CHECHE NYINGINE ZA RC WA "FYEKELEA MBALI" KWA DC WA IGUNGA NA INJINIA
Вставка
- Опубліковано 9 лис 2018
- Mkuu wa Mkoa wa Tabora Agrey Mwanri ambae amekua maarufu mitandaoni kwa misemo yake ikiwemo 'fyekelea mbali' au 'sukumia ndani' leo alitembelea ujenzi wa kituo cha Afya cha Igurubi kwenye Wilaya ya Igunga kuangalia umefikia wapi ujenzi huo na fedha zilizotolewa na Serikali zinatumikaje.
Kwanza kabisa Mh. Mwanri ana uchungu Na Nchi yetu, hababaishwi Na wasioelewa, anaumia Na wasioona juhudi za Mh. Raisi, wanapata tabu mno, Mungu akulinde, Mungu Ibariki Tanzania, Aamina.
Hongera lecture wangu wa communication skills John Mwaipopo Mungu akubaliki sana,vile vikao vya mtenda hotel vimezaa matunda. Hongera sana.
Hongera mzee wa sukuma ndani kwa usimamizi wa alimasi za inchi yetu pongezi Sana chapa kazi hata laisi wetu anawapenda wawakilishi wake kama wewe ubarikiwa sana DC Tabora.
Hana vitisho vya Siasa bali vya Uchumi, kama unamuelewa gonga likes Sukuma ndani 😂😂😂😂
Mwanri ni kiongozi anayetambua kuwa maendeleo hayaji kwa kuchekeanachekeana, urafiki na udugu kwenye mambo ya msingi yenye manufaa kwa nchi yake na watu wake Bali kimbinde mbinde na full ukauzu. Yuko poa mkuu wa mko huyu na anamachungu kweli na ya dhati juu ya maendeleo hasa kwa eneo lake la utawala. Be blessed Mr RC-TABORA
Nimekukubali sana ww Kiongozi uko vizuri sana kwenye utendaji.Nimejifunza kitu kutoka kwako Mh.DC.
Na wish ningekua mkazi wa tabora kwa haya ninayoyaona big up sana baba piga kazi #MKUU WA MKOA.
Kama umesikia kibonge alitaka kuanguka, hebu wote tukae chonjo kwa like
😁😁😁😁😁😁😁
Amosi Kabalata uwiii? mbavu zangu jaman kibonge alitaka kulazwaa
hongera kwa kazi nzuri mh mungu akusaidie inshallah
Nyoosha mkono juu jifanye unajikuna😁😀😂🙌👏👏👏👏
Hahaha jifanye unajikuna
Noma sana
jikune uone
😀
Uzuri Wa huyu Mkuu Wa mkoa akufukuzi kazi anakurekebisha tu,waukweli sana,jifanye unajikuna uone
Hahahaaa sijikuni
Ha ha ha
Ok najikuna Mimi
Wallah nampenda buree kazi nzuri cio maneno maneno
Hongera sana mh kazi njema
Asanteh mh. Mkuu wa mkoa bwana Mwanri Mungu akujaalie maisha marefu unafanya kazi nzuri
hongera mheshiwa wetu
Uyu ndiye Rais wangu mtalajiwa
Kama ulitamani kumuona kibonge gonga like hapa
novelty christopher me nlitaka nimuone kibonge
kwanza huko alipo ana harisha kibonge wa watu
Hahaha nipo.. Hapa...
Duuuu
Magufuli kwaniñi usituletee mwandry apa moshi aka was high bulimia vilivyo
Nani kasema muondoe miti hapa,Bonge yupo wap?👏👏
Hongera sana,kwa uajibikaji
Hii ni spirit kamili ya kuelekea kwenye Tanzania tunayoitaka
Hongera mkuu mungu akulinde kwa kazi nzuri
Safi sana hapa kazi tu
Wachagga wajanja Tanzania zima
1..Aggrey Mwanri
2..George Mushi Kimboka
😷😷
Duhh!
George Kimboka tunatisha Sana
Ni mpare uyo
Mnamaaa!hahahaha
Kweli huyu ndiye "mkuu" wa mkoa. Hahahah daah. Hakuna rukxa kujikuna mbele yake.😂😂😂
Huyu mkuu wa mkoa raha sana burudani
Sanaa
Maisha Maisha tunaomba arudi nyumbani kilimanjari
Kiazi Kikuu.kibonge akae chonjoo
kukaa na uyu mkuu wa mkoa karibu anaweza kukupiga kofi
hahahhahahahaa.
We jifanye unajikuna
Hahahah huyo ndy Agrey
😂😂😂😂
kweli
Raisi john pombe magufuli huyu anafaa kua mkuu wa mkoa wa dsm tuletee dar huyu anatufaaa
Yah
anafaa kuwa rais 2020
pantaleo shirima up
Aiseeeeeeeeee huyu mkuu wa mkoa anatoa burudani, yaaaani hapo mwishoni kanikoshaa saaaaana, Duuuuuuuuh "anayebisha anyoshe mkono, anayesema mkuu wa mkoa anaongea kitu cha kipuuzi anyoshe mkono". Big up RC chapa kazi, lkn nimechekaaa kinomaaaaaaa
Akune kichwa tuu kwanza😁😁😁😁
Jose Elias s
We mzee walaahi ALLAH AKUPE PEPO ONE DAY INSHAALLAH
MWISHO NAOMBA JPM AKURUDISHIE TAMISEMI ONE DAY INSHAALLAH KUMBE AWAMU ILIYOPITA WALIKUFANYA UKAKOSA UHURU WA AYA TUYAONAYO LEO.......UR FOREVER BIG BROTHER
Nakuelewa baba..
Pepo?
komesha nyau
Akim Mbwego :
Namkumbuka sana mzee huyu akiwa waziri wa TAMISEMI na Magufuli akiwa waziri wa ujenzi walikuwa wakichapa kazi ad raisi kikwete alikuwa akiwambia punguzeni ukali,
me sio ccm ila nakukubal sana mzee
Huyu Bwana wakikakaa na kamanda Jafo Tamisemi patakuwa hapatoshi kwa kweli your the Best among JPM selection.
Nakukubali sana Mwanri piga kazi baba
Unakumbuka ile siku alitaka kwenda kulazwa😂😂😂kwaleo nimemsamehe 😂😂😂
😂😂😂😂
kaka kibonge sioo😂
Huyu Mheshimiwa Mwanri nimependa utendaji wake( Hamung'unyi mung'unyi maneno) Hongera Rais wetu.
All leaders in Tanzania are now inspired buy Magufuli’s systems of leadership. This is a boost in all Tanzanian politics and economic development, Lions 🦁 always raise lions 🦁. Big up my people .
Nice commentary
Nakuamin sana mh Agrey ,unaongoza vizur mkoa wang
Safiiii Tabora imekaa kaa nyoosha mzee kama vipi sukuma ndani
Dah Mzee anachapa kazi
3,4 aliyeckia ngonga like hapa
#6310
Kupitiwa kwenye kuhesabu ni jambo la kawaida unapoongea bila kusoma points... Kama kweli anatekeleza anayoyasisitiza, Mkuu ni mchapakazi sana.. Na msimamizi mzuri sana..
Good this is how leader ought to do
Katika u serious wake anatumia busara kubwa sana, 2020 namwombea apate jimbo awe Waziri wa Kilimo
PANDA MITIII WWE KIBOOONGEEE
Kweli Tabora itakua Toronto nimekubali
Mungu akuongoze milele
jamaa ni jitu kweli ana kimo kama kile cha Iddi Amini.
muroto mwingine wanatafuta kiki misifa
mkuu Wa mkoa safi sana huyu,nampenda sana ,anafurahisha sana,nimtendaji mzuri sana
Mkuu unajua sana mungu akuzidi shie humli baba ww ni muawazi na mkweli una uzalendo
Japo simpendi Makufuli kabisaa lakini nawapenda wakuu wa mikoa wawili. Mwanri na Mongera. Mongera ni muungwana sana na mara nyingi hutumia busara. Huyu Mwanri nampenda kwakuwa haya mambo mnayoyaona anafanya hajaanza katika serikali hii ya kiki, yeye alikuwa hivyo tangu akiwa waziri tamisemi alikuwa anakagua mpaka vitasa vya milango hata niliposikia amekosa ubunge nirihudhunika japo siipendi kabisaa CCM.
Aisee anaweza pata uwaziri aise
Aseeeee uko vizuri umewasilisha vyemaa..Sio kama nyumbu..
Alikuwa mbunge jimbo gani?
Hujitambui
For sure uko kama mimi siasa pembeni tunaangalia utendaji
Nimependa
Sijawahi juta kukufahamu mkuu wa mkoa Mwanry tangu ukiwa TAMISEMI#gRISI YA VYUMA VILIVYOKAZA#BURUDANI YENYE TIJA KAZINI#SAAAFI SANA
Hongera
jifanye unajikuna ndo utatambua mkuu wa mkoa ni nana
agrey ana biti sana😀😀
kama upon pamoja nam jifanye unagonga like
I like whatever is happening in Tanzania under President Magufuli.
Chota Baba sukuma ndani Kwa mkuu wa mkoa huyu wallah hata kama umekasirika utacheka tu Kwa jinsi anavyoongea 😂😂😂😂😂
Mtapigwa bao hahahaa noma sana mkuu wa mkoa
Nampenda sana Aggrey,,,,,,,,sio tu anabit lakin yuko vzur anachapa mzigo
Mi nawekaga MB kwa ajili yako. Nakukubali kinomanoma.
Kwel mwanangu MB hazipotei bure lazm ufurah
Jamaa anapiga kazi Sana nimemkubari. Lakin akae hawaeshimu professional,. Make yey sio professional ni mwanasiasa tu.
Huyu mkuu wa mkoa abadilishane na makonda. Aje Dar
Daaaaah kweli we mkuu wa mkoa saf sana unajua maendeleo ya wanatabora
Uyu akija kuwa raisi huyu atakuwa zaidi ya magu
nice for all
Ila huyu mzee ajee dodoma anatufaa Sana Mana nizaidii ya comedy 😃😃😃😃😂😂washirikianee na Mr mroto
Good work
Noma sana
Mungu ibariki tanzania
safi sana
Sukuma ndani wote wakikosea
Noma sana uongoz huu
Say yes!!!!!
kiongozi safi sana
Mwalimu huyooooo lakini yuko sahihi Ingawaje inabidi umzoee vinginevyo utaugua shinikizo la damu. But naona ni rahisi kuwajibika kwake ukimpatia kazi nzuri.
Daaaah safi sana
MH.MKUU WA MKOA HUYU MWANRI MIE NILIKUA NAMUELEWA TOKA WAZIRI SERIKALI ZA MITA TAWALA ZA MIKOA ...HAKOPESHI ANAJUA ANACHOKIFANYA ...MUNGU AMSIMAMIE SANA
Hawa wote ni kuchota na kusukuma ndani Anayesema mkuu Wa mkoa anachoongea ni cha uongo anyooshe mkono jifanye Kama unajikuna
i love him he is so real...
dah huyu RC noma xana jifanye unajikuna uone
Nampenda sana huyu jamaa...mweye namba zake anitumie.natamani siku nimtembelee
The man knows how system works.
hongera
Mmmh akiwa ndo babaangu nistor tu mtaani mtoto wa mkuu wa mkoa apotea mazngira yakutatanisha
Dudubay mungu anakuona😀😀😀😀
dudubaya konki sikutegemea kucheka😄😄😄😄
tumbavu sana mfyuuuuu😝😝😝😝😝😝
young vulla gentleman serikali inajua ni mwezi wa6 zingine ni rujojoo na fundi mchunduu
Ngap uko!
mkuu uko sawa lakini kwa upande wa ilo jengo likipelekwa kwa speed unayotaka nahsi baadae linaweza kupata madhara make ujenzi unautaratbu wake
Nakukubali
vizuri sana mkuu wa taboraaa
Mimi binafsi Niko Kenya lakini .huyu mzee nimemkubali.kiingereza yake safi.mchapakazi na pia mchesi
Sukuma ndani............ Yan hata mimi huku nimeshindwa kujikuna jaman RC mbona mambo ni moto😂😂😂😂
Mi naamin kwa mwendo huu tabora itakua tokyo anafaa aletwe dar awanyooshe wazembe
Haaaaahaaaaahaaaa jifanye unajikuna hapa uone
Hayawi hayawi sasa yamekuwa ,Baba turidhani kuwa unaigiza😀😁kumbe ulikuwa unamanisha,Tunyooshe baba tulizoea kupiga dili , na kulala twende kaziiii
Mwinjuma Thomas
😂😂😂 Jifanye Unajikuna Tu owone😂😂
Hahahahahahahaha utapasua mbavu zangu😂😂😂😂😂😂
ha ha ha hata kama unawashwa huamshi mkono
Beaza Kibo😂
Braza Kibo
Nimecheka sana hapo eti jifanye tu unajikuna
luv Father
3,4
Hahaha, eti nyoosha mkono jifanye unajikuna 😂😂😂
issa flavour
mambo VP wadau
WACHANGA WANAOGOPA KUIBIWA , SAFI SANA MKUU
Mmmmmmmh Mr.eeeeeeeh tuna mkuu wa mkoa tabora ila wabunge tunaye bashe tyuu naomba mkuu wamkoa 2020 uje bukene tuombe kula zetu tutakupa z cyo mtu
safi mwanr
Kama umesikia neno rujwejwe gonga like za kutosha
Huyu injinia kwa kweli alitamani afadhali angezimia akajikuta tu yupo spital lakini maskini hakijatokea hicho
fyekelea ndani❌❌
Lakini mimi nimempenda sana. Uhakika wa mipango kwa faida ya watu
Safiiiii sanaaa
Heshima kuu ikufikie