MBUNGE SHABIBY AFUNGUKA "NILINUNUA BASI LA KWANZA NIKIWA NA MIAKA 19"

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 18 гру 2022

КОМЕНТАРІ • 243

  • @theoneartist6327
    @theoneartist6327 Рік тому +5

    Nahamia jimboni kwako mzee baba ,,,,ambao tunahamia kwenda jimboni kwa huyu mwamba tujuane kwa like👍🏻👍 tutakaa sehemu moja😀💪🙏

  • @morrispeter239
    @morrispeter239 Рік тому +12

    Kama.kuna wabunge ambao binafsi nawaombea wazidi kufanikiwa ni Ahmed Shabiby.Mungu akuzidishie Mara elfu 5

  • @MD-sz5ti
    @MD-sz5ti Рік тому +6

    WONGO ...milion 250 kipindi icho so mia 200...aseme ukweli tu kwamba ilikuwaje akapata mtaji wa kununua hayo mabasi...aache kutu pigisha story za binuasi

  • @fatimasalim597
    @fatimasalim597 Рік тому +5

    Mashaallah mbunge anae pendwa zaid na wananchi wake yote ni kwakua anaupendo sana na wananchi wake allah akupe umri mrefu Ahmedy shabiby🥰🙏

    • @shinipapaya846
      @shinipapaya846 Рік тому +1

      Huna akili hata chembe huyo ni zurumati fisadi nguli naapa kwa mwenyezi MUNGU ataenda MOTONI

  • @riazshaikh8577
    @riazshaikh8577 3 місяці тому

    Sawa sawa maneno ya maana na changamoto kwa vijana , Thank you much Ahmed, Riaz hapa Marekani

  • @danielmwamahonje9852
    @danielmwamahonje9852 Рік тому +8

    Shabiby umeongea point sana mwenye kuelewa itamusaidia safi sana boss shabiby.

  • @nevershymagava6940
    @nevershymagava6940 Рік тому +3

    Shabiby Hoyer safi sana hongera sana Mbunge.!!

  • @fauziajuma923
    @fauziajuma923 Рік тому

    Hongera Sana shabiby mungu akuzidishie kheri akujaliye miongoni mwa watu wema

  • @didasseveline9013
    @didasseveline9013 Рік тому +6

    Mzee mengine upo sawa mengine unatupa imani2 Kwa sababu kama ulinunua basi1 ukiwa na umri wa miaka19, na hapo baba Yako tayari ana gari ata kama ulikuwa mkwechwe! Kumbe WWE unatokea kwenye family inayojiweza sababu kwenye miaka ya 80_90 familia zilizokuwa zinamiliki gari,pikipiki zilikuwa nifamilia zenye uchumi wa kati Kwa kpndi hicho!

  • @mwigakatumpula5695
    @mwigakatumpula5695 Рік тому +13

    Tatizo watu walio fanikiwa huwa hawapendi kuongea ukweli wanacho kijua ni majigambo. Swala la kufanikiwa halipo kwenye hizo mbinu anazo ziongelea mbunge 🙌🙌 akili mtu wangu 🙂🙂

    • @benyavan5774
      @benyavan5774 Рік тому +4

      Kuna zile red Mercury za kule Gailo mbona haisemi

  • @erickdioniz8277
    @erickdioniz8277 Рік тому +7

    Duh mh. shabiby katuchana sana humu vijana

  • @Afya-Break
    @Afya-Break Рік тому +3

    Hongera sana Mhe.Shabiby

  • @stanslausmteme8455
    @stanslausmteme8455 Рік тому

    Upo vzr sn Mh.Sabiby unamalengo mazuri na vijana wako hongera

  • @zaidihussein4311
    @zaidihussein4311 Рік тому

    Hongera Sana mbunge wao ww ni mfano mungu akuzisishie

  • @ikulunimahalipatakatifu7642
    @ikulunimahalipatakatifu7642 Рік тому +1

    Asante sana Mh Mbunge

  • @cvanoedward3093
    @cvanoedward3093 Рік тому

    Safi sana Mungu azidi kukubariki maana utarudisha sehemu ya kipato chako kwa wasio nacho unawashika mkono ili na wao wasogee mbele ni wao tu kuitumia nafasi hiyo adimu tukiwa na Walofanikiwa kama Shabiby wakafanya hayo nchi inasonga mbele

  • @godfreymasondaabel1904
    @godfreymasondaabel1904 Рік тому +4

    Ahsante mzee

  • @emmanuelmasanja6040
    @emmanuelmasanja6040 Рік тому +7

    Mh hili ni darasa kwa nchi mzima,sio hao tu,kwa kweli dozi imeingia hongera sana kwa shule hii

  • @taifaonlinetv.3670
    @taifaonlinetv.3670 Рік тому +3

    C.C.M Hoyeee, hongera sana Mh. Shabiby

  • @michaelmwedimage5515
    @michaelmwedimage5515 Рік тому +2

    Asante Sana Kwa kusema Ukweli

  • @upendohalisi5763
    @upendohalisi5763 Рік тому

    Mungu baba akutunze sana maana umejua kumfurahisha kuwajali wahitaji inapendeza maisha marefu kwako.

  • @benardmwakilasa3969
    @benardmwakilasa3969 Місяць тому

    Hii ndo sawa unasikiliza motivation speech toka kwa tajiri aliefanikiwa,, achana na porojo za motivational speekers

  • @leonardrevelian4733
    @leonardrevelian4733 Рік тому +1

    Uko vzr mungu akutangulie unanyo pambana na wananchi wako. Ila mkubwa vijana wanakukubal mno

  • @manenoramadhan1432
    @manenoramadhan1432 Рік тому +7

    Hiv nyinyi mnaosema mmechanwa na huyu jamaa familia yake mnaijua?hiv kijana wakitanzania mwenye umri wa miaka 19 mnakubali kabisa anaweza kununua bas hivi thaman ya bus mnaijua hahahaaaa mm sio mjinga hvyo unachoombiwa changanya na zako

    • @abdulrahmanmohammed4449
      @abdulrahmanmohammed4449 Рік тому +1

      Na baada ya miaka miwili tu yameongezeka kufikia matano.....wakt mda huo ata mtaji haujarudi yy kafika matano

    • @davidezri4117
      @davidezri4117 Рік тому +1

      uwe mwelewa bro, mfano amekwambia alikuwa na mashamba makubwa na mtaji wa trekta na wakati huo bas ilikuwa ml 20,Sasa kwa nn asifanikiwe kwa upambanaji huo, Tafakari bro!!

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 Рік тому +1

      @@davidezri4117 mbona unadanganyika kiwepesi hivyo,,,

  • @user-bu9wj5pi3t
    @user-bu9wj5pi3t 21 день тому

    Hard TRUTH shabiby...🎉🎉

  • @kelvinimasagasi7398
    @kelvinimasagasi7398 Рік тому +1

    Safi sana mheshiwa shabibi utajiri hauna elimu hata mbuyu ulinza kama mchicha

  • @aishaamwalimu2887
    @aishaamwalimu2887 Рік тому +1

    Safi Sana,👏👏👏.

  • @emmanuelmgwasi2296
    @emmanuelmgwasi2296 Рік тому

    Shukran mzee kwakutumotuvate vijana

  • @nicetasndekubali7105
    @nicetasndekubali7105 Рік тому +2

    Hongera sana mheshimiwa, hatuna shaka na utekelezaji👍🏿

  • @zakaliajoseph7705
    @zakaliajoseph7705 Рік тому

    Dah hongera kaka kuwatia moyo watu 🙏🙏🙏🙏

  • @williambranham6341
    @williambranham6341 Рік тому +3

    Hongera Sana mzee shabiby Mungu akuongezee siku za kuishi kwa upendo wa namba hiyo kwa wananchi wako pia mawazo yako ni k

  • @petromkana8172
    @petromkana8172 Рік тому +1

    Daaaa aiseee kweli kabisa bhana

  • @sadockchengula5542
    @sadockchengula5542 Рік тому +1

    Hongera sana. Hapo kwenye masada umenirudisha primary. Sijui na mifudu, misasati au huko Gairo haipo.

    • @frankhoffa8356
      @frankhoffa8356 Рік тому

      🤣🤣🤣🤣🤣 eti mifudu umenikumbusha hukoooo kwetu wanging'ombeee

  • @murattywamuratty9778
    @murattywamuratty9778 Рік тому +5

    Miaka 19 ufanye kazi kwa bidii upate pesa ununue basi labda uuze unga kama hujarisi

    • @msowamhokole7714
      @msowamhokole7714 Рік тому

      Alikopa Basi lake kwa super star bus ndio alio mpa mwaka 91 wewe unakumbuka

    • @konshazikonsha6180
      @konshazikonsha6180 Рік тому

      @@msowamhokole7714 ukiwa huna kitu bado huwezi pewa mkopo wa bus hata siku moja,sote tunajua unakopeshwa kulingana na Mali uliyonayo kama dhamana.
      Maneno alioongea nimazuri,ilakuna vipengere laazima tujiongeze wasikilizaji!!!

    • @murattywamuratty9778
      @murattywamuratty9778 Рік тому +1

      @@konshazikonsha6180 hakika...huwezi kupewa mali kama huna mali.

    • @samifxwingspipstherapist6098
      @samifxwingspipstherapist6098 Рік тому

      Ni possible mtu wangu

  • @francemaranda3206
    @francemaranda3206 Рік тому

    Kiongozi bora wa jimbo langu kiukweli umekuwa msada sana kwa jamii yako Mungu azidi kukupa Afya njema na mafanikio zaidi.

  • @mhandodanny4256
    @mhandodanny4256 Рік тому +1

    Safi sana Mheshimiwa Shabiby ww ni mzalendo wa Kweli. Unajitahidi sana kuleta maendeleo Kwenye Wilaya ya Gairo hakuna barabara mbovu zote hadi milimani umezitengeza zinapitika majira yote hakika we ni JEMBE!

  • @jescajovin9257
    @jescajovin9257 Рік тому

    Hongera sana mh shabby mitano tena

  • @chidrashid3797
    @chidrashid3797 Рік тому

    Mashallah mashallah maneno mazuriii sana

  • @juliusmoivana9844
    @juliusmoivana9844 Рік тому +1

    Sav Sana mweshimiwa shabb

  • @sundayharris8549
    @sundayharris8549 Рік тому

    Huo ni mpango mzuri sana mheshimiwa na wengine waliopo kwenye nafasi za kuwasaidia wengine wapate funzo. Hapo umetenda Kwa vitendo sio Kwa maneno. Asante. Wapi mbunge wangu jamani duh... Simuoni kwenye maono hayo kabisaaaaaa

  • @vincentauxerbius7554
    @vincentauxerbius7554 Рік тому +2

    Mzee umeongea point sana duuh nimeiludia mara tatu😂😂😂🤣🤣

  • @ShabiruMsabaha-fm3bg
    @ShabiruMsabaha-fm3bg Рік тому

    Mashaallah umeongea vizuri, I will be back..!!!

  • @alexanderdustan8872
    @alexanderdustan8872 Рік тому

    Great brain hyo wajanja tumekusoma vzr

  • @mujahidmark9116
    @mujahidmark9116 Рік тому +3

    Sisi tutakuunga mkono kwa kutumia ksmpuni yako kusafiri au kusafirisha na ninakuombea kwa Mungu akuzidishie kila la kheri na akuepushe na mitihani ya kidunia

    • @florianmalle-xr1ob
      @florianmalle-xr1ob Рік тому

      Wabunge wa majimbo mengine waige mfano wa Shabiby, ili vijana wale wenye nia waweze kuinuka kiuchumi, hongera sana Shabiby kwni umeonyesha mfano mzuri sana.

  • @jastinlihawa4654
    @jastinlihawa4654 Рік тому

    Ujumbe mzur sana Hemed unawaasa vijana wanaobweteka

  • @racheljacksoneliudimassawe218

    Big up mhe mbunge

  • @EunikeChifuka
    @EunikeChifuka 3 місяці тому

    Hongeraa muheshimiwa

  • @notickasimchimba7310
    @notickasimchimba7310 Рік тому +1

    Kwa familia za kitanzania sina uwakika.. Sema matajiri Siku zote Huwa awaongeii ukweli Moja Kwa Moja

  • @ellytozy2216
    @ellytozy2216 Рік тому +4

    Naitwa Bahati mwiyombo wa iyogwe kwa sasa nipo Dodoma asante mafundisho mazuri munge wangu cku ukifika Dodoma nitafute

    • @songweairport7602
      @songweairport7602 Рік тому

      🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪

    • @fanuelsulle8144
      @fanuelsulle8144 Рік тому

      Ely Tozy
      Yaan Mh, akifika Dodoma akutafute wew?😁😁

    • @amiriramadhan7753
      @amiriramadhan7753 Рік тому

      Bro una umwamba ni mzito yani mkuu akutafute kweli? 😂😂😂😂

  • @issahassani9293
    @issahassani9293 Рік тому +2

    Sawaa kabisa mheshimwa huko kitungu vipi

  • @robertmwamengo5167
    @robertmwamengo5167 Рік тому

    Elimu ulio itoa juu ya suala la utajili ni funzo Tisha kweli wewe ni mzalendo hongera mkuu

  • @evalinemao4003
    @evalinemao4003 Рік тому

    Inspired

  • @yordanyona1234
    @yordanyona1234 Рік тому +3

    vijana waache siasa za omba omba katika siasa

  • @irakazaeriekim4753
    @irakazaeriekim4753 Рік тому

    Asanteni sanaa

  • @pound_tz7248
    @pound_tz7248 Рік тому +1

    Motivation

  • @avilanicholaus6602
    @avilanicholaus6602 Рік тому +3

    Bidii sawa lkini katka safari ya manikio kuna siri nyingi sana

  • @user-zd5pc5nc9c
    @user-zd5pc5nc9c 5 місяців тому

    Duuuuu hii kali,,,,,,! Hii ni speech bora ya muda wote.

  • @mohamedrobleh9105
    @mohamedrobleh9105 Рік тому

    Shabiby is hustler big time

  • @Silyvesta
    @Silyvesta Рік тому

    Great news

  • @rehemayona2223
    @rehemayona2223 Рік тому

    Nikweli kabisa utajili ni usubutu kujituma na kutokata tamaa tufanyie kazi 🏌️

  • @mahwabashiri5467
    @mahwabashiri5467 Рік тому +9

    Great leaders inspires their followers

  • @josephkulija293
    @josephkulija293 Рік тому +10

    Miaka 19 Mh. ulikuwa na biashara gani ili na sisi tuwasaidie vijana wetu wajiajili?

    • @mbagaherbal4796
      @mbagaherbal4796 Рік тому +1

      Daah nalo nenoo

    • @mohammedikingazi5109
      @mohammedikingazi5109 Рік тому +2

      Mm mwenyewe hapa pananikwaza maana miaka 19 pesa kapata muda gani shule kasoma muda gani hii hapana bhana

  • @EliyaGwaydesh
    @EliyaGwaydesh Місяць тому

    Shabby umetisha baba

  • @user-rx5jx5wt3t
    @user-rx5jx5wt3t Рік тому +1

    Kila kitu mipango ya mungu sio uhodar

  • @yusramadodo8269
    @yusramadodo8269 Рік тому

    Hongera San kumiliki basi na miaka 19 so mchezo ulikuwa na bidii sana

  • @hawa6052
    @hawa6052 Рік тому

    Allah amfanyie wepesi

  • @benjaminmasasi6892
    @benjaminmasasi6892 Рік тому

    Inspiration ya maana sana

  • @alpheomwashiuya198
    @alpheomwashiuya198 Рік тому

    Mzee unasema ukweri mungu akusadie

  • @filbertcarlos2946
    @filbertcarlos2946 Рік тому +2

    Goloko gweyee kunikumbusha katali mboga setu ikolobwe na fushe khaaaaaa

  • @mselematrans3474
    @mselematrans3474 Рік тому +1

    Uko vizuri saana Mh, Shabibi 💪

  • @mujahidmark9116
    @mujahidmark9116 Рік тому +1

    Wabunge wote igeni mfano wa shabib hakika kwa mtazazo na maono yake anafaa kupewa dhamana kubwa zaidi ya kiutawala

  • @ezekielmabwai482
    @ezekielmabwai482 Рік тому

    Kwa vijana wakitanzania! Umeliwa mzee. Wasaidie tu upunguze mapipa yako ya hela
    Kama watatoka basi ni asilimia moja!

  • @dominicfrancis4073
    @dominicfrancis4073 Рік тому

    Respect

  • @ameenaameena1224
    @ameenaameena1224 Рік тому +1

    Niko nyumbani Leo nawapata vizur mno

  • @hamisipolenisanaissa8859
    @hamisipolenisanaissa8859 Рік тому

    umeongea vizuri

  • @alhajibsaidi2049
    @alhajibsaidi2049 Рік тому +1

    Dah! yaani miaka 21 Basi 5 duh! hiyo safi🤫🤫

  • @jumannerajabu8259
    @jumannerajabu8259 Рік тому +1

    nikweri kabx mzeee

  • @abdulrahmanmohammed4449
    @abdulrahmanmohammed4449 Рік тому +2

    Mbon hpo sjkuelewa miak 19 basi1 na 21 mabas matano...haiwezkani kuna chanzo chengin cha pesa sio basi lamwanzo.....umerithi bwaaanaaa

  • @wailesmsongole1914
    @wailesmsongole1914 Рік тому

    Wewe ndio nakuangaliaga Mheshimiwa Shabiby wewe ndio mwalimu wangu naangalizia kwake

  • @ahamadially8351
    @ahamadially8351 Рік тому +1

    Unajua tajiri wengi huwa wanasema mm nilikua nauza karanga nauza mihogo hakuna atakaye sema ukweli hata moja wanasiri nzito

  • @omaryyahaya2116
    @omaryyahaya2116 Рік тому

    Safi San mkuu mm nachukua hatua mwezi huu asntee kwa wazolako

  • @godfreysammy1716
    @godfreysammy1716 Рік тому

    Fact

  • @ameenaameena1224
    @ameenaameena1224 Рік тому +1

    Jaman nimejifunza kitu

  • @AbedShabani-ne9zh
    @AbedShabani-ne9zh Рік тому

    Kweli bro maisha nikupambani tu no way out

  • @amanimanase8798
    @amanimanase8798 Рік тому +2

    Kweli maisha ni juhudi na sio janja janja na Mimi naliamini hili

  • @maxmilian2511
    @maxmilian2511 Рік тому +2

    HIVI WABUNGE WOTE WAKIWA KAMA SHABIBY TANANIA ITAKUAJE 2030?

  • @obadiahnkwale124
    @obadiahnkwale124 Рік тому +1

    Nakuelewaga sana mubunge wa nchi🇹🇿

  • @yassinkimolo2943
    @yassinkimolo2943 Місяць тому

    Acha uongo miaka 19 ulisoma lini na kwamiaka mingapi ulifanyakazi wapi au biashara gani ukapata mamilioni ndio maana viongozi wa nchi yetu mnaonekana wezi tu kwasababu kauli zenu huwa hazina ukweli.

  • @user-wj6zj1ly4e
    @user-wj6zj1ly4e 3 місяці тому

    Mungu anaona, mtu unasema ulikuwa unaenda kulima na swalaji, baba ako alikiwa na gari mbovu, ulienda kusoma nairobi. Leo unasema ww ulikuwa maskin? Kvp

  • @mathayomwashambwa1238
    @mathayomwashambwa1238 Рік тому +1

    ASANTE KWA KUMWAGA MADINI YA UFAHAMU KWA WENYE AKILI, WAPUMBAVU HAPO UNAPOTEZA MDA, HONGERA SANA....VIJANA TOKENI KTK MAWAZO MGANDO...

  • @isackyohana2707
    @isackyohana2707 Рік тому +1

    Mbunge wetu nolo wa bahi unaona hiyo...saidieni kwa mtindo huo..

  • @joshuanyanda6880
    @joshuanyanda6880 Рік тому +2

    Millard apo kwenye gwanda umefinya saut ila tumeelewa

  • @safhe-mpungi6075
    @safhe-mpungi6075 Рік тому +1

    Ukweli usio pingika, Sante kwa elimu hii.

  • @salumjumaruhaga2513
    @salumjumaruhaga2513 Рік тому +2

    Pokea utajiri Kwa jina la shabibi

  • @fredrickchisanyo6663
    @fredrickchisanyo6663 Рік тому

    nakubali sna,, siend tena kutafuta chuma ulete

  • @mathayomwashambwa1238
    @mathayomwashambwa1238 Рік тому +1

    ASANTE HATA KAMA NIKO DAR ES SALAAM, NIMEFURAHI, VIJANA INUKENI HARAKAAAAAAAAAA....

  • @philipombwambo6345
    @philipombwambo6345 Рік тому +5

    Acha kudanganya watu wewe shukuru mungu kakupa ila usidanganye vijana eti ulinunua bus ukiwa na miaka 19 labda uliuza figo,, watu tumejichanga mno ila sio miaka 19

    • @isackyohana2707
      @isackyohana2707 Рік тому

      Teh teh teh,,,elimu yote hiyo hujaamini tu ndugu yangu..

    • @ellytozy2216
      @ellytozy2216 Рік тому

      Hongera kwa maendleo mazuri katika jimbo la gairo pamoja na kata zake zote

  • @user-mp4lf4ji8k
    @user-mp4lf4ji8k Рік тому

    Kweli baba

  • @deokessy6596
    @deokessy6596 Рік тому

    Mbunge bora Tanzania

  • @agustinohizza1395
    @agustinohizza1395 Рік тому +2

    Shabibi unafaa kuwa mhubiri uponye akili za walio sinzia hayo ndio maisha sio kuong'opeana sijui nitawaletea maji sijui nini nk Safi kaka

    • @jafarimruke9111
      @jafarimruke9111 Рік тому

      Kwani wahubiri tu ndo wanaongeaga point kwahyo we humuelewi mpaka awe mhubir?