Polisi Dodoma walivyowanasa wahamiaji haramu “Utaikuta milion 8 Jela” -RPC Muroto
Вставка
- Опубліковано 4 сер 2024
- July 4, 2018 Jeshi la Polisi Mkoa wa Dodoma linawashikilia wahamiaji haramu 40 raia kutoka nchini Ethiopia wakiwa wanasafirishwa kutoka Arusha kuelekea Mbeya wakiwa kwenye gari aina ya scania naomba za usajili T.898 AHM mali ya kampuni ya SANVIC LTD lililokuwa likiendeshwa na Julius Kitoma (57)
Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake Kamanda wa Polisi Gilles Muroto amesema kuwa wahamiaji hao haramu walikamatwa katika kijiji cha Kuhi Wilaya ya Kondoa, Dodoma wakiwa na wenyeji wane raia wa Tanzania. - Розваги
Kama unamkubali watapata tabu sana gonga like 😂😂😂
ali mussa sana baba!
ali mussa sana baba!
kutaifisha gari ni uonevu mkubwa!!!mwenye gari hahusiki..huo ni ujanja wa dereva na utingo sio mwenye gari...naomba hili liangaliwe..
Hongera sana, maaskari hao wapandishwe vyeo. Tunaombà
Hongereni sana Ayo Tv mko poa sauti safi .image safi sana big up
😃😃😃😃😃 jmn kamanda etiii Utaikuta Milioni 8 Gerezani 😃😃😃😃
we usibane pua hongeya vizuri
mheshimiwa hawa wanashida he sisi twaweza kuwapahifadhi. Au tutawarudisha hukohuko walikokimbia Vita.
Mroto ajawai kutuangusha safisana mkuu
Anavowaitaga sasa njooni hapa 🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃
Awa madereva wawekwe ndani bila huruma maana wanongoza kuleta wahamiaji haram😠😠😠 kuhusu chombo ilitakiwa aje alipo tu faini msilitaifishe jamani maana mwenyewe sidhani kama angeiubali kubeba hawa wahamiaji akiwa anajua ni kosa
Kazi nzuri
Yaani hapa mzee magu anafurahi sand.
Sasa lorry lina kosa gani ? Kosa la dereva linamfanya mwenye Mali kupokonywa Mali yake. Hiyo ni dhuluma kubwa kabisa. Kosa kalifanya dereva, inatakiwa achukuliwe hatua dereva Sio gari nzima kutaifishwa.
Wata pata tabu sana
Kukamata Gari Ni Vibaya Dereva Na Utingo Wafungwe Maisha Kwasababu Madereva Watakua Wanafanya Kusudi Kubeba Waamiaji Nyinyi Porisi Mnataka Habari Na Mabosi Wa Magari Nao Wanataka Habari Kwasababu Watenda Zambi Ni Dereva Na Konda Wafungwe Maisha Madereva Wamejawa Tamaa
Duuh sasa hewa wanaipataje jamani kwenye gari
Askari wamefanya kazi kubwa lakini utakuta askari amekaa kwenye cheo kimoja kwa miaka 8 au 9 au 10 na Rais kafichiwa kuna wengine wa miaka 17!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Watapata tabu sanaaa
Jamani msameheni baba yangu
Kamanda nakuelewa sana siyo wetu huyu mambo bado
Mahakama itajua
Mimi nauliza kwamba container ikifungwa haina sehemu ya kuweza kupumua hewa je hawa watu wanapata hewa vp
Muwahoji vizuli hao kuna bos wao tena ukute ni mtandao mkubwaaa sana fanyeni uchunguzi wakuu mtapata tahalifa kamili
alisema 200,000/= Kwa maana ya mmoja
watapata Tabu sana
Watapata taabu sana
Haya 57 years alafu miaka chini ya arobaini no drive scania is right
watapata tabu saaana
kalamba sum mwenyewe sasa yanini asipate tabuu
Watapata tabu sana
Mzee wa watapata tabu sana huwanamkubali sana
Msemo Mpya "Utaipata mil.8 jela
Kisha tunatafuta nani anavuluga amani ya nchi yetu kumbe sasa wenywe tusie kuwa na uzalendo na taifa letu ao watu ndio wanavuliga amani yetu bila ya uluma kwakua walipo toka akuna amani kwaiyo wanataka twende sawa na nchizao
Fatwima Makungu hujielewi
Siku ukitembelea nchi za watu utaacha huo upuuzi fala ww anayearibu Amani ya Africa ni mzungu boya ww ndo mana watu mnakufa maskini na roho zenu mbaya mnamuomba mtu faini ya million huku unajua kashindwa kuchukua passport ya hela ndogo ndo mana kaja bila Kibali, Africa lini tutabadilika japo uamiaji haramu sio haki Yao lakin so kwa kuwanyanyasa waafrica wenzio na kuwa treat Kama wanyama ✌🏿😭
😃😃😃😃 etiii waandishi wa Habari endeleeni kutu sifia sifiaa uyu Kamanda noumaaa etii dereva umefanya kosa hujafanya kosa?kwa nn umefanya kosa
watapata tabu sana, Nakutabiria kuwa IGP hapo baadaye
Wanatoka nchi gani?
hoa askari vyeo viwahusu Kwa kazi walioifanya sio sifa tu
Pia ijengwaa mahakama kubwaaa maana naona kama kazi hiyo itaendelea maana siyo kutokusikia huko
Pia mkuu nikupe hongera unatimiza kauli mbivu ya MKUU WA NCHI HAPA KAZI TUU NO VICHOCHOLO NOW
Utaikuta gerezan million nane 😁😁😁😁😁
dodoma tuna iman na ww mzee amin kwamba
😂😂😂😂Eti sema usikike wewe mtu mzima hahahaha mwaka huuu WATAPATA TABU SANA
GRACE MSANjila tabu sana
Sasapolisi hatawangempa milioni kumi iyohaiwahusu kosa alilolifanya kubeba watu ambawo siyowantanzania jokosatu.
Sasa chombo kinahusikaje hapo? Kweli vyuma vimekaza. Yaani hamuoni mtakuwa mumemdhulumu mmiliki wa hilo gari ambae hajui chochote kinachoendelea?
gari linausikaje hapo jomoni kweri mwenye gari sizani Kama angekubari jomoni
Rukia Mziwanda ndio nashangaa haswa. Dhulma tu bas
Nurse for life tatizo hamjui sheria, ipo sheria ya kutaifisha
Malick Makatta wewe unaejua sheria tusomee hicho kifungu kinasemaje? Au ukiamua tu kutaifisha unataifisha?
Hahahaaa tutaikuta gerezani hizo milioni nane tuzinywee supu...