku zote Huwa awaongeii ukweli Moja Kwa Moja
Naitwa Bahati mwiyombo wa iyogwe kwa sasa nipo Dodoma asante mafundisho mazuri munge wangu cku ukifika Dodoma nitafute
🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪
Ely Tozy
Yaan Mh, akifika Dodoma akutafute wew?😁😁
Bro una umwamba ni mzito yani mkuu akutafute kweli? 😂😂😂😂
Sawaa kabisa mheshimwa huko kitungu vipi
Elimu ulio itoa juu ya suala la utajili ni funzo Tisha kweli wewe ni mzalendo hongera mkuu
Inspired
vijana waache siasa za omba omba katika siasa
Asanteni sanaa
Motivation
Bidii sawa lkini katka safari ya manikio kuna siri nyingi sana
Exactly
Yeah ofcourse 😎
Duuuuu hii kali,,,,,,! Hii ni speech bora ya muda wote.
Shabiby is hustler big time
Great news
Nikweli kabisa utajili ni usubutu kujituma na kutokata tamaa tufanyie kazi 🏌️
Great leaders inspires their followers
Miaka 19 Mh. ulikuwa na biashara gani ili na sisi tuwasaidie vijana wetu wajiajili?
Daah nalo nenoo
Mm mwenyewe hapa pananikwaza maana miaka 19 pesa kapata muda gani shule kasoma muda gani hii hapana bhana
Shabby umetisha baba
Kila kitu mipango ya mungu sio uhodar
Hongera San kumiliki basi na miaka 19 so mchezo ulikuwa na bidii sana
Allah amfanyie wepesi
Inspiration ya maana sana
Mzee unasema ukweri mungu akusadie
Goloko gweyee kunikumbusha katali mboga setu ikolobwe na fushe khaaaaaa
Uko vizuri saana Mh, Shabibi 💪
Wabunge wote igeni mfano wa shabib hakika kwa mtazazo na maono yake anafaa kupewa dhamana kubwa zaidi ya kiutawala
Kwa vijana wakitanzania! Umeliwa mzee. Wasaidie tu upunguze mapipa yako ya hela
Kama watatoka basi ni asilimia moja!
Respect
Niko nyumbani Leo nawapata vizur mno
umeongea vizuri
Dah! yaani miaka 21 Basi 5 duh! hiyo safi🤫🤫
nikweri kabx mzeee
Mbon hpo sjkuelewa miak 19 basi1 na 21 mabas matano...haiwezkani kuna chanzo chengin cha pesa sio basi lamwanzo.....umerithi bwaaanaaa
Wewe ndio nakuangaliaga Mheshimiwa Shabiby wewe ndio mwalimu wangu naangalizia kwake
Unajua tajiri wengi huwa wanasema mm nilikua nauza karanga nauza mihogo hakuna atakaye sema ukweli hata moja wanasiri nzito
Safi San mkuu mm nachukua hatua mwezi huu asntee kwa wazolako
Fact
Jaman nimejifunza kitu
Kweli bro maisha nikupambani tu no way out
Kweli maisha ni juhudi na sio janja janja na Mimi naliamini hili
HIVI WABUNGE WOTE WAKIWA KAMA SHABIBY TANANIA ITAKUAJE 2030?
Nakuelewaga sana mubunge wa nchi🇹🇿
Acha uongo miaka 19 ulisoma lini na kwamiaka mingapi ulifanyakazi wapi au biashara gani ukapata mamilioni ndio maana viongozi wa nchi yetu mnaonekana wezi tu kwasababu kauli zenu huwa hazina ukweli.
Mungu anaona, mtu unasema ulikuwa unaenda kulima na swalaji, baba ako alikiwa na gari mbovu, ulienda kusoma nairobi. Leo unasema ww ulikuwa maskin? Kvp
ASANTE KWA KUMWAGA MADINI YA UFAHAMU KWA WENYE AKILI, WAPUMBAVU HAPO UNAPOTEZA MDA, HONGERA SANA....VIJANA TOKENI KTK MAWAZO MGANDO...
Mbunge wetu nolo wa bahi unaona hiyo...saidieni kwa mtindo huo..
Millard apo kwenye gwanda umefinya saut ila tumeelewa
Ukweli usio pingika, Sante kwa elimu hii.
Pokea utajiri Kwa jina la shabibi
nakubali sna,, siend tena kutafuta chuma ulete
ASANTE HATA KAMA NIKO DAR ES SALAAM, NIMEFURAHI, VIJANA INUKENI HARAKAAAAAAAAAA....
Acha kudanganya watu wewe shukuru mungu kakupa ila usidanganye vijana eti ulinunua bus ukiwa na miaka 19 labda uliuza figo,, watu tumejichanga mno ila sio miaka 19
Teh teh teh,,,elimu yote hiyo hujaamini tu ndugu yangu..
Hongera kwa maendleo mazuri katika jimbo la gairo pamoja na kata zake zote
Kweli baba
Mbunge bora Tanzania
Shabibi unafaa kuwa mhubiri uponye akili za walio sinzia hayo ndio maisha sio kuong'opeana sijui nitawaletea maji sijui nini nk Safi kaka
Kwani wahubiri tu ndo wanaongeaga point kwahyo we humuelewi mpaka awe mhubir?