#Live
Вставка
- Опубліковано 13 жов 2024
- #arisendshinetanzania #2024mwakawambinguzilizofunguka #mwamposalive
#tanzania #daresalam #afrika #afrikamashariki #ariseandshine #AFRICA#tanzania#dar#tanganyika#ubaloziwambinguni#kawe
Don't Forget to Subscribe to get The Latest Videos
From Apostle Boniface Mwamposa Bulldozer.
WATCH ARISE AND SHINE TV
AZAM CHANNEL 469
STATIMES ANTENA CHANNEL 117 | STARTIMES DISH CHANNEL 198.
Amen operation ya moto mnoo,maadui zetu wote wameangamizwa ktk jina la Yesu amen
Baba nakuomba leo kupitia mkesha usio sahaulika kila maisha yangu na familia yangu yote tufunguliwe kila eneo la maisha yetu yote ktk jina la yesu kristo ameeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeen
Naomba ulinzi wa familia yangu na Mme wangu afunguliwe na kesi yangu ya madeni ime Keisha kWa jina la yesu
Naomba Mme wangu anipende na apate ela za kutosha kWa jina la yesu
Baba nipokee ubongo sahihi nifahuru kwenye masomo yangu yote na kila eneo la maisha yangu yote ktk jina la yesu kristo ameeeeeeeeeeeeeeeeeeeen
Mungu mwema nataka nilipwe pesa zangu zote ninazodai toka halmashauri na kila alikuwa na pesa zangu anilipe haraka sana na nimaliza madeni yote mwezi huu amen
Naomba nipate kibari kazin Naomba ulinzi wa kazi yangu kwa jina la yesu
Baba kawalinde watoto wangu baba na mdog angu griberty wakae vizur Kwa maadil ya mwenyez mungu amen
Baba nakuomba bas mama apate unafuu baba ni wik sasa mama kalala bila kunyenyuka baba ninaiman ucku wa Leo mama atakupa vizur na atapokea upako huu ameen
Yesu nisaidie nipate nuru usiku na mchana amina
Naomba familia yangu ifunguliwe kiuchumi na levis afunguliwe kiuchumi na nyumba yetu tunayojenga tumalize haraka na kwa njia rahis kwa jina la yesu
Mungu ninakuomba watoto wangu wakafaulu masomo yao
Mungu naomba anisaidie kwenye biashara yangu nikazidiwe na wateja pia watoto wangu wakawe vichwa shulen mume wangu pia akazidi kupata kibal kazin kwake
Naomba unisamehe yesu kristo
Naomba biashara zangu zikuwe na nipate mkopo kwa njia rahis na nilipe kodi ya nyumban kwa njia rahis kwa jina la yesu
Mungu nataka maziwa yangu yakauke kirahisi tu
Tumeisha kombolewa. Amen
Mungu mponye mwanangu unifungue na mimi
Mungu atufunguwe nasiye ki uchumi mumewangu ba mu ite mukazi atoke mukazi ya ulizi
Mungu nina omba yumba yangu ika funguliwe
Mungu ninaomba mtoto wangu wapate wake wema
Mungu ninaomba mamaangu apone haraka kama Kuna njia za Giza baba kazivunjevunje baba kanyooshe mkono wa kiume baba kamsimamie kama Kuna dhambi ambayo alikukosea baba msamehe baba ninaamin baba utatenda amen
Naomba levis afunguliwe kWa jina la yesu na awe mtoto baraka na aelew darasan na afanye kazi kwa za darasan na amuelew mwalimu na ian afunguliwe awez kufaulu na awe wa kwanza
Namba mungu afanyie mume waku upesi kikazi miaka nane ana kazi
Kabda ya tarehe 1 mwezi wa 8 naami nitakutana na mzungu sahii atanipenda njisi nilivyo na ulemavu wangu 😢🙏🙏🥲
Bwana nimechoka masimago na zarau nimechoka baba aibu nimechoka bwana nipe mwanaume atakae nipenda ulemavu wangu
Amen🙏
Beka aniletee friji langu kwa jina la yesu aşırılır mpaka anipe asitulie
Najiungamanisha leo kwenye upalesheni nikapokee uponaji kwenye ngozi yangu
Najiungamanisha nipokee biashala
Levis awe wa kwanza darasan
Ameeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeen
Maiomba biazara yangu itoke Shana nanifanhikeve na nipate pesa watu waje Shana na naiombeia.
Mtumishi naomba umuombee baba yangu amepararas Ana mwaka sasa yupo kitandani ..nikmbee na mwanangu apate kazi ..Nami naomba uniombee nipo nchini Oman na sumbuliwa na mgongo na week sasa mgongo una choma
Naomba nipone mangonjwa yote na uchumi wangu ufunguke kwa jina la yesu