AFUNGULIWA NA KUTENGWA NA NDOA YA KIROHO (FULL VIDEO HD)

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 6 жов 2024
  • Ibada Hii Ilifanyika Kanisa La Vuka Yordani Kisongo Waya - Jijini Arusha Tanzania na kuongozwa na @Bishop Elibariki Sumbe Mwangalizi na Askofu Mkuu Wa Makanisa Ya Grace Evangelical Church Tanzania (G.E.C.T)
    Follow Our Social Media Pages :
    / bishopelibarikisumbe
    / bishopelibariksumbe
    tiktok.com/Bis...
    / bishopsumbe
    Website
    Vukayordani.Org
    LIKE | COMMENT | SHARE.
    UBARIKIWE.
    #VukaYordaniChurch #KisongoWaya #ArushaTanzania

КОМЕНТАРІ • 129

  • @barakawilliams5386
    @barakawilliams5386 3 місяці тому +1

    We Mungu wangu kupitia ushudà huu na maombi ya Mtumishi wako niponye na Mimi miguu, kiuno, mgongo, mishipa ya dam, weka Ute kwenye mifupa yangu, niponye

  • @barakawilliams5386
    @barakawilliams5386 3 місяці тому +1

    Mungu nakuomba kupitia ushuhuda huu, na maombi ya Mtumishi, nifungue na Mimi na uzao wangu na familia yangu vifungo vya ibilisi vituachie, tukutumikie wewe peke yako Mungu

  • @HadijaYahaya-hu9ze
    @HadijaYahaya-hu9ze 3 місяці тому +2

    Eeh mwenyz mungu kupitia ushuhuda huu nifungue na mi.

  • @ProphetMasunga
    @ProphetMasunga 3 місяці тому +1

    Niguse nami bwana Yesu niko hapa mombasa nifungue.

  • @Dieudonnemasango
    @Dieudonnemasango 2 місяці тому +1

    Akufungue Kwa lipi, kwanza tupu zambi zako alafu umwabudu mungu katika roho na kweli ndo kufunguliwa: hiyo ndo ufunguo wa maisha yetu

  • @HildaBernard-t3n
    @HildaBernard-t3n 2 місяці тому

    Mungu anisaidie mm nipat mume mwema

  • @FurahaAmani-v8g
    @FurahaAmani-v8g 2 місяці тому

    Pia mke wangu afungulie ktk jina la yesu

  • @josinteromondi
    @josinteromondi Місяць тому

    Nami pia naomba nifunguliwe kupitia haya madhabahu nipone chronic infections na ndoto mbaya yaishe kwangu in Jesus name

  • @Eddylast
    @Eddylast Рік тому +3

    Eee mungu baba naomba nami nifunguriwe nitenganiswe na ndoto mbaya

  • @HappynesMusa
    @HappynesMusa 2 місяці тому

    Amina

  • @ChanceKahambu-c3q
    @ChanceKahambu-c3q 6 місяців тому +1

    Mungu nikumbuke nami nifunguliwe mbona shida zinanisonga,

  • @RehemaElias-el3jg
    @RehemaElias-el3jg 3 місяці тому +5

    Eee mungu nifungue na mm sijaolewa na mda uumeenda nataman ndoa kupitia dada wa uganda alivyo funguliwa na mm yesu anitendee

  • @AlfonceGwambiyeBilantanye
    @AlfonceGwambiyeBilantanye 2 місяці тому

    Mungu akubariki pastor, nimebarikiwa na ushuhuda huo nguvu ya ufunuo izidi hakika.

  • @ruzindazajonas8506
    @ruzindazajonas8506 Рік тому +1

    Ahwiiii !! Rose! Rose!!! Kweli !! Mbona hivyoo? Mungu wee!! Sijui niseme je!! Hio ni message tosha!! Mungu weee! Wasaidie walio wa kwako !! Yesu ni njia na uzima na ukweli !! Msema kweli ni mpenzi wa Mungu na hufanikiwa ktk yote.

  • @LeahChiro
    @LeahChiro 2 місяці тому

    Amen ,pia mm nifunguliwe na hio roho ya ndoa za kiroho ,mungu anibariki na ndoa yangu

  • @rukiafredy8161
    @rukiafredy8161 3 місяці тому +1

    Mungu naomb nifungue kupitia huu ushuhudu

  • @RehemaMwaikenda
    @RehemaMwaikenda 2 місяці тому

    Ameeeen tenda miuniza

  • @ReineDorDiamant
    @ReineDorDiamant 6 місяців тому

    Mungu naomba na mimi unifunguwe ukifunguwa wangine na mimi niko na mtu ananigusa usiku nanamusikiya naamuka naomba naomba Mungu anifunguwe sana🙏

  • @Dieudonnemasango
    @Dieudonnemasango 2 місяці тому

    Ufunguo wetu ni yesu kristo , kumwabudu katika roho na kweli ndo ufunguo wetu

  • @AmissaNduwimana-wt6ud
    @AmissaNduwimana-wt6ud 6 місяців тому

    Asante Mungu
    Naomba namimi unifunguwe unapo gusa wengine Nami niguse usinipite😢

  • @lilianowti5477
    @lilianowti5477 Рік тому +1

    I tap the deliverance in Jesus Christ,amen

  • @CheerfulCamping-nc3vt
    @CheerfulCamping-nc3vt 9 днів тому

    Mungu naomba kupitia ushuhuda huu nifunguliwe nipate mume sahihi maana naishi na mganga wa kienyeji yesu nisaidie

  • @esnathshop7780
    @esnathshop7780 3 місяці тому

    Asante nimebarikiwa sana nitafunguliwa kupitia ushuhuda wa huyu dada.

  • @jennynico303
    @jennynico303 2 місяці тому +1

    🙏

  • @franswazNyiramuhiza
    @franswazNyiramuhiza 6 місяців тому

    Nami naomba unifungue katika jina la yesu usinisahau mungu

  • @salomeelias4748
    @salomeelias4748 Рік тому

    Nami naomba unifungue katika jina la yesu.

  • @dinacarlospaulo1722
    @dinacarlospaulo1722 Місяць тому

    Amém 🙏

  • @esnathshop7780
    @esnathshop7780 3 місяці тому

    Amen barikiwa sana mtumishi 🎉🎉🎉

  • @florajohn-z8g
    @florajohn-z8g 2 місяці тому

    AMINA anavyofunguliwa mama huyu katika ndoa yangu nami nafunguliwa.

  • @esnartkayuni558
    @esnartkayuni558 Рік тому

    Mungu funguwa watoto wangu namimi puyaa

  • @sifabeatricekelly9495
    @sifabeatricekelly9495 Рік тому

    Amen bishop, naamini na Mimi nimepona kupitiya iyi Maombi naufungulivu.

  • @monicaisuja8917
    @monicaisuja8917 Рік тому

    Bishop sumbe niombee nipone magonjwa yote na nifunguliwe kiroho Roho ya kuomba imeondoka mwezi wa tatu sasa naumia sana

  • @KastuliJohn-p1p
    @KastuliJohn-p1p 11 місяців тому

    Bishop nakufuatilia vizuri, Nina shida ya kukataliwa, Kila nikipanga haitimii.😊

  • @BEATRICEKEMUMA-r4l
    @BEATRICEKEMUMA-r4l 2 місяці тому

    Pastor niombee msichana wangu apate KAZI tumetexeka sana

  • @trophywilson7211
    @trophywilson7211 Рік тому +1

    Dunia ina mengi kumbe watu wametekewa Hasa Mungu fungua Watu wako Wanaoteseka

  • @naimarishedy1523
    @naimarishedy1523 8 місяців тому

    Eee mungu naomba nami nifunguliwe🤲

  • @purymumykarisa8863
    @purymumykarisa8863 4 місяці тому

    Amen and amen in the might name of Jesus christ

  • @naimarishedy1523
    @naimarishedy1523 8 місяців тому

    Barikiwa sanaaa 🙏 mchungaji

  • @bahatikaaya388
    @bahatikaaya388 2 місяці тому

    Mungu anitendee na mimi jamani, nimeipata misscarage 6, na hapa nilipo nina ujauzito na doctor kaniambia hakuna mapigo ya moyo ya mtoto, mungu anitendee na mimi.

  • @adventurio-co4ro
    @adventurio-co4ro 7 місяців тому

    EeeMungu tunususuru na hizi roho Kwa jina la yesu

  • @بدرعبدالرحمن-ل5خ
    @بدرعبدالرحمن-ل5خ 6 місяців тому

    MUNGU akubariki sana

  • @trophywilson7211
    @trophywilson7211 Рік тому

    Asante Mungu kwa Wema wako

  • @elizabethchiwamba8372
    @elizabethchiwamba8372 3 місяці тому

    Naomba unifungue na mimi Mungu

  • @lameckmbise4834
    @lameckmbise4834 Рік тому

    Mungu mkuu ninakushukuru kwa uponyaji

  • @JoshuaUlomi-h4o
    @JoshuaUlomi-h4o 2 місяці тому

    Nisaidie yesu mwema

  • @emanuelshila9343
    @emanuelshila9343 Рік тому

    Yesu ni Bwana

  • @Monicamallange
    @Monicamallange Рік тому

    Eee mungu naomba na mim nitenganishwe na ndoto mbay za kutisha

  • @pricillaakoth417
    @pricillaakoth417 Рік тому

    Mungu nami nfunguwe ukaniondele hayo mateso

  • @Eben-ezerNtumba
    @Eben-ezerNtumba 9 місяців тому

    Sifa zi murudi mwenyezi Mungu

  • @NGUVUYAMUNGUTV
    @NGUVUYAMUNGUTV Рік тому

    May the Lord Jesus Christ deliverer you

  • @lilianowti5477
    @lilianowti5477 Рік тому

    Hata mimi nafunguliwa in Jesus name.

  • @philistersbibi180
    @philistersbibi180 Рік тому

    Mwenyezi MUNGU ni mwaminifu, naomba mimi pia mwenyezi MUNGU anifungua katika jina la YESU christo

    • @anjelamalaas8054
      @anjelamalaas8054 Рік тому

      Amina namimi ninaamini nafunguliwa kwa jina la yesu

    • @annalivini3940
      @annalivini3940 Рік тому

      Yesu kwa kupitia mama huyu napokea uponyaji kwa jina la Yesu, Yesu niondolee na nguvu za giza zinasonitesa miaka mingi,Ee Yesu nisaidie.

    • @annalivini3940
      @annalivini3940 Рік тому

      Mchungaji ndoto za huyo mama zinafanana za kwangu, Yesu nisaidie nipone.

  • @elishaathumanathuman16
    @elishaathumanathuman16 8 місяців тому

    AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN 🙏🙏🙏🙏

  • @jeriahonkoba
    @jeriahonkoba 2 місяці тому

    Baba naomba kufunguliwa nipate ndoa yangu na nipate mtoto ee mungu niulumie

  • @mikasangida1080
    @mikasangida1080 3 місяці тому

    Niguse na mm mungu

  • @RachelTulia
    @RachelTulia 2 місяці тому

    Eeee Mungu nikumbuke na mimi

  • @MamaroziNestory
    @MamaroziNestory 2 місяці тому

    Naomba mungu anifungue na mimi

  • @millicentrabera
    @millicentrabera Рік тому

    Pia mimi nasumburiwa namajini kaba niombeeni n jesus name

  • @millicentrabera
    @millicentrabera Рік тому

    Wonderful from God

  • @Mary-hx9yn
    @Mary-hx9yn Рік тому +16

    Hio ni roho imenikalia kwa muda mrefu lakini kupitia kwa huyo dada nitafunguliwa kwa jina la yesu

  • @ScolasticaJoseph-r8y
    @ScolasticaJoseph-r8y 2 місяці тому

    Niombeee naumwa mgongo na kiuno

  • @lovelynermbuche1635
    @lovelynermbuche1635 Рік тому

    Glory be to God🙏

  • @annaemidi8049
    @annaemidi8049 Рік тому

    Powerful 🔥🔥🔥🙏

  • @lilliannamusoosa5012
    @lilliannamusoosa5012 Рік тому +1

    Amen

  • @elizammary7186
    @elizammary7186 7 місяців тому

    Kweli Mungu yupo🙏

  • @felixbenos6365
    @felixbenos6365 Рік тому

    God is everything

  • @elishaathumanathuman16
    @elishaathumanathuman16 8 місяців тому

    Amen Amen papa

  • @NancyWamaitha-ex4xu
    @NancyWamaitha-ex4xu 2 місяці тому

    Amen 🙏🙏🙏🙏

  • @julietrehema9845
    @julietrehema9845 Рік тому

    Imeshindwa kuzimu kwa jina la yesu

  • @jeriahonkoba
    @jeriahonkoba 2 місяці тому

    Ameeeeen 🙏🙏🙏🙏🙏

  • @DevotaLedawi
    @DevotaLedawi 3 місяці тому

    Devota ezekieli kutoka keñya watoto Wangu wamekuwa vituko sijui ñini nisaidie mtumishi

  • @CheerfulCamping-nc3vt
    @CheerfulCamping-nc3vt 9 днів тому

    Ee mingu naomba maombi nami naota nazaa watoto kwenye ndoto

  • @Eddylast
    @Eddylast Рік тому +3

    Nami pia namini nitafunguliwa kupitia huyu dada

  • @julietrehema9845
    @julietrehema9845 Рік тому

    Hiyo iliisha sasa

  • @agnesspaul1866
    @agnesspaul1866 2 місяці тому

    ❤❤❤❤❤❤

  • @enockmumbere84
    @enockmumbere84 Рік тому

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ amenn

  • @olaissmollel8mollel8-ou6dm
    @olaissmollel8mollel8-ou6dm Рік тому

    Ameen baba

  • @NancyKilei
    @NancyKilei 2 місяці тому

    Nimeachika 10 yeas paster niombee plz

  • @UpendoMfimwa
    @UpendoMfimwa 6 місяців тому

    Njoo na iringa mtumishi

  • @lilianowti5477
    @lilianowti5477 Рік тому

    Ameeeeeen

  • @ConsolataFabian
    @ConsolataFabian 2 місяці тому

    Naomba pasta niponye nyonga inauma na pia nimeshuka kiuchumi nisaidie baba

  • @Dieudonnemasango
    @Dieudonnemasango 2 місяці тому

    Huyu mchungaji awezo kuwa ufunguo wa maisha yako wewe

  • @ruthsagome6220
    @ruthsagome6220 Рік тому

    Nifunguliwe kutoka kwa maroho ya ndoto mbaya na watoto wangu wafunguliwe kimasomo walirudishwa nyuma na watu najua

    • @nikolaus-ez7lu
      @nikolaus-ez7lu Рік тому

      Nami naamini yesu ananifungua sasa hii.amina.

  • @RachelKingu-x6g
    @RachelKingu-x6g Місяць тому

    Ee mungu naomba nifunguliwe na mm kupitia madhabahu hii

  • @immahkisuke1564
    @immahkisuke1564 Рік тому

    Amen hakika ww ni MUNGU TU

  • @lilliannamusoosa5012
    @lilliannamusoosa5012 Рік тому

    👏👏👏👏👏👏

  • @rerisamba
    @rerisamba 2 місяці тому

    Watu wanajua kutesa wenzao

  • @lilianowti5477
    @lilianowti5477 Рік тому

    Niko Kenya,nawapata vipi watumishi,nataka kuja kanisani.

  • @ReginaGhati
    @ReginaGhati 6 місяців тому

    Ikawe kwangu kupitia ushuuda huu

  • @ElinaBernard-ih7xp
    @ElinaBernard-ih7xp 3 місяці тому

    Unapogusa wengine baba naomba niguse na mm

  • @mmas3978
    @mmas3978 Рік тому

    Emungu na omba na mimi nifunguriwe

  • @AnitaJohn-o4r
    @AnitaJohn-o4r 27 днів тому

    Samahan asikofu mbona huyu mwanamke alikuwa ni mwana maombi lakini imekuwaj haya mambo kwamba alikuwa hajasimama vizuri kiroho au shida ilikuwa nini?

  • @ljaymasaai7038
    @ljaymasaai7038 Рік тому

    Abariko mutumishi wamungu naitwa saitoti laizer naomba uniombee maana Niko kazi nafanya lakini sioni mavanikio nalipwa kbisa lakini sinyanjii kitu maisha yangu inayumba yumbatu nataka kuja kwako baba uko wapi

  • @TatuRashid-d6t
    @TatuRashid-d6t 3 місяці тому

    Uko mtaa gani mwanza pia dar?

  • @lucychamwi3903
    @lucychamwi3903 Рік тому

    Kila ufanyacho fanya kwa upendo

  • @franckkalao7891
    @franckkalao7891 7 місяців тому

    Kufunguliwa, Sawa. Kwa Nini ameachana n'a même wake wa kwanza? Atengeneze n'a mumewe wa kwanza

    • @بدرعبدالرحمن-ل5خ
      @بدرعبدالرحمن-ل5خ 6 місяців тому

      MUNGU ndio aichunguzae mioyo yetu..

    • @eptz2020
      @eptz2020 2 місяці тому

      Kuachana kwake kulisababishwa na hayo majini mahaba na yakitoka yawezekana mume wake akarudi kumtafuta.HAYO NI MABAYA SANA NA YANAVURUGA KILA KITU

  • @RehemaElias-el3jg
    @RehemaElias-el3jg 3 місяці тому +1

    Mch,naomba maombi yako natamani ndoa na walionizalisha wamenikimbia nimebaki na watto wang wachumba wanakuja ila hawarudi kutoa mahari ila kupitia ndoto naona yupo mmewang ila bado kumuona naomba yesu anikumbuke na nivuke mlima

  • @ObadiahMutambo
    @ObadiahMutambo 3 місяці тому

    𝑀𝑢𝑛𝑔𝑢 𝑛𝑖𝑘𝑢𝑚𝑏𝑢𝑘𝑒 𝑛𝑎𝑚𝑖

  • @josinteromondi
    @josinteromondi Місяць тому

    Nami pia naomba nifunguliwe kupitia haya madhabahu nipone chronic infections na ndoto mbaya yaishe kwangu in Jesus name

  • @DeoMrema-k1q
    @DeoMrema-k1q 2 місяці тому

    Amina