Hakuna la kusifia hapo bado mnaonyesha kuegemea upande mmoja wa zanzibar huku pemba ikisahaulika boti za kasi zimejaa rout ya unguja dar wakati pemba hakuna boti hata moja hii ni dharau kubwa
Kwa upande wa usafiri bado kabisa na hakuna sifa yoyote mpaka sasa madhali bado Kuna ugumu mkubwa wa usafiri wa unguja kuelekea pemba na kurudi .......... Hivi kweli tuseme usafiri upo wakati zinajaliwa biashara kuliko wasafiri.....eti meli ipunguze mwendo kwa kuuza biashara zao......usafiri wa masaa 2 au 3 .... Msafiri anakaa ndani ya chombo zaidi ya masaa hayo.....je huo kweli usafiri au madhila......... Kama kweli hassa kuwepo sifa basi upatikane usafiri wa kisasa tena ni wa haraka wa kwenda pemba na kurudi.....sio usafiri wa kujali biashara huku wananchi wanateketea na kuteseka katika safari yao
@@tajirifundi ikiwa biashara ipo hivyo unavyosema......je! Kuliwahi kutokea siku moja wapo kwenda usafiri na kurudi kwa siku hiyo hiyo moja ? Ikiwa hakuna basi usiseme kitu kwa fikra zako tu ..... Tafakari kwanza then ndio useme. Ikiwa huu usafiri uliopo sasa tu unaotoka unguja kwenda pemba unajaza meli na siku ukirudi pia unajaza .... Fikiria ingelikua kuna speed boat yenye uwezo wa kwenda na kurudi Kwa siku ...... Abiria wangapi ingelikua wanakuja kufanya biashara au kuleta biashara zao na kuweza kurudi kwa siku hiyo hiyo moja!!!!!! BIASHARA HAIJAEKWA SEHEMU SPECIAL ...... IEKWE BOAT NDIO UTAONA UYALISIA NA SIO POROJO
Leo hii eti mapanton ndio tunaambiwa meli ...... Tulipotoka kuzuri kuliko tulipo.....ulizia MV SEPIDE NA NYENGINE ILIVYOKUA IKIKUMTA MAJI NA ILIKUA INAPIGA SAFARI NGAPI KWA SIKU
Barabara ya nini toka dar mpaka znz wakati hakuna shida ya usafiri hata siku moja tusichezee fedha za mikopo tukope kwenda kuchimba. Chuma kitakachoweza uchumi wa nchi hiyo barabara haina uchumi wowote ila ila ni kubaki na madeni kwa watanganyika tu
Ah santeni kwakutujali sisi tunaokwenda pemba mm nataka kujua ile spidi bot mbona haifanyi kazi namaanisha sepide ambayo kwa sasa imebadilishwa jina inaitwa royaly 2
Baharesa anatupinga kwa bakora yetu wenyewe serikali ipo haina kitu pesa zetu anachezea akili sasa serikali ipo wapi isifanye wao mambo hayoo anafanya.mtu binasi tulimuondowa mkoloni ilitujitawalee R.p rai wetu kipenzi mzee wetu Abed Amani karume
@@mabrozacpmstancesa1207 Kwani kuna shida gani kuitwa Forodhani? MAZURI (Mfano Meli ya Kilimanjaro) ya ZANZIBAR ni ya TANZANIA. LAKINI MABAYA (Mfano Biashara ya Utumwa) ya ZANZIBAR ni ya ZANZIBAR.
BAHARESA AVUNJA REKODI YA SERIKALI YA ZNZ ILIOKUWA HAINAPESA KWA KUWEZA KUCHUKUWA MAJUKUMU YA KUNUNUWA MALI KAMAHIYO NI AIBU KWA UKWELI NCHI INAWATU WALIOKUWA WANATAKA KUIUWA ZNZ NA TAYARI WAMESHAIUWA ZANZIBARI ANGALIKUWEPO INSHAALLAH MAREHEMU ABEDI AMANI KARUME ASINGE KUBALI HAYA SERIKALI KUTIWA AIBU NA WATU WA KAWAIDA KILICHO BAKIYA WANAKUCHEKENI KIAKILI TU HALI YA ZNZ INADHOFISWA NA MAGUWO YA KIJANI 😳😳😳😳😳😳😳😳😳😰😰😰😰😰😰😰😰😰😰😰🔥🇹🇿🔥🇹🇿🔥🇹🇿🔥🇹🇿🔥🇹🇿💀🇹🇿🔥🇹🇿🔥🇹🇿🔥🇹🇿🔥🇹🇿🔥🇹🇿🔥🇹🇿🔥🇹🇿
Masha'Allah!
Insha'Allah iwe kheri kubwa sana, kwa mmiliki na kwa sisi abiria
Bass haya mimi sina lolote nipo lailah hailawauwah mungu ndie anajuwa zaid
MashaAllah Hongera Bakhresa
Mashallah mashallah mashallah mola awazidishiye baraka azam
Hakuna la kusifia hapo bado mnaonyesha kuegemea upande mmoja wa zanzibar huku pemba ikisahaulika boti za kasi zimejaa rout ya unguja dar wakati pemba hakuna boti hata moja hii ni dharau kubwa
Kwa upande wa usafiri bado kabisa na hakuna sifa yoyote mpaka sasa madhali bado Kuna ugumu mkubwa wa usafiri wa unguja kuelekea pemba na kurudi .......... Hivi kweli tuseme usafiri upo wakati zinajaliwa biashara kuliko wasafiri.....eti meli ipunguze mwendo kwa kuuza biashara zao......usafiri wa masaa 2 au 3 .... Msafiri anakaa ndani ya chombo zaidi ya masaa hayo.....je huo kweli usafiri au madhila......... Kama kweli hassa kuwepo sifa basi upatikane usafiri wa kisasa tena ni wa haraka wa kwenda pemba na kurudi.....sio usafiri wa kujali biashara huku wananchi wanateketea na kuteseka katika safari yao
Biashara ipo zanzibar kwenda dar sio pemba
@@tajirifundi ikiwa biashara ipo hivyo unavyosema......je! Kuliwahi kutokea siku moja wapo kwenda usafiri na kurudi kwa siku hiyo hiyo moja ?
Ikiwa hakuna basi usiseme kitu kwa fikra zako tu ..... Tafakari kwanza then ndio useme.
Ikiwa huu usafiri uliopo sasa tu unaotoka unguja kwenda pemba unajaza meli na siku ukirudi pia unajaza .... Fikiria ingelikua kuna speed boat yenye uwezo wa kwenda na kurudi Kwa siku ...... Abiria wangapi ingelikua wanakuja kufanya biashara au kuleta biashara zao na kuweza kurudi kwa siku hiyo hiyo moja!!!!!!
BIASHARA HAIJAEKWA SEHEMU SPECIAL ...... IEKWE BOAT NDIO UTAONA UYALISIA NA SIO POROJO
Leo hii eti mapanton ndio tunaambiwa meli ...... Tulipotoka kuzuri kuliko tulipo.....ulizia MV SEPIDE NA NYENGINE ILIVYOKUA IKIKUMTA MAJI NA ILIKUA INAPIGA SAFARI NGAPI KWA SIKU
Wallah umeongea pwent kama ungali kuwa nakuona zawadi jngestahikinkwako my
@@tajirifundi hm pole nani kakwambia zile tunazo nunua nini au wenye pesa ni watu wanao safiri kwenda dada tuu wa Pemba hawana hebu wacheni dharau
Hongera kwako mzamini wa meli
Nakupata sana nakubali kazi yako sna❤
Nimeshangaa na hayo magwanda ya kijani na vitambi vya ugonjwa wa kisukari,
Masha Allah
Ruti ni wapi na wapi
Punguzeni nauli nikubwaa sana Zanzíbar to dar. Nikaribu sana
Mungu amupe wepes zaid nazaid😊
Mashaallah tabarakaallah
jamaA asa anapenda sofa Sana kulimo kazi
Mashaallah jazakumllah kheir amiin
Nauri mpunguze basi,irudi 25000,baadala ya 30000,
Kisiasa zaid naona
Pemba tupen kisiwa chetu munatubagua
Tena kwani ayo mashat ya CCM ktk huduma za jamii walio wengi yanini si mungoje ktk mkutano wenu wa chama
Sijaipenda hii serikali baharesa anatupinga pesa nyingi kupitia baharini kuliko hata viwanda.vyake
Bado kwasababu Pemba si usafiri wa anga Wala waboti hili litafutiwe ufumbuzi
Wewe ulitaka afungue shule sio?
Wapemba hamututendei haki 😢hatuna usafiri WA kutoka Pemba Kwenda unguja
Kwani meli tu!barabra umeziona?
Sawa bado zan fast feries nae kuleta Zanzibar 3.
iyo chuma inayokuj inaitwa wek mbaki n watt
Barabara ya nini toka dar mpaka znz wakati hakuna shida ya usafiri hata siku moja tusichezee fedha za mikopo tukope kwenda kuchimba. Chuma kitakachoweza uchumi wa nchi hiyo barabara haina uchumi wowote ila ila ni kubaki na madeni kwa watanganyika tu
Ah santeni kwakutujali sisi tunaokwenda pemba mm nataka kujua ile spidi bot mbona haifanyi kazi namaanisha sepide ambayo kwa sasa imebadilishwa jina inaitwa royaly 2
Sisi tunaisubiri CHOMBO yetu ya Fundi Zan first ferries. ZANZIBAR 3 Fakhari ya Wazanzibari soon inshaaallah biidhni LLAH
Hapa ndio mpango mzima.
Hna mpinzani
Raisi anakosa kazi anafungua boat
Au ndio matunda ya Uvamivi wa oktoba 2020?.
Huyu kijana aliongea kwanza ni yule akisalisha masjid Mtoto taraweh?
Ndio.allaah ameshamjalia huyo
Hizo boat mbona Pemba hamuzipeleki Kama kweli Ni boat hasa!!
Nunua yako uipeleke
Zitaenda tu subiria, Zanzibar 3 ikianza kazi kwenda Pemba na hao hawatokua mbali
iyo meli ay boat tujifunze kuongea bwn iyo ni boat
Baharesa anatupinga kwa bakora yetu wenyewe serikali ipo haina kitu pesa zetu anachezea akili sasa serikali ipo wapi isifanye wao mambo hayoo anafanya.mtu binasi tulimuondowa mkoloni ilitujitawalee R.p rai wetu kipenzi mzee wetu Abed Amani karume
Mshamba wewe
Ni Ujinga inamuhusu nini rais , hayo ni mambo ya priivate section
Africa bado mmelala.
Rais pia anapenda kiki mie simuelewi kabisa ukiwa na kibanda chako cha kahawa ukimwita aje kufungua bc atakuja na mawaziri wake wote na mkewe
@@KassimAlly-xp4dz Hii Meli ya kisasa
imeitwa KILIMANJARO ni ya ZANZIBAR au TANGANYIKA?
@@khatibal-zinjibari6956 Acha ubaguzi sote watanzania Kwan ikiitwa Kilimanjaro kunashida gan?🤪
@@mabrozacpmstancesa1207 Samahani Tanganyika na Zanzibar ni Nchi na Kilimanjaro sio jina la Mtu.
@@mabrozacpmstancesa1207 Kwani kuna shida gani kuitwa Forodhani?
MAZURI (Mfano Meli ya Kilimanjaro) ya ZANZIBAR ni ya TANZANIA.
LAKINI
MABAYA (Mfano Biashara ya Utumwa) ya ZANZIBAR ni ya ZANZIBAR.
BAHARESA AVUNJA REKODI YA SERIKALI YA ZNZ ILIOKUWA HAINAPESA KWA KUWEZA KUCHUKUWA MAJUKUMU YA KUNUNUWA MALI KAMAHIYO NI AIBU KWA UKWELI NCHI INAWATU WALIOKUWA WANATAKA KUIUWA ZNZ NA TAYARI WAMESHAIUWA ZANZIBARI ANGALIKUWEPO INSHAALLAH MAREHEMU ABEDI AMANI KARUME ASINGE KUBALI HAYA SERIKALI KUTIWA AIBU NA WATU WA KAWAIDA KILICHO BAKIYA WANAKUCHEKENI KIAKILI TU HALI YA ZNZ INADHOFISWA NA MAGUWO YA KIJANI 😳😳😳😳😳😳😳😳😳😰😰😰😰😰😰😰😰😰😰😰🔥🇹🇿🔥🇹🇿🔥🇹🇿🔥🇹🇿🔥🇹🇿💀🇹🇿🔥🇹🇿🔥🇹🇿🔥🇹🇿🔥🇹🇿🔥🇹🇿🔥🇹🇿🔥🇹🇿
Wewe chuki tu zimekujaa ila mungu atakulipa