Wazo La Mjinga Part 1 - Mohammed Kombo, Mafunda Baraka, Dada Rose (Official Bongo Movie)
Вставка
- Опубліковано 10 вер 2024
- Subscribe to Wyld Pytch / 51 Lex: bit.ly/WyldSubs
Wazo La Mjinga Bongo Movie 2018 Part 1 (Swaleh)
Wyld Pytch / 51 Lex Records
Web - wyldpytch.com/
Facebook - www.facebook.c...
Twitter - / wyldpytch
Vizuri muelekeo wako mpeku
MWINYI UNAVIPINDI VIZURI SANA LKN NAKUUSIA PLEASE USICHEZEE JINA ALLAH KWA KUAPA APA KWENYE MOVIES 2 PLEASE WAKOSEA SANA
SASA WACHEZA MOVIE NA JINA LA ALLAH WALICHEZEA NI KUKUUSIA USIAPE APE KWA KUCHEZEA MOVIES VIBAYA KAKANGU
SHUKRAN
S NASIR Said nikweli
S NASIR Said cimchenzo.kiapo
❤❤🎉🎉🎉
mwinyi mpeku anaweza sana.
hii kweli wazo la mjinga
Je kazi umebadilisha au ndio ile ile
Mwinyi mpeku anaweza ila anatamaa mwanawe ampa kachara
Mzee mwinyi tamaa.mbya ww kila uonacho wataka uliza jamani
Kama m'muume kweli nchukue kwenu vitongoji ukampe nkee. Pemba rahaaa
Hata wapemba hatuna tamaa hii ni move tu
Ninakubali
Ahsanten nlikuwa naitafuta hii dooooh
mashallah.tuongeze.juhidi.tutaendelea.ilove.pemba💞
Wapemba mnaweza
Kweli wana weza sana👍👍👍👍👍
Mm nataka nifike pemba
Kwani jamani muna eka vp picha zenu hapa
👍👍👍👍👍👍👍
Wapemba wenzangu mungu atubariki
kipande chandoa nimekipenda sana
mzee mwinyi kiboko
Mashallah Mpo vzr
Hujambo
Anayoongea mpeku no ya kweli unasoma unamaliza hela tele halafu hairud man ajira hupat😁😁😁😁
Nice love u all
Wapemba juuu😯😯😯😯😯😯
Wako pw sana
good movie
Tizama vile pua kama kituduuu. Mm naomba filam inayoitwa kura yangu alocheza mwinyi na kachara
@online tv ok lakn sio mbaya hata wewe kama utaufikisha ujumbe wangu nitakushukur
Haipo
mwinyi mpeku wapeku laungo
Movie zenu,zina mafonzo,but zengine azina sauti
Mwinyi usitulie aubu kojani yetu wazid sana
Abuu Raudhwat vsnrjdktkyofejrirorhtjsfirudfirjykrb
Nakuona baba yangu abuu raudhwat
nimpnd kwenye gari
Mzee mwinyi waniacha hoi mimi jamani
Vyuo vyuo tunaviona
Hahahahaha eti bc uyo mkeo ana n'guu wa ngamia😃😃😃😃😃
Kwekwekwe!
Tamu sana
Mzee ana sura ngumu kama roho yake
Mnaweza haswa na mafunzo yapo waacheni wacheza movie uchi
Nc
Mwinyi Mimi natafuta mke ila sifaniitakayo awe anasomesha chuo na asiwe bonge .
😀😃😃mzee mwinyi
Mzee ana tamaaa sana kasahau utuuu
Nyumba ya kukodi 😂😂😂
Khjk
Kuveve toba
Mwinyi unapenda kuongea kwakelele nazipenda sana tamsilia
😯😯😯😯😯😯😯
👍👍👍👍👍👍👍
Kwa kitumbo hichi saa sita kashakula huyu😃😃😃
Wapemba tunaita "babaake mai au mamaake mai" sio baba mai wala mama mai
Mmmhh jamani Mwinyi mwanivunja
Waolewe punda na Ng,ombe
Kunkopesa Gubii
😂😂😂😂
Hhh
Hahahaaa
Haha
🤣🤣🤣🤣🤣