UFAFANUZI WATOLEWA SABABU ZA MAGARI YA ZANZIBAR KUUZWA BEI NDOGO TOFAUTI NA TANZANIA BARA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 8 вер 2024
  • WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

КОМЕНТАРІ • 280

  • @erickothegreat8353
    @erickothegreat8353 3 роки тому +23

    Uchumi wa bara tofauti na wa Zanzibar,Sasa hapo ndo mnapo vuruga mambo,Huo uchumi mzuri wa bara ukwapi Sasa.

  • @samsonhaule3647
    @samsonhaule3647 2 роки тому +6

    Hapo Umeeleweka, Kwasababu kama hamkufanya hivyo Magari mengi watashushiwa ZANZIBAR na wafanya biashara wakubwa Kisha Watakwenda kupiga Pesa Bara, halafu Bandari ya Bara itakosa soko. Nimewaelewa👏👏👏👏

  • @idrissaissa5607
    @idrissaissa5607 2 роки тому +9

    Mungu atawapa adhabu Kali Sana siku yakiama acha tuteseke sisi wanyonge one day

  • @mwinyikadhi2870
    @mwinyikadhi2870 3 роки тому +17

    Laiti Mzee Karume Kama angelijua muungano huu utakuja kua na hasara kubwa Sana kuliko faida,asinge saini😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @mwinyikadhi2870
    @mwinyikadhi2870 3 роки тому +18

    Swali na jibu vitu viwili tofauti

  • @solomonadams6337
    @solomonadams6337 Рік тому +2

    Hakuna nchi inayoitwa Tanzania bara sawa¿hio ni Tanganyika 💯👌

    • @user-ex6sh1rl4d
      @user-ex6sh1rl4d 8 місяців тому

      Hawataki ilo jina na wao ndio wanaoupenda msemo unaoeema mkataa kwao mtumwa

  • @futurepublications6847
    @futurepublications6847 2 роки тому

    maelezo yako hayaja fafanua vizuri Waziri , naomba ukajielimishe kwanza katika eneo lako la kazi halafu uje utujibu hili swali vizuri

  • @rashidjuma1969
    @rashidjuma1969 3 роки тому +15

    Kwanini maji ya drop ,sukari ya Zanzibar haikubaliki kuuzwa Tanzania bara

    • @mahmoudaziz4717
      @mahmoudaziz4717 3 роки тому +3

      Ata mie nashangaa

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 2 роки тому

      Kukubalika au kutokubalika kwa bidhaa ni Wateja wenyewe kuamua kutumia vya kwao hebu na sisi tuzikatae bia zao.
      Unapojadili Muungano angalia kwenye mambo 22 ya Muungano, biashara ya ndani sio suala la Muungano kama kama kuna kikwazo kupeleka bidhaa ya Zanzibar nje ya nchi hio ni hoja ya msingi. Kama sukari kwa nini ipelekwe Bara wakati uzalishaji haujatosheleza ndani? Hata uzalishaji drop hazijatosha ndani.

    • @abdullaabdullahmpakanjia2336
      @abdullaabdullahmpakanjia2336 2 роки тому

      Hahahahaaaaa Hawa watanganyika wabishanit wanaumia nayakwetu yakwao hawayaoni

    • @shafyjuma3141
      @shafyjuma3141 2 роки тому

      Huna nchi

  • @alimuhamed1830
    @alimuhamed1830 3 роки тому +5

    Ogopa sana kuishi kwenye nchi ambayo inatengemea mwanamchi kuiyendesha kisha mwananchi huyohuyo ndi anakandamizwa

  • @kibasamohamedi8029
    @kibasamohamedi8029 3 роки тому +57

    Sasa si nchi mbili tofauti, Kodi mbili, sion umuhimu wa Muungano.

    • @nardhismhagama6266
      @nardhismhagama6266 3 роки тому +7

      Hawana majibu ni ubabaishaji

    • @hafydhameir
      @hafydhameir 2 роки тому +2

      Muungano unamakubaliano yake tuyasome tujue ndo useme umuhimu uko wapi sio kwenye kila kitu tunasema tu

    • @bigowillythomaskayanda7763
      @bigowillythomaskayanda7763 2 роки тому +1

      Hivi hayo majibu hujayaelewa kaka, maana yake hutakiwi kukwepa kodi kwa kushushia gari yako Zanzibar. Ukishusha Zanzibar unatozwa 40% hiyo hiyo gari yako ukitaka kuisafirisha tena kule Bara, utamalizia zile 60% zilizobaki ili ulingane na yule aliyeshushia bara. ila ukishushia Bara kisha ukaisafirisha hiyo gari Zanzibar, hautozwi kitu kwa sababu utakuwa umelipa 100% ya kodi.

    • @africangirls482
      @africangirls482 2 роки тому

      @@bigowillythomaskayanda7763 muungano uko wapi hapo

    • @bigowillythomaskayanda7763
      @bigowillythomaskayanda7763 2 роки тому

      @@africangirls482 ,, swala la ushuru wa bandari haujalishi muungano, linatokana na sera kuhusu visiwa. Kisiwa chochote, kodi ya ushuru wa bandari ni 40%

  • @rajabmohammed234
    @rajabmohammed234 3 роки тому +5

    Kiongoz jibu lipo wazi kbs,haiwezekan baadhi y mambo yawe sawa lkn kwny ushuru mnaanza kujenga hoja ila maji n mafuta hayakai sehem 1,dunian kote hakuna nchi 1 ushuru w bidhaa 1 ukalipa mara 2 tofaut.

  • @shamomar629
    @shamomar629 6 місяців тому

    Gari kuingia Tanzania bara unalipia 100% kiwango cha import tax, ukiingiza Zanzibar hulipii yote (lakini si lazima unaweza kulipa yote kukwepa usumbufu ukitaka kusafirisha) utalipa asilimia 60% tu ya kodi. Ila utakapoamua kuileta gari bara basi utamalizia asilimia iliobaki 40% ili ukamilishe kodi halisi ya 100%

  • @alfredibrahim756
    @alfredibrahim756 2 роки тому +6

    Huu ni ujinga na upumbavu mi naishi zanzibar na nimefanikiwa kununua vifaa vyangu vya nyumbani lkn siku nikitaka kuhamia bara wanataka kodi ukijaribu kuwaelewesha hawataki

    • @bigowillythomaskayanda7763
      @bigowillythomaskayanda7763 2 роки тому

      Ndiyo ni kweli kwa sababu ya Sera ya uchumi, Sera ya uchumi imevipatia visiwa tozo ndogo.

  • @yujinxhing3766
    @yujinxhing3766 3 роки тому +15

    Muungano uko wapi sasa hapo

  • @muharamhassan845
    @muharamhassan845 3 роки тому +6

    Sio kaunafuu sema kuna nafuu kubwa sana ila nyinyi nata mmeharibu ushuru mkubwa

  • @edwinernest2012
    @edwinernest2012 3 роки тому +7

    Upuuzi tuu, sasa inamaana gani na wakati nchi ni moja! Wimbo wa taifa ni mmoja!!
    Mnawatia watu hasira tuu! Alafu presha.

    • @preciouspeter3445
      @preciouspeter3445 3 роки тому

      Mchezo mchafu huu mwisho wa siku picha ni ile ile sema mnacheza na wananchi

    • @ulipoulipotupo7564
      @ulipoulipotupo7564 3 роки тому +4

      Apana zanzibar tuna wimbo wetu na sio wimbo 1 njo zanzibar watoto wakiwa school ndio utajua je wanaimba nyimbo gani sisi atuimbi mungu ibaliki tanzania sisi tuna nyimbo yetu kama ufaamu iroho sawa

    • @kylesmeight4837
      @kylesmeight4837 2 роки тому

      Nchi 2 broo

    • @canibalgazaboy8325
      @canibalgazaboy8325 2 роки тому +1

      @@ulipoulipotupo7564 haya tumia fursa hii utufundishe au utuandikie beti za wimbo wenu wa taifa lenu tusikie natujue maana mlivo na kiherehere kana kwamba zanzibar mnaishi mbinguni kumbe mnawaza kutengana mpate msaa na waarabu.

    • @ulipoulipotupo7564
      @ulipoulipotupo7564 2 роки тому

      boys sea si mtuache na zanzibar yetu kama unataka kujua sisi atuimbi mungu ibaliki Tanzania njo kipindi cha asubui katika shule zote utasikia tunaimba wimbo gani ss sio watanzania ni wazanzibar 😂😂😂

  • @augustryann365
    @augustryann365 3 роки тому +2

    Mbona hajajibu swali sasa amezunguka zunguka tu kamaliza stor

  • @jackson2120
    @jackson2120 3 роки тому +1

    SIO MAGARI TU ZANZIBA WANA UNAFUU MKUBWA SANA SISI VIONGOZI WETU HAWA PENDI TUWE NA MAISHA BORA ILI WAPATE MWANYA WA KUOMBA KURA WAKATI WAO WANA NAFUU KUBWA SANA KI MASLAHI

  • @amosmoses7800
    @amosmoses7800 3 роки тому +6

    CcM ni chAmA cha kuWanYonYA nA kuWadidiMizA waNanchi ...
    HaKunA jenGinE
    Ni wiZi mTupu haPo

  • @user-go3bk6wr8u
    @user-go3bk6wr8u 3 роки тому +3

    Na waondoe tra yao waone znz inavyopaa kiuchumi,
    husda za wabongo kutuwekea tra ili watunyonye.

    • @ulipoulipotupo7564
      @ulipoulipotupo7564 3 роки тому

      Maneno ayo kake ndio yanayofanya kuwa awataki kuiachia ebu tuweni wapole kwenye kuongea maneno kwan sifa izi ndizo ttzo pia

    • @canibalgazaboy8325
      @canibalgazaboy8325 2 роки тому

      @@ulipoulipotupo7564 hakuna nchi isiyo kuwa na mamlaka ya kukusanya mapato ya nchi husika ata isingekuwepo TRA basi mngekuwa na ZRA ko huwezi kukwepa hilo

    • @ally1702
      @ally1702 2 роки тому

      @@canibalgazaboy8325 Zanzibar ina zrb ndio inayokusanya mapato ya Zanzibar lakini kuwepo kwa tra ambayo ni bodi ya mapato ya Tanganyika ndo mkaona watu wanapiga kelele ushuru Mara mbili sasa ebu fikiria laiti ingekuwa tra hamna tupo na zrb tu unadhani iyo gari ingeshushwa kwa kiasi gani na vitu vengine maana yake tungekuwa na unafuu zaidi kaka

  • @micamathew2595
    @micamathew2595 3 роки тому +7

    Muungano uko wap sasa??? Hii nchi ikoje??

  • @salumabdallah3495
    @salumabdallah3495 2 роки тому

    Sioni Point hapo tatizo tra wanajua kabisa uhalisia wa manunuzi ya magari Japan magari ni bei rahisi sana unaweza ukanunua kwa bei ya dola elfu mbili ukachajiwa zaidi kodi zaidi ya dola elfu nne pamoja na charges za bandari

  • @kidjhdf7568
    @kidjhdf7568 3 роки тому +2

    Safi sana zembwela kwa good swala

  • @yussufkansela8118
    @yussufkansela8118 3 роки тому +4

    huu ni ushahidi tosha wakuonye kama zanziba ni nchi na sio visiwa ila mmevaaa uccm na tamaa ndio zinazo waponza

    • @simbafuns785kviews
      @simbafuns785kviews 3 роки тому

      ua-cam.com/video/Q_ef3eAEVj8/v-deo.html

    • @ahmedzahor2975
      @ahmedzahor2975 3 роки тому +1

      Kwani Broo Kua kisiwa sio sababu ya kua si nchi Karume baba ndio alieuondosha Utaifa wa Zanzibar

    • @prettyh7509
      @prettyh7509 3 роки тому

      Sio hvyo lengo lao Zanzibar iwe moja ya sehem ya ukafiri hawapendi maadili y kiislam ya tawale

  • @kelvinimasagasi7398
    @kelvinimasagasi7398 Рік тому

    Hapo bado hamtendi haki mungu anawaona

  • @alfinmbilinyi1326
    @alfinmbilinyi1326 2 роки тому +1

    Zenj kiuchumi wako vizuri kuliko bara.watu milioni moja na nusu wabunge zaidi ya 50.shinyanga mjini watu milioni mbili idadi ya wabunge mmoja.kiuchumi zenj wako vizuri.

  • @BoB_Mkami
    @BoB_Mkami 2 роки тому

    kiongozi katumia nguvu na dakika 3 kuexplain kitu ambacho kina tuofautisha na kutufanya tuonekane kama 2 countries! kodi kodi tu! ila fresh acha tushibe!

  • @edlumala9428
    @edlumala9428 3 роки тому +8

    Viongozi wetu bwana! Hata hajui anajibu nini, kaunafuu flani hivii… zanzibar wanalipa 40% tu ya kodi inayolipiwa bara, so ukipeta gari hiyo bara unalipia ile tofauti ya asilimia 60%! Faida hiyo ya kulipa asilimia 40 ni kwa wazanzibari tu! Matumizi yake ni zanzibar tu!

    • @simbafuns785kviews
      @simbafuns785kviews 3 роки тому

      Hehee ua-cam.com/video/Q_ef3eAEVj8/v-deo.html

    • @yuzotv458
      @yuzotv458 3 роки тому +1

      Hii inaitwa mwalim kapewa sindano hahahahahaha najua umeelewa mlimwengu mwenzangu.

  • @baimarrajahbuayan6237
    @baimarrajahbuayan6237 2 роки тому

    Mtihan, Sawa na mchele mmoja mapish tofauti

  • @Mc_ngosha
    @Mc_ngosha 2 роки тому +1

    Hamna kitu Apo maana nikwamba Bandari ya Zanzibar itafanya kazi kubwa.
    Kama inawezekana kupunguza kidogo itakua nafu Maana mapato yaongezeka na kwetu pia watu wataleta latest Car
    1.Parking wateja wataongezeka
    2.Bandari pia itaongeza Sana Mapato
    3.Mafuta pia mtapata Mapato
    Kwaufupi kupitia njia hizi 3 Kama mfano serekali itanufaika bado ziko nyingine nyingi sana Think Big

  • @mwinyikadhi2870
    @mwinyikadhi2870 3 роки тому +9

    Nakumbuka Mizengo pinda wakati huo no waziri mkuu alipigwa swali Bungeni ktk kipindi Cha maswali ya papo kwa papo..jee Zanzibar no nchi au akamjibu Zanzibar no mkoa yaani sehemu ya Tanzania bara..hata cc wakati tunasoma tulikua tunaambowa shuleni Tanzania Ina mikoa 25 yaan bara mikoa 20 na unguja mikoa mi5.. Sasa iweje mkoa uliie ushuuru Mara 2 wakat nchi ni moja!!!? 😳

  • @emmanuelanael6934
    @emmanuelanael6934 2 роки тому +1

    Hakuna haja yamuhungano, bora hilo jina la TANZANIA life ibaka Tanganyika, na Zanzibar. Zote zitambulike kama nchi mbili tofauti.

  • @abujuhaifah7461
    @abujuhaifah7461 3 роки тому +2

    Swli zuri majibu kidg sikuyasoma mana swali direct majibu ukenda gongo la mboto utashuka wanja ndege sjui mara boda boda upande bandarini swali bado kidigi

  • @georgekimboka9821
    @georgekimboka9821 2 роки тому

    Sahihi Kbsa umesema

  • @paulheavyrain9584
    @paulheavyrain9584 2 роки тому

    Hyo n CHangamoto ya muungano inabidi ishughlikiwe Kama ishu Ni uchumi hata huku bara kila mkoa uchumi wake Ni tofauti. Dar tofauti na kigoma. So watu wakigoma Kodi ipunguzwe.

  • @tahirnephessalum3678
    @tahirnephessalum3678 3 роки тому +2

    Muungano uko kwenye maneno tu kiuhalisia hakuna Cha muungano hapa

  • @manyakuulaompondelo4419
    @manyakuulaompondelo4419 3 роки тому +4

    Yaani huyu sijui anaeleza nini. Nijuavyo mimi, Sura ya mwisho ya katiba ya Jamhuri ya Muungano, inazungumzia mambo yasiyo ya kimuungano. Na suala la kodi ni moja ya mambo yasiyo ya kimuungano. Ndiyo sababu kila nchi yaani Zanzibar Vs Tanganyika wamejipangia kodi zao tu na hazilingani.

    • @bensonlucas7607
      @bensonlucas7607 2 роки тому

      Kwahiyo kuna Tanzania Revenue authority na Zanzibar Revenue Authority.Je unadhani hicho kilichoandikwa kwenye katiba haiwezi kuwa moja ya kero za muungano ?unadhani wananchi wa jamuhuri ya Muungano wa Tanzania wanaridhika na hali hiyo?

    • @robertlinuma6051
      @robertlinuma6051 2 роки тому +1

      Benson lucas .mambo ya kodi sio ya muungano .bara kivyake kisiwan kivyake .ndo jibu sahihi .

    • @abhaaly
      @abhaaly 2 роки тому

      Huyo Anaeongea Hapo Ni Mwanasheria Wa ACT, Nadhani anaelewa Sheria Za Kodi Na Muungano. Ukweli Kama Alivyosema Sheria Za Ndani Kwa TRA Ni Moja Kuhusu Ushuru...!!!

  • @vedastokeya3344
    @vedastokeya3344 3 роки тому +3

    Katika vitu ambavyo huwa sielewi kabisa yaani sera moja Sheria moja Kodi tofaut , hivi HiZI Kodi kwanini zipo juu sana yaan ununue 12m Kodi 12m?

  • @stanfordmartinshauri3257
    @stanfordmartinshauri3257 2 роки тому +1

    So what if nikaagiza gari bara then nikaenda nalo kisiwani zanzibar kwa matumizi ya kule, jeh nitarudishiwa ile 60%?

  • @mj_tz648
    @mj_tz648 3 роки тому +1

    Huo niupumbavu mtupu mtu anapata bahati anauziwa gari zanzibar labda mil 2 akija bandar ya bongo hawaangalii risiti ya gar wanagugo beiya aina yagar je uliokuja nalo hapo haki ikowap ndio mana bara matajiritu ndio wana miliki magar masikin anakua hanauwezo wakumiliki gar ifike wakati serikal itambue kua bara navisiwa vya nzanziba ni nchimoja nikama mikoamingine ilivyotu

  • @tumainjohn6165
    @tumainjohn6165 2 роки тому +1

    Mh!! Mbona sijaelewa, maana umeelezea inavyotofautiana, na si kwa nini zinatofautiana

  • @eenpaard3915
    @eenpaard3915 2 роки тому

    Ushuru sevi uko sawa sawa

  • @dicksonndalu6212
    @dicksonndalu6212 2 роки тому

    Ok

  • @simulizizamwanaupwa2644
    @simulizizamwanaupwa2644 2 роки тому +2

    Kwanini basi huku Tanganyika kusiwe na ushuru sawa na Zanzibar? Maana ni kana kwamba huku bara kununua gari ni adhabu, hivyo ukinunua unaadhibiwa. Hapa kuna kasoro kiukweli

  • @muyazakhmuhammed9232
    @muyazakhmuhammed9232 3 роки тому +10

    Nchi mbili, Tanganyika na ZANZIBAR ndioo maana ya muungano,

  • @samuelndosi9577
    @samuelndosi9577 2 роки тому +1

    Hapo brother mambo ya muungano ni shida.

    • @khamiszubeir8780
      @khamiszubeir8780 2 роки тому

      Huyu jamaa ANAONGEA pumba kabisa Nawale walipewa vyeotu

  • @edinaikunda1259
    @edinaikunda1259 3 роки тому +1

    Sijui kama anea jibu kalielewa swali...simuelewi chochote aisee

  • @edwardmasanja4979
    @edwardmasanja4979 3 роки тому +1

    Ufafanuzi mzuri sana ,je ukitoa gari Tanzania bara kwenda zanzibar utarudishiwa 40% ya kodi?kwa sababu zanzibar kuna punguzo la 40%

    • @kakasanga5497
      @kakasanga5497 3 роки тому

      Umeandika point sana Edward

    • @afroplan431
      @afroplan431 3 роки тому

      Edu bwana... :))
      Unataka wote tuhamie Zanzibar..sio 😁😁😁😁

    • @ulipoulipotupo7564
      @ulipoulipotupo7564 3 роки тому

      Zanzibar mtu akitoka bara atumlipishi kodi kubwa ila ttzo mtu akitoka zanzibar kwenda bara ndio ttzo apo tozo ju ya tozo

  • @yuzotv458
    @yuzotv458 3 роки тому +2

    Hakuna majibu hapa yakitaaram naona ruka ruka tuu.
    Acha niingie showroom mie iyo mitabu yote yanini.
    Yaani Tanzania ukiagiza gari ya mil 6 utakung'utwa kodi ambayo nibora uingie showroom tu.
    Nahiii inasababisha serikali kukosa mapato ila hawajajua tu.

  • @martinkisha6307
    @martinkisha6307 5 місяців тому

    Tunahitaji kujua tofauti ya uchumi wa Zanzibar na bara atueleze? gari nimenunua kwa mtu lilisha tumika labda miaka mitatu bado linadaiwa kodi tena 😊

  • @mahmoudaziz4717
    @mahmoudaziz4717 3 роки тому +3

    Mambo ya kukandamizana sana.

  • @unclepwechnov1381
    @unclepwechnov1381 3 роки тому +5

    Hiyo 40% ya kodi inayolipwa Zenji inaenda kwenye mfuko gani, inanufaisha Zenji peke yake au Tz yote?
    Kwahiyo wanapewa unafuu kwa ajili uchumi wao uko chini? big lie. Kwa anayetaka kutumia gari Kilwa au Ukerewe(vyote ni visiwa) na anayetumia gari Zanzibar yupi anatumia gari kwenye kisiwa chenye hali ya chini kiuchumi. Watangazaji hopeless wanashindwa kuuliza maswali ya msingi.

    • @chananjamajiji5412
      @chananjamajiji5412 3 роки тому +1

      Mwanangu uliishia darasa la ngapi?

    • @Awatee
      @Awatee 2 роки тому

      @@chananjamajiji5412 Hajitambui uyo Achana nae mwanasheria wao kakiri mwenyewe kua Tanganyika ndio inayo wabana haki zao za kupata mikopo kwa kuwazuia kwenda kutafuta mikopo wakajifanyia wanacho taka kuna watu humu wamo wamo tuu mtihan Yote hii kuipenda dunia

  • @rwekasimlizi2029
    @rwekasimlizi2029 2 роки тому

    Mh!!!! why?

  • @mwajabuamiri3457
    @mwajabuamiri3457 2 роки тому +6

    Kwann waseme Tanzania bara, wakati kule kunaitwa Zanzibar! Kwanini wasiseme Tanganyika? Au jina la Tanganyika ndio limekufa kwa cc watanyika kukosa maarifa!

  • @joeaub2185
    @joeaub2185 3 роки тому +9

    Huyu analeta majibu ya kufikirika kweny akili yake na sio majibu rasmi kwa mujibu wa sheria na taratibu za kiuchumi...Bado hatujapata majibu zembwela tafuta mtu mwingine aliyesoma maswala ya uchumi na aliye taasisi ya TRA wanaweza kutupa mwanga..

  • @Gdjn974
    @Gdjn974 2 роки тому

    Sijamuelewa mbona yan bado hajafafanua vzr inakuwaje kuwaje na kwann

  • @jflamingo1760
    @jflamingo1760 2 роки тому

    Amna umuhimu wa kujihita muungano sisi ni sawa na nchi mbili tofauti yaani Kama umeagizia bidhaa Kenya tu

    • @abhaaly
      @abhaaly 2 роки тому

      Ndio Ilivyo na Ndio Sahihi Zaidi Ndio Wanachokitaka Wazanzibari...!!! Kila Mmoja Afe Na Mbao Yake, Muungano Kwa Mambo Maalumu Tu ya Asili.

  • @FeruziIsa-nc5vo
    @FeruziIsa-nc5vo 3 місяці тому

    Wajitasmini hawa Jamaica.

  • @wilsonmsenga6447
    @wilsonmsenga6447 2 роки тому

    Mbunge Msukuma alisema tunawachumi wabovu tofauti na wanavyosema darasani, hii haileti maana eti wao ushuru kidogo, but bara ushuru mkubwa. Tofauti yake nn? Kwamba Zanzibari wanaishi watu masikini sana wanaohitaji msamaha na bara wanaishi watu matajiri sana. Mm sielewi nisaidieni nipate elimu.

  • @rjrajab2312
    @rjrajab2312 2 роки тому

    Napia mjuulize watanganyika kwanini huko tanganyika Umeme bei nafuu kuliko huku zanzibar wakati nchi ni moja

  • @meekman1805
    @meekman1805 2 роки тому

    Nimemuelewa.

  • @murshidjamshid6758
    @murshidjamshid6758 2 роки тому +4

    Yaani unaongea unajikanyaga kanyaga , ukweli ni kwamba nchi hizi hazijaungana alafu michezo kama hiyo iwepo.

  • @mrsomeone7728
    @mrsomeone7728 2 роки тому

    Mr zembwela hebu naomba ukipata muda tena muite huyo bwana atuambie nini maana ya muungano. Na nini maana ya kodi tofauti. Mimi bado sijamuelewa.

  • @maxcharles5436
    @maxcharles5436 3 роки тому +2

    hela nyingi wanachukua wakat ni nch .moja

  • @mohamedhussein5535
    @mohamedhussein5535 2 роки тому

    Hii nchi hii kunasiku tutashika mitutu kama sio ss vizazi vyet

  • @papaamasauti5944
    @papaamasauti5944 2 роки тому

    Hata bara bei ya bandari ipo ndogo ukihamisha gari kwenda nchi nyengine ndio Kuna pesa unatakiwa kuongeza

  • @jacquelinesemu1347
    @jacquelinesemu1347 3 роки тому

    OK 40%

  • @yussufkansela8118
    @yussufkansela8118 3 роки тому +1

    yani apo hadi nirudi shule ndio nimuelewe .sasa yy kaulizwa nini na kajibu nini.(kwani nchi si moja mbona unazungumka mbuyu

    • @simbafuns785kviews
      @simbafuns785kviews 3 роки тому

      ua-cam.com/video/Q_ef3eAEVj8/v-deo.html

    • @raffeiystar2870
      @raffeiystar2870 3 роки тому

      Ulijuaje kama kazungumza mbuyu na hukusoma na mambo huyajui

    • @nassirali7499
      @nassirali7499 3 роки тому +1

      Hizi ni nchi 2 kasome katiba ya Zanzibar ya 1984 utaona hilo

  • @danieljeremia8629
    @danieljeremia8629 2 роки тому

    Duh ajajibu kitu ivi anajua kujibu maswal wasomi hvyo kama hawa

  • @charlesmazigo8106
    @charlesmazigo8106 8 місяців тому

    Hoja dhaifu kweli,uchumi wa Zanzibar tofauti na bars,hivi humu humu bars uchumi wa kigoma Ni sawa na mwanza?ama uchumi wa mpanda Ni sawa na dar?

  • @aniri298
    @aniri298 3 роки тому +2

    Mi sijawai kuona muungano apo wangeiyachiya zanzibar saizi ingekua dubai

  • @abdulwahidel-abry5007
    @abdulwahidel-abry5007 2 роки тому

    Zungumza kiswahili cha Zanzibar bwana waziri. Kaunafuu ndiyo nini?

  • @mwanaishazain7985
    @mwanaishazain7985 3 роки тому +3

    Kama nimekuelewa hivyo kama umekuja gari nje ukaishishia Dar lakini inakuja Zanzibar utalipishwa ushuru wa Zanzibar maana unaitumia Zaznibar au?

    • @ibrahimalisalum6382
      @ibrahimalisalum6382 3 роки тому

      Kiufup ushuru wakule ni mdogo kuliko huku

    • @aishaaisharagp9381
      @aishaaisharagp9381 3 роки тому

      Hapana damwana ukiishushia dar unalipa milioni moja maanahuwezi kutowa garinje wakati umedhamiria kunitumia Zanzibar ukaishusha dar wakati zenji ushuru nimdogo

    • @abhaaly
      @abhaaly 2 роки тому

      Unatakiwa Ikitoka Nje Ifikie Zenj Mwanzo unapata Hiyo Unafuu...Ukishusha Tanganyika popote Rungu lipo pale pale

  • @abuubakarhaji3244
    @abuubakarhaji3244 2 роки тому

    Mbona hajajibu kuhusu vitu vidogo vidogo ?ameulizwa kuhusu TV nimechukua kwaajili ya matumizi je nayo kwanini itozwe tena kodi na ilhali ni vitu vidogo vidogo?

  • @muharamhassan845
    @muharamhassan845 3 роки тому +2

    Swali ni je nani anakusanya Kodi Zanzibar kama c TRA

    • @giftmalema5032
      @giftmalema5032 2 роки тому

      ZRA Ndio wanahusika na kodi zanzibar.... na kodi haipo katika muungano....

  • @murshidjamshid6758
    @murshidjamshid6758 2 роки тому

    Sio gari tu , zanziba vitu asilimia 99% ni rahisi sana tofauti na bara

  • @johnrobert48
    @johnrobert48 2 роки тому

    Hapo hakuna majibu.mkuu hapo umetupiga changa la macho.anothe day rudi na majibu

  • @nassormohammed246
    @nassormohammed246 2 роки тому

    Sisahau siku nilochukua tv zanzibar nikaleta dar heee nilijuta

  • @fababindawood8363
    @fababindawood8363 2 роки тому

    Mbona hajajibu m2 akinunua tv 1 au mbili kwa ajili ya matumiz yke ya nyumban 1 sebulen na nyengine labda chumban kwake?hapa ndo kero za muungano watu wanazipigia kelele.waondowe tu mtu akinunua tv asisumbuliwe kulipa ushuru

  • @mussaomary7173
    @mussaomary7173 2 роки тому

    niliporudi fund mwenzangu alibeba sukari kilo 10.aliisusa bandarini.aliambiwa hairuhusiwi kuletwa bara.mwaka ule zanbr kg sh 1000.bongo 2200.

  • @joeaub2185
    @joeaub2185 3 роки тому

    Mm ningejaribu kwa majib yangu kuwa umbali wa kutok nchi za uarabun au india mpk bandari ya zanzibar kuna ukarib na ndio maan kodi yake inakuwa kubwa tofaut na umbali wa kufika bandar ya Dar lzm kodi iwe kubwa wanapiga thaman ya mzigo na umbali wake...

    • @chananjamajiji5412
      @chananjamajiji5412 3 роки тому

      Hebu angalia Ramani ya Dunia halafu ufute ulichoandika

  • @khamismohammed2582
    @khamismohammed2582 2 роки тому +1

    huyu jaamaaa naona anapata kigugumiz hili si suala la kumuliza huyu hawez kueleza ukwel naona anaeleza kinyume kinyume tu

  • @kassimomar7589
    @kassimomar7589 2 роки тому

    Kila Siku utaskia KERO Zina shughulikiwa kwa nn zisi malze

  • @hamisisilimu1245
    @hamisisilimu1245 3 роки тому

    Twenzetu Znz

  • @nilathecat2444
    @nilathecat2444 3 роки тому

    kwa maana hiyo nipalepale tu....TRA-wana fanya watanzania wasi lete magari yakifari na mpya

  • @hajimakame3788
    @hajimakame3788 Рік тому

    Naushangaaa huuu Muungano wa sasa hivi mbona wakati alipokuwa rais Nyerere mbona gar zilikuwa zikisafirishwa hailipiwi kodi kama hii ya sasa hivi na namba zilikuwa hazibadilishwi unatumia zile zile kwa nini saiv yamekuwa haya mambo yamekuwa mengi

  • @mr_BENNY_OFFICIAL
    @mr_BENNY_OFFICIAL 2 роки тому

    kwann

  • @ip_header
    @ip_header 3 роки тому

    Suali hilo ilibudi aulizwe waziri wa biashara wa Tanzania, inaumiza sana kuona nchi moja kodi tofauti, kama suala la uchumi hata Tanzania bara kunawatu halizao sio nzuri, kwann wasifikiriwe pia?

    • @georgeakasha764
      @georgeakasha764 3 роки тому

      Nchi 2 tofauti mkuu, sema tu tupo kwnye muungano.

  • @emanueltesha8873
    @emanueltesha8873 3 роки тому

    Ajatoa ufafanuzi ameeleza mbona video imeishia sehemu ambayo atujajua ufafanuzi wenywe

  • @KADALAtv255
    @KADALAtv255 3 роки тому +1

    Hajatoa majibu kaeleza tofauti ya tozo

  • @husseinkitingi8186
    @husseinkitingi8186 2 роки тому

    Sababu zake hazina mshiko maana kodi ya mmiliki talipaje mteja?

  • @nwntz
    @nwntz 2 роки тому +1

    Kama ndio hivyo mama anachotaje ela za bara zinaenda kuendeleza zanzibar ?

  • @venancephilbert9397
    @venancephilbert9397 2 роки тому

    Mmmmh sijaelewa hapo kwn vp mikiishushia kigoma kwa matmizi ya daslam na hali ya kiuchumi ya kigoma si sawa na daslam

  • @mussaomary7173
    @mussaomary7173 2 роки тому

    mi ni fundi.nilienda Zanzbar na tools zangu.wakati naenda haikuwa shida.niliporudi ilitakiwa nilipie eti nimenunua zanzbr.

  • @shafyjuma3141
    @shafyjuma3141 2 роки тому

    Siyo kajikodi nibonge la kodi

  • @mussaomary7173
    @mussaomary7173 2 роки тому

    si afadhali zembwela unasema gari.deck ya 30.000.utailipia 15000.au rushwaa10000.

  • @ericmkami7578
    @ericmkami7578 2 роки тому

    hii video hata sijaelewa kesema kweli....sasa Nini maana ya muungano kama mimi nikinunua gari au vitu Zanzibar ukitaka kuleta bara nachajiwa tena Kodi??? huu muungano upo kwenye vitu gan specific maana ufafanuzi wa hyo brother hata sijauelewa vzr.....🤔🤔🤔

  • @farhanixhaka2840
    @farhanixhaka2840 2 роки тому

    Cc wazanzibar na tuendelee tu kupata gari kw bei rahisi

  • @lgsonline8836
    @lgsonline8836 2 роки тому

    Viongozi wa bongo vichwa maji sana yan

  • @reginajoseph1269
    @reginajoseph1269 3 роки тому +1

    Hahaaa ndo yaleyale ya chanjo.Kwanini Zanzibar waliletewa chanjo ya China sisi bara tukaletewa ya marekani aina ya J&J wakati Tanzania ni nchi moja??au hakuna muungano tayari Zanzibar ni nchi inajitegemea twambieni na sisi tudai Tanganyika yetu

    • @ulipoulipotupo7564
      @ulipoulipotupo7564 3 роки тому

      Ndio unajua ssa

    • @gangmore9091
      @gangmore9091 2 роки тому

      Tanganyika yenu ipo imebadili Jina t saiv inaitwa Tanzaniabara 🤣🤣🤣😅 fanyeni mudai tanganyika yenu