MBELE ya MAKONDA WAANDISHI WAMLIPUA RPC ARUSHA - ''HAPOKEI SIMU - INAITA TU - KIOO HAKIONI''...

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 28 сер 2024
  • MBELE ya MAKONDA WAANDISHI WAMLIPUA RPC ARUSHA - ''HAPOKEI SIMU - INAITA TU - KIOO HAKIONI''...
    Jishindie Zawadi na Global TV
    Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
    👉🔥👉forms.gle/aU9z...
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

КОМЕНТАРІ • 41

  • @allymwamba
    @allymwamba Місяць тому +10

    Misumari ya moto maoni mazuri

  • @HumanBeing-pj4hm
    @HumanBeing-pj4hm 29 днів тому

    MBELE ya MAKONDA WAANDISHI WAMLIPUA RPC ARUSHA - ''HAPOKEI SIMU - INAITA TU - KIOO HAKIONI''... (TURUDI SHULE KUU YA UANDISHI WA HABARI TUKAJIFUNZE KUANDIKA CAPTION)

  • @CatherineMbatta
    @CatherineMbatta Місяць тому +6

    Omba omba ni tishio kweli,umeenda zako village supermarket umebeba kamkate Kako unakuta mabinti wazuri wako watatu na vikombe vyao wanaomba ,haohao wakifanyiwa vitendo vya kikatili ndio tunakuja kujua kumbe hata wazazi wapo

  • @user-ex9sd8wm4l
    @user-ex9sd8wm4l Місяць тому +2

    Kweli kabisa gwakisa nimtu kwa kutowa msaada

  • @thomastemu3332
    @thomastemu3332 Місяць тому

    Safi Sanaa

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 Місяць тому

    Hivi kunawaandishi wa habari tena. Mimi nilidhani Nyerere aliondoka na akafuta waandishi wa habari. Kwa sababu wakati huo waandishi walikuwepo. Lakini toka hapo naona wachawa tu.

  • @jonasmbala1326
    @jonasmbala1326 Місяць тому +3

    Huyu Mwandishi ajue kwamba huyo mlemavu hakuomba ulemavu lakin pia nao ni binadamu hivyo jitafakarin sana kuwa zungumzia walemavu nao wengine walikuwa wazima kama yy hapo ni kuomba Mungu aepushe ajali na mengineyo ili kuwepo na uzima zaidi

    • @nassercurtis9579
      @nassercurtis9579 Місяць тому

      Hayo ndio maono yako sio? Walemavu kukaa barabarani kuomba omba umeona ni sawa na kuchafua taswira ya nchi si ndio? Je unaonaje wakatafutiwa utaratibu wa kujitegemea kuliko kuwa omba omba? Je unawazungumziaje wale walemavu waenda bajaji hapa dar feri mbona wao sio omba omba? Mtazamo wangu serikali iwatafutie vituo maalumu vya kupakia abiri kwa ajili yao tu kama vile feri na hata posta halafu wawe kwa vikundi wakopeshwe bajaji na walipe kwa mkataba usiopungua miaka miwili ili baada ya hapo hizo bajaji ziwe zao na wasiojiweza kabisa yaani vilema wa mikono na miguu wawezeshwe watu watu wao wahudumia mbadala wa hao walemavu na wawe na vibali maalumu vya kuweza kupakia sehemu za walemavu.

    • @SalmanMughal-lq5lt
      @SalmanMughal-lq5lt Місяць тому +1

      KilaHali.mwenyezimungu.ndyo.mwenye.makadirio.tuombetumunguHakunamjanja.mbeleyake

    • @cavoo4get649
      @cavoo4get649 Місяць тому +1

      Wewe naona hujui unacho kitetea nyamaza tu, wenzako wanachukuliwa kutoka mikoani kwaaji yahiyo kazi, kwa ufupi nimitaji ya watu

  • @DanielMasaki-q1m
    @DanielMasaki-q1m Місяць тому

    Bwakisa ni mashine kweli kweli

  • @richardmbasha1411
    @richardmbasha1411 Місяць тому

    Omba omba kwa ARUSHA ni kweli wamezidi sana

  • @user-xe4vh8nw3v
    @user-xe4vh8nw3v Місяць тому

    Kaka makonda Fanya Kaz kama mungu alivyo kuagiza mana utabarikiwa zaid yahapo ulipo

  • @kibabysaid6692
    @kibabysaid6692 Місяць тому

    Jamani na venye Faiza aliwasema wa Kenya kuwa wengi ni masikini...ety Tz nyinyi n matajiri ...sasa hao omba omba mnao wazungu mzia hpo wametokezea wapi?..

  • @angellomarcel5677
    @angellomarcel5677 Місяць тому +3

    Zunguuuu

  • @EmanuelIsaya-sg8bk
    @EmanuelIsaya-sg8bk Місяць тому

    Kusags TV sijakusikia. Rpc hapokeagi sm .ungeenda kumtuanga

  • @JumaAthuman-bk6hx
    @JumaAthuman-bk6hx Місяць тому

    Habari ya kutokupokea simu ni janga kubwa kwa watu waliopewa dhamana hasa ma_RPC karibu wote wanadharau sana hata ujumbe hawajibu mbaya sana.Sijui kwa nini wanatangaza namba zao!Vilevile baadhi ya ma_RC.wanatabia hiyo,badirikeni mpo kwa ajili ya wananchi.

  • @stevenmwenda3005
    @stevenmwenda3005 Місяць тому

    Upande wa kina bwakisa wote waondolewe wahamishwe waje wapya hapo itakuwa sawa wezi wote kwa sasa hawaogopi kabisa police kuna maswala ya rushwa sana upande wa upelelezi

  • @BasiliClement-ql1yg
    @BasiliClement-ql1yg Місяць тому

    Hawo jamaa kwenye hizo trafic lights ni tatizo kubwa wanaingia katikatia yamagari na bodaboda nijambo la hatari sana na ukiwaeleza km nimishawaeleza kwamba mtagongwa lakini wapi wala hawajali

  • @stevenmwenda3005
    @stevenmwenda3005 Місяць тому

    Swala la uizi na vijana wanaoiba iba kila siku tatizo upande wa upelelezi wilayani kuanzia ocsd na wenzake upelelezi wahamishwe mara mmoja waje wengine wenye hari kubwa wataweza kuwaotokomeza kabisa lakini ikibaki hivyo kama ilivyo hakuna kitu kitabadilika maana ni rushwa sana

  • @mpefu_4936
    @mpefu_4936 Місяць тому

    Wawe na ustarabu mbona Kuna walemavu wanajishugulisha wamefanya kuomba ni sehema ya kazi

  • @NixonJohnson-r4m
    @NixonJohnson-r4m Місяць тому

    Ukiona hushiki simu ni hofu tu wala sio bize...

  • @pastoreliwkimaroni8332
    @pastoreliwkimaroni8332 Місяць тому

    Ombaomba nitatizo sana

  • @HashimYahaya-hd3zm
    @HashimYahaya-hd3zm Місяць тому

    Mworeka uko sawa omba omba wamezidi

  • @elvisoscar9912
    @elvisoscar9912 Місяць тому

    Tanzania akuna waandishi wa abar akuna media zote zimeegemea upande frn

  • @user-xk7vy4gb6g
    @user-xk7vy4gb6g Місяць тому +3

    Duuuh mtihani. Omba omba ni changamoto. Kamanda ujumbe wako hupokei cm. Yani viongozi wengi kupokea cm ni changamoto km hawaoni vile

  • @pastoreliwkimaroni8332
    @pastoreliwkimaroni8332 Місяць тому

    Ombaomba wanao wa sukuma ni vijana wenyenguvu wa naweza kufanya kazi na kuwa saidia

  • @jamalibeya2527
    @jamalibeya2527 Місяць тому

    Omba omba ni walemavu ni WA Tanzania wenzetu waondolewe waende wap tungelee jinsi ya kuangamiza tatu mzuka

  • @JumaAthuman-bk6hx
    @JumaAthuman-bk6hx Місяць тому

    WEWE NWANDISHI UKISEMA MASHIRIKIANO WATU WA MTAANI WASEMEJE? JARIBUNI KUOGEA KISWAHILI SANIFU.HAKUNA NENO MASHIRIKIANO,BALI USHIRIKIANO.

  • @user-de2rg9kk7u
    @user-de2rg9kk7u Місяць тому

    KWELI NIMEAMINI MBONA WAANDISHI WA HABARI HAWANA CONFIDENCE KABISA??????? YANI MIMI NIMEWAONA WOTE HAMNA KITU. MBONA WAANDISHI WA HABARI MMEMKUA WAOGA HIVO?? YANI HAMNA CONFIDENCE KABISA! Shenzi 😡😡😡🤬😠 yani Hapo nimemuona ni mwandishi Mmoja pekee wa Millard Ayo Ndio ameongea Kwa Confidence Wengine Wote Amna kitu Hovyoo hovyo kabisa 😁😠

  • @khadijakimana8809
    @khadijakimana8809 Місяць тому

    Omba omba, watafutie vitega uchumi, wanaomba kwasababu ya shida!

  • @husseinkarim7663
    @husseinkarim7663 Місяць тому +2

    Kweli ombaomba wamezidi hasa Dar, ni mradi mkubwa, utaona mtu anamleta mtu ambaye asiyekuwa na ufahamu kabisa na huwatembeza barabarani

  • @alsam4881
    @alsam4881 Місяць тому

    Badala ya Serikali kutatua matatizo ya Omba Omba na kuwapa mitaji ya biashara na kuwaweka sawa ili wasiwe Omba Omba tena na waondokane na umasikini, lakini badala yake wanapewa misaada wasanii na kwenda Korea na kugharamiwa mamilioni ya pesa.

    • @RobertLyimo-vj3up
      @RobertLyimo-vj3up Місяць тому

      Omba Omba haiwezi kuacha kuomba hata akipewa mtaji utamkuta barabaran

  • @user-sj8hn7jt7g
    @user-sj8hn7jt7g Місяць тому

    Sifa mnambaya

  • @renatusblandes1131
    @renatusblandes1131 Місяць тому +2

    Waandishi wengi hawasema kadhia ya polis Barabarani kusimamisha daladala na kuomba ela hiyo ni nchi nzima

  • @karimmveyange280
    @karimmveyange280 Місяць тому

    MSIWAFUKUZE OMBA OMBA MANJIANI,TAIFA LINA MALI NYIGI,ZINACHUKULIWA NA NANI? JIFUNZENI KWA BOTSWANA,SOUTHI AFRIKA NA LIBYA YA GADAFI. MMEWEKA VIONGOZI MASHTANI MATAIFA YANALAANIWA.

    • @jasonwatz7457
      @jasonwatz7457 Місяць тому

      Miji mikuu yote dunian wameondoa hao watu, ndio wanashida lakin wanapunguza hadhi ya jiji

  • @handenitakuru6696
    @handenitakuru6696 Місяць тому +1

    Global mnaleta udwanzi

  • @aloycesamba998
    @aloycesamba998 Місяць тому

    Moleka umeongea point sana kweli ombaomba wamekuwa kero sana na kinachokera zaidi Ni Bora hata wangeomba watu ambao hawajiwezi,kwa sababu ingiangalia wengi wao ni wanaojiweza