"Hizi hesabu mnaona nazidisha mimi nilipata F ya hisabati"
Вставка
- Опубліковано 5 вер 2024
- Leonardo @laughs_on_leonardo ni moja kati ya wachekeshaji mahiri na msomi kutoka nchini Tanzania.
Mwandishi wa BBC @mcdavid_nkya_ aliongea na @laughs_on_leonardo na kuzungumza masuala mbalimbali ikiwemo msemo wa D mbili na wazo la kutumia shati lake maarufu katika vichekesho vyake mtandaoni.
Tembelea ukurasa wa UA-cam wa BBCSwahili kutazama mahojiano haya kwa urefu
#bbcswahili #tanzania #uchekeshaji
Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili / @bbcnewsswahili
jaman kumbe mahojiano yapo 20 on trending na hamsemi🎉
Huyu jamaa ni mtu mwenye IQ kubwa sana. I apriciat
"You once saw a homeless guy listening to house music" 😂😂
😂😂😂
This’s crazy bro 🤣
This is the first Tanzanian nimeona akuflow English na nikampa Kongole.Bravo bro!
😂😂😂😂😂 You are my ICON. You are so cool bro and very Bright & Brilliant. Be Blessed Always always. AMINA. 🙏🙏🙏
Hahaha Lazlo 😂😂😂😂😂😂 nani anakumbuka CAMP LAZLO
Anaongea na kujibu vizur sana *very technical*
You speak fluently,you're creative too!
Leonard uko vema. I am watching you from Germany 🇩🇪
Hongera wasu bwachatata waongera mmabox.
Walahiii huyu jamaaa niko radhii nimpeee dada angu namkubaliii sanaa 😅😅😅😅😅😅😅
Duh 😮
Acha kudharau mkoa wetu,tutakuroga ohooo😅😂😂
Kigoka hamchelewi
leonaldo to the world
Sawa.
waoooooh your english is really, nimependa 🔥🔥🔥🔥🔥
Upo vizuri sana, unaondoa stress zangu. Ahsante sana
Mjita mwenzangu unajua....nakukubali sana
big up leonardo
Noma sana Bro
Hongera broo
Smart
Reonardo mpuuzi wewe, umesema kiswahili ni lugha mama halafu kingereza luga baba kwahivyo unataka kusema lughayetu inafanywaje nakingereza😂😂
🤣🤣🤣We mtu!!!!
@@hafsalucky1088 katuangusha bwana
Lugha yetu inabakwa
😂😂😂😂 acha
Dah mpaka kuandika pia hujui kutofautisha baina ya L na R asee.... Kuongea sawa, basi mpka maandishi. Noma sana 😂😂
Yesss
Kwani wewe mwandishi hujui anapomwagilia😂
Nampenda Leonardo jaman ❤❤❤❤
Hongera Sana Kaka uko vzr sana
Nice bro Leonard
That’s where everyone gets lost, eti nichekeshe huh ! Comedy doesn’t work that way…
Hatarii
Safi sana mdogo wangu zidisha juhudi ili ufike mbali zaidi kumbuka wewe ni daraja kwa wengine ambao ni bado hawajatoboa uwaombee pia ongeza juhudi na uvumilivi ili upnye zaidi duniani ipo siku unaweza kua namba moja kwa uchekeshaji one love
Ahhh Renaldo we ni nyoko duh😂😂😂😂
Ni Leonardo siyo Renaldo😂😂😂
Uwiiii🙆🙆🙆🙆🙆
Good babu
hongera cn dogo .
dah huyu jamaa ni mpuuzi sana😂😂😂😂😂
good
Eti bungeni uweza , unaweza ukala hela za wananchi 😂😂😂😂
Kiufupi jamaa anajua na anajua. Hasa English pronunciation yuko vizuri atatoka kimataifa kuliko wengine wataishia mipaka ya Tanzania tu.
Mhhhh
Your 7 days in a cave weren't just about survival-they were a masterclass in resilience, grit, and determination. It’s incredible how you faced the darkness head-on and emerged stronger. Watching this challenge reminds me that no matter how deep the cave, there's always a way out if you keep pushing forward. Keep inspiring us all, MrBeast! 🌟💪
Igakonko iwachu tulashashe ila ntitulabhakeneeeee
Mimi nina 4.0 GPA...kwa hiyo tuna 4😂😂😂
Ila huyu mjinga😂😂😂😂😂😂
You speak good English
This challenge shows that no matter how deep the cave, there's always a way out if you keep pushing forward. And remember, tough times don't last-tough guys do! For the boys! 💪🔥
Tarakea😂😂
Mbona hilo sofa la bbc limechakaa sanaaaa
Ety sipitii kitu😅😅😅
😂😂😂😂 hehehe
Leonardo good mwanangu
Nomaa sana reonado
Devi una mtoto ila hujaoa yaani single fadher
Pamoja sana kaka
70×80+20 ×10 umekosa zingatia magazjuto
Huyu jamaa yuko vzr sana
Mtangazaji anaitwa David Nkya,
Hivi Kuna mtu kakuuliza
Ana English imenyooka kama ya Gigy money 😅
Great interview poor lighting
kweli reonaldo haonekan vzur
Kijana uko vizur
Uyu jamaa anajua sana
Leo nado ninoma sana kwa hesabu
umejipangaje katika maisha yako utaendelea na komedi au utaludi kwenye sistim
Huyu Jamaa ndio kanifanya niipende hii fan ya uchekeshaji
Hesabu ya Advance balaa sana
Huyu anaweza kua
Leo umekosa mzee hyo hesab hiyo ni magazijuto na hujazngatia umejib kienyej😂
Karibu na wewe uone kama haupotei😂😂
😂😂et kiswahili lugha mama ila kingereza rugha baba😂
This guy is good in English
😂 which country is he 😂
Lugha baba ya moto 😂
Kakonko kwetu! Sio kweli kwamba Kakonko ni watu maskini! Maisha yetu ni sawa na yale ya Watanzania wengine wa kawaida
Sorry bro usijisikie vibaya HUYU n mchekeshaji tu
👍👍👍👍
Ushetu😂😂😂
Huyuuu jamaaa IQ yake hakupaswa kua commedian ❤❤😅😅😅😅😅😅
MrBeast doesn’t just give away money, he’s actually planting seeds of kindness in every heart that watches his videos. 🌱💰 Watching you give back inspires me to spread generosity in my own way!
Nimeshindwa kucheka sijaelewaa
Kiswahili 🫡. Mchekeshaji wima 😅
Stand Up Comedian
Kwani ulitaka kusemaje kuhusu kibosho my home town😂
Na takwimu zinaonyesha kibosho ndo sehem ya tanzania yenye matajiri wakubwa lakini hawana umaarufu.. 😊
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂eti nn
Huyu ana akili sana bas tuu
Eng ulipata F ya hesabu ni fedheha
Ana akili nyingi sana huyu kijana.
This can affect air users only
I wish to see him on Apollo live - London. Anaweza
Acha kuzingua kijana Naldo
Jamani watu mmejaliwa nacheka mpk basi
😂😂😂😂
HUYU JAMAA ANAJUA KUCHEKESHA ILA SEMA
ANATUONEA SANAA SISI WAHA MBONA HAZUNGUMUZII MIKOA MINGINE NI KIGOMA TU HUO NI UBAGUZI
😂😂 ana ligi na NDARO
Kaka Leonard nahisi kama ulisoma Tosamaganga au ulikuwa na ndugu yako akisoma pale? Mmefanana sana.
Huyu KENGE
Presenta mbona anafanya show kibabe sana?
80×70+20×10 = 5600+200
5600+200 = 5800
Hivyo, 80×70+20×10 = 5800
Hizi hesabu bhana😂 Ukitaka kuhakikisha kama ni sahihi tumia BODMAS au MAGAZIJUTO au tumia Kikokotozi (Calculator) utaona majibu
Kumbe ww ndo hujui hesabu
@@user-rp3zw2cm5y Tumia BODMAS au MAGAZIJUTO au tumia Kikokotozi (Calculator) utaona majibu. Najua zaidi ya unavyofikiria, siwezi kuandika makosa kwenye umati mkubwa kama huu.
Aki hizi hesabu nikija TZ nitapata sufuri. MAGAZIJUTO inamaanisha Bodmas, ehe😀
@@WAVELENGTH-tp1tm ndio kiongozi 😂😂 MAGAZIJUTO ni:
Mabano
Gawanya
Zidisha
Jumlisha
Toa
@@Danileor Uko kwenu jamani munaamkia kiswahili na kukilalia pia. Hapa kwetu kiswahili ni cha kudonoadonoa tu😂😂
😂
Huyu mwenyewe ni maskini th.Hakuna Tajiri anayechekesha.
Vipi kuhusu Mr Bean na Chaplin....!??
Hakuna mahali amesema nitajiri.... Ila unachembechembe za karoho mbaya flan hivi
Hufuatilii commedy wewe... Punguza roho mbaya.. Wakina Eddy Murphy, Will Smith, Mr Bean
kanajua haka kajamaa
🤣🤣🤣🤣🤣
Yani na huyu Leonardo ujana wako woteeee umeona mchagga ndiye wa kuoa. Nashauri ujenge kwanza . Maana mabint wa kichagga kwa sasa wamefeli kwa asilmia Mia kwenye kuishi nyumba za kupanga wanatabia chafu sana kuliko hata shetani mwenyewe.
🎉🎉🎉😂
🎉
Ahahah
Kazi nzuri😂
Uyu jamaa nmekuta ananimalizia mb zang sana