Rais Magufuli apiga msumali wa mwisho sakata la makontena ya RC Makonda

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 20 сер 2024
  • Rais Magufuli hatimaye amekata mzizi wa fitna kuhusiana na makontena Ishirini yanayoshikiliwa Bandarini Jijini Dar Es Salaam yakidaiwa kuwa na samani za shule yaliyoletwa kwa msaada kwa jina la Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam Paul Makonda akisema ni lazima yalipiwe kodi.
    Dokta Magufuli amesema kwamba makontena hayo yanayodaiwa kodi yenye thamani ya Bilioni Moja Nukta Mbili yanapaswa kulipiwa kodi hiyo kwa sababu aliyeletewa hana mamlaka ya kisheria ya kupata msamaha huku pia akihoji ni kwa nini shule zinazopelekewa samani hizo hazijatajwa.
    Rais Dokta Magufuli amezungumza hayo akiwa Chato Mkoani Geita alipokutana kwa mazungumzo na Viongozi na Wafanyakazi wa Halmashauri ya Wilaya ya Chato.

КОМЕНТАРІ • 39

  • @saleheothman6430
    @saleheothman6430 6 років тому +1

    Mr Charles kaganda ; sasa nakubali maneno yako

  • @givenmoshi2591
    @givenmoshi2591 6 років тому +2

    huu ndo uzalendo tumempata mkombozi wetu mungu akupe maisha marefu

    • @sterlingbraden4270
      @sterlingbraden4270 3 роки тому

      Sorry to be so offtopic but does any of you know a way to log back into an instagram account??
      I somehow forgot my password. I would appreciate any tips you can offer me.

    • @japhethcharles5791
      @japhethcharles5791 9 місяців тому

      😭😭😭😭😭😭😭😭 Mungu alitoa ,ametwaaa!!!

  • @humphreymalema3024
    @humphreymalema3024 6 років тому +1

    Kichwa hiki safi sana raisi wetu

  • @machinefannatic99
    @machinefannatic99 6 років тому +1

    Straight.

  • @charleshaule4008
    @charleshaule4008 2 роки тому +1

    Magu was smart... amecite vifungu kama wakili, ameweka hoja kwa mantiki ya kueleweka hata mgumu kuelewa angeelewa hoja.. RiP Magu, mbali na yote ni mkweli na mchapakazi.Tumepoteza Kiongozi watanzania.

  • @samsonkusupa6809
    @samsonkusupa6809 6 років тому +3

    Mzee piga viboko huyo mtoto ameanza kuwa mtovu wa nidhamu

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan8093 Рік тому +1

    Makonda alikua fisad anaelindwa na mwendazake

  • @letareelissa3944
    @letareelissa3944 6 років тому +3

    Dar ? nyamaimenasa kwenye jino ingekua mkuu Wa koa yeyote tofauti na makonda mkuu angesha mtumbua

  • @jamhuriyohana7025
    @jamhuriyohana7025 6 років тому +1

    Angalia#MTU MWEUSI

  • @stephanokayega2792
    @stephanokayega2792 5 років тому +1

    DS

  • @fatmakisuwa2124
    @fatmakisuwa2124 6 років тому +3

    Mmh ng'ombe wa bwana her shamba la bwana her yetu macho

  • @thereal_mtangojr2634
    @thereal_mtangojr2634 6 років тому +1

    kwenyee kodii hana mchezoo Jpm

  • @Mnaveed_804
    @Mnaveed_804 6 років тому +3

    Kamata mtoto wako kama kweli unapenda kujenga tanzania.....hayu maneno ya nn we mzee...

  • @helbertrugalabamuenery7313
    @helbertrugalabamuenery7313 6 років тому +2

    Makona umeuza

  • @tunumohamedy7332
    @tunumohamedy7332 6 років тому +2

    Magu alisema kuwa yeye aliapa kusimamia sheria!haya tunataka kuona iyo sheria anayeisimamia ifanye kazi!na sio tu kuyapiga mnada!afunguliwe mashtaka kwa kuhujumu uchumi!akifanya hivyo kweli tutamuamini kuwa ni mtetez wa wanyonge na anasimamia sheria kweli, na ifikapo 20-20 atakuwa hana mpinzani!!

  • @josej9888
    @josej9888 6 років тому +3

    Angekuwa Rc mwingine angefukuzwa kazi, lakini kwakuwa ni Prince BASHITE anatoa speech tu basi limepita hilo.

  • @mako331
    @mako331 6 років тому +1

    Kila binadamu anaweza kufanya makosa it’s very normal but u can make a mistake while trying to do good, Makonda bado ni mchapakazi mzuri, hatumbuliwi mtu hapa poleni chadema

    • @jitukorofi9517
      @jitukorofi9517 2 роки тому

      Miaka 3 imepita rudia tena ama kweli ukimtegemea mtu ni vibaya sana

  • @zahramunir8596
    @zahramunir8596 6 років тому +2

    Haki za watu hazipotei, aliwadhalilisha watu kw vitu vya kukisia sasa yye vipi awekwe jela cku 5 kwanza atiwe adabu.! na fedha hizo za makontena kazipata wapi?

  • @kijuuborongo6405
    @kijuuborongo6405 6 років тому +1

    Bado hamjAmwelelewa Makonda meli ya madocta ya kichina ilikuja kwajina lanani?

  • @raymondkaswaga8334
    @raymondkaswaga8334 6 років тому +2

    Loh chenga

  • @salumuhamissi3492
    @salumuhamissi3492 6 років тому +2

    Mtoto umleavyo ndivyo akuavyo

  • @aroundkilimanjarotoursands5600
    @aroundkilimanjarotoursands5600 6 років тому +1

    Mbona huyu hatumbuliwiii?

  • @mohamedkiranja1575
    @mohamedkiranja1575 2 роки тому +2

    Q198v

  • @mapenzi_tz1511
    @mapenzi_tz1511 6 років тому +10

    Kwani Hapo hakuna kesi kw sababu amekubari ni yake Sasa afukuzwe kazi kivipi kikubwa alipe kodi au yauzwe Sio kufukuzwa kazi

    • @charlesmushi5350
      @charlesmushi5350 6 років тому

      Aliepewa dhamana ya kupokea misaada ni raisi Tu.......na majina ya shule hayajatajwa wake up we Acha ushabiki wa kisengr

    • @aminaausi4142
      @aminaausi4142 6 років тому

      Nashangaa

  • @transmadale
    @transmadale 6 років тому +1

    Mtoto wa baba huyo yataisha tu

  • @mahrooqsuleiman7216
    @mahrooqsuleiman7216 6 років тому +2

    Hayo makontena ni yake alitaka kuuzia serikali sio ya msaada

  • @dr.lukindogrammaracademy1310
    @dr.lukindogrammaracademy1310 6 років тому +1

    Maigizo na upumbavu tupu

  • @aloycemalya4701
    @aloycemalya4701 6 років тому +2

    Kulen nchi na mjnga mwenzako muda utafika tu

  • @stevenpeter562
    @stevenpeter562 6 років тому +1

    hawezi tumbuliwa

    • @evelyinelyimo67
      @evelyinelyimo67 6 років тому

      Hakuna lisilokuwa na mwisho

    • @adinaniakash2332
      @adinaniakash2332 6 років тому

      raisi wetu ni mtu makini sana hivyo viongozi waliopo mdarakani lazima wawe mkinizaidi la sivyo chochote kinaweza kutokea