Haaaaaaaaaaa dongo umeniokote ulipo sema umepikiwa vitobwesha vilivyo changanywa na chiki chi na miye nilipika hivo vitobwesha ukila kimoja hurudiyii mara mbili mungu awabariki nyote muzidi kufika mbali
Baada ya mwezi mmoja Naomba keshaolewa...Kwa iyo hajalea eddah😂😂😂 mau hapa umetupiga za uso....eddah ya kuachika ni thalaathat quruui.( Mizunguko mi3 ya period)
Ni kz nzuri sn lkn Kuna sehem ndogo mumekoseya mulipoanda BAADA YA MWEZI MMOJA Dongo kumuacha mke wke na tyr kashamuowa Hasanati na vituko vimeshaanza lkn mwezi huohuo mmoja anaeda kwa Mau aliyekuwa mke wke kashaolewa na Mau kosa likon hapa aliyekuwa mke wa Dongo kamaliza eda mda gani?
Mwishoni mumefeli MAU , NAOMBA hakukaa eda , maana hapo tumeambiwa baada ya mwezi kisha tunaoneshwa maisha ya DONGO na mkewe , lakini siku hiyo hiyo DONGO amekwenda kumshtakia MAU , kisha tunaoneshwa MAU ni mume wa NAOMBA , Tafsiri yke ni kwamba NAOMBA hakukaa eda ya mtu aliyeachika ❌
Wa kwannza naomba like
Kazi iendelee tu guys endeleeni kutuwakilisha vyema
Huyu dada nampenda sana anaigiza vizuri sana❤❤
hata mimi nampenda yuko makini sana na kila mahali ukimueka yuko sawa
The first one nipeni like zangu❤
Naomba anajua bana , hapa ame act mpole kule ame act mbea part zote ame cheza vzr
Kazi kali sana team mau hakika ipo siku nasisi titafika mbali sana inshalla
Kamanda dogo ww noma una maneno kama kasuku hushindwi
Namuona hasanat wa uungwana kapendeza sana mashallah
Dongo umenifanya nicheke kwa sauti mbele ya mabosi wangu. 😂😂😂😂😂😂😂😂. Kushamuacha Naomba lkn bado akuita mume wangu 😂😂😂😂😂. Hatari kweli
Nawapenda sana mungu awabariki muweze kufika mbali ameen❤❤
Haaaaaaaaaaa dongo umeniokote ulipo sema umepikiwa vitobwesha vilivyo changanywa na chiki chi na miye nilipika hivo vitobwesha ukila kimoja hurudiyii mara mbili mungu awabariki nyote muzidi kufika mbali
Duh sabiha umenicheka 😅😅😅😅 uliposema ulipika vitobwesha ukila kimoja hurudiii na sukar yote inayowekwa mule hurudii😅😅😅😅😅😅😂😂😂😂😂
Watu zangu mnatuelimisha sana kila hatua dua 🙏🙏
Heeee dongo weeee.unamsimanga mkeo?😂hahahaa dongo nakupenda kwa ajili ya Allah
may ALLAH grant you a good way to reach your goals INSHAALLAH kaz nzur
Naomba chozi lako halikawii kutoka wewe acter mzuri sana congratulation
Asante nashkur
@@NAOMBAOGhujambo naomba namba Yako habibty
@@NAOMBAOGwajua naomba mpaka unaboa😂😂
Hee funzwa ni wavelewe na jamuweza miyeee.hahahaa
Nmewah leo 😄😄
Kweli mkataa pema pabaya panamgoja dongo umekwiva leo😂😂😂😂
Mwanaume akipata mwengne wanyuma Hana lake tena
Wapemba hatuna mbambambaa
Kabisa yaan
naomba mola akuzdshie unajua kuigiza nakupa hongera sana
Semaaa nonana husemi mapochi bwana mna balaaa
Kumbe dongo unamdharau mkeo una michipukoo?😅
Mambo mazur maa shaa Allah
Santhaaaa akupe gass bila ivo usipike utakua mweusi malipo nihapohapo akhera isabu
Daaah inasikitisha sanaaaa ni nzuur sanaaa
Mwanamme akipata mwanamke mwengine ajion kamili ardhi hahahaha uwii
Napenda ziwe na dk nyingi km ivi
Dongo tatizo yule kuku hwentengeza ati.
Hii kazi bila dongo hammna kitu Yani huyu dongo namkubali sana mungu atawajalia mutafika mbali
Kunywa Pepsi baridi nalipia😆. Kazi bila Dongo nisawa na zero.
Huyu Dongo ata ktk uhalisia ana vituko kuliko ktk michezo
Mnatisha sana dongo ❤❤❤
atakalia vyo😂😂😂😂😂😂dongo huach
Kilio cha wengi ni mda mdogo wa clip ila leo umerefuka kidogo.
Na leo nimewah
Binafs nimzpend kaz zen especially fundi dongo na mau as well as na hyo mdad naomb duuuuh nishida San anajuwa
Wa kwanza mm leo
Dongo ww ni kile brahd muuwajii kabisaaa unajuwa mpk una booowaaa nakupa 🎉🎉🎉🎉🎉🎉 yako
Kazi Bomba sana pigeni kazi hakika nasisi ipo siku tutafika mbali sana
Shukran shukran much love 🎉🎉🎉🎉🎉
Hhhh ety dongo much love
Nawapenda kwa vtuko vyenu😂😂😂❤
Dongo mara nyingi hataki kushaurika😅😅
Asnten sana hongereni sana ❤👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼
Hahahaha may bwana ah una vituko Kweli Kweli eti au hajui pika
Mwana wa kharamu eeee😂😂😂😂
Hongereni.mnajuwa.kaka zangu
Baada ya mwezi mmoja Naomba keshaolewa...Kwa iyo hajalea eddah😂😂😂 mau hapa umetupiga za uso....eddah ya kuachika ni thalaathat quruui.( Mizunguko mi3 ya period)
Talaka tatu hazina heda muhinu piriod moja tu
@@makameibrahim5086hapana lazima akae quruuu 3
@@issakassimsaid9097 👍
Muongozaji wa mchezo kipande hichi kiangalie vizur Edda ya mwezi mmoja kivipi
Endleeni munaelimisha jamii vzr san
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Eti naona yu hapa😂😂😂😂
Ntu kwake achaguliwa langu wakupita?hahahaa dongo unani chekesha sn
Vitobwesha Kama njugu mawe zilizochanganyishwa na chikichi 😂😂😂 Dongo hujawahi niangushaaa.......
Na iyo michanga mingi😂😂😂
Dongo utajuwa hujui kusharoa
😀😀😀😀😀Mwana kulitafuta mwana kulipata sipikii kuni wala mkaa maji yasipite tu 😂😂
Dada mm nampenda uyu vby san 😂
Dongo nisha rowa namung’unyuka hahahahaha
Maashallh Maashallh nimeipebdaa❤
Mwana kulitafta mwana kulipata
Km nyuba ni ya babayo
Nimewahi leo
Tatizo Naomba Kibendera ulimkera Dongo, mke wa ngomani 😅😅
Duh so poa, ujumbe mwanana sana. Kweli mkataa pema... papaya panamwita.
Ni kz nzuri sn lkn Kuna sehem ndogo mumekoseya mulipoanda BAADA YA MWEZI MMOJA Dongo kumuacha mke wke na tyr kashamuowa Hasanati na vituko vimeshaanza lkn mwezi huohuo mmoja anaeda kwa Mau aliyekuwa mke wke kashaolewa na Mau kosa likon hapa aliyekuwa mke wa Dongo kamaliza eda mda gani?
Dongo katiwa adabu na jeuri zake
Naomba Bint kibendera🤗😁
Naam youngjamaica
Saf sana
Kitanda utasema pampitwa na tembo
Hatupoi
Mau nakupenda sana! ❤❤❤
Mau anavyotazama ni vichekesho tupu😂😂😂😂😂
Mashallah kaz mzur sana big up
Dongo lisharoa 😂😂😂
😂😂😂😂dongo leo kaumbuka
Mmeuwa
Masha Allah kazi nzuri
Hongeren❤
Mmetisha sna
Pemba oyeeeeeeeeee❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Oyee
Au ndo hajui pika
Safi sna ndugu znguni
Mkataaa Pema pabaya humwita
Naomba!!!! Mpeni Maua yake
Asante
🎉🎉🎉
Lamungunyuka vo dongo😂😂😂😂
Big up
Weee nakuokota hap hapa kijijini😅
😂😂ndongo love you
Ety dongo love hhhh asante nimependa
Gari ya ngombe ya massoud omar
Kapotea kwenye mazingira ya kutetanisha
hatibu gonja haijui gesi 😅😅
Na mm sijachelewa
Mwenye kuli tafuta 😅
Fundi wazidi chafukwa lete vituu(mpaka dongo kanzu lake kalifua leo)
Apo director mmetuacha baada ya mwezi mmoja Naomba ameshaolewa iyo Eda kamaliza lini?
Kwani si alimuacha Talaka 3 kwa mpigo😂😂😂?
@@engineerkhamis9275sawa lkn eddah muhimu ikamilike mda wake dear asjekuchanganya dam bure😊😊😊 haijalish talaka3 au moja
Ni tatizo la kiufundi apo limepita kidg tuvumilian
Mwaharam hhhhhhh dongo umemungunyuka
Jaman mbona makame hatumuoni
❤❤❤😊😊😊😊😊😊
Naona vyangu mbwto mbwito tu.hhhhhhhhh
Jina la hii series ni fumbua macho au mkataa pema jamani
Mkataa pema nj jina la hii episode na fumbua macho ni jina la kipindi mpendwa
Mwishoni mumefeli MAU , NAOMBA hakukaa eda , maana hapo tumeambiwa baada ya mwezi kisha tunaoneshwa maisha ya DONGO na mkewe , lakini siku hiyo hiyo DONGO amekwenda kumshtakia MAU , kisha tunaoneshwa MAU ni mume wa NAOMBA ,
Tafsiri yke ni kwamba NAOMBA hakukaa eda ya mtu aliyeachika ❌
Maigizo
😂😂😂😂😂naomba❤❤
❤❤❤
Tena ukiniita mume wang