Musukuma aweka wazi utajiri wake, Ndege, VXR, na MIJENGO anayomiliki; ajibu wanaosema amehongwa V8

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 8 чер 2023
  • Mbunge wa Geita Vijijini (CCM) Joseph Musukuma akieleza utajiri alionao wakati akiwajibu wanaosema kwamba amehongwa gari aina ya V8 ili atetee sakata uwekezaji kwenye Bandari.

КОМЕНТАРІ • 415

  • @khalidballeth5957
    @khalidballeth5957 Рік тому +24

    msukuma ni mfanyabiashara mkongwe wa DHAHABU tangia miaka ya 80,,,,,ni mtu mwenye utajiri Long time na wala sio mtu wakujiskia saana ni mtu simpo saana pia ni mtu wa watu,,,,,ana real eastate kanda ya ziwa bab kubwa..pia ana kamuni za transport na etc

  • @twiseghekisilu8845
    @twiseghekisilu8845 Рік тому +11

    Msukuma shikamoo!! nakupenda toka rohoni Mungu akulinde baba yetu

  • @PauloPetro-nv6pi
    @PauloPetro-nv6pi 7 місяців тому +6

    Hongeraa sanaaa MUNGU akufanikishe katika mambo yote

  • @rosechuwa9493
    @rosechuwa9493 Рік тому +19

    Huyu mwamba namkubali sana, msukuma mungu akubariki sana wewe ni hazina muhimu sana hapa Tanzania

    • @ramadhanihamisi9393
      @ramadhanihamisi9393 10 місяців тому +1

      Wananchi was geita mnakila sababu ya kujivunia kwa mbunge mlie nae ni jembe msukuma namkubali Sana akisimama bungeni utafurahi mungu akulinde na Kila baya

    • @AndrewMasaga
      @AndrewMasaga 10 місяців тому

      Hakuna lolote tunataka ndege yetu

  • @user-mj1hq3fn1m
    @user-mj1hq3fn1m 9 місяців тому +3

    Shukran msukuma swali umefanya wema mzuri sana na je wewe ni mwislam au mkristo maana naona unapendeza sana

  • @Sharifarajabudebe
    @Sharifarajabudebe 11 місяців тому +5

    Mashaallah watu heshimu msio wajua ache dharau

  • @kelvinimasagasi7398
    @kelvinimasagasi7398 Рік тому +5

    King msukuma Ly umeuwa huo ndio ukweli Mungu akubarik %100

  • @josephatmtweve6534
    @josephatmtweve6534 7 місяців тому +4

    Msukuma uko vizuri Sana kaka naomba nmawasiliano yako kaka

  • @withomsigala4389
    @withomsigala4389 11 місяців тому +2

    Hongera sana kwa majukumu ya kazi ya kuwatetea wanyonge Mheshimiwa Mbunge Msukuma

  • @aidatimakunda387
    @aidatimakunda387 Рік тому +2

    Kwa kweli Big up MP. Msukuma

  • @josephatmtweve6534
    @josephatmtweve6534 7 місяців тому +3

    Naomba mawasiliani yako mheshimiwa uko vizuri Sana kimtazamo

  • @JohnSteven-ox3pv
    @JohnSteven-ox3pv 2 місяці тому +1

    Dah.. doctor msukuma me nakuomba uje ugombee uraisi maana asaiv c.v unayo ya usomi so nakuona mbali sana ndg yangu ❤❤❤ tunataka uje kua raisi wetu bhn....

  • @mosesbaruti306
    @mosesbaruti306 2 місяці тому +1

    Ninachukia sana kutoka moyoni Nchi yetu na Watanzania kuitwa masini,Namuombea Mungu ampe mama yetu Rais wetu Samia Suluhu Hassani ujasiri wa maamuzi mazito.

  • @robertpaul7714
    @robertpaul7714 Рік тому +8

    Nilichokiona humu watu mna makasiriko sana tafteni hela acheni kelele mtabakia kutoa comments za kutukana bure tu hii nchi usijifanye unaijua sana we kua mzalendo tu pia fanya kazi kwa bidii 💴💸

  • @metusalnganga1002
    @metusalnganga1002 Рік тому +6

    Msukuma Big up🎉🎉🎉🎉

  • @abdulhamis9825
    @abdulhamis9825 3 місяці тому +1

    Nchi Hii Wasomi Ndio Kikwazo Hongera Sana Dr.Msukuma

  • @ShekiyaoHussein-ki4ty
    @ShekiyaoHussein-ki4ty 11 місяців тому +3

    Msukuma uko vizuri umewapigilia msumari wa moto

  • @gloryjacson
    @gloryjacson 7 місяців тому +2

    Hongera brother unamalengo mazuri sana umefika pazuri sana mbunge tajiri

  • @stanleymhozi7590
    @stanleymhozi7590 9 місяців тому +3

    Hongera baba mungu akubariki sana umeaso sana

  • @wachachesana
    @wachachesana Рік тому +2

    Nakubali sana mbunge wangu vijijini geita

  • @praygodmunisi8999
    @praygodmunisi8999 Рік тому +17

    😂aliye mchokoza msukuma kazi anayo,, Siyo Kwa michambo hiyo😂😂

  • @user-yk5gm5qj4u
    @user-yk5gm5qj4u 3 місяці тому +3

    Hongera kaka uko vzr kiukweli huna shida

  • @meroymollel9156
    @meroymollel9156 Рік тому +1

    Hongera sana Mh. msukuma

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ Рік тому +4

    Kazi kazi , Jembe kama Jembe

  • @Zubaiba
    @Zubaiba Місяць тому +1

    Mungu akubariki mbunge msukuma, nakupenda sana ❤

  • @farajamwakifuna303
    @farajamwakifuna303 3 місяці тому +3

    Respect sana Mheshimiwa

  • @mambotv1233
    @mambotv1233 Рік тому +2

    Hongera sana msukuma

  • @patriceomolo232
    @patriceomolo232 Місяць тому

    Asante sana msukuma you are a good man. May God bless you and provide for you long life. You speak the truth

  • @musasaguti4760
    @musasaguti4760 4 місяці тому +2

    Musukuma uko vizuri, huna baya mdogo wangu

  • @zabrongermanus-co1jj
    @zabrongermanus-co1jj Рік тому +5

    Sema umeongea sana facts your the best

  • @abadharkhamis5909
    @abadharkhamis5909 Рік тому +2

    Mskuma umetisha sana

  • @EdithaMgoha-jy7ev
    @EdithaMgoha-jy7ev 7 місяців тому +2

    Mungu akujalie Baba wa wetu achana na maneno ya wakosaji

  • @winnerkondejunior1890
    @winnerkondejunior1890 6 місяців тому +1

    MH Musukuma myooshe. From Mozambique

  • @SashaOscar
    @SashaOscar 3 місяці тому

    Nampenda xana msukuma, Mungu ampe maisha marefu

  • @LukasiJeremiah
    @LukasiJeremiah 2 місяці тому +1

    Hongera bro uraisi unakufaa chukua fomu ya mgombea

  • @hafidhbarau9981
    @hafidhbarau9981 Рік тому +7

    Mungu akubariki brother, mungu akulinde na maadui wako, mungu azibariki Mali zako, mungu akupe moyo wa huruma na upendo uwe na moyo wa kuwasaidia wasiojiweza pamoja na wananchi wako,

  • @mariamusaulo4429
    @mariamusaulo4429 Рік тому +3

    Big up msukuma

  • @salminasalim5630
    @salminasalim5630 10 місяців тому +1

    Mheshimiwa Dr. Tafadhali njoo kwetu Umfundishe mbunge wa Bukoba vijijini asaidie wananchi wake hata maji hakuna watu wanakunywa maji yanayo nyweshea Ng'ombe na wakati wa kuomba........

  • @mariakibwana3700
    @mariakibwana3700 Рік тому +2

    Msukuma hongera sana,naomba ninunulie japo IST niendee Kanisani, sio kwa utajiri huo.

    • @emmanuelmauki2938
      @emmanuelmauki2938 Рік тому

      🤣🤣🤣

    • @mariakibwana3700
      @mariakibwana3700 Рік тому

      @@emmanuelmauki2938 Emmanuel nimechoka kutembea na boda wakati wengine wanautajiri wote huo.Msukuma anielewe tu.Yaaani IST tu na Mungu atazidi kumbariki.

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 8 місяців тому +2

    Hongera sana ndugu

  • @daudifungo5521
    @daudifungo5521 Місяць тому

    Sana Mzee Baba Kazi Iendelee Umetisha Sana
    Waache Majungu Watafute Pesa

  • @user-px6px4tf2g
    @user-px6px4tf2g 8 місяців тому +2

    Mungu akulinde na maaadui uishi miaka ming

  • @SaimonKazimoto-xt1zo
    @SaimonKazimoto-xt1zo Рік тому +2

    Safi m'bunge ayo ndo mambo tunayo yataka bandari ya kisasa sio maneno ya kuku kashifu mti wenye matunda ndo unaopigwa mawe

  • @user-wb5pk9km5o
    @user-wb5pk9km5o 7 місяців тому +2

    Ni kweli uliniuzia simu mbovu Ta nga ugomvi ulimalizwa na Mfanya biashara mmoja wa kiasia aliyerudisha pesa zangu na kunisihi nimwachie simu take ugomvi ukaishia hapo kumbe ni home boy wangu Swagger wazijua

  • @deusvincent1489
    @deusvincent1489 Рік тому +3

    Bandari sawa lakini sio kwa Mkataba huo Kaka. Povu jingi linatushangaza.

  • @khatimushabani3941
    @khatimushabani3941 Рік тому +3

    Nakubali kaka

  • @kaburaprince3596
    @kaburaprince3596 11 місяців тому +1

    Asanteni

  • @rashidlwengo6940
    @rashidlwengo6940 Рік тому +4

    Kasheku msukuma we Ni noma PhD ilikuwa haki yako baba

  • @user-pc1cs6nd4y
    @user-pc1cs6nd4y Місяць тому +1

    Msukuma salute kula yangu kwako

  • @mussamkumbukwa5053
    @mussamkumbukwa5053 Місяць тому +1

    Safi Mh Msukuma umesema ukwelii.

  • @NurudiniNdoka
    @NurudiniNdoka 27 днів тому +1

    Safi sana msukuma.

  • @adinanimussa5484
    @adinanimussa5484 Рік тому +2

    King Msukuma👍

  • @saidalhinai1131
    @saidalhinai1131 11 місяців тому +1

    Hongera msukuma wewe ni mbunge wa kwanza kuwajali watu wa jimbo lako na hakuna aliefanya kama wewe hata magufuli hakuwahi kufanya jimboni kwake wape ukweli hawo waliohongwa kupinga huo uwekezaji nadhani hao wanafaidika na ule wizi mkubwa unaofanya bandarini wacheni wapige kelele bandari itaingia ubia washenzi

  • @sofiamfaramago3820
    @sofiamfaramago3820 10 місяців тому +2

    Kaaah sawa baba !

  • @user-zn7vw3pj6p
    @user-zn7vw3pj6p 6 місяців тому +2

    Kaka
    Nakuelewasana.barikiwasana

  • @DanielKagoma-nx8ff
    @DanielKagoma-nx8ff 3 місяці тому +1

    Kaka msukuma uko vizuri Mungu akubariki Sana tunakuombea Sana Mimi Niko Tabora mjini naomba namba zako mkuu naitwa Daniel kagoma

  • @josephdaniel7341
    @josephdaniel7341 Рік тому +5

    Mh Msukuma .Mimi naomba Unisaidie hata mtaji wa ml 2,000,000/= Ninashida sana ..

  • @khaalidcheo5383
    @khaalidcheo5383 Рік тому +9

    Jamani aliemchokoza msukma akamuombe msamaaa

  • @amimumufaumekikwasa5921
    @amimumufaumekikwasa5921 9 місяців тому +1

    Mzee upo asahihi kabisa unafudha watu jisi ya kuishi na watu, na kukubali mzee wangu.

  • @user-yk5gm5qj4u
    @user-yk5gm5qj4u 3 місяці тому +1

    Hongera musukuma

  • @user-el2qg1zj4l
    @user-el2qg1zj4l Рік тому +1

    Hongera

  • @gindamaster1784
    @gindamaster1784 Рік тому +17

    Men lie women lie, numbers don't lie. Kudos Msukuma, am inspired

    • @jdanny497
      @jdanny497 Рік тому

      Danganya Dar na Dodoma sio mwanza

    • @noramkendamunishi6902
      @noramkendamunishi6902 11 місяців тому

      Si kweli. Kuwa na hela hakuzuii kupokea rushwa. Ila Kama hajapokea ni vizuri Sana.
      Ila swali langu kazi ya mbunge ni kutoa misaada kwa wananchi au kufikisha hoja za wananchi bungeni na kuziweka kwa ufasaha ziweze kufanyiwa kazi na serikali?

    • @GaudenceTesha
      @GaudenceTesha 10 місяців тому

      Halo sawa mku

  • @SammitindoJeremia-jv4qb
    @SammitindoJeremia-jv4qb 10 місяців тому +3

    Daaaah umetisha mzeebaba uko vizuri sana

  • @FidelisiKavishe
    @FidelisiKavishe 2 місяці тому

    Msukuma hongera baba chukua maua yak❤️❤️❤️❤️❤️❤️💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋

  • @bonnymwajombe779
    @bonnymwajombe779 Рік тому

    Msukuma nakukubali sana ,ila kiukweli ile gari ni zao la pesa ya kuhongwa utetee bandari!

  • @stanslausmteme8455
    @stanslausmteme8455 Місяць тому +1

    Hawakukujui hao kua wew ni king

  • @user-cg5ly5rg8z
    @user-cg5ly5rg8z 11 місяців тому +1

    Nimekuelewa sana mbunge

  • @augustinomtongi711
    @augustinomtongi711 Рік тому

    Mmmmnh Mungu anakuona

  • @user-hv6pc8kq5c
    @user-hv6pc8kq5c 9 місяців тому +2

    Tajiri tu

  • @user-wp8yk6ow8h
    @user-wp8yk6ow8h 2 місяці тому

    Wabunge wote wangeliikuwa kama msukuma nchi ingepiga hatua kwa mda mfupi sana hongera sana msukuma

  • @mhangwacastory8765
    @mhangwacastory8765 Рік тому +4

    Msukuma shikamooo, mwenye namna ya kupata namba ya msukuma ninaomba aisogeze hapa

  • @hamadmhchande5633
    @hamadmhchande5633 2 місяці тому +1

    Acheni unafiki hivi viblog uchwara tangia lini anamiliki ndege msukuma?

  • @user-vy9pz7sk4z
    @user-vy9pz7sk4z 6 місяців тому +2

    Uyu jamaa kiongoz mzur

  • @prosperkimaro4660
    @prosperkimaro4660 9 місяців тому +2

    Mwbamba upo vizuri

  • @elvisoscar9912
    @elvisoscar9912 Рік тому +6

    Tanzania mabilionea wako wengi Sana sema wamejificha tu na awataki kujionyesha

    • @irhamseif
      @irhamseif Рік тому

      Kama uyu nikitambo ela anayo sana madin mabasi na mfugaji mzuli sana ng'ombe kibao

    • @Bikhafija
      @Bikhafija Рік тому

      Mashaalh

  • @MrNibiru2112
    @MrNibiru2112 Рік тому +3

    Msukuma unaweza kumuelewa kama elimu yako inalingana na yake.Ukimaliza kukomenti tuandikie na level ya elimu yako pia

  • @muhammednassor3569
    @muhammednassor3569 2 місяці тому

    Ukweli ni ukweli sawa baba you big up

  • @johnginni9926
    @johnginni9926 Рік тому +4

    We mpigaji tu na ukianza Kwa msukuma mwenziee

  • @FulbertFisoo
    @FulbertFisoo Рік тому +8

    Kwani ukiwa tajiri unashindwa kuhongwa kubali kuwa umekula unga wa ndere kwa hilo

  • @ramadhanihamisi9393
    @ramadhanihamisi9393 10 місяців тому +2

    Bradha msukuma mm binafusi nakukubali hoja na ushauri unao shauri serekali au mtu binafusi bigapu mungu akulinde na Kila baya zaidi akuongeze riziki zaidi

  • @abdulkarimmgunya513
    @abdulkarimmgunya513 7 місяців тому

    Pamoja sana ndugu yangu

  • @shurungubunzari9474
    @shurungubunzari9474 8 місяців тому +1

    Yes my boss

  • @user-ok3ws8jl2s
    @user-ok3ws8jl2s Рік тому +1

    Kumbe watu mnamali kama izo kule kijijini mlo mmoja mtu kwa siku halafu wote ni watz duuuuh Mungu mkubwa

  • @erickchitumbi1308
    @erickchitumbi1308 Рік тому +4

    King msukuma

  • @davidpaulbernard
    @davidpaulbernard 9 місяців тому +3

    Suala la kuwa na pesa nyingi haliwezi kukuzuia wewe kuhongwa na ninafikiri kuhongwa unaweza hongwa tu hata Kama una ndege

    • @user-wp8yk6ow8h
      @user-wp8yk6ow8h 2 місяці тому

      Hizo ni fitna zako na roho mbaya yako msukuma si jamaa yangu lkn ni mtu mkweli na amekinai na asili ya utajiri wake ni juhudi zake kabla ya ubunge na mwenyezi mungu akaweka baraka zake nyie ndio watu wenye siasa za kifitna fitna mtakufa vinywa wazi na laana yenu hiyo

  • @castorymhoja6050
    @castorymhoja6050 Рік тому +2

    Nilikuamia Sana kwenye bunge lakini kwa Sasa Niko na mashaka Sana na wewe kumbe wafanya biashara mko hivyo du

  • @sylvestercharles3585
    @sylvestercharles3585 Рік тому +3

    Kwa hiyo kule Zanzibar wao hawataki maendeleo. Ama kwa kweli akili zenu wabunge mnazijua wenyewe. Wewe ulichokiona cha maana ni yale makontena kushushwa kisasa tu, mbona hauzubgumzii uhalali wa mkataba.

    • @saturinimushi4746
      @saturinimushi4746 Рік тому

      Robort zitaondoa Ajira Kwa Vijana Wa Tanzania.
      Siyo Kila Tecnologia Inafaa Kwa Manufaa ya Wengi.

    • @NoelChikawe
      @NoelChikawe 9 місяців тому

      Kavae kwanza ndio useme sawa toto

  • @godfreybikukana2079
    @godfreybikukana2079 Рік тому +1

    Msukuma umekengengeuka Sana acha kutishia watu usitutishe acha

  • @MrNibiru2112
    @MrNibiru2112 Рік тому +3

    Watu wachache bandrini unasema wewe, ajira zitaongezeka dar unasema wewe...wacha tuuzwe tu

  • @HappyKiteboarder-du9th
    @HappyKiteboarder-du9th 19 днів тому

    Mungu akupe umri mrefu wewe ni mtu Wa maana sana

  • @ZionTZ09
    @ZionTZ09 Рік тому +6

    Msukuma kwamba Mbowe anakosa nauli kwenda nje? hahahahahah msukuma kua serious kaka.

  • @user-jo3ip7zq9j
    @user-jo3ip7zq9j 10 місяців тому +1

    Mheshimiwa athanasius na vyako mbona kimya kuhusu bandari.

  • @emeliasiame
    @emeliasiame 3 місяці тому

    Kweli kabisa bb msukuma nakukubali saana boss huna baya na mtu

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 7 місяців тому

    HONGERA SANAA NDUGU MSUKUMAA. KUSOMA SANAA , HAIMAANA NDO UNAAKILI SANAA. AKILI MTU ANAZALIWA NAYO. WAPE SIRI YA MAFANIKIO YAKOO.

  • @Nsajibjsnsdreamerztz
    @Nsajibjsnsdreamerztz Рік тому +1

    Uko vizur

  • @user-ne9en6gt9j
    @user-ne9en6gt9j Рік тому

    Magufuli uyo wa pili mungu mjaalie awe mkubwa zaidi

  • @StephenRuta-ce5tb
    @StephenRuta-ce5tb Рік тому +1

    Nikweli bhana korogwe uliaso Sana wacha waongee

  • @janethedward4631
    @janethedward4631 Рік тому +8

    Tatizo la Tanzania wengi wao awajishuhulishi 1)wanaume wazoea kuongwa 2) wanawake wamezoea kujiuza Japo c wote awapendi kazi wanaume wamezoea kumshusha suruali matakoni nywele kueka dawa starehe nyingi, nguo, Sasa Mtu anaenda kununua kiatu 70000 wakati anaweza nunua mbuzi 3 wakufuga Kwa mwaka ana mbuzi Wangapi !!!? Mtu anaenda nunua jinsi 30000 niela ya kuku wakufuga unapata kuku 6 Kwa mwaka ana kuku Wangapi na Ndo mana akiona Mtu ana maendeleo km msukuma wawatu utasikia mwinzi mara frimanson sio kununua bandar tu nunua na Zanzibar kabisa baba

    • @detlantamarooned1809
      @detlantamarooned1809 Рік тому

      Mimi nanunua kiatu 90,000 na suruali hata ya 45,000 au ziadi. Kununua suruali au kiatu cha gharama haikufanyi uwe masikini,ila jambo la kuzingatia ni kwamba mahitaji yaendane na kipato chako. By the way,hela ninayo ya kutosha.

    • @joyceassey2347
      @joyceassey2347 Рік тому

      @@detlantamarooned1809 eeeee kaka mwenye mihela tugawane basi😅

    • @detlantamarooned1809
      @detlantamarooned1809 Рік тому

      @@joyceassey2347 Usijali,tutagawana tu bila tatizo nikikuoa😂😂😂

    • @joyceassey2347
      @joyceassey2347 Рік тому

      @@detlantamarooned1809 daaah mpaka unione jmn

    • @joyceassey2347
      @joyceassey2347 Рік тому

      @@detlantamarooned1809 🤣🤣🤣

  • @KisuraJohn
    @KisuraJohn 3 місяці тому

    Nice❤

  • @jabirikilagilile9799
    @jabirikilagilile9799 Рік тому

    Kiukweli vazi la kiislaam limekukaa sanaaa jitahidi upate mke kutoka Mombasa au Zanzibar