"Hizi hesabu mnaona nazidisha mimi nilipata F ya hisabati"

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 5 вер 2024
  • Leonardo @laughs_on_leonardo ni moja kati ya wachekeshaji mahiri na msomi kutoka nchini Tanzania.
    Mwandishi wa BBC @mcdavid_nkya_ aliongea na @laughs_on_leonardo na kuzungumza masuala mbalimbali ikiwemo msemo wa D mbili na wazo la kutumia shati lake maarufu katika vichekesho vyake mtandaoni.
    Tembelea ukurasa wa UA-cam wa BBCSwahili kutazama mahojiano haya kwa urefu
    #bbcswahili #tanzania #uchekeshaji
    Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili / @bbcnewsswahili

КОМЕНТАРІ • 160

  • @ezramnyilinga3735
    @ezramnyilinga3735 Місяць тому +14

    jaman kumbe mahojiano yapo 20 on trending na hamsemi🎉

  • @josephezekielmasolwa8283
    @josephezekielmasolwa8283 Місяць тому +17

    Huyu jamaa ni mtu mwenye IQ kubwa sana. I apriciat

  • @drom_inthehouz
    @drom_inthehouz Місяць тому +26

    "You once saw a homeless guy listening to house music" 😂😂

  • @haidarykufakunoga8869
    @haidarykufakunoga8869 Місяць тому +2

    😂😂😂😂😂 You are my ICON. You are so cool bro and very Bright & Brilliant. Be Blessed Always always. AMINA. 🙏🙏🙏

  • @albertjohn8902
    @albertjohn8902 20 днів тому +3

    Hahaha Lazlo 😂😂😂😂😂😂 nani anakumbuka CAMP LAZLO

  • @joannysalvatory7251
    @joannysalvatory7251 Місяць тому +9

    Anaongea na kujibu vizur sana *very technical*

  • @AmbroseMamole
    @AmbroseMamole Місяць тому +2

    You speak fluently,you're creative too!

  • @annamariajackson4842
    @annamariajackson4842 29 днів тому +1

    Leonard uko vema. I am watching you from Germany 🇩🇪

  • @geraldmanoti1716
    @geraldmanoti1716 Місяць тому +16

    Hongera wasu bwachatata waongera mmabox.

  • @DotoOmary-i9q
    @DotoOmary-i9q Місяць тому +16

    Walahiii huyu jamaaa niko radhii nimpeee dada angu namkubaliii sanaa 😅😅😅😅😅😅😅

    • @ahz6907
      @ahz6907 Місяць тому

      Duh 😮

  • @selestinfrancis5904
    @selestinfrancis5904 Місяць тому +5

    Acha kudharau mkoa wetu,tutakuroga ohooo😅😂😂

  • @MackKombole-jg9vv
    @MackKombole-jg9vv Місяць тому +4

    leonaldo to the world

  • @AmonBuzinza
    @AmonBuzinza Місяць тому +2

    Sawa.

  • @heriethngigwa1782
    @heriethngigwa1782 9 днів тому

    waoooooh your english is really, nimependa 🔥🔥🔥🔥🔥

  • @vanessastafford6426
    @vanessastafford6426 Місяць тому +1

    Upo vizuri sana, unaondoa stress zangu. Ahsante sana

  • @evaristgamba4204
    @evaristgamba4204 14 днів тому

    Mjita mwenzangu unajua....nakukubali sana

  • @JumaMickidadi
    @JumaMickidadi Місяць тому +1

    big up leonardo

  • @benjaminikazi
    @benjaminikazi Місяць тому +2

    Noma sana Bro

  • @Kuyasiwa
    @Kuyasiwa Місяць тому +1

    Hongera broo

  • @phantyrhymes9536
    @phantyrhymes9536 Місяць тому +2

    Smart

  • @DM_15
    @DM_15 Місяць тому +6

    Reonardo mpuuzi wewe, umesema kiswahili ni lugha mama halafu kingereza luga baba kwahivyo unataka kusema lughayetu inafanywaje nakingereza😂😂

    • @hafsalucky1088
      @hafsalucky1088 Місяць тому +2

      🤣🤣🤣We mtu!!!!

    • @DM_15
      @DM_15 Місяць тому

      @@hafsalucky1088 katuangusha bwana

    • @HassaniMohamedi-lk7ow
      @HassaniMohamedi-lk7ow Місяць тому +2

      Lugha yetu inabakwa

    • @AmanaAmos-hv3yz
      @AmanaAmos-hv3yz Місяць тому +1

      😂😂😂😂 acha

    • @AmCool_
      @AmCool_ Місяць тому +1

      Dah mpaka kuandika pia hujui kutofautisha baina ya L na R asee.... Kuongea sawa, basi mpka maandishi. Noma sana 😂😂

  • @user-ji7gt4oh8u
    @user-ji7gt4oh8u Місяць тому +2

    Yesss

  • @comfort-rjtv3291
    @comfort-rjtv3291 Місяць тому +6

    Kwani wewe mwandishi hujui anapomwagilia😂

  • @fatmashillah5482
    @fatmashillah5482 15 днів тому

    Nampenda Leonardo jaman ❤❤❤❤

  • @MargrethMloka
    @MargrethMloka Місяць тому +1

    Hongera Sana Kaka uko vzr sana

  • @LiuChen-t7o
    @LiuChen-t7o Місяць тому +1

    Nice bro Leonard

  • @Igauf3
    @Igauf3 Місяць тому +5

    That’s where everyone gets lost, eti nichekeshe huh ! Comedy doesn’t work that way…

  • @kosmasbukuku9362
    @kosmasbukuku9362 Місяць тому +1

    Hatarii

  • @immakulathamwambi3868
    @immakulathamwambi3868 Місяць тому +1

    Safi sana mdogo wangu zidisha juhudi ili ufike mbali zaidi kumbuka wewe ni daraja kwa wengine ambao ni bado hawajatoboa uwaombee pia ongeza juhudi na uvumilivi ili upnye zaidi duniani ipo siku unaweza kua namba moja kwa uchekeshaji one love

  • @huishabitabo9407
    @huishabitabo9407 Місяць тому +7

    Ahhh Renaldo we ni nyoko duh😂😂😂😂

  • @user-vl1ts1eh8s
    @user-vl1ts1eh8s Місяць тому +2

    Uwiiii🙆🙆🙆🙆🙆

  • @Frank-n2z
    @Frank-n2z Місяць тому +1

    Good babu

  • @ErasmusMakavery
    @ErasmusMakavery 17 днів тому

    hongera cn dogo .

  • @mkilwaabdul9230
    @mkilwaabdul9230 21 день тому

    dah huyu jamaa ni mpuuzi sana😂😂😂😂😂

  • @DatiusMajara
    @DatiusMajara Місяць тому +1

    good

  • @nozesybafikege8417
    @nozesybafikege8417 28 днів тому

    Eti bungeni uweza , unaweza ukala hela za wananchi 😂😂😂😂

  • @GibsonNtamamilo
    @GibsonNtamamilo Місяць тому +6

    Kiufupi jamaa anajua na anajua. Hasa English pronunciation yuko vizuri atatoka kimataifa kuliko wengine wataishia mipaka ya Tanzania tu.

  • @MOKIRIMaro-i3n
    @MOKIRIMaro-i3n 10 днів тому +1

    Mhhhh

  • @MohamedAshif-l7k
    @MohamedAshif-l7k 15 днів тому

    Your 7 days in a cave weren't just about survival-they were a masterclass in resilience, grit, and determination. It’s incredible how you faced the darkness head-on and emerged stronger. Watching this challenge reminds me that no matter how deep the cave, there's always a way out if you keep pushing forward. Keep inspiring us all, MrBeast! 🌟💪

  • @HERMANKAGOROBA
    @HERMANKAGOROBA 22 дні тому +1

    Igakonko iwachu tulashashe ila ntitulabhakeneeeee

  • @amosethantheking8815
    @amosethantheking8815 6 днів тому

    Mimi nina 4.0 GPA...kwa hiyo tuna 4😂😂😂

  • @allymwashambwa5920
    @allymwashambwa5920 Місяць тому +1

    Ila huyu mjinga😂😂😂😂😂😂

  • @emmanuelwafulakhaita3073
    @emmanuelwafulakhaita3073 Місяць тому +1

    You speak good English

  • @MohamedAshif-l7k
    @MohamedAshif-l7k 15 днів тому

    This challenge shows that no matter how deep the cave, there's always a way out if you keep pushing forward. And remember, tough times don't last-tough guys do! For the boys! 💪🔥

  • @naychris6548
    @naychris6548 Місяць тому +3

    Tarakea😂😂

  • @samsuyatv4594
    @samsuyatv4594 8 днів тому

    Mbona hilo sofa la bbc limechakaa sanaaaa

  • @mohamedrajabu524
    @mohamedrajabu524 Місяць тому +1

    Ety sipitii kitu😅😅😅

  • @glorymaeda
    @glorymaeda 13 днів тому

    😂😂😂😂 hehehe

  • @Angle-bw4jr
    @Angle-bw4jr Місяць тому

    Leonardo good mwanangu

  • @PatrickJulius-uy3yb
    @PatrickJulius-uy3yb Місяць тому

    Nomaa sana reonado

  • @gilbertkimath1175
    @gilbertkimath1175 22 дні тому +1

    Devi una mtoto ila hujaoa yaani single fadher

  • @ezramponzi-pf9ls
    @ezramponzi-pf9ls Місяць тому

    Pamoja sana kaka

  • @johnjames6743
    @johnjames6743 8 днів тому

    70×80+20 ×10 umekosa zingatia magazjuto

  • @mtukufusafari5535
    @mtukufusafari5535 Місяць тому

    Huyu jamaa yuko vzr sana

  • @mtumeananiasjohachim8760
    @mtumeananiasjohachim8760 Місяць тому +1

    Mtangazaji anaitwa David Nkya,

  • @lazarombala5320
    @lazarombala5320 4 дні тому

    Ana English imenyooka kama ya Gigy money 😅

  • @kiatu
    @kiatu Місяць тому +9

    Great interview poor lighting

  • @martinnawe9698
    @martinnawe9698 10 днів тому

    Kijana uko vizur

  • @abhralyrics9816
    @abhralyrics9816 Місяць тому +1

    Uyu jamaa anajua sana

  • @MOKIRIMaro-i3n
    @MOKIRIMaro-i3n 10 днів тому

    Leo nado ninoma sana kwa hesabu

  • @user-mu2kq8wj4y
    @user-mu2kq8wj4y Місяць тому

    umejipangaje katika maisha yako utaendelea na komedi au utaludi kwenye sistim

  • @andrewmkini4323
    @andrewmkini4323 Місяць тому

    Huyu Jamaa ndio kanifanya niipende hii fan ya uchekeshaji

  • @Rasoulhk98
    @Rasoulhk98 Місяць тому

    Hesabu ya Advance balaa sana

  • @JosephJunda
    @JosephJunda Місяць тому

    Huyu anaweza kua

  • @elikanahdeclassic9232
    @elikanahdeclassic9232 Місяць тому +1

    Leo umekosa mzee hyo hesab hiyo ni magazijuto na hujazngatia umejib kienyej😂

    • @GibsonNtamamilo
      @GibsonNtamamilo Місяць тому

      Karibu na wewe uone kama haupotei😂😂

  • @elbaricktv1632
    @elbaricktv1632 Місяць тому +1

    😂😂et kiswahili lugha mama ila kingereza rugha baba😂

  • @princenelsonsinko5237
    @princenelsonsinko5237 Місяць тому

    This guy is good in English

    • @ahz6907
      @ahz6907 Місяць тому

      😂 which country is he 😂

  • @rizzyckshirima9521
    @rizzyckshirima9521 Місяць тому

    Lugha baba ya moto 😂

  • @godymbanyi1878
    @godymbanyi1878 10 днів тому

    Kakonko kwetu! Sio kweli kwamba Kakonko ni watu maskini! Maisha yetu ni sawa na yale ya Watanzania wengine wa kawaida

    • @ValerianusMunna
      @ValerianusMunna 6 днів тому

      Sorry bro usijisikie vibaya HUYU n mchekeshaji tu

  • @sumayaishengoma4543
    @sumayaishengoma4543 Місяць тому

    👍👍👍👍

  • @user-rp3zw2cm5y
    @user-rp3zw2cm5y Місяць тому

    Ushetu😂😂😂

  • @musagervas947
    @musagervas947 Місяць тому

    Huyuuu jamaaa IQ yake hakupaswa kua commedian ❤❤😅😅😅😅😅😅

  • @MohamedAshif-l7k
    @MohamedAshif-l7k 15 днів тому

    MrBeast doesn’t just give away money, he’s actually planting seeds of kindness in every heart that watches his videos. 🌱💰 Watching you give back inspires me to spread generosity in my own way!

  • @marikwilliam9886
    @marikwilliam9886 Місяць тому

    Nimeshindwa kucheka sijaelewaa

  • @kiatu
    @kiatu Місяць тому +7

    Kiswahili 🫡. Mchekeshaji wima 😅

  • @francomwacha2262
    @francomwacha2262 Місяць тому

    Kwani ulitaka kusemaje kuhusu kibosho my home town😂

    • @francomwacha2262
      @francomwacha2262 Місяць тому

      Na takwimu zinaonyesha kibosho ndo sehem ya tanzania yenye matajiri wakubwa lakini hawana umaarufu.. 😊

  • @Mariam-fm8vq
    @Mariam-fm8vq Місяць тому

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂eti nn

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 Місяць тому

    Huyu ana akili sana bas tuu

  • @GivenMwatebela
    @GivenMwatebela Місяць тому

    Eng ulipata F ya hesabu ni fedheha

  • @rweumbizalugaimukamu4905
    @rweumbizalugaimukamu4905 Місяць тому

    Ana akili nyingi sana huyu kijana.

  • @AnthonyNdaula
    @AnthonyNdaula Місяць тому

    This can affect air users only

  • @nicksonmotta4012
    @nicksonmotta4012 Місяць тому

    I wish to see him on Apollo live - London. Anaweza

  • @jossporahmsw8420
    @jossporahmsw8420 Місяць тому

    Acha kuzingua kijana Naldo

  • @joycekasimbazi9817
    @joycekasimbazi9817 Місяць тому

    Jamani watu mmejaliwa nacheka mpk basi

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 Місяць тому +1

    😂😂😂😂

  • @YohanaYoramu-nl6bw
    @YohanaYoramu-nl6bw Місяць тому +1

    HUYU JAMAA ANAJUA KUCHEKESHA ILA SEMA
    ANATUONEA SANAA SISI WAHA MBONA HAZUNGUMUZII MIKOA MINGINE NI KIGOMA TU HUO NI UBAGUZI

  • @phantyrhymes9536
    @phantyrhymes9536 Місяць тому

    Kaka Leonard nahisi kama ulisoma Tosamaganga au ulikuwa na ndugu yako akisoma pale? Mmefanana sana.

  • @jumannemsengi2195
    @jumannemsengi2195 Місяць тому

    Huyu KENGE

  • @charliimedia
    @charliimedia Місяць тому +1

    Presenta mbona anafanya show kibabe sana?

  • @Danileor
    @Danileor Місяць тому +3

    80×70+20×10 = 5600+200
    5600+200 = 5800
    Hivyo, 80×70+20×10 = 5800
    Hizi hesabu bhana😂 Ukitaka kuhakikisha kama ni sahihi tumia BODMAS au MAGAZIJUTO au tumia Kikokotozi (Calculator) utaona majibu

    • @user-rp3zw2cm5y
      @user-rp3zw2cm5y Місяць тому

      Kumbe ww ndo hujui hesabu

    • @Danileor
      @Danileor Місяць тому

      @@user-rp3zw2cm5y Tumia BODMAS au MAGAZIJUTO au tumia Kikokotozi (Calculator) utaona majibu. Najua zaidi ya unavyofikiria, siwezi kuandika makosa kwenye umati mkubwa kama huu.

    • @WAVELENGTH-tp1tm
      @WAVELENGTH-tp1tm Місяць тому +1

      Aki hizi hesabu nikija TZ nitapata sufuri. MAGAZIJUTO inamaanisha Bodmas, ehe😀

    • @Danileor
      @Danileor Місяць тому

      @@WAVELENGTH-tp1tm ndio kiongozi 😂😂 MAGAZIJUTO ni:
      Mabano
      Gawanya
      Zidisha
      Jumlisha
      Toa

    • @WAVELENGTH-tp1tm
      @WAVELENGTH-tp1tm Місяць тому

      @@Danileor Uko kwenu jamani munaamkia kiswahili na kukilalia pia. Hapa kwetu kiswahili ni cha kudonoadonoa tu😂😂

  • @Rojo_Rojo
    @Rojo_Rojo Місяць тому +2

    😂

  • @GibsonNtamamilo
    @GibsonNtamamilo Місяць тому

    Huyu mwenyewe ni maskini th.Hakuna Tajiri anayechekesha.

    • @chiefchacha2992
      @chiefchacha2992 Місяць тому

      Vipi kuhusu Mr Bean na Chaplin....!??

    • @polycarpykavishe9001
      @polycarpykavishe9001 Місяць тому +1

      Hakuna mahali amesema nitajiri.... Ila unachembechembe za karoho mbaya flan hivi

    • @maryswai7780
      @maryswai7780 Місяць тому +1

      Hufuatilii commedy wewe... Punguza roho mbaya.. Wakina Eddy Murphy, Will Smith, Mr Bean

  • @mbalizihospital_ifisi
    @mbalizihospital_ifisi Місяць тому

    kanajua haka kajamaa

  • @user-uw4pu9nm1u
    @user-uw4pu9nm1u Місяць тому

    🤣🤣🤣🤣🤣

  • @minaelnathanael1846
    @minaelnathanael1846 Місяць тому +3

    Yani na huyu Leonardo ujana wako woteeee umeona mchagga ndiye wa kuoa. Nashauri ujenge kwanza . Maana mabint wa kichagga kwa sasa wamefeli kwa asilmia Mia kwenye kuishi nyumba za kupanga wanatabia chafu sana kuliko hata shetani mwenyewe.

  • @EmmanuelSima-qz1gd
    @EmmanuelSima-qz1gd Місяць тому +1

    🎉🎉🎉😂

  • @fazo-kl9fu
    @fazo-kl9fu Місяць тому

    🎉

  • @Asheri-k5k
    @Asheri-k5k Місяць тому

    Ahahah

  • @josephgatunzi1670
    @josephgatunzi1670 Місяць тому

    Kazi nzuri😂

  • @EdwneWigne
    @EdwneWigne Місяць тому

    Uyu jamaa nmekuta ananimalizia mb zang sana