HD VIDEO: RC ALLY HAPI AFOKA, TAZAMA ALIVYOAGIZA POLISI WAMCHUKUE MENEJA WA BENKI NA MWANASHERIA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 22 бер 2019

КОМЕНТАРІ • 828

  • @godblessmwangilla168
    @godblessmwangilla168 5 років тому +33

    Aliegundua Yunusi ni Boyfriend mjanja anae kwenda na wakati Gonga like twende sawa.

  • @abdallahhadaika2131
    @abdallahhadaika2131 5 років тому +27

    Kazi nzuri nakukubali mzee baba kazi kazini kazi na vitendo bana kama umekubali gonga like twende sawa

  • @amanihare21
    @amanihare21 2 роки тому +6

    Hapo sawa kabisa nakubali kazi yako hongera!!Mungu akupe nguvu na ujasiri katika kazi yako🙏🙏

  • @mwanahalimamwachili9679
    @mwanahalimamwachili9679 4 роки тому +5

    👏👏👏👏👏👏 Episode 2 naomba,Mungu akueke Muheshimiwa Uzidi Kuokoa Wanyonge.

  • @mbeyauwsa5848
    @mbeyauwsa5848 5 років тому +16

    Mwanasheria wa Bank huhuuuuuu.
    gonga like twende sawa

  • @saadakigalu7211
    @saadakigalu7211 5 років тому +12

    Safi mkuu wa mkoa I love it ....wanyonge wanaonewa mno

  • @watuwawili5168
    @watuwawili5168 5 років тому +7

    He was very smart.
    Mungu akubariki brother

  • @idrisahussein3869
    @idrisahussein3869 5 років тому +7

    Hongera saña tunahitaji watu kama hawa kwa maslahi ya nchi,hili ni moja lakini yapo mengi sana dhulma nje nje kwa wanyonge wa nchi hii.Ubarikiwe Hapi,nakukubali.

  • @fatumahirbotuke1663
    @fatumahirbotuke1663 4 роки тому +2

    Ma shaa Allah mkuu wa mkoa Allah akuzidishie kila la kheri..kweli wanyonge watapata haki kwa kazi yako nzuri may almighty Allah bless you from +254

  • @niccolomachiavelli6057
    @niccolomachiavelli6057 5 років тому +124

    Aliyecheka Kama Mimi baada ya kugundua kuwa na Yunus yupo kwenye mkutano gonga like 😂

    • @jamessyria6649
      @jamessyria6649 5 років тому +2

      Serikali ya sasa mambo mazuri kweli nampongeza sana RC wa iringa kwa kupigania haki ya wanyonge mungu akutie nguvu

    • @poureenkunambi6413
      @poureenkunambi6413 5 років тому +3

      Edsson Nzingo nmecheka saaaana

    • @niccolomachiavelli6057
      @niccolomachiavelli6057 5 років тому +1

      Kunambi,mimi nilicheka sana siku hiyo kwa sababu Before nilijua aliyechukua mkopo Alisha sepa zamani

    • @poureenkunambi6413
      @poureenkunambi6413 5 років тому +1

      Edsson Nzingo namie nmecheka hpa baada ya kumuona yunuc akiibuka ndan ya ukumbi aaaaakhaaaaa

    • @happyfiverickaldo4662
      @happyfiverickaldo4662 5 років тому +1

      😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁

  • @tunuagriproducts9649
    @tunuagriproducts9649 4 роки тому +39

    Kama unasubiri part 2 ya hapa gonga like hapa

  • @patrickfulano5282
    @patrickfulano5282 2 роки тому +2

    Good , mkuu wa mkoa kazi Nzuri Sana big up

  • @francinesimirra4202
    @francinesimirra4202 5 років тому +5

    WOW wow Amazing Mungu akuongezeye ekima kama ya sulemani wewe ni msaada kwa taifa lako 👏👏👏👏👏👏👏👍

    • @sajubwax9335
      @sajubwax9335 5 років тому

      Francine Simirra ska

    • @anosisyemwaipopo466
      @anosisyemwaipopo466 4 роки тому

      Watanzania wanafiki sana, wanachoshangilia nn sasa? Wanapoenda kukopa wapo radhi hata wahonge ila kuripa sasa chenga nyingi, mikopo wanahonga, wanapeleka kusiko malengo...tabu sana

  • @msomisongoma9715
    @msomisongoma9715 5 років тому +9

    mungu akutangulie kazi njema sana kwa wananchi

  • @didahassanhassan687
    @didahassanhassan687 5 років тому +46

    Mkuu wa mkoa. Kwa hili. Nakupa kura yangu. Love you.tena mwaaahhhh. From Kenya mombasa

    • @garamabe6891
      @garamabe6891 5 років тому

      🤣🤣🤣 uko na kiu sana

    • @hababisamade7283
      @hababisamade7283 4 роки тому

      Safi sana
      Mkuu wa mkoa

    • @bethkamau6037
      @bethkamau6037 4 роки тому +1

      Aki huyu mku wa mkoa so akuje afunze wakwetu kusimama na ukweli

    • @aminasaleh6134
      @aminasaleh6134 4 роки тому

      mkuu wa mkoa upo sw nakukubal mung akupe umri mrefu

  • @isayangonyani2678
    @isayangonyani2678 2 роки тому +2

    Aise Alli Hapy. safi kazi nzuri sana

  • @albertmwinde487
    @albertmwinde487 5 років тому +2

    Hongera sana may Ally Happy New kazi nzuri God bless you

  • @hawaabubakar2619
    @hawaabubakar2619 4 роки тому +6

    Swadakta safi naomba sehemu ya pili ln Sha Allah ilinione vpwali waclisha viyeti safi i salute u Bro from saudi

  • @aspaslove113
    @aspaslove113 5 років тому +32

    Kama unaomba part2 kama Mimi gonga like tujuane hhhhh

  • @Ntambwe4040
    @Ntambwe4040 4 роки тому +2

    ☆☆☆ after Magufuli this guy need to take it over ☆☆☆ Tanzania itaendelea kusonga mbele. Love from Burundi🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @bjzee1981
    @bjzee1981 5 років тому +27

    Magufuli kachagua kweli. Yani hakuna mbabaishaji ktk uongozi wake. Big up Mr PC

  • @fatmazenafzena917
    @fatmazenafzena917 5 років тому +5

    Daaa wanyonge wengi masikini ....Alhamdulillah tumepata watetezi... Allah awalinde zaidi na zaidi

  • @paulbruno9817
    @paulbruno9817 5 років тому +19

    I admire you Mr.Rc Happy
    I love your job!

    • @herculesthepower1544
      @herculesthepower1544 2 роки тому

      Don't believe what you see and what you hear. This politicians are very clever. This is organised group of actors including Hapi himself. Once case is at the court it is not allowed to be discussed publicly and he Hapi himself knows that,but since there is no case at the court he knows he wouldn't be charged cos they are just acting. The mama Asian guy(I believe asian kinda forced into this matter)to act lawyer, bank, manager. If you noticed you will see the lawyer played dumb bank manager too. This act to raise his popularity and people to believe he is on their side. This is politic my friend.

  • @sistimasawe5936
    @sistimasawe5936 5 років тому +18

    Kama na wew umegundua benk wanatoa mkopo kwa hati ya photocop gonga like twende zetu

  • @adammwakosya4325
    @adammwakosya4325 5 років тому +41

    Well done RC happy we need such kind of leadership.

    • @khamisseif636
      @khamisseif636 2 роки тому

      ....

    • @jacksonnyange701
      @jacksonnyange701 2 роки тому

      Ùùùùuuùù

    • @muddah7559
      @muddah7559 2 роки тому +2

      Exactly! But, upumbafu, rushua, udjinga wa sisi wa Africa, huyu Kiongozi watamucukia na kumushusha. Thank u RC Happy angalao Mimi ni Mkongo(DRC). Nafirahi sana kwasababu Pombe Magufuli ameeee Yani Magufulification is still spreading.

    • @thegreatsource2953
      @thegreatsource2953 2 роки тому

      Huyo RC ni hamnazo, anajifanya kujua wakati hajui kuwa hajui😏

    • @hashimbakari4670
      @hashimbakari4670 2 роки тому

      @@khamisseif636 llllll

  • @mcyudasicqo9610
    @mcyudasicqo9610 5 років тому +6

    Nakukubari kijana Hapy, Kazi njemaaa mungu akuinue zaidi hiii ndio tz ninayo hitaji, magu hakufanya makosaaa, nakuombea upate uwaziriii wa nje hiii ndi tim work

    • @lugayilajohn6269
      @lugayilajohn6269 5 років тому

      Ninoooma Mbaba hapa kazi tuu kaka Upo sawa

    • @lugayilajohn6269
      @lugayilajohn6269 5 років тому

      Jaman magufuli mwangalie kwa macho mawili hapy anafaaa tena Sana uwe unamhamisha hamisha ili aendeleee kunyoosha hawa wapuuzi wanaodhulumu wananchi da iringa mnamtu mhimu sana hapy Upo poooa sana tena Sana ingekuwa inawezekana mikoa yote ungezunguka kuinyoosha inchi

  • @mbwanaomary7537
    @mbwanaomary7537 5 років тому +10

    Wale wote wanaosema hawa vijana wanafanya kazi kwa mihemko ni wezi, hii hari ya kazi walionayo hawa vijana imewasaidia wengi sana hasa watu wa chini maana vipindi vilivyo tungempata wapi mkuu wa mkoa tungemuona wapi mkuu wa wilaya, wacha wafanye kazi

  • @janethjustin5256
    @janethjustin5256 5 років тому +4

    wanyooshe baba safiiiii👏👏👏👏👏👏👏well done Happi.

  • @taifocuscompany9246
    @taifocuscompany9246 5 років тому +14

    Huyu RC anaugusa moyo wa MUNGU moja kwa moja.

  • @ifruitx2096
    @ifruitx2096 5 років тому +25

    Sawa sawa mkuu wa mkoa hivi ndio kazi inafanywa bwana hata mungu anaona unachokifanya😁😁

  • @skinnygypsy8629
    @skinnygypsy8629 Рік тому +1

    Yeah huyu sasa safi sana kama rais magufuli

  • @johndismas2562
    @johndismas2562 2 роки тому

    Very good,,I appreciate RC Mungu akubariki sana

  • @ibrahimmawazo7165
    @ibrahimmawazo7165 5 років тому +1

    Nampenda sana mkuu huyu wa mkoa.. yaani ana hoji FACT tupu.. Mungu akulinde na kila shari...

  • @ashapearubart2624
    @ashapearubart2624 5 років тому +4

    Asante sana awamu ya5. Hingekua zamani wanyoge wanazulumiwa.

  • @FausitnePonera-fq9pj
    @FausitnePonera-fq9pj 5 місяців тому +1

    Magufuri ana vijana wazuri sana ukimwangalia happy kama makonda

  • @fredytarimo9107
    @fredytarimo9107 5 років тому +24

    Hao jamaa bank wapumbavu kweli,hongera sana mkuu wa mkoa kumsaidia mwanamke mmoja ni sawa na kusaidia wanaume mia 100.

    • @oscartatrino1714
      @oscartatrino1714 4 роки тому

      Magufuli rais wangu piga kazi baba piga kazi, unajua wakati mwingine binadamu unashindwa useme nini kwa kuwa pa kusemea unakuwa huna,ivi watanzania wenzangu tukiacha utawala baba yetu wa Taifa aliyeliongoza taifa hili kwa dhiki na shida pamoja na kuwa alikuwa na madini ya kila aina, lakini aliangalia mbele,ambae hii leo mimi namfananisha na baba mwenye familia kubwa aliyelima shamba akapata chakula akakiweka akiba ya baadae wakati wa njaa ili watoto wasije kufa na njaa,ambayo ndo leo madini aliyotutunzia baba yetu tunafaidi, ivi tukiacha utawala ule wa baba wa Taifa hapa katikati tawala zilizopita mpaka hii leo hapa kwa baba JPM, matukio kama haya tunayoyashuhudia watu kama hawa tena na wanasheria wakiwepo ni wangapi wamedhurumika haki zao kwa tawala zilizopita ukiacha kipindi cha mwalimu? Hatukuwahi kusikia habari njema kama hizi tunazoziona leo kwenye jeshi la magufuli, hata na kuna utawala wa wakati fulani ulitangaza mpaka kikosi cha mwavuli lakini hatukuyaona tunayoyaona hii leo, ebu watanzania wenzangu naomba niulize kaswali kangu kadogo tu, ivi kwa kazi hii aliyoifanya mdogo wangu Hapi kwa hawa watu yaani kwa meneja na ,mwanasheria wa benk NMB ni ya kujimwambafai mwambafai? Ivi unaweza ukasema Hapi amejimwambafai hapo? Hapi nae ametumia nafasi yake wala hajaiingilia mahakama,mahakama nayo ina nafasi yake, ebu cheki waangalie wapiga dili walivyobanwa maswali yaani dhahiri shahiri hata asiyejua kusoma ameng'amua kuwa issue nzima hapo kuanzia meneja mpaka mwanasjeria walipiga dili,na kumtishia huyo mama wa watu kumpeleka mahakamani,na wanajua watanzania tuliowengi tunashindwa kesi nyingi zikiwa mahakamani kwa kutojua sheria,au kwa kutishiwa kuwa kesi yako ni mpaka wakili ili ushindwe pesa za kumlipa, ndg Hapi kwa issue kama hiyo ivi mahakamani huyo mwanasheria alienda kufungua kesi gani? Ikiwa mkopaja kajikatalia kata kata kwamba yeye dhamana ya nyumba haitambui,yeye dhamana yake ni aseti zake,sasa huyo meneja na mwanasheria walipata wapi hati tena coppy? Tumwulize na huyo meneja alisomea wapi umeneja wake wa coppy kukopea mikopo? Na huyo mwanasheria achunguzwe vizuri uanasheria wake alisomea wapi? Huenda ndo wale wenye vyeti feki hao, kwanza mwanasheria gani wa benk tena benk kubwa kama NMB mwansheria wake unavaa tirshit tena ya round coler,halafu unathubutu kusimama mbele ya kadamnasi eti unajitutumua mimi ni mwanasheria wa NMB ivi hujaona aibu, ivi na nyie NMB mekosa kabisa watu wenye sifa za kufit hapo? Ona sasa mnavyoumbuka, watanzania ivi mnataka mniambie je kwa tawala zilizopita wababaishaji kama hawa wapiga dili hawakuwepo? Mbona hatukuwahi kuwasikia? Kama ndivyo ni wangapi kwa style hii wanyonge tumedhulumika haki zetu? Hapi kamata hao weka ndani hata wakisema na wewe unajimwambafai mwambafai poa tu.

    • @japhydejerry2908
      @japhydejerry2908 3 роки тому

      Fredy Tarimo nakuona boss wanguu😆😆😆 kahama tuko pamoja

    • @neema-ee6qm
      @neema-ee6qm 5 місяців тому

      😂😂😂😂😂😂

  • @husseinsalimmaula4254
    @husseinsalimmaula4254 5 років тому +2

    Long long life ally happy maisha marefu.

  • @radhiasalum7156
    @radhiasalum7156 5 років тому +27

    Yunusi karika futi mia kuwa dhaman si nyumba😂😂😂

  • @quentinsylvia3877
    @quentinsylvia3877 2 роки тому

    Hongera sana Kwa kazi na msimamo uliouonyesha hapo .m.mungu akusimamie inshallah

  • @dandeenndandeen3047
    @dandeenndandeen3047 5 років тому +6

    Yaa Allah 🙌🙌🙌🙆

  • @ellyemily4234
    @ellyemily4234 5 років тому +4

    Kaka hapii Mungu akubarikii

  • @jkjonathanlabel4498
    @jkjonathanlabel4498 5 років тому +41

    Hivi ndivyo mungu atakavyo hukumu siku za mwisho tena itakuwa zaidi ya hapo

  • @user-ok9mi5uq6y
    @user-ok9mi5uq6y 4 роки тому +1

    Hongera kwa kazi mzuri. Mkuu wa mkoa

  • @goldendaisy187
    @goldendaisy187 5 років тому +5

    Mbona Tanzania kutamu jameni,I love this mkuu wa mkoa

  • @nyambelewinfrida9074
    @nyambelewinfrida9074 5 років тому

    Hapi omba asikuguse nampenda kwa sababu hashoboki na kunadi siasa kwa maneno anatete na kusaidia raia wake kwa haki na vitendo Mungu akupe maisha marefu nataman kukuona kwa wema.

  • @kasimpongwa5178
    @kasimpongwa5178 5 років тому +1

    kaka HAPI ongera kwa kutenda haki mwenyezi mungu akubaliki sana katika kazi yako ,

  • @marthamasue4009
    @marthamasue4009 Місяць тому

    Ally Happy hoyeeeeeee. Mungu akulinde kabisaaaa

  • @fatemafatema4780
    @fatemafatema4780 2 місяці тому

    Ahsante muheshimiwa kura yangu kwako haina mjadala..hongera sana

  • @marieconnect6389
    @marieconnect6389 2 роки тому

    Ee Mungu utusaidie. Viongozi kama hawa wanagusa moja kwa moja mioyo ya watu. Wanaitenda kazi ya mungu kwa vitendo nina imani Mungu amefurahishwa na kazi za aina hii na lazima atapenda mijuiza yake kwenye nchi yetu. Mungu wetu utusaidie waja wako

  • @e.j.starelia5672
    @e.j.starelia5672 4 роки тому +2

    Enzi za magu si za kuleta ujinga ujinga!!!!! Congratulation RC Hapy

  • @kadogoomushadi5409
    @kadogoomushadi5409 5 років тому +28

    Muheshimiwa hao.niwaizi hao.mungu akupe afya njemaa mkuu wamkoa

  • @f.a6043
    @f.a6043 2 роки тому +2

    Tumeimiss sana hii mikutano big up Ali hapi!

  • @mosesotieno9893
    @mosesotieno9893 4 роки тому +1

    Watching from Kenya

    • @jeremymakokha4797
      @jeremymakokha4797 4 роки тому

      Mugufuli generation leaders are serious...natamani tuwe nao Kenya

  • @susananyasani6526
    @susananyasani6526 4 місяці тому

    Super Mkuu wa Mkoa maamusi ya Kibinadamu hongera sana katika haki unazotumia kwa Wananchi

  • @hellenj270
    @hellenj270 4 роки тому +1

    Tungekuwa na viongozi kama Hawa Tanzania ingenyooka 😍😍😍

  • @johnyusuph3221
    @johnyusuph3221 5 років тому +2

    Ally Appi wew ni zaid upo vizuri safi san

  • @akilikarama3331
    @akilikarama3331 5 років тому +4

    Safi sana

  • @reachthegoal7624
    @reachthegoal7624 5 років тому +2

    Hapi Hapi Hapi well done! Wakati mwingine mambo hadharani inasaidia kila mtu kubeba msalaba wake. Msaidizi wa ishu hapa lazima aimbe yarabi nafsi yangu, zama lwako, mimi simo! Hapa hakuna kuchukuliana misalaba. Safi ukweli unajulikana.

  • @jumamgema3356
    @jumamgema3356 5 років тому +1

    Happy nakuelewa kaka

  • @abdishukrisheyhow2251
    @abdishukrisheyhow2251 3 місяці тому

    Ah Tanzania is the best country in East Africa.

  • @richardburengengwa6998
    @richardburengengwa6998 Рік тому

    He is good leader GOD bless you. I know the one doesn't like true they will hate you.

  • @saidyahmad3985
    @saidyahmad3985 2 роки тому

    Hongera Sana mkuu wa Mkoa uko vzr Sana Kwa utetezi mungu akulipe

  • @clintonaward7580
    @clintonaward7580 2 роки тому +3

    Imeniuma sana 😭😭😭yani tunatoa viongozi Bora kwa visa na visasi vya wapumbavu wachache ila kuna Siku hawa wanaojiona ni wenye giningi Watakuja kusaga meno!!!!! Kaka hapi kuwa na amani wewe ni reserve wa mfumo ujao, si wao wamekukataah usikate tamaa, wao Wanataka viongozi wa kuteteah uovu na si viongozi wa kuteteah haki za wananchii

  • @christinetimothy5805
    @christinetimothy5805 5 років тому +13

    Nimegundua Tanzania tunaibiwa sana haki zetu kwakutojua sheria.jamani kusomea kitu siompaka uje ukifanyie kazi vingine kwajili yakutusaidia wenyewe.

  • @wahidawahida6675
    @wahidawahida6675 5 років тому +3

    Wanyemakosa hao maafisa ata sis tumevunjwa nyumba mpk leo wazazi wangu wanahangaika na hatuna msaada

  • @louisnyoni4139
    @louisnyoni4139 5 років тому +2

    Big up RC Happv

  • @margarethsaramaki1100
    @margarethsaramaki1100 5 років тому +17

    Hao tia ndani waongo wanamuonea huyo mama.
    Mimi yalishanikuta nilipata nyumba yangu.dill hilo lina watu nyuma yake.

  • @salmaobed2708
    @salmaobed2708 5 років тому +2

    👏👏👏👏👏safiiiii 👍👍

  • @user-fs7xc2bb5d
    @user-fs7xc2bb5d 2 роки тому +4

    Leo nimeipitia hi kuangalia mala mbili siku niliposikia kaondolewa niliumia kama na mfahamu kuna hii na ile ya baba aliyelazimishwa kuhama na kubomolewa nyumba ya ile harambee ya kucahngiwa kwenye mkutano namkubali sana. Ally Happy mwenyeezi mungu atakujalia huenda rizki yako imeisha ila ina imani kwa uwezo wa Allah kuna kheri kubwa inakuja mbele yako

  • @janerosempeta5662
    @janerosempeta5662 2 роки тому

    Woooooh I salute u ! Good work

  • @aishaail4455
    @aishaail4455 5 років тому +5

    Watu wa bank ,wezi wanapotoa mikopo huwa hawalengi kumsaidia mkopaji bali ni kumkandamiza na kujinufaisha wao.

  • @gm7045
    @gm7045 5 років тому +1

    Magufuri kachagua safi yaani baba na mtoto photo copy👍
    Hio ni unyanyasaji kwa mama huo..usiwapatie time hao wizi wanataka kuenda kutapeli hizo karatasi..
    Mkuu wa Mkoa Mungu akubariki👏👏👏👏

  • @charlesmzugy1538
    @charlesmzugy1538 4 роки тому

    kazi nzuri sana

  • @user-oh8bn3vg2w
    @user-oh8bn3vg2w 5 років тому +5

    Mungu akutangulie mkuu hiyo kazi ninzuri sana

  • @berthamakortha8387
    @berthamakortha8387 2 роки тому

    Alli ni MCHAPA kazi sana na anamfano Mungu tu anajua na atakulipa. Mengi sana umewasaidia wana Hilinga. Mwachie MUNGU ATSKUSIMAMIA

  • @hamadiathumani5018
    @hamadiathumani5018 4 роки тому +1

    Safi sanaaa baba kweli wananchi wanaumia sana.

  • @rehemamasoud3687
    @rehemamasoud3687 5 років тому

    Mkuu wa mkoa baba baba baba ongera mungu akupe maisha marefu baba

  • @bintysayd1763
    @bintysayd1763 5 років тому +1

    Dah! Jpm 2, hapa kazi tu😆😆😆

  • @sabinashabani9742
    @sabinashabani9742 5 років тому +9

    Benki sikuhizi wanaibia sana watu na huu yamekuwa mchezo wao mkuu tusaidie kwahilo

  • @tegemeareuben7618
    @tegemeareuben7618 5 років тому +3

    Mafuli's generation hapa sio mchezo MUNGU acha atumie viongozi hawa vizuri

  • @williammajani2152
    @williammajani2152 5 років тому +1

    Miongoni mwa maamuzi aliyofanya Raisi Magufuri yenye kuvutia sana ni pamoja na kukuteua wewe kuwa mkuu wa mkoa Big Up kaka Mkubwa chapa kazi

    • @jenyyusuph4973
      @jenyyusuph4973 5 років тому

      🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗✊✊✊✊✊✊💪💪💪💪💪💪awamu ya5 waishi waishi waishi tu sinamashaka nao wamekuja kulikomboa taifa dakika za mwisho maana majanga yenyewe mara 2007 mara 2011 ukisikia mambo yazamani yanang'ariswa ujue yamepata mtakasajio

  • @fatumamukete6839
    @fatumamukete6839 5 років тому

    Mkuu wa mkoa Happy. Mungu akubariki. Uko juu

  • @prospermosha3410
    @prospermosha3410 3 місяці тому

    umetisha mzee baba

  • @user-pt4uf3he7d
    @user-pt4uf3he7d 6 місяців тому

    Mungu akulinde sana na ukuweke akika.unatenda Hali kwa mungu na wanamchi pia unastaili mauwa Yako kwa muumba wetu

  • @jeremiahmolell665
    @jeremiahmolell665 5 років тому

    mkuu upo vizuri watete wanao nyanyaswa mungu akulinde mkuu miaka mingi uzidi kutetea wanyonge.

  • @farajakigullah8571
    @farajakigullah8571 4 роки тому +2

    Nakupenda sanaaa mkuu wa mkoa wetu oyeeeeeee

  • @raymondkaswaga8334
    @raymondkaswaga8334 5 років тому +3

    Kuna legal procedures hazikufuatwa ktk Banking laws lakini bado Administrative and constutional laws must be respected.Ila wakili ulikuwa na haja gani kudanganya jina ndani ya letter of offer au/na collateral iliyotumika mpaka utofautiane na meneja.....????

  • @sospeterogolla7811
    @sospeterogolla7811 2 роки тому

    I blessed ur future one day ull be president

  • @kaluluu2011
    @kaluluu2011 2 роки тому

    Dah . Eti Alf wanampiga chini .mungu TUNAOMBA WekA alama juu ya walioshiriki kumtoa na kuspoti kumuhuumu ALLY HAPP MTETEZI WA HAKI NA WANYONGE. EEHH .WEKA ALAMA KWA HAWA WALIOMUHUJUMU ALLY HAPP.

  • @alexmarungu2235
    @alexmarungu2235 5 років тому

    Mungu akulinde popote your strong leader nyayo za Mr president.

  • @alpheondanzi2544
    @alpheondanzi2544 4 роки тому

    Mh leo umekuja kimya kimya mtaani kwetu daah Nazidi kukuombea tu Mungu akuzidishe na akuangazie Nuru yake na kukupa Amani #allyhappy

  • @nyamwekomatoke9951
    @nyamwekomatoke9951 2 роки тому +1

    Wazurumaji Wa Aina hii niwengi sanaaa wanatapeli Sana wamama wajane
    Hongera Sana Happi
    Watu walikupenda sanaa

  • @mudhakirudauda7933
    @mudhakirudauda7933 5 років тому +4

    Tangia Ally Happi akiwa DC na sasa RC sijawahi mkubali ila kwa hili big up brother. Bank zimewafilisi wengi hivi

  • @rojakijana1162
    @rojakijana1162 5 років тому +2

    Safi sana Happy !

  • @dianadominic701
    @dianadominic701 5 років тому +2

    Ally Salum Hapi tumekua wote kambini nzega ulikua msafi na mtanashati ila haukua muongeaji, aseee nakukubali sana

    • @maxmaizer4631
      @maxmaizer4631 5 років тому

      Umeonaa jembe ilo saiv tuna vichwa viwili bashe na ally

  • @zaikarori5998
    @zaikarori5998 2 роки тому

    Mkuu wa koa unafaa mungu akulinde kazi Yako nzur

  • @mudhihirugara8845
    @mudhihirugara8845 5 місяців тому

    Hongera hapi umenifurahisha mama samia nikushawishi ukipita uchaguziujao teue ally hapi awe waziri mkuu

  • @marianmartin7483
    @marianmartin7483 5 місяців тому

    Ali hapi kaka, unanikumbusha mbali sana. Lkn leo namuona Makonda anafanya kazi yako. Nakuombea urudi maeneo yako.

  • @alicedusabe3988
    @alicedusabe3988 5 років тому

    Vizuri sana naona tz imakua nzuri duuu

  • @jacksonrwechungula9479
    @jacksonrwechungula9479 4 роки тому

    Daaah mungu akuongezee nguvu kiongozi we ni mtetezi