AFUNGULIWA NA KUTENGWA NA NDOA YA KIROHO (FULL VIDEO HD)
Вставка
- Опубліковано 6 жов 2024
- Ibada Hii Ilifanyika Kanisa La Vuka Yordani Kisongo Waya - Jijini Arusha Tanzania na kuongozwa na @Bishop Elibariki Sumbe Mwangalizi na Askofu Mkuu Wa Makanisa Ya Grace Evangelical Church Tanzania (G.E.C.T)
Follow Our Social Media Pages :
/ bishopelibarikisumbe
/ bishopelibariksumbe
tiktok.com/Bis...
/ bishopsumbe
Website
Vukayordani.Org
LIKE | COMMENT | SHARE.
UBARIKIWE.
#VukaYordaniChurch #KisongoWaya #ArushaTanzania
We Mungu wangu kupitia ushudà huu na maombi ya Mtumishi wako niponye na Mimi miguu, kiuno, mgongo, mishipa ya dam, weka Ute kwenye mifupa yangu, niponye
Mungu nakuomba kupitia ushuhuda huu, na maombi ya Mtumishi, nifungue na Mimi na uzao wangu na familia yangu vifungo vya ibilisi vituachie, tukutumikie wewe peke yako Mungu
Eeh mwenyz mungu kupitia ushuhuda huu nifungue na mi.
Niguse nami bwana Yesu niko hapa mombasa nifungue.
Akufungue Kwa lipi, kwanza tupu zambi zako alafu umwabudu mungu katika roho na kweli ndo kufunguliwa: hiyo ndo ufunguo wa maisha yetu
Mungu anisaidie mm nipat mume mwema
Pia mke wangu afungulie ktk jina la yesu
Nami pia naomba nifunguliwe kupitia haya madhabahu nipone chronic infections na ndoto mbaya yaishe kwangu in Jesus name
Eee mungu baba naomba nami nifunguriwe nitenganiswe na ndoto mbaya
Mungu nikubuki ewe Elshaddai
Amina
Mungu nikumbuke nami nifunguliwe mbona shida zinanisonga,
Eee mungu nifungue na mm sijaolewa na mda uumeenda nataman ndoa kupitia dada wa uganda alivyo funguliwa na mm yesu anitendee
Niko kenya
Utaolewa tu dada yangu ingia Kwa maombi
Mungu akubariki pastor, nimebarikiwa na ushuhuda huo nguvu ya ufunuo izidi hakika.
Ahwiiii !! Rose! Rose!!! Kweli !! Mbona hivyoo? Mungu wee!! Sijui niseme je!! Hio ni message tosha!! Mungu weee! Wasaidie walio wa kwako !! Yesu ni njia na uzima na ukweli !! Msema kweli ni mpenzi wa Mungu na hufanikiwa ktk yote.
Amen ,pia mm nifunguliwe na hio roho ya ndoa za kiroho ,mungu anibariki na ndoa yangu
Mungu naomb nifungue kupitia huu ushuhudu
Ameeeen tenda miuniza
Mungu naomba na mimi unifunguwe ukifunguwa wangine na mimi niko na mtu ananigusa usiku nanamusikiya naamuka naomba naomba Mungu anifunguwe sana🙏
Ufunguo wetu ni yesu kristo , kumwabudu katika roho na kweli ndo ufunguo wetu
Asante Mungu
Naomba namimi unifunguwe unapo gusa wengine Nami niguse usinipite😢
I tap the deliverance in Jesus Christ,amen
Mungu naomba kupitia ushuhuda huu nifunguliwe nipate mume sahihi maana naishi na mganga wa kienyeji yesu nisaidie
Asante nimebarikiwa sana nitafunguliwa kupitia ushuhuda wa huyu dada.
🙏
Nami naomba unifungue katika jina la yesu usinisahau mungu
Nami naomba unifungue katika jina la yesu.
Amém 🙏
Amen barikiwa sana mtumishi 🎉🎉🎉
AMINA anavyofunguliwa mama huyu katika ndoa yangu nami nafunguliwa.
Mungu funguwa watoto wangu namimi puyaa
Amen bishop, naamini na Mimi nimepona kupitiya iyi Maombi naufungulivu.
Bishop sumbe niombee nipone magonjwa yote na nifunguliwe kiroho Roho ya kuomba imeondoka mwezi wa tatu sasa naumia sana
Bishop nakufuatilia vizuri, Nina shida ya kukataliwa, Kila nikipanga haitimii.😊
Pastor niombee msichana wangu apate KAZI tumetexeka sana
Dunia ina mengi kumbe watu wametekewa Hasa Mungu fungua Watu wako Wanaoteseka
Eee mungu naomba nami nifunguliwe🤲
Amen and amen in the might name of Jesus christ
Barikiwa sanaaa 🙏 mchungaji
Mungu anitendee na mimi jamani, nimeipata misscarage 6, na hapa nilipo nina ujauzito na doctor kaniambia hakuna mapigo ya moyo ya mtoto, mungu anitendee na mimi.
EeeMungu tunususuru na hizi roho Kwa jina la yesu
MUNGU akubariki sana
Asante Mungu kwa Wema wako
Naomba unifungue na mimi Mungu
Mungu mkuu ninakushukuru kwa uponyaji
Nisaidie yesu mwema
Yesu ni Bwana
Eee mungu naomba na mim nitenganishwe na ndoto mbay za kutisha
Mungu nami nfunguwe ukaniondele hayo mateso
Sifa zi murudi mwenyezi Mungu
May the Lord Jesus Christ deliverer you
Hata mimi nafunguliwa in Jesus name.
Mwenyezi MUNGU ni mwaminifu, naomba mimi pia mwenyezi MUNGU anifungua katika jina la YESU christo
Amina namimi ninaamini nafunguliwa kwa jina la yesu
Yesu kwa kupitia mama huyu napokea uponyaji kwa jina la Yesu, Yesu niondolee na nguvu za giza zinasonitesa miaka mingi,Ee Yesu nisaidie.
Mchungaji ndoto za huyo mama zinafanana za kwangu, Yesu nisaidie nipone.
AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN 🙏🙏🙏🙏
Baba naomba kufunguliwa nipate ndoa yangu na nipate mtoto ee mungu niulumie
Niguse na mm mungu
Eeee Mungu nikumbuke na mimi
Naomba mungu anifungue na mimi
Pia mimi nasumburiwa namajini kaba niombeeni n jesus name
Wonderful from God
Hio ni roho imenikalia kwa muda mrefu lakini kupitia kwa huyo dada nitafunguliwa kwa jina la yesu
Mimi pia dada angu kama hivo namimi ninaimani itafunguka🙏🙏🙏🙏
Amina
Amina
Niombeee naumwa mgongo na kiuno
Glory be to God🙏
Powerful 🔥🔥🔥🙏
Amen
Kweli Mungu yupo🙏
God is everything
Amen Amen papa
Amen 🙏🙏🙏🙏
Imeshindwa kuzimu kwa jina la yesu
Ameeeeen 🙏🙏🙏🙏🙏
Devota ezekieli kutoka keñya watoto Wangu wamekuwa vituko sijui ñini nisaidie mtumishi
Ee mingu naomba maombi nami naota nazaa watoto kwenye ndoto
Nami pia namini nitafunguliwa kupitia huyu dada
Hiyo iliisha sasa
❤❤❤❤❤❤
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ amenn
Ameen baba
Nimeachika 10 yeas paster niombee plz
Njoo na iringa mtumishi
Ameeeeeen
Naomba pasta niponye nyonga inauma na pia nimeshuka kiuchumi nisaidie baba
Huyu mchungaji awezo kuwa ufunguo wa maisha yako wewe
Nifunguliwe kutoka kwa maroho ya ndoto mbaya na watoto wangu wafunguliwe kimasomo walirudishwa nyuma na watu najua
Nami naamini yesu ananifungua sasa hii.amina.
Ee mungu naomba nifunguliwe na mm kupitia madhabahu hii
Amen hakika ww ni MUNGU TU
👏👏👏👏👏👏
Watu wanajua kutesa wenzao
Niko Kenya,nawapata vipi watumishi,nataka kuja kanisani.
Ikawe kwangu kupitia ushuuda huu
Unapogusa wengine baba naomba niguse na mm
Emungu na omba na mimi nifunguriwe
Samahan asikofu mbona huyu mwanamke alikuwa ni mwana maombi lakini imekuwaj haya mambo kwamba alikuwa hajasimama vizuri kiroho au shida ilikuwa nini?
Abariko mutumishi wamungu naitwa saitoti laizer naomba uniombee maana Niko kazi nafanya lakini sioni mavanikio nalipwa kbisa lakini sinyanjii kitu maisha yangu inayumba yumbatu nataka kuja kwako baba uko wapi
Uko mtaa gani mwanza pia dar?
Kila ufanyacho fanya kwa upendo
Kufunguliwa, Sawa. Kwa Nini ameachana n'a même wake wa kwanza? Atengeneze n'a mumewe wa kwanza
MUNGU ndio aichunguzae mioyo yetu..
Kuachana kwake kulisababishwa na hayo majini mahaba na yakitoka yawezekana mume wake akarudi kumtafuta.HAYO NI MABAYA SANA NA YANAVURUGA KILA KITU
Mch,naomba maombi yako natamani ndoa na walionizalisha wamenikimbia nimebaki na watto wang wachumba wanakuja ila hawarudi kutoa mahari ila kupitia ndoto naona yupo mmewang ila bado kumuona naomba yesu anikumbuke na nivuke mlima
Yesu nikumbuke na mimi
𝑀𝑢𝑛𝑔𝑢 𝑛𝑖𝑘𝑢𝑚𝑏𝑢𝑘𝑒 𝑛𝑎𝑚𝑖
Nami pia naomba nifunguliwe kupitia haya madhabahu nipone chronic infections na ndoto mbaya yaishe kwangu in Jesus name
Amina