SULUHISHO Short Film2017 Green Energy Jufe Film Production
Вставка
- Опубліковано 10 вер 2024
- Filamu ya SULUHISHO imetengenezwa na JUFE FILM PRODUCTION chini ya muongozaji EDDY BEST na Cameraman SAID NEGRO,Usikose kuangalia na kushaire.
Mwinyi Mpeku anaamuaa kufanya biashara nyengine baada ya kuona kilimo hakina tena tija,Anakutana na Kitatange na kumtapeli pesa zake angalia nini kitatokea na kwanini Mwinyi ameona kilimo hakika tija?
USIKOSE!!!
Najuvuniya kuwa mpemba ilaik home 💕💕👍
Wazanzibar mpo vizur sana kwenye maadili yaani mpka Raha kuangalia kukosa huu muungano mngefika mbali
Kibatal Daaah Hhaaahaa Hongereni Kazi Mzuri
Hayo mambo yakibatali mnanikumbusha wakat tulipokuwa mdogo naishi pemba hongeren
Yassir Masoud vp poa
wenda china au wenda kojani
Hayaaa kashakizima kibatali c huyu time kashakizima kibatali tena mukupuwe na kapo kipembeni panajembe
Dah chafya ya time imenikumbusha mbali Sana yani dah kipindi icho nasoma yani dah
Hhh imekumbusha wap
Mmeipenda staili ya mwinyi alipomalizia kula kipande cha mkate
bona uyu mzee mwinyi apati Tuzo. anajua sana tena saunti nzuri mazingira nice.
Mukweleze vitanda mulale tena pakupuliwe hahahahhaaaaaa ni nzuri sana hii filamu
ua-cam.com/video/0TtuuMjFvNo/v-deo.html
hahahahhahahaaa....alo hawajamaa TALENT jamani doh..!! MWINYI MPEKU & KACHARA ,KITATANGE kip it up MUTAFIKA MBALI SANAAA...
nime enjoy kwakweli kitatange anafurahisha hahahaaaaaa nimecheka sana eti waniuza bure...
Hongera sana kitatange pamoja na timu yako nakkbal sana broo
Napenda mpka napenda tna❤good job
haiyaaAa kashaa kizima nakupenda Sana nyumbani mana kuna rasilimali wasini wazuri ingawa siko pemba ilandiko ndiko wanakotoka wazazi wangu
Alhamdulilah nimependa filamu zenu namimi nataka kuigiza na na nyinyi
Hongereni sana mmeweza vizuri sana,mchezo una maadili mazuri,ujumbe muhimu,Siipendi ile michezo ya wabongo wasojijua wala kujali kiza chetu,Hongera wa Zanzibar.
Kassim Andrea Zanzibar hiross to kenya
film moja nzuri mno. inaelimisha, inaburudisha na haichoshi kuangalia. ni fupi na imebeba ujumbe mzito.
M
Jamani ni nzuri sana napenda kwetu Pemba
Ali Abdallah
Kitatange noma sna😀😀😀😀hongereni sna wachezaji
kazi ni nzuri imetulia mwanzo mwisho hongeren wahusika wote kwa ujumbe mzuri wenye faida .Endeleeni kuelimisha jamii .Mwinyi ukalime karotii ,pilpili bogaa, tikiti majii na njugu zitakutoa, uko vizur kwa kuvunja mbavu za watu.
sawa
mm nipenda haidari
wanatubana tuu mabunju lakin nyumban kuzuri sana wallai
ras alpha mabunju wenyewe kwanza wazanzibar mnaubinafsi sana
Mimi nampenda kitatange na vituko vyake nikimuona tu nasheka
hahhaahha anachekesha sna wallah.....home sweet home
yaan wallah hujanishinda mimi.....
hahahaha.
'hayaa kashakizimaa..!!'.
mko vizuri ktk kazi zenu.
hongereni
Hizo ndoo jeuri zkipemba,kama nina roho mbaya kapige wako,leo nimie nakesho niweyeweye
Suleiman Makame
film zenu nzuri zinauhalisia Na maisha yetu good
Kazi nzuri hongereni sana waandaaji wa kipande hiki.
Kwetu Pemba hatareee Hadi raha
Kwetu sote rahaa rahaa pemba
نصرى عبدالله vip
Mko vizur
Mambo
Dahh hii Kali nitwatafuta
Shukran sana kwa Movie nzuri yenye Mafunzo, Hongereni sana kwa kazi nzuri.
pemba nawapenda mnavyoongea, mwanipa raha nazidi kufurahia move zenu
ua-cam.com/video/0TtuuMjFvNo/v-deo.html
kitatange ww noma uko vzur ndugu
Mashalla nimependeza Sana mimi saada majaruk
jufe film production naomba cd ya onyesho hili la suluhishom
Hongereni wapemba wenzangu mkovizuri raha sanaaaa
Wooooooow !!!! hii kali
nzuri sana una ilimisha kweli....
Nnantia demani alipoingia t nnaawaa@@@@hhhhhhhhhhhhhhhhh kitatangeeee
Nzuri sanaaaa
Napenda znz nikaribisheni jmn😂😂😂😂
Abdullah A Dullaj karibuu
Karibu sana Abdullah
U welcome
Karib
Karibu zenj
😀😀😀 Eti yuwant tu distroi ze miting kitatange bhan ww nma
kachara na mwinyi mpeku na kitatange mpo juuu sana😁😁😁😁
Mohd abdi
mkaa washikiwa pesa kabla yamakaa kuja
asant mwinyi kitatange kazi nzur
Hayaaa keshakizima si huyu time keshakizima kibatari hhhhhh😁😂
Takupiga kibao chakubabatiza sasaiv
Profesa gogo upo
Wallah nyumbani Rahaaaaaaaaaaaa
Nimecheka kwa kweli hii hahhahahahahaha mwinyiiiiiii et kina mama waote moto kwa jiko la gesi hahahahaha
Hahaha
uyu mwinyi ana kipanji sana
Daaa muko poa sana Ilove Pemba my home
Nakumbuka home home is home
Hahhahahhaha jamani kachara nimecheka mpaka mbavu zinaniuma
Na Enjoy sanaaa I miss my hom
Hongera kwa kufunza jamii
Heweye mwinyi wanisema wagunya haya
Kwetu raha
😀😀😀Jmaa wakali xna asee
Jamani huyu kiswabi amependeza kuwa zezeta
inatisha sana
Mie ndio wa kwanza 😂
hongera sana shukran kwa sapoti zenu tunawategemea sana
iko pw
safi sana
Kkklkkkkkkkkllkkkkk Wstaka kudestroy meeting
Kitatange unajua mpaka nma asee
Mwinyi ww kwa masuwali noma lazma ukiulza wacheke gesi wataotaje wavyazi moto
Hongereni
Mnh hadi raha
Tuntka mpya
ela ni mzur nicije toka kutafunwako ni kaja kumezwako
Mashaa Allah
Kwetu asa kuzuri
farid Ismail kwelu
Jaman sina mbavu kwa kucheka nikimuona kitatange tu namkubal sana
Qallllllllllli umetisha
hahaha mzee mwinyi nampenda anavyoongea
ua-cam.com/video/0TtuuMjFvNo/v-deo.html
Jamani nimependa tai za wageni na mashati yao
🤣🤣🤣🤣🤣ayaaaa keshakizimaaaa,,mkupue kitandani hapooh msije ralia tandu,,pana jembe pemben hapoo hahahaha mnanikosha miee
amazing Zanzibar
EKAODAYO MAPEMA.
NC from Zanzibar
Duuuuuuuuuhhh
Hahahaha kashakizimaah
Kasha kizima hahahaha
Mwinyi 😀😀😀 hausubri utengewe chkula
Tamthilia the city Azam two hd
Pink t shirt ya dongo...nisadieni kuisoma🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣ama kwel vichekesho
Mbavu zangu
mashaallah wapemba tunaendelea
good job
Endelea kufuatilia channel yetu kwa mengi yajayo
Jufe Film Production shukran sana ila twasubiri ssna vitu vipya
Jufe Film Production tunaomba mututiliye na nyengine hii kali sana
Jufe Film Production
Jufe Film Production mbn mwizi wa futari hamjaweka..!?
❤❤❤🎉🎉🎉
asanten san
tena pakupuliwe haraka sebu keleleee Pemba raha jamani 🤣🤣🤣
Wanajuwa
Bakari Bakari
Mbavu zangu mie jamani
Vedio ni nzuri sana kwa ujumbe wake. Mimi naomba kujua video hii ilichukukiwa katika mazingira gani,mji gani?
Omar Ameir Salum zilikua sehem tofaut Mkoa wa Kaskazini Pemba
Omar
vipande nahisi mchanga mdogo
tena kidingi 😆😆😆
maashaallah
kake simba nakukubali
Big upppppp the green island pba
Asante sana kwa kutuilimisha
Ilaaa tutapataje cd
Nice
Kashakipiga puaaa kibataliii
Kachara mpelekeye na kijichwa mtungi wa gesi finya
Hahahahah