HIYO bangi inatoka mkoa mwingine kwenda ARUSHA Khee MAAJABU kule kuliko na kitu cha ARUSHA mh! Itakuwa kitu cha DOM ni shidaa kuliko cha ARUSHA. This is D .OM CITY ...
Chakula arifu njooni marekan machali huku unavuta kwa raha tena kuna pub special ya bangi arifu halafu sigara ndo wangeiondoa ,you are welcom brother and sister in America/califonia0
Roseberry Hamoud ukitaka kujua kosa lao, basi jenga nyumba halafu pangisha jambazi, halafu akikamatwa uje kusema nilikuwa sijui kama ni jambazi, umekwisha.
Kumjua mtu nishida nakukagua mzigo kwa dereva ni vigumu ushauri wangu mnunue kifaa maalumu kama airport chakupima kwenye gar lkn kwa derva au kondakta nitatzo
madereva na makonda Wala si tatzo. hawa niwalipa kodi tuboreshe Bus stand zetu kwakufunga vifaa vya ukaguzi wa mizigo angalau kama viwanja vya ndege, au kuweka asikar wenye mbwa.
Hakuna dereva anaeza kupakia mzigo kama huo uatarishe maisha yake hao hawajui lolote bananeni na mtuhumiwa yeye ndio atasema kuwa dreva konda wanahusika au vipi lacvyo kila abiria alfajiri akaguliwe mizigo yake
Duh sasa kuweni makini maana kwenye gari watu wanasafirisha vitu vya ajabu kbs tofauti nabangi watu sasahivi wamekuwa waajabu anaweza kusafirisha hata mnyama aliye kufa ili tu akatimize mambo yk polen abiria ongera afande wetu
Viwanda vinakufa kila kukicha, so Tz ya viwanda tuisahau. Kwanini mjomba asiluhusu wananchi walime bangi ikauzwe nje ya nchi.. Bangi ni dawa inatibu maradhi mengi.
Umewaza kama mimi.huyu kachomewa na mwenzake.polisi wamejuaje bangi imebebwa na abiria wa siti namba fulani halafu waje na waandishi kabisa.walitonywa hawa
Nashauri mabasi yawe yanakagua abiria wao kama wanavofanya kwenye ndege.mara kadhaa nimeona mitungi ya gesi ikipakiwa kwenye mabasi.je ikitokea zikaripuka.au mtu anaweza panda na silaha akadhulu abiria wote.mngeweka utaratibu wa kukagua abiria kwa mashine kama airport.ila hapa najiuliza hawa waandishi walipataje habari ya kukamatwa mhalifu hadi kuja na makamera? Au kuna mtu katoa mchongo ee?😆
fungueni vikete basi tuone quality kidogo! hahahaha Kamanda unaacha kazi zako zote unakuja kufuatilia hilo tu tena na waandishi wa habari? Kazi hii ata vijana watatu wangemaliza kwenye dakika 5 baad kusamamisha basi na kumkamata huyu mhalifu nakuwaachia abiria wengine kuendelea na safari. Mie naona story nyingi tu hapo
Hongera sana mzee,ila hao makondakta na madereva ndo wanaosafirisha watu na vitu haramu, na wanawafaham watu wanaofanya biashara haramu,na mizigo haramu wao ndo wanaihifadhi vizuri bidhaa hizo na kuwapa naelekezo jinsi ya kupaki ili polisi wasigundue nani sehemu gani huwa hawakagui
Kwa dereva na konda hawana makosa kabisaaa kwasababu hawawezi kumkagua abiria alafu hilo swali jibu wew mwenyewe
Juma Yusuph erychxhv
😁😂Nasikia ,#BABALAOOO kwa mbaali🔥🔥🔥
Ihi serikali Kuna baazi ya watumishi Wana mambo ya ovyo sana upelelezi mwaka na zhd leo conda na dereva wanamjuaje mtu ni mwalifu
Njaa Kila mtu anayo, kinachotakiwa, ni kujizuia, ndo maana ata askari mbea wamenaswa.
Kamanda Dodoma kazi yako ni nzuri sana mkuu
pole mzazi mwenzangu ni mapito tu
HIYO bangi inatoka mkoa mwingine kwenda ARUSHA Khee MAAJABU kule kuliko na kitu cha ARUSHA mh! Itakuwa kitu cha DOM ni shidaa kuliko cha ARUSHA. This is D .OM CITY ...
😀😀😀😀 babu hiki kitu cha Dom itakua ni fireeee
Kitu ya malawi hiyoo Man mana jamaa kapandia moro kaja kulala Dom kumekucha kakamata chuma ya chuga
Oh kumbe
Chakula ariiifu sema haikatai
😆😆😆😆
Konda Na Dereva Kosa Lao Hata Silioni Kwani Konda Na Dereva Wamepewa Kazi Ya Kupekua Mizigo Ya Abilia Konda Na Dereva Awana Makosa
Muroto ushazeeka ustaafu tena
Yani Apo Ukiwa Na Kiberti Kwanza Unachoma Apo Apo Mche Mmoja
Afande mnatunyima raha make bangi tamu kinyama naikubari
C Wanasemaga Bangi n Nzuri kuliko Mirungi.
😂😂😂😂😂😂
Hyu kamanda pia ni Kama anatumia
Tengua kauli wew ulishawah kumuona😏😏
Bila shaka kamanda huyu naye atakuwa anapiga vitu.
hahahahahah why?
😁
Mkovizur askar ila kulaum drv au konda ckwel Hapo c Sawa baba Muroto.
Chakula arifu njooni marekan machali huku unavuta kwa raha tena kuna pub special ya bangi arifu halafu sigara ndo wangeiondoa ,you are welcom brother and sister in America/califonia0
Acheni msuba. Kakamateni majambazi kuleee. Halalisha.
Konda na dereva kosa lao nini?
Roseberry Hamoud ukitaka kujua kosa lao, basi jenga nyumba halafu pangisha jambazi, halafu akikamatwa uje kusema nilikuwa sijui kama ni jambazi, umekwisha.
hongeren sana jeshi la Police hii ndi Tanzania tunayoitamani.
Mungu ibariki Tanzania, Mungu wabariki watu wa Tanzania
Kwa kweli HAPA KAZI TU
❤
Hongera jeshi letu
Daah bangi zimesokotwa utam had mzuka unanipanda Ila hizo tunjua mnaenda kugawan nyie wenyew askari
Bangi sio mbaya
Kumjua mtu nishida nakukagua mzigo kwa dereva ni vigumu ushauri wangu mnunue kifaa maalumu kama airport chakupima kwenye gar lkn kwa derva au kondakta nitatzo
Kama umesikia baba Lao kama mm gonga like
Nemempenda happy
Pole sana jiran
Mnashindwa kukamata majambazi mnasumbua wajasilimia mali sio
wakitoka hapo zinauzwa na maasikar mzichome tuone
Kama umeskia baba lao ya diamond gonga like
Kamanda wengi wanasafirisha kwa njia hiyo.. Madereva na makonda wawe makini.
Hatari
madereva na makonda Wala si tatzo. hawa niwalipa kodi tuboreshe Bus stand zetu kwakufunga vifaa vya ukaguzi wa mizigo angalau kama viwanja vya ndege, au kuweka asikar wenye mbwa.
Wa kwanza hapa
muislamu safii, nani hahahha, bangi ina harufuu hauwezi jua harufu yake
Hakuna dereva anaeza kupakia mzigo kama huo uatarishe maisha yake hao hawajui lolote bananeni na mtuhumiwa yeye ndio atasema kuwa dreva konda wanahusika au vipi lacvyo kila abiria alfajiri akaguliwe mizigo yake
Nyinyi pia mnavuta
Kaka kado Safi Sana maelezo mazuri
Achia mzigo wewe pambana na vitu vya maana
Hahahahahaha
Kevin molel hata hiyo ni Kazi au na wewe ni mkulima Wa bangi maana najua mmemaliza kuuza viwanja nahisi hiyo ni Kazi yako
ivi kwanini bangi isihalalishwe kisha polici waongezwe mishahara.bangi ihalalishwe kimatibabu.
Duh sasa kuweni makini maana kwenye gari watu wanasafirisha vitu vya ajabu kbs tofauti nabangi watu sasahivi wamekuwa waajabu anaweza kusafirisha hata mnyama aliye kufa ili tu akatimize mambo yk polen abiria ongera afande wetu
weusi
Kuanzia Leo Tanzania luhusu bangi tofauti na hapo uchaguzi wa 2020 atupigi kura
Viwanda vinakufa kila kukicha, so Tz ya viwanda tuisahau. Kwanini mjomba asiluhusu wananchi walime bangi ikauzwe nje ya nchi.. Bangi ni dawa inatibu maradhi mengi.
Ma rass Awa umwii
safisana mzee
Watu wa arusha ndo walikuwa wanapelekewa
Hongereni
Mzee anaonekana kama anapiga kinywaji kikali ...
Haha
Nasikiaga kuna maaskali wengine nao wanavutaga bangi unaweza ukakuta zimepungua mnakozihifadhi
chugaa
Ngoma okivima ujuwe imekalibia kupasuka mm napita ²
Alicholeshewa huyo sio bure
VP mzigo uko cheo
Hahah atar wa2 wanakula mzki wa baba lao
Daaaaaah umeckia kumbe mkali 😁😁😁😁
Hahaha muonee
eeeh! kuna basta
Dereva na kinda hawana kosa lolote basi tu. Kuna mwenye mzigo wake hapo amekaukaaa kimyaa
Vizuri kuandika seat # kwa beg maana ukisema kujua mzigo una nn ndani,ni ngumu na pia amaeeza danganywa na abiria!!
Ila kuna mtu kamchomea
Umewaza kama mimi.huyu kachomewa na mwenzake.polisi wamejuaje bangi imebebwa na abiria wa siti namba fulani halafu waje na waandishi kabisa.walitonywa hawa
Kamanda muroto baba lao
Duuuuh....
Namuona Jamaa Yangu
Cku hz kitu kdg mitandao inaboa sana
Bangi ilikuwa yako nn
KWENYE BANGI WATU WANAPATA UJIKO TU FREE WEED TZ BWANA
Nashauri mabasi yawe yanakagua abiria wao kama wanavofanya kwenye ndege.mara kadhaa nimeona mitungi ya gesi ikipakiwa kwenye mabasi.je ikitokea zikaripuka.au mtu anaweza panda na silaha akadhulu abiria wote.mngeweka utaratibu wa kukagua abiria kwa mashine kama airport.ila hapa najiuliza hawa waandishi walipataje habari ya kukamatwa mhalifu hadi kuja na makamera? Au kuna mtu katoa mchongo ee?😆
Hapa kazi 2
Kama umeskia babalao kwa mbalii gonga like
Bhangi ni dawa ya kufanya mtu achangamke kwa hivo hiyo ni medication
DUUUH!!! KUMBE KITU CHA ARUSHA NI BRAND TUU!!! KAMA INAVYOAMINIKA TANZANITE INATOKA SOUTH AFRICA. WANATEGEMEA MIKOA YA MBALI BWANA. 😅😅😅😅😅😅
fungueni vikete basi tuone quality kidogo! hahahaha
Kamanda unaacha kazi zako zote unakuja kufuatilia hilo tu tena na waandishi wa habari? Kazi hii ata vijana watatu wangemaliza kwenye dakika 5 baad kusamamisha basi na kumkamata huyu mhalifu nakuwaachia abiria wengine kuendelea na safari. Mie naona story nyingi tu hapo
Cha Dom mix cha R,ni kweree,,,,
Duuh huyu Msukuma Noma
Jeshi kuuu
Sema abiria cyo msafiri.msafiri ni jina la mtu
Dereva na konda anakosa gani? Hapo
Kazi mzur Sana kamanda na jeshi la police kwa ujumla Safi san
Ha yo maswali mengine niya kipuuzi
Kosa c dereva wala konda maana ni ngumu kujua kikubwa ni nyie kujipanga ktk intelligentsia zenu
Hongera sana mzee,ila hao makondakta na madereva ndo wanaosafirisha watu na vitu haramu, na wanawafaham watu wanaofanya biashara haramu,na mizigo haramu wao ndo wanaihifadhi vizuri bidhaa hizo na kuwapa naelekezo jinsi ya kupaki ili polisi wasigundue nani sehemu gani huwa hawakagui
AAA umelud
Wamemuchomea huyo Either kazulum mwenzake kamuchomea
Huyu happy ashanikera cku moja bhas tu anaiharibia jina shabiby
Bangi hiyo ya mkoa gani?
Ongela
Pelekandan.awowauzabangi.wasteketezejami
Acha wavute ili walime vijana
Shida nyoko...
Kwan konda anaruhusiwa kumsach abiria??
Nadhani wangeweka utaratibu wa kukagua abiria kabla hajiangia kwenye bus kama wafanyavyo airport.unaweza beba jambazi likateka bus zima
Hapa haziendi tupwa najua
Mkikamataga bangi na madawa mnapelekaga wapi..?!samahan lkn
inasemekana kuna benki ya kuhifadhia, kama zile za kuhifadhi almasi na pesa..alafu mwisho wa siku watu aina mbalimbali wanatembelea kujifunza kitu
👌
Tulosikia baba lao kweny post ya Millard ayo tujuane, hapa
The united state of ARUSHA. Hyo ni fake huku tuna kitu og bab ukivuta tu unajikuta mzungu wa muda mfupi🙅🙅
Kiki hyo
Ni vigumu saana kujua mtu kama konda
Jiungereo.uwebrioneyazaidi.+255762297199
Ongela Kamanda wa polisi
Gilles Moroto nimekuwa nikifuatilia Operation zake kwa mda sasa.Namuombea mungu siku moja apate kuwa IGP. AMIN !
Mbona pombe pia inamadhara serikali inatudhuru wananchi