TWENDENI SOTE KWA BWANA & VIUZENI MLIVYO NAVYO Kwaya ya Mt. Thomas More Chuo Kikuu Mzumbe

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 1 лют 2025

КОМЕНТАРІ • 30

  • @loycekitoboi1467
    @loycekitoboi1467 Рік тому +2

    Mungu azidi kuwabariki🙏... Kazi nzur

  • @adamumanyoni
    @adamumanyoni Рік тому +3

    Nabarikiwa sana na Thomas more hongereni sana kwa uimbaji 🎉🎉🎉🎉 Mungu atajiinulia taifa kwenu

  • @irenendanzi6242
    @irenendanzi6242 Рік тому +3

    nice !!!sooo nice 🙌🏽

  • @adamumanyoni
    @adamumanyoni Рік тому +2

    Hakika mnafanya vyema kwa nyimbo mnazo imba Wana Thomas More🎉🎉🎉

  • @Lemishen
    @Lemishen Рік тому +1

    Kazi njema Sana kumsifu na kumtukuza Bwana

  • @WisterPacficus-tt7zz
    @WisterPacficus-tt7zz 11 місяців тому +1

    Mbarikiwe na Bwana

  • @JosephPaul-qm1gu
    @JosephPaul-qm1gu Рік тому +5

    Hakika nyimbo ni nzuri Na wanakwaya wamezitendea haki kuanzia Na tabasamu
    Mola akawaongeze vyema katika uinjilishaji

  • @marymbata
    @marymbata Рік тому +4

    Mtiribuu kaziii nzuriii.wanakwaya piaa kazi nzur tuendelee kumtumikia Munguu Kwa kuimbaaa

    • @kmtmmzumbe
      @kmtmmzumbe  Рік тому

      Amina sanaaa na ubarikiwe daimaaa

  • @juhavestudio
    @juhavestudio Рік тому +4

    Hongera sana my family KMTM

    • @kmtmmzumbe
      @kmtmmzumbe  Рік тому

      Amina sanaaaa, ubarikiwe sanaaaa

  • @KelvinKamugisha-wq8qp
    @KelvinKamugisha-wq8qp Рік тому +4

    Mungu awabariki sanaaaaaaa wana STM

  • @menradjosephat8482
    @menradjosephat8482 Рік тому +3

    My Family keep it up! Mungu awabariki sana

    • @kmtmmzumbe
      @kmtmmzumbe  Рік тому +1

      Amina sana, ubarikiwe pia mkubwa tuko pamoja kama familia

  • @Kacimbaz
    @Kacimbaz Рік тому +5

    Kazi nzuriiii❤❤❤

  • @mjunsylivanus5125
    @mjunsylivanus5125 Рік тому +5

    Mungu azid kuwabariki,,,, na mzidi kumtumikia 🎉🎉🎉

  • @JovithaJames-gq2dd
    @JovithaJames-gq2dd Рік тому +3

    Mungu awabariki sana na aendelee kuwajalia afya njemaaaaaa mtimize malengo yenu .

    • @kmtmmzumbe
      @kmtmmzumbe  Рік тому

      Amina sana, Mungu aendelee kuwa nasi sote

  • @Misol003
    @Misol003 7 місяців тому +1

    ❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @innocentbahati8776
    @innocentbahati8776 Рік тому +2

    Ni nzuri, waalimu weken juhudi zaid kwenye thaman za noti na kuimba noti husika hasa hizo minor notes (Accidentals) saut ya kwanza kwenye wimbo wa Joseph mkomagu,,, pia mwisho wa video hii pamekua na vurugu nyingi ambazo kimsingi hazitakiwi... take a note please

    • @kmtmmzumbe
      @kmtmmzumbe  Рік тому

      Asante sana mkuu tunalifanyia kazi, ubarikiwe

  • @STEPHANIADEOGRATIAS-ws6ev
    @STEPHANIADEOGRATIAS-ws6ev Рік тому +4

    Kazi njuri mno wanakwaya