'MAUAJI YA MWANAJESHI JWTZ/WANAJESHI WANAPIGA WATU KAWE' - RC CHALAMILA AFUNGUKA CHANZO..
Вставка
- Опубліковано 12 вер 2024
- #OFFTRACKTV #offtracktv #kawe #mauajikawe #trending #rcchalamila
Karibu kujiunga na Channel yetu ya WhatsApp kwa Habari, Matukio, Burudani
BONYEZA LINK 👉👉 whatsapp.com/c...
KWA HABARI ZA KITAIFA,KIMATAIFA ELIMU,MAKALA NA BURUDANI KWA UHAKIKA MASAA 24,TUFUATILIE OFFTRACK TV.
PIA USISAHAU KUSUBSCRIBE OFFTRACK TV
/ offtracktv
Email | info@offtrack.co.tz
🔴 JE, NA WEWE UNA HABARI AU UNAHITAJI KUTANGAZA NASI?
🔴 WASILIANA NA OFFTRACK TV : (+255 769 612 166)
🔴 Email: info@offtrack.co.tz
Www.offtrack.co.tz
𝙏𝙝𝙖𝙣𝙠 𝙔𝙤𝙪 𝙁𝙤𝙧 𝙒𝙖𝙩𝙘𝙝𝙞𝙣𝙜
...............................................................................................
Subscribe: / offtracktv
Karibu kujiunga na Channel yetu ya WhatsApp kwa Habari, Matukio, Burudani
BONYEZA LINK 👉👉 whatsapp.com/channel/0029VaDFvPE9RZAg9slXGy0e
Mkuu karibu Tena Ngome ya Yesu Kwa Kuhani na Mwalimu Musa Richard Mwacha tuombee Tena Taifa letu. Haya yote yanatokana na watu kukosa maadili na hofu ya Mungu. Bwana Yesu Kristo Akubariki sana Kwa jitihada zako za kutunza amani katika mkoa wetu.
Polen sana ndugu ,Umeongea vizuri sana leo ndugu yangu ,hongera kumbe unajua kitaani watu wanakutana na changamoto gan
Nakuelewa sana mkuu, maelezoyako ya leo yamenyooka kabisa na mifano thabiti mungu awe nawe.
Izo intek mpya wanapenda sana sifa wanakuja wanawaletea unyonge wananchi waambieni waache izo tabia sio Nzuri kuna watu hawapendi unyonge kabisa
Aliye uliwa ni luteni kanali! Sio intake mpya kaka
Acha usenge ww, hatukukwambia ukose ajira bwege ww
Wanafanyaga uswazi tu sehemu za wanao fagilia na kuona kuwa mwanajeshi umefika kimaisha. Kuna sehemu huwezi kufanya na huko kawe ni itakua uswazi tu. Ndio maskini kwaaskini wanavyofanyianaga
@@miltonjohn9779jichanganye jifanye soldier ujikute
@@miltonjohn9779wakileta upumbavu kwa wananchi watajuta,kwa wananchi hata komando akijilengesha anapigwa nawe anakufa
Uwa
Nakuelewa
Sana
Muheshimiwa
Hongera
Jamaa anajua sana 💪
Mungu hakupe maisha marefu charamira uitetee tanzania yetu tufike mbari baba kaza but kazi hienderee🔥💪
Mungu ibariki Tanzania 🇹🇿 ♥️ ❤️ ❤❤
Mheshimiwa jeshi la polisi la Tanzania awafati shelia asilimia 90 % niwabovu na msipoliangalia kunasiku watajibiwa
Sio polisi ni JWTZ
Hivi binadamu mwenye akiri timamu anaweza akaamua kumuua mwanadamu mwenzake bira sababu...!!??...tafuta kwanza chanzo kilichosababisha mpaka yakatokea hayo mauaji...usikimbilie kulaumu na kutuhumu upande mmoja hata askari ni binadamu kama binadamu asiye askari anayomapungufu...huu ni mtazamo wangu
je umezaa mweshimiwa hata Mwenyezi Mungu hajatulea kama tulivyo
Kawe Ina vijana waliolelewa vibaya Sana tena wazazi wengi wa kawe wamewaachia vijana wao vibaya acha wapigwe tu
Mkuu wa mkoa mm nimefurahi sanaaa zaid ulipo watoa malaya mwananyamala
sasa nikufumanie na mke wangu hata wew rc ntakuelekeza kibla 💣💣💣💣
Hahaaaaa
Mbona unaropoka unajua sababu ya ugomvi ?
Hongela sana kwakazi bola
hongera mueshimiwa kwa maneno ya busurs
Mkuu wa mkoa nakuelewa sana.natamani nipate nafasi nijifunze kwako kitu .
Wanajeshi wanaingia mtaani kupiga watu mkuu wa mkoa unakaaje kimya? Kesi ya mauaji ni ya polisi sasa hao wanajeshi inawahusu nini hata kama ni mwenzao?
Recpect military
Mimi Kuna mwanajeshi mmoja ninamdai pesa zangu alichukuwa vitu vyangu na ataki kunilipa anatumia ubabe
Nipe location wapi alikutapeli
Kessi ya madai peleka mahakamani upatiwe haki yako
Ndio zetu na bado utasema
Mkomeshe
Sasa hapa mahakamani, unaacha kwenda kwenye vyombo vya sheria unaleta majungu yako mtandaoni
Kawe hii si mara moja kuua wanajeshi,inasikitisha sana ,pole sana familia ,vijana wanavuta bangi hapo stendi kweupe peee hapo ukwamani 😂 hawana wasiwasi ,tunaelekea wapi
Wawaue tu kwasababu hao polisi wanawatesa raia Sana vizuri tuu
@@aisharamdan8358 😄 🤣 😂 😆 😄 🤣 sawasawa
Huyo nwanajeshi ni waupanga au
Fact
Hamuwezi kuwasema vibaya polisi maana bila kujijua,wanatetea utawala wenu,ila mungu hamfichi mnafiki
tulia tulia hayajakukuta
Kabisa umeongea points hawa POLICCM na chama chao
Ukweli ni kwamba hata Hawa wejeda huwa wanajiona wao ndio Kila kitu anaweza fanya chochote Kwa kujua yeye ni mjeda wenye tabia hii sio wote ila wengiwao ndio tabia Yao
Kwani hujui mwanajeshi ndie mwenye ichi kwanini benerela inashushwa saa 12 jioni nchi inakabiziwa kwa wanajeshi kwaiyo acha kubwabwaja kama unaona ni lahisi nenda na wewe ukawe mwanajeshi basi
😅😅😅😅jeshi lipo urusi huko linapambana.vita .ila so ubaya sote ni udongo hakuna nunda wa chuma,risasi ,kisu .sote tuna moyo Tena nyama.
Waoo kama sio raia
wanajeshi wanaonea sana watu wapigwe tuuu
Walikuonea lini, wapi, na kosa Gani? Weweeee funga domo lako utahama kama.roma fala wewee unajua yule mwanajeshi ametengenezwa Kwa garama Gani Mpaka kafikia pale
@@mbagaherbal4796hahaha mbona hasira
Sawasawa kabisa kwani mwanajeshi yeye Mungu akizingua anazinguliwa tuu hakuna kuogopana hapa
Nidham ndio kila kitu
Mungu akulindi Baba Chalamira.
Mnajua ndugu watanzania wenzangu cheo cha kuitwa mwana jeshi haitoi wala kuruhusu yeyote miongoni mean kuona anaweza mnapoamua kuingia kwa namii mtaani huko kuna nguli wa fujo na ngumi za kukata na shoka hivo ndugu zetu wakuu wa ulinzi na usalama TZ ni ya amani hawa wanaojiona wababe pigeni chini warudi wawe wababu mtaani kma watatoboa.Mungu ibariki TZ
Musipo kuwa makini itakuwa kam somali police hawatendi haki na wanajeshi wanakuwa na sifa
Sawa sawa 2 kwan hao wenye sale za ulinzi wa nchi weng wao wanajiona ni kama Mungu wa2 kwenye nyafac walizonazo
Mmh location
95% hao wanajeshi hawapendwi na wananchi kwa sababu ya ubabe wao bila sababu tunaishi mtaani wanafanya mengi ya kuumiza wananchi na nchi inakaa KIMYAAA...washukuru tu silaha zinawalinda
Pia wakati mwingine wawe wachamungu wamuogope mungu askari muislam asome Quran afanye ibada ukiwa mkiristo Fata amli ya dini yako
Ni bora wafe wanajeshi 10 kuliko raia mwema 1 afe!
"Hii ni kanuni ndogo tu" Wanajeshi wanakula kiapo kuifia nchi,ikumbukwe nchi inamilikiwa na wananchi!
Mwanajeshi sio chochote sio lolote kwa mwananchi.
Tatizo ninyi wanasiasa ndiyo mnaoharibu nchi ndo maana wananchi wanaingilia majeshi yetu na hayo ndo matokeo
Kama kuna kitengo cha ulinz na usalama kimeoza bac polis hawa jamaa ni ovyo kabisa wanakamata watu bila makosa na utok bila pesa binafs polis wafe tu
Wanakula sana rushwa hao
Solushen ya yote haya ni hili tu 👇🏿
#katibampyanisasa #TUSIKUBALIKUSHIRIKICHAGUZIBILAKATIBAMPYA !Hiyo ni kushiriki Dhambi !✍🏿
Tungepata namba zako mheshimiwa
Wow
Huwo cyo uzalendo je waliopigwa ni wote walimuuwa mkuu wa mkowa umekosea Shelia ndo mcngi wetu cyo uhuni ata awo wanajeshi walio wapiga laiya kwakuwa mwenzao kauliewA hawana tofauti na wauwaji wa uyo wanajeshi wote ni wahuni
Jeshi la wananchi, pia lijitathmini, mara nyingi wamekia wakinyanganya raia mavazi yenye mabaka yasiokua ya jeshi lolote wao wanadai ni za KWAO wanachukua wakijua wazi sio Sare za jeshi na hawawezi kuzivaa jeshin. Inawezekana ndio chanzo
Hapo nakupa sapoti, umekuwa mkweli na umesema kwa haki. Haki itasimama tu, naomba uje huku MAJOHE CHUO RADA GONGOLAMBOTO nasisi tuna kero zetu nyingi. Tenda haki, na watu watakupenda.
Kuna tatizo huko maana na mm nimejenga huko naogopa 😂
kero gani hizo ndugu
Ombi Ndugu yangu Mwachalamila Hakuna Mzazi anayelea vibaya mtoto wake Mwizi Wa kura na kibaka wote ni Watoto wetu Tuheshimianetu ukiona wakwako hajawa kibaka au Mdangaji Mshukuru sana MUNGU kwa kuku pendelea
Mkuu wa mkoa Mungu akubariki sana kwa kusema ukweli.
Ukweli upi bila shaka na wewe ndo walewale
Ibilisi uwa ..acha kujenga hoja vyo
Mimi polisi alinikodi tulipofika kituoni akanigeuka akasema nilipe faini za sumatra
😂😂😂😂
Waiiiih ngachokaa na wanduuiiwa
Aisee
Balaa
Boss nae anaogopa wajeda😂
Mkuu wa mkoa leo umenifura isha kumbe ilikuwa mda tu watu wakuelewa vizure
Yan ao wanjeshi nao Wana zingua mfano apakwetu Kuna mwanajeshi alikuja kununua chips alikokua,amesimama akatoka aja upande wa pili uo upande wa pili alio hamia yy akamkanyaga mtu asimuombe msambaa kwamba amekosea akaanza kumkolomea yula kaka kisa tu kamwambi umenikanyaga anacho mjbu ntakupiga ikabidi ss tuingile Kwa Hali kama iyo ustarabu uo
Huyo MwanaJeshi kama alikuwa mduwanzi kuuliwa sawasawa tuu, maana hakuna mtu anayeweza kukuua au kumuua mtu bila kosa, mimi mwenyewe mtu akiingia 18 Zangu alafu ananiletea pigo za kiwaki namalizana nae kiume tuu......
Jela inakungoja
@@joharifarahani2739 kwani Jela kajengewa mamaako funga domo lako hilo Pumbavu
@@joharifarahani2739na hafungwi ukizingua kashasema anakufyekelea mbali..Ishi kwa tahadhari..Usipuuze Kila mtu
@@joharifarahani2739 🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂😂
Unachotafuta utakipata
Mweshimiwa na sisi tunakelo zetu tunaomba ufikehuku mkuu
Mnataka nifike wapi?
Endeleeni kuwachezea wanajeshi afadhali polisi mtapigwa sanaa tuu na kama hamuelewi endeleeni jeshi halina siasa kabisaa
@@Samweli-vw8jihaswaaa awajui maana ya Mwanajeshii napia mwanajeshi mbona ni Wana hekima Sana na niwastarabu
Wanajeshi nao ni vijana waliokuzwa na jamiikama walivyo vijana waliopo mitaani. Tatizo jamii yetu ina janga kubwa la kimaadili kuliko kipindi chochote kile.
Mm nasema wapigwe hadi wazee huko kawe maana hao wanaofanya makosa niwatoto wao ,kijana muhalifu hawezi kutoka kibaha kwenda kufanya tukio kawe kama Hana rafiki nahuyo rafiki sio mpangaji nimzawa
Kwa polis hao n Jipu Mkuu tena wasitetewe.
wajeshi punguzeni ubabe hausaidii duniani sote tunapita dunia sio yenu tutaiacha
Mhh jaman Congo iyoo vp rohoo tamuuu hapa ujesh naeka pembenn😅😅😅😅😅😅😅
Acha upuuzi,hao wanajeshi wanaonea raia halafu nyie mnawatetea,mfano huyo wa kawe unajua sababu ya kumuua?
Sema wewe kwanini walimuua?
Huyo mjeshi niwaupanga au
Wapigwe sana
Askari hawezi pigwa bila sababu ukizingua unazinguliwa muwe na adabu kutembea na wake za watu mtaufa sana
Ishu sio mke wa mtu ni ubishi za barabarani
ata hao wanajeshi pia wafundishwe nidhamu ya kuishi na raia ni km mwanajeshi anapigana mtaani ni aibu kwa jeshi sio raia
Hukujibu ndiyo kwasababu ya kutojali ubinadamu. Hivi haiwezekani hao waliomuua huuo mwanajeshi akawa.anatokea mtaa mwingine. Kwa nini askari wavamie na kupiga watu tu. Inawwzekana hata huyo mwanajeshi alikuwa muhuni au mlevi akawa amegombana na walevi wenzake.wakamtandika.
Mhe Chalamila ukumbukwe na Bwana
Ameuwawa kwa kesi gani,!!!
Alizingua mwenyewe, alilewa akapishana kauli na dereva bajaji usiku...mwisho wa siku baada ya kuzingua kutoka kwenye gari lake wahuni walishindwa kuvumilia wakashindilia bisibisi ya kifua
Huyo mjeda ni waupanga au
alichomwa na kitu chenye ncha kali hapa ( hapa wapi sasa )
Hawaaatu wakikopa vitu hawalipi wanatumia ujeshiwawo watuwanachoka
Na wewe unamkopesha wa Nini SI makubaliano Yenu Sasa lawama unampa Nani SI ukatae kumkopesha kwani anakulazimisha SI ukamshtaki ka anakulazimisha umkopeshe
Mana jeshi anaruusiwa kua namke wamtu?
Hapo sasa
Ndo umepigwa kihivo
Babawe askari wingi wanakula rush wa karibu wote 1:29
Kwanini kero zimeanza kusikilizwa mwezihuu wa kumi 2023/10 tujitafakari
RIP kamanda,ila huyo kijana au huyo mtu kawaletea huzuni familia hivi hakuwaza kweli
😊😊😊😊
Mimi naona unakwepa habari za jwtz kupiga watu unaanza ongelea mambo mengine
Acheni ujinga vitu mnapandisha bei mnasema msikilize kero zipi hasa kilakitu kianavulugika
Wanajeshi wako wanauuwa wangapu kwasiku kila Leo polisi wanauwa watu wanapoteza watu mbona hamsemi
Acheni kuchomeka watu wenu kwenye nafasi za ajira hayo mambo hayataisha maofisini na kw taasisi mbalimbali. Ni ndugu zenu tu
Kwani ww ukiwa na nafasi ya kuajili huwez kuajili mwanao
@@musasabuu2808sema wewe lazima umkumbuke mwanao
Wanajeshi wanasahau wao n Raia wakawaida nje ya uniform zao... Wanapoteza ungwana...na kutufanya tuzidi kuishi kwa uwoga
Unaona ni sahihi kuuliwa Kwa mwenzetu bila kosa???
Sio kweli!!
@@LORDRICKNKYAkosa lipo dingi haiwezekani mtu kukurupuka tu
@@LORDRICKNKYA sio sahihi na ndio maana nimesema wanasahau kuwa wao n raia wakawaida wakiwa nje ya uniform zao! Matendo Yao yanatufanya tuishi kwa uoga ... Kudhulumu nafsi ya mtu bila kujalisha cheo n dhambi tena kubwa sana
@@jumakapilima7295 kama mtazamo wako uko hiyo...sawa kwako kikubwa haujavunja Sheria za nchi..!
Hakuna aliye juu ya sheria, hata uwe mwanajeshi lazima Mkuu uliseme hilo kwa wazi kabisa, sasa hapo umezunguka tu hujakemea chochote, utaumiza watu wasio na hatia halafu liwe sawa??
Huyo nduguyo ana namba yako mie sina namba yko kunamwanajeshi kavamia eneo langu kibabe na kajenga nimekuja ofisini kwako sijapata msaada nisaidie namie mkuu
Jeshi halikosei ukiona wazee wameingia kazn nakuatandika ujue mmezingua jwtz Wana nizam zote bila Ivo pangenuka kwer kwer jeshi sio la mchezo
kwn awo wanajeshi ni Malaika kuwa hawawezi kukosea au?? Acha kuwatukuza binaadamu wezako kiasi icho. Punguza shobo
Haswaa kabixa sipingi wananizam haswa na upendo uraian ila vijana na banging zao wanajifanya wababe wataozea jela
Dah mh nimekuelewa kwelikwel chalamila
Kiukweli police wanazingua kama uku kwetu iringa rushwa imetawala sana nauwongozi upo mtu anakamatwa na bangi anatozwa pesa alafu bangi wanachukuwa askari wanafanya biashara wao nihaki kweri
mbona nyie CCM mnaua kila siku?? Hivi nani alichunguza kwanini mwanajeshi kauwawa? Inawezeka huyo mwanajeshi alikuwa mhalifu? Askari wana mamlaka gani ya kuchapa raia?
Acha kuongea usichokijua kijana ongea hivyo tukiwepo ndio tukupe taarifa ilivyo
Wewe ndo ulimtuma aje amuuwe askari wetuee?? Ngoja tukutraki
@@LORDRICKNKYAilikuaje hii duh poleni
Kama alikuwa mduwanzi huyo mwanajeshi sawasawa alivyouliwa tuu, huwezi kutumia uduwanzi kwa raia kisa wewe mwanajeshi......
@@mbagaherbal4796acha vitisho wwe jibu jibuhoja kwahoja kunawatu wanahitaji kuelimika, kwani hakuna wanajeshi waonevu? Au unataka ushahidi. Hakuna raia watz anaeweza kumvamia mwanajeshi bila sababu
Mama na mtoto sio ndugu
Kwanza neno wanajeshi hiii 😱😱😱
Kwahyo ww unaona nini rabda cha ajabu
Jesh ni ulinz wa taifa na sio kuwatisha wenye taifa lao
Kwanza watt wa mabos hatufanyi hzo usenge kaz hata kusafiri miziki yan we ukisafiri unaenda kutolewa chambo
Kuna baadhi ya wanajeshi sio wastaarabu. Chunguza kisa cha huyo mwanajeshi aliyeuwawa. Nidhamu isiishie jeshini tu. Nidhamu ni mpaka uraiani. Huo ndo uzalendo, wanajeshi wafundishwe hilo.
Hii Issue Ni Kubwa Sana
Msitutoe kwenye mstari
Ombi langu kwa jeshi la polisi nikutimiza kazi zao kwa weredi
Tatizo wanapo maliza mafunzo yao baazi yao wanaona kwakuonekania nikwaraia ebu wajirekebishe kwakweli
Sura ya Huyu Jamaa ni kama Mlevi
Na kila akiongea ni Utumbo mtupu!!!sijui walintolea wapi huyu kiraka
Wapigwe sana tena sana
Mtoa post kaweka picha za JWTZ mbona haihusiani na taarifa Hiyo Sasa,, Kuna JESHI Na Police tofautisha mtoa post
Jeshi na polisi ndio Nini tena, Mimi najua kuna jeshi la magereza, jeshi la jwtz, jeshi la polisi, jeshi la zimamoto
Polisi wanazingua muheshimiwa kama uamini niulize mm polic so watu japo so wote
Duhh
Kijana HUYO fala tu.
Duuuuh
Hali iyo inakwenda kuhalibu amani tuliyo itunza kwa miaka mingi
Mafuriko yataisha lini dar jamani lini lini
Hiyo ni hatari,ila kutakuwa na shida Fulani iliyosababisha kifo
Mheshimiwa hapo umenyoosha Rula