#17 - MKATAA PEMA - MAU MPEMBA - FUMBUA MACHO

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 17 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 157

  • @hemedsuleiman7873
    @hemedsuleiman7873 Рік тому +17

    Wa kwannza naomba like

  • @EL-LOFFY
    @EL-LOFFY Рік тому +8

    Kazi iendelee tu guys endeleeni kutuwakilisha vyema

  • @elikanateonest3126
    @elikanateonest3126 Рік тому +14

    Huyu dada nampenda sana anaigiza vizuri sana❤❤

    • @MahmudOmar-gx2ok
      @MahmudOmar-gx2ok 11 місяців тому

      hata mimi nampenda yuko makini sana na kila mahali ukimueka yuko sawa

  • @idrisaseiph3499
    @idrisaseiph3499 Рік тому +16

    The first one nipeni like zangu❤

  • @luqmanhaji7537
    @luqmanhaji7537 20 днів тому

    Naomba anajua bana , hapa ame act mpole kule ame act mbea part zote ame cheza vzr

  • @khamiswapemba9019
    @khamiswapemba9019 Рік тому +8

    Kazi kali sana team mau hakika ipo siku nasisi titafika mbali sana inshalla

    • @suleimanali5418
      @suleimanali5418 Рік тому +1

      Kamanda dogo ww noma una maneno kama kasuku hushindwi

  • @alhimnamussasaid3619
    @alhimnamussasaid3619 Рік тому +7

    Namuona hasanat wa uungwana kapendeza sana mashallah

  • @tamemahmad9902
    @tamemahmad9902 Рік тому +5

    Dongo umenifanya nicheke kwa sauti mbele ya mabosi wangu. 😂😂😂😂😂😂😂😂. Kushamuacha Naomba lkn bado akuita mume wangu 😂😂😂😂😂. Hatari kweli

  • @aminahhuawei1133
    @aminahhuawei1133 Рік тому +4

    Nawapenda sana mungu awabariki muweze kufika mbali ameen❤❤

  • @sabihahamadi2287
    @sabihahamadi2287 Рік тому +2

    Haaaaaaaaaaa dongo umeniokote ulipo sema umepikiwa vitobwesha vilivyo changanywa na chiki chi na miye nilipika hivo vitobwesha ukila kimoja hurudiyii mara mbili mungu awabariki nyote muzidi kufika mbali

    • @MbaroukKhalifa
      @MbaroukKhalifa 7 місяців тому

      Duh sabiha umenicheka 😅😅😅😅 uliposema ulipika vitobwesha ukila kimoja hurudiii na sukar yote inayowekwa mule hurudii😅😅😅😅😅😅😂😂😂😂😂

  • @babdaubabdaubabdau8992
    @babdaubabdaubabdau8992 Рік тому +15

    Watu zangu mnatuelimisha sana kila hatua dua 🙏🙏

  • @SafiaSeif-gw4ut
    @SafiaSeif-gw4ut Рік тому +5

    Heeee dongo weeee.unamsimanga mkeo?😂hahahaa dongo nakupenda kwa ajili ya Allah

  • @adnanhullay
    @adnanhullay Рік тому +7

    may ALLAH grant you a good way to reach your goals INSHAALLAH kaz nzur

  • @irfanabdi8877
    @irfanabdi8877 Рік тому +6

    Naomba chozi lako halikawii kutoka wewe acter mzuri sana congratulation

    • @NAOMBAOG
      @NAOMBAOG Рік тому

      Asante nashkur

    • @ZainabIssa-u3i
      @ZainabIssa-u3i Рік тому

      ​@@NAOMBAOGhujambo naomba namba Yako habibty

    • @anunalamin6472
      @anunalamin6472 2 місяці тому

      ​@@NAOMBAOGwajua naomba mpaka unaboa😂😂

  • @SafiaSeif-gw4ut
    @SafiaSeif-gw4ut Рік тому +5

    Hee funzwa ni wavelewe na jamuweza miyeee.hahahaa

  • @SubiraSalum-pq9vo
    @SubiraSalum-pq9vo Рік тому +9

    Nmewah leo 😄😄

  • @elikanateonest3126
    @elikanateonest3126 Рік тому +4

    Kweli mkataa pema pabaya panamgoja dongo umekwiva leo😂😂😂😂

  • @shwhiteblack2735
    @shwhiteblack2735 Рік тому +2

    Mwanaume akipata mwengne wanyuma Hana lake tena

  • @ashaissa3746
    @ashaissa3746 Рік тому +1

    Wapemba hatuna mbambambaa

  • @jumawem1262
    @jumawem1262 5 місяців тому

    naomba mola akuzdshie unajua kuigiza nakupa hongera sana

  • @hashimsalim6554
    @hashimsalim6554 Рік тому +1

    Semaaa nonana husemi mapochi bwana mna balaaa

  • @SafiaSeif-gw4ut
    @SafiaSeif-gw4ut Рік тому +4

    Kumbe dongo unamdharau mkeo una michipukoo?😅

  • @salwasuleiman3525
    @salwasuleiman3525 Рік тому +6

    Mambo mazur maa shaa Allah

  • @Nahdiya-nr3de
    @Nahdiya-nr3de Рік тому

    Santhaaaa akupe gass bila ivo usipike utakua mweusi malipo nihapohapo akhera isabu

  • @shaibhasan9233
    @shaibhasan9233 Рік тому +4

    Daaah inasikitisha sanaaaa ni nzuur sanaaa

  • @RayaJuma-uj5qp
    @RayaJuma-uj5qp Рік тому

    Mwanamme akipata mwanamke mwengine ajion kamili ardhi hahahaha uwii

  • @DhulkifliAbdallah-o3o
    @DhulkifliAbdallah-o3o Рік тому +4

    Napenda ziwe na dk nyingi km ivi

  • @hemedabdalla4171
    @hemedabdalla4171 Рік тому +2

    Dongo tatizo yule kuku hwentengeza ati.

  • @HamadHatib-h8t
    @HamadHatib-h8t Рік тому +2

    Hii kazi bila dongo hammna kitu Yani huyu dongo namkubali sana mungu atawajalia mutafika mbali

    • @binssoud1995
      @binssoud1995 Рік тому

      Kunywa Pepsi baridi nalipia😆. Kazi bila Dongo nisawa na zero.

    • @RashidAli-rn3ro
      @RashidAli-rn3ro Рік тому

      Huyu Dongo ata ktk uhalisia ana vituko kuliko ktk michezo

  • @elikanateonest3126
    @elikanateonest3126 Рік тому +5

    Mnatisha sana dongo ❤❤❤

  • @zainabuali9915
    @zainabuali9915 Місяць тому

    atakalia vyo😂😂😂😂😂😂dongo huach

  • @engineerkhamis9275
    @engineerkhamis9275 Рік тому +3

    Kilio cha wengi ni mda mdogo wa clip ila leo umerefuka kidogo.

  • @alikassimali6753
    @alikassimali6753 Рік тому +4

    Na leo nimewah

  • @TwalibSeleiman
    @TwalibSeleiman Рік тому

    Binafs nimzpend kaz zen especially fundi dongo na mau as well as na hyo mdad naomb duuuuh nishida San anajuwa

  • @hamidabdallah5841
    @hamidabdallah5841 Рік тому +4

    Wa kwanza mm leo

  • @ABUUBAKARSAIDI
    @ABUUBAKARSAIDI 4 місяці тому

    Dongo ww ni kile brahd muuwajii kabisaaa unajuwa mpk una booowaaa nakupa 🎉🎉🎉🎉🎉🎉 yako

  • @khamiswapemba9019
    @khamiswapemba9019 Рік тому +3

    Kazi Bomba sana pigeni kazi hakika nasisi ipo siku tutafika mbali sana

  • @omarbosiomar8608
    @omarbosiomar8608 Рік тому +5

    Shukran shukran much love 🎉🎉🎉🎉🎉

  • @MkasyswallehsaidSwalleh
    @MkasyswallehsaidSwalleh 11 місяців тому

    Nawapenda kwa vtuko vyenu😂😂😂❤

  • @eyabdimaha3698
    @eyabdimaha3698 Рік тому +2

    Dongo mara nyingi hataki kushaurika😅😅

  • @gyeong5972
    @gyeong5972 Рік тому

    Asnten sana hongereni sana ❤👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼

  • @HamadFakiOthman
    @HamadFakiOthman Рік тому

    Hahahaha may bwana ah una vituko Kweli Kweli eti au hajui pika

  • @MbaroukAbdallah-k8h
    @MbaroukAbdallah-k8h Місяць тому

    Mwana wa kharamu eeee😂😂😂😂

  • @MuriduAli-cf3xh
    @MuriduAli-cf3xh 8 місяців тому

    Hongereni.mnajuwa.kaka zangu

  • @dashuu5295
    @dashuu5295 Рік тому +3

    Baada ya mwezi mmoja Naomba keshaolewa...Kwa iyo hajalea eddah😂😂😂 mau hapa umetupiga za uso....eddah ya kuachika ni thalaathat quruui.( Mizunguko mi3 ya period)

  • @omarjoombi8802
    @omarjoombi8802 4 місяці тому

    Muongozaji wa mchezo kipande hichi kiangalie vizur Edda ya mwezi mmoja kivipi

  • @jumamohamed4808
    @jumamohamed4808 Рік тому

    Endleeni munaelimisha jamii vzr san

  • @elikanateonest3126
    @elikanateonest3126 Рік тому +2

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
    Eti naona yu hapa😂😂😂😂

  • @SafiaSeif-gw4ut
    @SafiaSeif-gw4ut Рік тому +3

    Ntu kwake achaguliwa langu wakupita?hahahaa dongo unani chekesha sn

  • @binssoud1995
    @binssoud1995 Рік тому +2

    Vitobwesha Kama njugu mawe zilizochanganyishwa na chikichi 😂😂😂 Dongo hujawahi niangushaaa.......

    • @dashuu5295
      @dashuu5295 Рік тому

      Na iyo michanga mingi😂😂😂

  • @OmanOman-ky2oo
    @OmanOman-ky2oo Рік тому +2

    Dongo utajuwa hujui kusharoa

  • @kombokichwa815
    @kombokichwa815 Рік тому

    😀😀😀😀😀Mwana kulitafuta mwana kulipata sipikii kuni wala mkaa maji yasipite tu 😂😂

  • @Dil-nawadhFt
    @Dil-nawadhFt Місяць тому

    Dada mm nampenda uyu vby san 😂

  • @triplea_pilot003
    @triplea_pilot003 Рік тому +2

    Dongo nisha rowa namung’unyuka hahahahaha

  • @swafuanomar6979
    @swafuanomar6979 Рік тому +1

    Maashallh Maashallh nimeipebdaa❤

  • @SaadeJuma-x9x
    @SaadeJuma-x9x Місяць тому

    Mwana kulitafta mwana kulipata

  • @SafiaSeif-gw4ut
    @SafiaSeif-gw4ut Рік тому +3

    Km nyuba ni ya babayo

  • @bikomboali2335
    @bikomboali2335 Рік тому +3

    Nimewahi leo

  • @hamadmaliki0029
    @hamadmaliki0029 Рік тому

    Tatizo Naomba Kibendera ulimkera Dongo, mke wa ngomani 😅😅

  • @binmasoud4150
    @binmasoud4150 Рік тому +1

    Duh so poa, ujumbe mwanana sana. Kweli mkataa pema... papaya panamwita.

  • @MaalimSeif-u4v
    @MaalimSeif-u4v 11 місяців тому

    Ni kz nzuri sn lkn Kuna sehem ndogo mumekoseya mulipoanda BAADA YA MWEZI MMOJA Dongo kumuacha mke wke na tyr kashamuowa Hasanati na vituko vimeshaanza lkn mwezi huohuo mmoja anaeda kwa Mau aliyekuwa mke wke kashaolewa na Mau kosa likon hapa aliyekuwa mke wa Dongo kamaliza eda mda gani?

  • @fatmasaid9765
    @fatmasaid9765 Рік тому +2

    Dongo katiwa adabu na jeuri zake

  • @youngjamaica5099
    @youngjamaica5099 Рік тому +1

    Naomba Bint kibendera🤗😁

  • @irfanabdi8877
    @irfanabdi8877 Рік тому +3

    Saf sana

  • @Kassim-o6m
    @Kassim-o6m 17 днів тому

    Kitanda utasema pampitwa na tembo

  • @mwinyisarbok2261
    @mwinyisarbok2261 Рік тому +2

    Hatupoi

  • @elikanateonest3126
    @elikanateonest3126 Рік тому +6

    Mau nakupenda sana! ❤❤❤

  • @elikanateonest3126
    @elikanateonest3126 Рік тому +1

    Mau anavyotazama ni vichekesho tupu😂😂😂😂😂

  • @AmirrShamte-tp3nu
    @AmirrShamte-tp3nu Рік тому

    Mashallah kaz mzur sana big up

  • @SubiraSalum-pq9vo
    @SubiraSalum-pq9vo Рік тому +4

    Dongo lisharoa 😂😂😂

  • @zulfahussein6784
    @zulfahussein6784 Рік тому +2

    😂😂😂😂dongo leo kaumbuka

  • @adamali545
    @adamali545 Рік тому +2

    Mmeuwa

  • @hajjirock853
    @hajjirock853 Рік тому

    Masha Allah kazi nzuri

  • @NasraAmour-s7j
    @NasraAmour-s7j Рік тому

    Hongeren❤

  • @nurdinmatula8020
    @nurdinmatula8020 Рік тому

    Mmetisha sna

  • @abeidramadhan2413
    @abeidramadhan2413 Рік тому +1

    Pemba oyeeeeeeeeee❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @Kassim-o6m
    @Kassim-o6m 17 днів тому

    Au ndo hajui pika

  • @mussasuleimanamour5569
    @mussasuleimanamour5569 Рік тому

    Safi sna ndugu znguni

  • @NassoroHaji-i8k
    @NassoroHaji-i8k Рік тому +1

    Mkataaa Pema pabaya humwita

  • @hamadially313
    @hamadially313 Рік тому +2

    Naomba!!!! Mpeni Maua yake

  • @ambarnelly6071
    @ambarnelly6071 Рік тому +2

    Lamungunyuka vo dongo😂😂😂😂

  • @NahlaTaxi-rr7cm
    @NahlaTaxi-rr7cm Рік тому +2

    Big up

  • @SafiaSeif-gw4ut
    @SafiaSeif-gw4ut Рік тому +3

    Weee nakuokota hap hapa kijijini😅

  • @azizasaif5670
    @azizasaif5670 Рік тому +2

    😂😂ndongo love you

  • @RashidAli-rn3ro
    @RashidAli-rn3ro Рік тому

    Gari ya ngombe ya massoud omar

  • @Kassim-o6m
    @Kassim-o6m 17 днів тому

    Kapotea kwenye mazingira ya kutetanisha

  • @janerouhassanjanerou7933
    @janerouhassanjanerou7933 Рік тому

    hatibu gonja haijui gesi 😅😅

  • @mudricksniper9495
    @mudricksniper9495 Рік тому +2

    Na mm sijachelewa

  • @hassnakhamis3489
    @hassnakhamis3489 Рік тому

    Mwenye kuli tafuta 😅

  • @abdullaabdullahmpakanjia2336

    Fundi wazidi chafukwa lete vituu(mpaka dongo kanzu lake kalifua leo)

  • @mwinyisarbok2261
    @mwinyisarbok2261 Рік тому +2

    Apo director mmetuacha baada ya mwezi mmoja Naomba ameshaolewa iyo Eda kamaliza lini?

    • @engineerkhamis9275
      @engineerkhamis9275 Рік тому +1

      Kwani si alimuacha Talaka 3 kwa mpigo😂😂😂?

    • @dashuu5295
      @dashuu5295 Рік тому +1

      ​@@engineerkhamis9275sawa lkn eddah muhimu ikamilike mda wake dear asjekuchanganya dam bure😊😊😊 haijalish talaka3 au moja

    • @wardahaly4194
      @wardahaly4194 Рік тому +2

      Ni tatizo la kiufundi apo limepita kidg tuvumilian

  • @irfanabdi8877
    @irfanabdi8877 Рік тому +2

    Mwaharam hhhhhhh dongo umemungunyuka

  • @profesamakame5179
    @profesamakame5179 Рік тому

    Jaman mbona makame hatumuoni

  • @mohdsaad2736
    @mohdsaad2736 Рік тому +2

    ❤❤❤😊😊😊😊😊😊

  • @noffalsalim
    @noffalsalim Рік тому

    Naona vyangu mbwto mbwito tu.hhhhhhhhh

  • @historizantv
    @historizantv Рік тому

    Jina la hii series ni fumbua macho au mkataa pema jamani

    • @NAOMBAOG
      @NAOMBAOG Рік тому

      Mkataa pema nj jina la hii episode na fumbua macho ni jina la kipindi mpendwa

  • @hamzasuleiman9605
    @hamzasuleiman9605 Рік тому +1

    Mwishoni mumefeli MAU , NAOMBA hakukaa eda , maana hapo tumeambiwa baada ya mwezi kisha tunaoneshwa maisha ya DONGO na mkewe , lakini siku hiyo hiyo DONGO amekwenda kumshtakia MAU , kisha tunaoneshwa MAU ni mume wa NAOMBA ,
    Tafsiri yke ni kwamba NAOMBA hakukaa eda ya mtu aliyeachika ❌

  • @mawlodafarida
    @mawlodafarida 19 днів тому

    😂😂😂😂😂naomba❤❤

  • @mwanawetumwatumwa3000
    @mwanawetumwatumwa3000 11 місяців тому

    ❤❤❤

  • @shaibhasan9233
    @shaibhasan9233 Рік тому +2

    Tena ukiniita mume wang