SULUHISHO Short Film2017 Green Energy Jufe Film Production

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 10 вер 2024
  • Filamu ya SULUHISHO imetengenezwa na JUFE FILM PRODUCTION chini ya muongozaji EDDY BEST na Cameraman SAID NEGRO,Usikose kuangalia na kushaire.
    Mwinyi Mpeku anaamuaa kufanya biashara nyengine baada ya kuona kilimo hakina tena tija,Anakutana na Kitatange na kumtapeli pesa zake angalia nini kitatokea na kwanini Mwinyi ameona kilimo hakika tija?
    USIKOSE!!!

КОМЕНТАРІ • 191

  • @lkshmykomar5472
    @lkshmykomar5472 4 роки тому +8

    Najuvuniya kuwa mpemba ilaik home 💕💕👍

  • @abuubakalmtangenange4389
    @abuubakalmtangenange4389 3 роки тому +4

    Wazanzibar mpo vizur sana kwenye maadili yaani mpka Raha kuangalia kukosa huu muungano mngefika mbali

  • @bayserjr4713
    @bayserjr4713 6 років тому +11

    Kibatal Daaah Hhaaahaa Hongereni Kazi Mzuri

    • @jumanassor9190
      @jumanassor9190 5 років тому

      Hayo mambo yakibatali mnanikumbusha wakat tulipokuwa mdogo naishi pemba hongeren

    • @issakhamis8704
      @issakhamis8704 5 років тому

      Yassir Masoud vp poa

    • @suleyahyasule3665
      @suleyahyasule3665 4 роки тому

      wenda china au wenda kojani

  • @saidmohd2575
    @saidmohd2575 5 років тому +6

    Hayaaa kashakizima kibatali c huyu time kashakizima kibatali tena mukupuwe na kapo kipembeni panajembe

  • @simbazee8174
    @simbazee8174 6 років тому +5

    Dah chafya ya time imenikumbusha mbali Sana yani dah kipindi icho nasoma yani dah

  • @nasseraisha6002
    @nasseraisha6002 5 років тому +4

    Mmeipenda staili ya mwinyi alipomalizia kula kipande cha mkate

  • @josephinemakungu8447
    @josephinemakungu8447 5 років тому

    bona uyu mzee mwinyi apati Tuzo. anajua sana tena saunti nzuri mazingira nice.

  • @aliabdallah2220
    @aliabdallah2220 5 років тому +7

    Mukweleze vitanda mulale tena pakupuliwe hahahahhaaaaaa ni nzuri sana hii filamu

  • @abdullamer4264
    @abdullamer4264 6 років тому +2

    hahahahhahahaaa....alo hawajamaa TALENT jamani doh..!! MWINYI MPEKU & KACHARA ,KITATANGE kip it up MUTAFIKA MBALI SANAAA...

  • @bizulhaseketo155
    @bizulhaseketo155 6 років тому +5

    nime enjoy kwakweli kitatange anafurahisha hahahaaaaaa nimecheka sana eti waniuza bure...

  • @kombosudyvideolibrary5450
    @kombosudyvideolibrary5450 6 років тому +3

    Hongera sana kitatange pamoja na timu yako nakkbal sana broo

  • @Said-f5j
    @Said-f5j 7 місяців тому

    Napenda mpka napenda tna❤good job

  • @blacksonismael2501
    @blacksonismael2501 6 років тому +3

    haiyaaAa kashaa kizima nakupenda Sana nyumbani mana kuna rasilimali wasini wazuri ingawa siko pemba ilandiko ndiko wanakotoka wazazi wangu

  • @sadabkari5532
    @sadabkari5532 3 роки тому +1

    Alhamdulilah nimependa filamu zenu namimi nataka kuigiza na na nyinyi

  • @kassimandrea8540
    @kassimandrea8540 6 років тому +16

    Hongereni sana mmeweza vizuri sana,mchezo una maadili mazuri,ujumbe muhimu,Siipendi ile michezo ya wabongo wasojijua wala kujali kiza chetu,Hongera wa Zanzibar.

    • @amiyally4735
      @amiyally4735 6 років тому

      Kassim Andrea Zanzibar hiross to kenya

  • @kibabemuhidini8749
    @kibabemuhidini8749 6 років тому +2

    film moja nzuri mno. inaelimisha, inaburudisha na haichoshi kuangalia. ni fupi na imebeba ujumbe mzito.

  • @aliabdallah2220
    @aliabdallah2220 5 років тому +1

    Jamani ni nzuri sana napenda kwetu Pemba

  • @pendopendo7427
    @pendopendo7427 3 роки тому +1

    Kitatange noma sna😀😀😀😀hongereni sna wachezaji

  • @raysalalmandhary1713
    @raysalalmandhary1713 6 років тому +7

    kazi ni nzuri imetulia mwanzo mwisho hongeren wahusika wote kwa ujumbe mzuri wenye faida .Endeleeni kuelimisha jamii .Mwinyi ukalime karotii ,pilpili bogaa, tikiti majii na njugu zitakutoa, uko vizur kwa kuvunja mbavu za watu.

  • @Rastamuslim
    @Rastamuslim 6 років тому +8

    wanatubana tuu mabunju lakin nyumban kuzuri sana wallai

    • @bwananyama9621
      @bwananyama9621 4 роки тому

      ras alpha mabunju wenyewe kwanza wazanzibar mnaubinafsi sana

  • @naimaabuu2330
    @naimaabuu2330 6 років тому +11

    Mimi nampenda kitatange na vituko vyake nikimuona tu nasheka

  • @othman8665
    @othman8665 6 років тому +2

    hahahaha.
    'hayaa kashakizimaa..!!'.
    mko vizuri ktk kazi zenu.
    hongereni

  • @suleimanmakame8055
    @suleimanmakame8055 6 років тому +4

    Hizo ndoo jeuri zkipemba,kama nina roho mbaya kapige wako,leo nimie nakesho niweyeweye

  • @salmamohamed1769
    @salmamohamed1769 5 років тому +2

    film zenu nzuri zinauhalisia Na maisha yetu good

  • @aslamhoussein4116
    @aslamhoussein4116 6 років тому +2

    Kazi nzuri hongereni sana waandaaji wa kipande hiki.

  • @user-em4ov5uh9p
    @user-em4ov5uh9p 6 років тому +14

    Kwetu Pemba hatareee Hadi raha

  • @samirfarouk4964
    @samirfarouk4964 6 років тому +2

    Dahh hii Kali nitwatafuta

  • @mwanahalimamwachili9679
    @mwanahalimamwachili9679 5 років тому +7

    Shukran sana kwa Movie nzuri yenye Mafunzo, Hongereni sana kwa kazi nzuri.

  • @imansaid8020
    @imansaid8020 5 років тому +8

    pemba nawapenda mnavyoongea, mwanipa raha nazidi kufurahia move zenu

  • @salehkhamis9978
    @salehkhamis9978 6 років тому +2

    kitatange ww noma uko vzur ndugu

    • @fatimasaid5911
      @fatimasaid5911 6 років тому

      Mashalla nimependeza Sana mimi saada majaruk

  • @suleimanmakame8055
    @suleimanmakame8055 6 років тому +2

    jufe film production naomba cd ya onyesho hili la suluhishom

  • @Alia-du5xj
    @Alia-du5xj 5 років тому

    Hongereni wapemba wenzangu mkovizuri raha sanaaaa

  • @alimaalima6016
    @alimaalima6016 6 років тому +2

    Wooooooow !!!! hii kali

  • @zubersaid8259
    @zubersaid8259 6 років тому +2

    nzuri sana una ilimisha kweli....

  • @kbjuomaly8466
    @kbjuomaly8466 4 роки тому +1

    Nnantia demani alipoingia t nnaawaa@@@@hhhhhhhhhhhhhhhhh kitatangeeee

  • @bongotanzania9751
    @bongotanzania9751 6 років тому +2

    Nzuri sanaaaa

  • @abdullahadullaj3848
    @abdullahadullaj3848 6 років тому +12

    Napenda znz nikaribisheni jmn😂😂😂😂

  • @lutherking3666
    @lutherking3666 6 років тому +6

    😀😀😀 Eti yuwant tu distroi ze miting kitatange bhan ww nma

  • @mohdabdi4157
    @mohdabdi4157 5 років тому +2

    kachara na mwinyi mpeku na kitatange mpo juuu sana😁😁😁😁

  • @nashbae8837
    @nashbae8837 5 років тому +2

    mkaa washikiwa pesa kabla yamakaa kuja

  • @profesaahmada7711
    @profesaahmada7711 3 роки тому +1

    asant mwinyi kitatange kazi nzur

  • @simbazee8174
    @simbazee8174 6 років тому +4

    Hayaaa keshakizima si huyu time keshakizima kibatari hhhhhh😁😂

  • @issamuhsin5725
    @issamuhsin5725 3 роки тому +1

    Takupiga kibao chakubabatiza sasaiv

  • @laythatoman3945
    @laythatoman3945 6 років тому +3

    Profesa gogo upo

  • @alrumhali9654
    @alrumhali9654 5 років тому +1

    Wallah nyumbani Rahaaaaaaaaaaaa

  • @nezumamakame3565
    @nezumamakame3565 5 років тому

    Nimecheka kwa kweli hii hahhahahahahaha mwinyiiiiiii et kina mama waote moto kwa jiko la gesi hahahahaha

  • @josephinemakungu8447
    @josephinemakungu8447 5 років тому +1

    uyu mwinyi ana kipanji sana

  • @bekaali1752
    @bekaali1752 6 років тому +1

    Daaa muko poa sana Ilove Pemba my home

  • @fatmahusain3773
    @fatmahusain3773 6 років тому +2

    Hahhahahhaha jamani kachara nimecheka mpaka mbavu zinaniuma

  • @wambaamwambaje1272
    @wambaamwambaje1272 6 років тому +2

    Na Enjoy sanaaa I miss my hom

  • @someonesomeone7730
    @someonesomeone7730 3 роки тому

    Hongera kwa kufunza jamii

  • @dazuuhmd819
    @dazuuhmd819 5 років тому +3

    Heweye mwinyi wanisema wagunya haya

  • @saidmohd2575
    @saidmohd2575 6 років тому +4

    Kwetu raha

  • @lutherking3666
    @lutherking3666 6 років тому +2

    😀😀😀Jmaa wakali xna asee

  • @ayshaalsahafi5714
    @ayshaalsahafi5714 3 роки тому

    Jamani huyu kiswabi amependeza kuwa zezeta

  • @engineerkhamis9275
    @engineerkhamis9275 6 років тому +3

    inatisha sana

  • @thauratali3656
    @thauratali3656 6 років тому +3

    Mie ndio wa kwanza 😂

    • @JufeFilmCompany
      @JufeFilmCompany  6 років тому

      hongera sana shukran kwa sapoti zenu tunawategemea sana

  • @fakimali4108
    @fakimali4108 6 років тому +3

    iko pw

  • @mranzuann7950
    @mranzuann7950 6 років тому +2

    safi sana

  • @mumkmamy5186
    @mumkmamy5186 6 років тому +3

    Kkklkkkkkkkkllkkkkk Wstaka kudestroy meeting

  • @lutherking3666
    @lutherking3666 6 років тому +2

    Kitatange unajua mpaka nma asee

  • @salimally6791
    @salimally6791 4 роки тому

    Mwinyi ww kwa masuwali noma lazma ukiulza wacheke gesi wataotaje wavyazi moto

  • @omarkhamis1539
    @omarkhamis1539 6 років тому +1

    Hongereni

  • @sorwasoudy6256
    @sorwasoudy6256 6 років тому +2

    Mnh hadi raha

  • @ashaabdallah5512
    @ashaabdallah5512 6 років тому +3

    Tuntka mpya

  • @suleyahyasule3665
    @suleyahyasule3665 4 роки тому

    ela ni mzur nicije toka kutafunwako ni kaja kumezwako

  • @faridboatengnaonekwa
    @faridboatengnaonekwa 6 років тому +6

    Mashaa Allah
    Kwetu asa kuzuri

  • @youngteo4158
    @youngteo4158 3 роки тому

    Jaman sina mbavu kwa kucheka nikimuona kitatange tu namkubal sana

  • @mudyplatnumztz7920
    @mudyplatnumztz7920 6 років тому +1

    Qallllllllllli umetisha

  • @timelyali8037
    @timelyali8037 6 років тому +3

    hahaha mzee mwinyi nampenda anavyoongea

  • @laythatoman3945
    @laythatoman3945 6 років тому +2

    Jamani nimependa tai za wageni na mashati yao

  • @emmypc8362
    @emmypc8362 4 роки тому

    🤣🤣🤣🤣🤣ayaaaa keshakizimaaaa,,mkupue kitandani hapooh msije ralia tandu,,pana jembe pemben hapoo hahahaha mnanikosha miee

  • @khamissuleiman7638
    @khamissuleiman7638 6 років тому +3

    amazing Zanzibar

  • @hassanmaalim9193
    @hassanmaalim9193 6 років тому +4

    EKAODAYO MAPEMA.

  • @nasoroali3644
    @nasoroali3644 6 років тому +3

    NC from Zanzibar

  • @ummulkheirally1841
    @ummulkheirally1841 6 років тому +2

    Duuuuuuuuuhhh

  • @wambaamwambaje1272
    @wambaamwambaje1272 6 років тому +2

    Hahahaha kashakizimaah

  • @salimmassoud1998
    @salimmassoud1998 6 років тому +4

    Kasha kizima hahahaha

  • @wazirikhamis3628
    @wazirikhamis3628 3 роки тому

    Mwinyi 😀😀😀 hausubri utengewe chkula

  • @fatumasultan8379
    @fatumasultan8379 3 роки тому

    Tamthilia the city Azam two hd

  • @zenaycechanzinho6702
    @zenaycechanzinho6702 5 років тому +1

    Pink t shirt ya dongo...nisadieni kuisoma🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣ama kwel vichekesho

  • @user-em4ov5uh9p
    @user-em4ov5uh9p 6 років тому +2

    Mbavu zangu

  • @mohdhassan4844
    @mohdhassan4844 4 роки тому

    mashaallah wapemba tunaendelea

  • @kazimotofundi9831
    @kazimotofundi9831 6 років тому +3

    good job

  • @JufeFilmCompany
    @JufeFilmCompany  6 років тому +26

    Endelea kufuatilia channel yetu kwa mengi yajayo

    • @bosiabu6607
      @bosiabu6607 6 років тому +3

      Jufe Film Production shukran sana ila twasubiri ssna vitu vipya

    • @massoudchile719
      @massoudchile719 6 років тому +1

      Jufe Film Production tunaomba mututiliye na nyengine hii kali sana

    • @rashidmohammed9844
      @rashidmohammed9844 6 років тому +1

      Jufe Film Production

    • @sulebless4126
      @sulebless4126 5 років тому +1

      Jufe Film Production mbn mwizi wa futari hamjaweka..!?

  • @AyishaOman-cw4xs
    @AyishaOman-cw4xs Місяць тому

    ❤❤❤🎉🎉🎉

  • @user-yb9jb1wx3o
    @user-yb9jb1wx3o 6 років тому +3

    asanten san

  • @abdallahabuu512
    @abdallahabuu512 4 роки тому +1

    tena pakupuliwe haraka sebu keleleee Pemba raha jamani 🤣🤣🤣

  • @bakaribakari9556
    @bakaribakari9556 6 років тому +1

    Wanajuwa

  • @salehhamadi6070
    @salehhamadi6070 2 роки тому +1

    Mbavu zangu mie jamani

  • @omarameirsalum8879
    @omarameirsalum8879 6 років тому +4

    Vedio ni nzuri sana kwa ujumbe wake. Mimi naomba kujua video hii ilichukukiwa katika mazingira gani,mji gani?

  • @mtoromtoro3338
    @mtoromtoro3338 6 років тому +4

    tena kidingi 😆😆😆

  • @imansaid8020
    @imansaid8020 5 років тому +1

    maashaallah

  • @OmarMohamed-iz2zw
    @OmarMohamed-iz2zw 5 років тому +1

    kake simba nakukubali

  • @edyhasan9071
    @edyhasan9071 4 роки тому

    Big upppppp the green island pba

  • @hassanabdallah6716
    @hassanabdallah6716 6 років тому +2

    Asante sana kwa kutuilimisha

  • @bongotanzania9751
    @bongotanzania9751 6 років тому +2

    Ilaaa tutapataje cd

  • @saidhaji1429
    @saidhaji1429 6 років тому +2

    Nice

  • @adamabui6121
    @adamabui6121 4 роки тому

    Kashakipiga puaaa kibataliii

  • @saidmohd2575
    @saidmohd2575 6 років тому +3

    Kachara mpelekeye na kijichwa mtungi wa gesi finya